Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Tume ya taifa ya Uchaguzi Nafasi za kazi, Nafasi za kazi Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Nafasi za kazi NEC 2019, Nafasi za kazi NEC 2020
Jobs Vacancies Details and Mode of Application
The National Electoral Commission (NEC) is the national election commission of Tanzania (Tume ya Uchaguzi Tanzania)
An election commission is a body charged with overseeing the implementation of election procedures. The formal names of election commissions vary from jurisdiction to jurisdiction, and may be styled an electoral commission,[1] a central [2] or state election commission,[3] an election board,[4] an electoral council[5] or an electoral court.[6] Election commissions can be independent, mixed, judicial or executive. They may also be responsible for electoral boundary delimitation. In federations there may be a separate body for each subnational government. The election commission has a duty to perform election related activities in an orderly manner. For election related problems, Election Commission is responsible
Elections in Tanzania gives information on election and election results in Tanzania.
The Political Elections in Tanzania categorized in local Government and National level. the local Government is titled for electing Streets or Villages Chairman’s and The National Level is referred to as General Election for electing the head of state – the president – and a legislature
Article 74(6) of the constitution states its responsibilities:
- Register voters for the union presidential and parliamentary elections.
- Supervise the conduct of the presidential and parliamentary elections
- Review and demarcate the electoral boundaries
- Perform any other function as per the law such as organize referendums.
The National Electoral Commission (NEC) has announced temporary work opportunities for the upgrade of the Voters Register
Download PDF File or View for more Jobs Details and Application
SEE ALSO :
Jobs Opportunities at Tazama Pipelines Limited
Job Opportunity at International School Moshi
Fully Funded to New York, USA : Cora Weiss Fellowship 2019 for Young women Peacebuilders
I need a temporary job
My name is Rajabu Lukas mwayinga;am Tanzania am graduate from morogoro vocation teacher training college,iwant temporary job and I promise to the best in any department 0784886246/0752754526
My name is Thadey Cosma. I am pursuing bachelor degree in Economics at Ardhi University. I am seeking for temporary Job. I am good at public speaking, microsoft package and data anaylyis with Social Sciences statisticla package that is STATA or SSPSS. Confidently am cooperative and i believe in teamwork.
I hope i will be considered.
Best Regards!
My name is Thadey Cosma. I graduated at Urauri Secondary school 2013. Currently, I pursuing bachelor degree in economics at Ardhi University. I am seeking for the temporary Job. I am good at public speaking, Microsoft package usage, social sciences statistical package for data analysis that is STATA and SSPSS. Confidently am cooperative and i believe in team work.
Hope i will be considered.
Email: [email protected]
Phone:0744900568
Best regards
graduation is only at university level, I would advice you to use words like, I completed my o level studies etc
I’m Radhi M.Michael,I’m 24 years old,I completed my o level studies at 2012 and training college at 2016, I need temporary job
My name is Radhi M. Michael, I’m completed my o level studies at 2012 and training college at 2016,I’m asking for temporary job my phone number is 0621066632,my email is [email protected]
My name is BARAKA AKYOO am complete a bachelor of science with education at Marian university, am seeking for the temporary job my phone number is 0745422561 and my home place is ARUSHA
My name is Michael mwaigaga I graduated form at 2013 and high level at 2016 am looking for temporary job I hope your going to consider me my phone number 0628529795 my email is [email protected]
I’m Habibu Rajabu Kibwana, from Dar es salaam, manzese ward, my education level is form four, I’m 22 years old, my hopes the reference shall be awesome thank you…contact 0714381581
My name is Oswald Zepherin Lwabwe. I am a teacher.I apply for the temporary job to NEC.Iam good at computer application and maintenance.
Am neema Peter,indeed a temporary job,contact no.0622159865
I am pursuing bachelor of arts in economic at Ardhi university. am good in public peaking and good in swahili langauge also in some computer software like spss and stata. Hope my regards will be consider thank you.
I need a temporary job with certificate of O-Olevel education Tel: +255 754 515 881
My name is osmond soka i complited form six at edmund rice 2019 i need a temporary Job 0766310498 thank you
NAHITAJI KAZI KATIKA TUME YA UCHAGUZI.
KWANI NINA SIFA ZIFUATAZO;
)NINA UZOEFU WA KUTUMIA BVR NILIFANYA KAZI HII 2015
1)NINA UWEZO WA KUTUMIA COMPUTA
3)NI MTUMISHI WA SERIKALI(MWALIMU NGAZI YA CHETI)
ANUANI YANGU NI S.L.P 33 MLIMBA KILOMBERO
Simu namba yangu NI 0789171172
My name is Amos Enoce from chato geita, with diploma in procurement and supply management and Basic certificate in computer application looking for temporary job. 0754834111
naitwa saidi ISSA Simba Nina elimu ya kidato Cha nne na ninaelimu ya kompyuta kutoka chuo Cha veta mtwara, pia ninaish mtwara mjini namba zangu 0658299778
My name is winnie Mgute, I’m graduated form four at 2014. Please I want temporary job in any department I’ll better 0785422604.
My name is shemagembe am tanzanian am graduate 2015 Makange secondary school.please I want temporary job in any department I can manage to drive and I have a lisence I’ll better my phone number is 0712199826 and my email [email protected]
KWA JINA NIATWA SAIDINI ALLY KIPINGI NIMEHITIMU KIDATO CHA NNE MWAKA 2004 KINDOROKO SEC SCHOOL NA KUJIUNGA NA CHUO CHA UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM {UCC} ARUSHA KATIKA NGAZI YA CERTIFICATE MWAKA 2009 KUANZIA MAY 18 2009 MPAKA JULAY 2009 NA KUENDELEA KUFANYA KAZI YA KUFUNDISHA COMPUTER KWENYE KITUO CHA TELECENTER KIPO IRINGA NA KUJIENDELEZA NA DIPLOMA YA COMPUTER KATIKA CHUO CHA CAPRICON COLLEGE IRINGA PIA NILIBAHATIKA KUNYA KAZI YA BVR KIT NA KUPATA HATI AYA PONGEZI WILAYA YA KILOLO NAMBA YANGU YA SIM 0768211111 NA 0712024277
My name is shemagembe am tanzanian am graduate 2015 Makange secondary school.please I want temporary job in any department I can manage to drive and I have a lisence I’ll better my phone number is 0712199826 and my email [email protected]
MAY 30, 2019 AT 16:46
My name is shemagembe am tanzanian am graduate 2015 Makange secondary school.please I want temporary job in any department I can manage to drive and I have a lisence And am infomation tecnolog ( it ) profession am graduate at zoom 2016 i have experience with microsoft world,excell,power point,publisher and any program installation my phone number is 0712199826 and my email [email protected]
Naitwa Anjela Ibrahim ,ni muhitimu wa chuo cha utumishi wa umma tawi la Tanga, naomba kaz ya muda kwan ntafanya vzur ktk kazi yoote.Asante
Mawasiliano yngu 0766533887,0654251445
Naitwa Paulina ibrahimu nimehitimu form four 2012 then high school 2015 na kuhitimu chuo 2018 bachelor of chemistry at university of Dodoma ( udom) Nina uwezo wa kutumia computer, naomba nafasi ya kazi katika tume ya uchaguzi nitafurahi sana endapo ombi langu litafanyiwa kazi napatikan mkoa wa manyara phone number 0625823004 or 0769837472 email [email protected]
Daaaahh soma vizuri PDF ya Tangazo.
Kua siriaz una degree ujue .
My name is Justin Philli Felix, I’m graduated form four at 2014. Please I want temporary job in any department I’ll be better my phone number is 0769656272 email [email protected]
I need a temporary job
My name is wambura wambura I’m graduated form six at 2016. Please I want temporary job in any department I’ll be better. My phone number is 0745394026.My email:[email protected]
my name is dickson Oscar I have completed form four in 2017 i would like you to help me to get any temporary job which is available also if any chance of finding a driver I can manage to drive and I have a lisence. my phone number is 0653602257
Which job do you need please
Naitwa Ibrahim Juma Mabula. Nimehitimu elimu ya Sekondari mwaka 2016. Ninauwezo na akili timamu ya uongozi na kusimamia watu wa lika lote na mazingira yoyote ya kazi. Hivyo naomba hii nafasi ya kusimamia uchaguzi huu ujao hivi karibuni
0763781748.
My name is ELKA J SHAUSHI I’m graduated form six at 2018. Please I want temporary job in any department I’ll be better. My phone number 0683403451 my email: [email protected]
Naitwa Richard William, mimi ni Mtannzania, elimu yangu ni kidato cha nne, uwezo wangu wa kutumia Kompyuta ni kama ifuatavyo nafahamu kutumia programu andishi kama vile Microsoft Word, Excell, Access, Publisher, Power Point, Ubunifu kwa njia ya Kompyuta (GRAPHICS DESIGN / MSANIFU KURASA) na pia naweza kutengeneza kompyuta pamoja na kuweka Programu aina yoyote (Installation). Hivyo inaniperekea kuomba kufanya hii kazi ya muda mchache sambamba na jinsi mlivyohainisha katika Tangazo hapo juu, nitafurahi endapo ombi langu litakubaliwa natanguliza shukrani, Asante.
My name is Marco Elias,i have completed university in 2016,please I need temporary job in any department i will be better,my phone number is 0764477443 my email: [email protected]
My name is James kikwa i want that temporary job my phone number is 0712607859
I am gallus kazinja, I am taking bachelor degree of law at SAUT. I am seeking for a temporary job.
My phone no 0656749284
Nina elimu ya Degree
Namba. 0713962826
Naitwa Nassoro musa elimu kidato cha sita mwaka 2019
Naishi mkoa wa rukwa sumbawanga
Ninauwezo wa kuandika na kusoma lugha ya kiswaili na kingeleza
Ninauwezo na akili timamu ya uongozi na kusimamia watu wa lika lote na mazingira yoyote ya kazi. Hivyo naomba hii nafasi ya kusimamia uchaguzi huu ujao hivi karibuni
06291174
[email protected]
Namba ni 0629117470 au
0754413394
My name is mwampashi elia l request that opportunity for the success of our nation .the level of education is university education.my phone number is 0765158889
namna 8 BROTHER be serious
Am Boniphace Chacha,my current location is Mtwara,i completed my o-level education in 2013 then joined high school from 2014 to 2016,i’ll be glad if i will be selected in any vacant.
My Phone no;0759771415
Naitwa saidath saidi Msami.nilimaliza form four mwaka 2012 Nina uwezo Wa kutumia computer program zote ..pia nilishawahi kufanya kazi ya kusajili kaya kupitia simu ambazo zina GPS. Ilikua ni kazi ya muda ya kiserikali
Majaa shabani nimsichana mwenye umri wa miaka 21 nimeitimu kidato cha nne 2014. Pia nimeitimu certificate of rulal development 2016.Naomba nafasi ya kusimamia uchanguzi.Natanguliza shukran
Majaa Shabani msichana mwenye umri wa miaka 21 ni mkazi wa Tabora.Nimehitimu kidato cha nne 2014 pia Nina certificate of rural development nimehitimu 2016.Naomba kazi ya kusimamia uchaguzi.Tel:0767039798/0657888025
my name is frolence Ernest gorodian my current homestead is dar es salaam I completed form six 2016, please I request temporary job #0767935896
I need a job am in Tanzania I have finish form 6 2018
Naitwa adamu joseph.nimehitimu chuo cha ualimu grade A maana 2016.. Naomba kazi ya muda . no matumaini maombi yatakubaliwa.namba ya SMU 0752382383
Naitwa saidath saidi Msami. Nilimaliza Form four Mwaka 2012.Nina uwezo Wa kutumia computer program zote pia Nina cheti cha computer.Na nilishawahi kufanya kazi ya kusajili kaya kwa kutumia simu ambazo zina GPS ,ilikua ni ya kiserikali ilikua ni ya muda mfupi. Nami nilikua naomba nafasi hiyo ya kazi ,nifanya kwa umakini zaidi .namba yangu ya simu 0657163005.
[email protected]
Naitwa saidath Saidi Msami.nilimaliza Form four 2012,pia Nina cheti cha computer .Naweza kutumia program zote . Na nilishawahi kufanya kazi ya kusajili kaya kwa kutumia simu ambazo zina GPS. ilikua ni ya serikali ilikua ni kwa muda mfupi.Namba yang ya mawasiliano 0657163005
[email protected]
Habarizakazi.Naitwa Jonas mathias jonas,Nikijananiliehitimu elimu yasekondari kidato cha nne mnamomwaka 2016,katika shule ya sekondari school usoke.Naomba kuajiliwa.
Matumainiyangu nikusaidiwa, Nitashukursana endaponita ajiliwa.
Mawasiliano yangu.
0763865689/0626278032
Naitwa Chacha C James.Na umri wa miaka 23,elimu niya stashahada ya ualimu wa sekondari. Naomba kazi
Mawasaliano:0757341977
Naitwa martin john yohana, elimu yangu kidato cha 6 daraja la 3, naomba kazi kulingana na elimu yangu no;0674769412
My name is JACKSON ROMANUS MPOMA. I study institute of finance management,bachelor of science in insurance and risk management. I seeking for temporary job,I hope will qualify in this opportunity 0763750894 and [email protected]
Naitwa Jackline Mapunda. Ninaumri wa miaka 28. Nina elimu ya Diploma ya utunzaji wa kumbukumbu Mkazi wa Dar es salaam ni mtumiaji mzuri wa computer Nina hakili timamu ninaomba kazi hiyo ya muda mfupi. Mawasiliano yangu 0625858413 email [email protected]
Naitwa Juma mahona masunga, nasoma chuo kikuu cha mtakatifu yakob (Archbishop James University college AJUCO) Songea naomba nafasi ya kushiriki katika zoezi la kusimamia uchaguzi.
MAY 30, 2019 AT 16:46
My name is shemagembe am tanzanian am graduate 2015 Makange secondary school.please I want temporary job in any department I can manage to drive and I have a lisence And am infomation tecnolog ( it ) profession am graduate at zoom 2016 i have experience with microsoft world,excell,power point,publisher and any program installation my phone number is 0712199826 and my email [email protected]
My name is shemagembe am tanzanian am graduate 2015 Makange secondary school.please I want temporary job in any department I can manage to drive and I have a lisence And am infomation tecnolog ( it ) profession am graduate at zoom 2016 i have experience with microsoft world,excell,power point,publisher and any program installation my phone number is 0712199826 and my email sshembaruku
Ninaitwa shadrack Charles kolorya. Nimehitimu elimu ya kidato cha nne mwaka 2016,katika shule ya sekondari zakia ,chato geita.Ninaelimu juu ya kompyuta na nimehitimu mafunzo ya ualimu katika katika daraja la tatu A.(shule za msingi. Ninaomba kazi ya muda mfupi kama alivyotangazwa katika katengo chochote.Nitashukuru kama ombi langu litapokelewa:
Mawasiliano.0743738986 au
0752823633
Kazi njema katika ujenzi wa taifa.
Naitwa Paulina ibrahimu nimehitimu form four 2012 then high school 2015 na kuhitimu chuo 2018 bachelor of chemistry at university of Dodoma ( udom) Nina uwezo wa kutumia computer, naomba nafasi ya kazi katika tume ya uchaguzi nitafurahi sana endapo ombi langu litafanyiwa kazi napatikan mkoa wa manyara phone number 0625823004 or 0769837472 email [email protected]
YAH: NAFASI YAKAZI TUME YA UCHAGUZI WA
TAIFA NEC.
Naitwa MWANAKHAMIS UMOJA.MAKAME naishi Zanzibar ni muhitimu wa Diploma nnauzowefu wa kusimamia uchaguzi na uwandikishaji wa vitambulisho vya TAIFA pia kama DATA ENTRY msajili pia.
Naomba ombi langu lipokelewe
Wako msimamizi wa TAIFA .
Mwanakhamis U.MAKAME
[email protected]
0772236166/ 0655469911
name is pelagiafrancis makwasinga, I’m graduated form four at 2010. Please I want temporary job in any department I’ll be better my phone number is 0718898990
Hongera sana NEC kwa kutambua umuhimi wa kutoa ajira kwa watanzania, pamoja na kuwashirikisha watanzania juu ya uboreshaji wa daftrari la kudumu la wapiga kura. Tunaelekea kipindi nyeti cha kuchagua viongozi wa TAIFA hili. Ni wajibu wenu sasa pamoja na jamii kwa ujumla, kujitahidi kutoa elimu ya kutosha kwa watanzania juu ya kujitokeza na kutimiza hakiyao ya msingi na yakikatiba kuwachagua viongozi kwa njia ya kupiga kura ya siri, vinginevyo daftari litajaa wapigakura lakin wachache watajitokeza kupiga kura. Nami nipo mstari wa mbele kuwaelimisha wale wenye mtazamo has I, (haina haja ya kupiga kura kwani viongozi walisha wapitisha kitambo).Mwisho kabisa naomba msinisahau pindi maombi yangu yatakapo fika huko.
YAH: MAOMBI YA KAZI TUME YA UCHAGUZI WA
TAIFA NEC.
Naitwa GLORY MSANJILA naishi MBEYA ni muhitimu wa Diploma ninauzowefu wa kusimamia uchaguzi na uwandikishaji wa vitambulisho vya TAIFA pia kama DATA ENTRY msajili pia.
Naomba ombi langu lipokelewe
Wako msimamizi wa TAIFA .
GLORY MSANJILA
Naitwa Shakila Jumanne, Naishi Bukoba Mjini – Kagera. Elimu yangu in Kidato cha nne. Nina uwezo Wa kutumia Computer Program zote. Naomba nafasi hiyo ya kazi. Nitashuru kama ombi langu litakubaliwa.
Mawasiliano 0762720297
i am elizabeth william from dar es salaam am studying at mpuguso collage of education.this time am at home for holiday until october.i kindly ask for chance on this temporary employment iam sure i will manage it very well.please think about my request my phone number is 0743485682.my gmail is [email protected]
Am Anthony francis from Tanga Tanzania I would like to get involved with the existing chances for the chances awarded for your sincerely my educational level is advanced level. Contact +255718608335 and an email address is [email protected]
my name is Sharifu Salimu from singida now am taking BED PSYCHOLGY at UDOM ,am asking for
chance to be among of election supervisors ,I’ll be ready to work any where,phno no [email protected].
Naitwa Beatrice Osward mwasenga kutoka mbeya, nasoma chuo kikuu cha dar-es-salaam naomba kazi ya muda katika idara yoyote nitafanya kazi kwa bidii.
mawasiliano 0742479247
DOREEN_BARTHOLOMEW
30,2019. AT1:54
Mimi ni DOREEN BARTHOLOMEW ,mkazi wa Arusha,Nina umri wa miaka 25,nimemaliza Certicate ya Human resource management na ualimu,Nina uwezo wa kusimamia uchaguzi nakufanya uandikishaji.
Ninaomba nafasi ya kufanya kazi ya usimamizi uchaguzi na uandikishaji wa vitambulisho vya taifa.
Nina matumaini ombi langu litafanyiwa kazi,Asante
Mawasiliano:0678157144
Email:[email protected]
Naitwa ashura weja Dotto ninamiaka 22 natoka shinyanga nasoma Chuo kikuu Dar es salaam naomba kazi ya yoyote katika tume ya uchaguzi,nauwezo wa kutumia kompyuta
Naitwa ashura weja Dotto ninamiaka 22 natoka shinyanga nasoma Chuo kikuu Dar es salaam naomba kazi ya yoyote katika tume ya uchaguzi,nauwezo wa kutumia kompyuta mawasiliano 0742000434
My name is majine Christopher mtale.am ma form six leaver from Mara at Bunda distric am asking.for chance to be among of election supervisor,my phone no 0756839731$0693211290
Yah:Maombi ya nafasi ya kazi Tume ya uchaguzi. Husika na kichwa cha habari Happ just kwa majina ninaitwa William Biganza Andrew mwanafunz wa chuo.Ninaomba nafasi ya kushirikiana na watanzania wenzangu katika ziezi la kuchagua viongozi walio Bora katika kuiendeleza Tanzania yetu. Ni wako mtiifu William Andrew. W.andrew. Mwanachuo
Naitwa Innocent Athanas kutoka Morogoro, elimu yangu ni stashahada ya TEHAMA kutoka chuo kikuu cha kilimo SUA. Naomba hii kazi ya muda maana naamin nitatenda kwa weledi kulingana na taaluma yangu.
Namba yangu ya simu: 0718 940 868
Email: [email protected]
My name is mwenesho Francis makumiane, I graduated form Four at Ng’haya sec (2009_2012), form SIX at Magufuli high school(2013_2015) and lastly the University of Dodoma)…I want a Chance to work for this job ….
Naitwa Ignous Anderson nipo mbeya nimemaliza form four mwaka 2015 katika shule ya Lufilyo high school na pia nimesomea nimesoma chuo kwa kozi ya pharmacy (pharmaceutical Asistant) na pia ninauzoefu wa komputa naomba kazi. Mawasiliano ni 0753784087 / 067my Email is [email protected]
YAH: MAOMBI YA KAZI TUME YA UCHAGUZI WA
TAIFA NEC.
Naitwa GLORY MSANJILA naishi MBEYA ni muhitimu wa Diploma ninauzowefu wa kusimamia uchaguzi na uwandikishaji wa vitambulisho vya TAIFA pia kama DATA ENTRY msajili pia.
Naomba ombi langu lipokelewe
Wako msimamizi wa TAIFA .
GLORY MSANJILA
Namba ya simu: 0676914600
Email: [email protected]
NAITWA HABIL SINKONDE, NAISHI ISANSA MBOZI SONGWE, ELIMU YANGU, NASOMA CHUO KIKUU CHA DODOMA, NAJUA KUTUMIA VIZURI PROGRAM ZOTE KWENYE KOMPYUTA, NAOMBA NAFASI HIYO YA KUSIMAMIA UCHAGUZI. AHSANTE!!.
Naitwa Rehema Twaha Musa. natokea mkoa Wa Kagera wilaya ya Kyerwa. nimeitima kidato cha nne mwaka 2012. Nina uzoefu wa kutumia kompyuta program zote. Nina uzoefu Wa usimamizi na uandikaji Wa daftari la wapiga kura. naomba nafasi iyo ili kuendeleza taifa letu.
nitashukru ombi langu kukubakiwa.
mawasiliano:- 0744113217 au 0626838297
Naitwa livinus Jonas naishi Dodoma nimemaliza kidato cha sita mwaka Jana na Nina ujuzi wa kutumia kompyuta na nina uzoefu kwenye maswala ya uandikishaji wa daftari LA wapiga kura hivyo naomba kazi hiyo na nitafanya kama ipasavyo
0742807440
Jina langu ni SEIF MANAKI BENDU
Nimehitimu kidato Cha sita 2018 natumia fursa hii kuomba nafasi ya kuratibu zoezi la uboreshaji was daftari la wapiga kura
[email protected]
0678052112
Naitwa kilasa paul mhitimu wa elimu ya sekondari 2012.Ni mtanzania wa Geita Chato.Uwezo na weledi katika kazi ni vipaumbele vya maisha yangu.
Mawasiliano 0765418465.
Naitwa thobias shatila nimehitimu kidato cha nne mwaka 2010 naomba kazi ya mda sito itaji nguvu nyingi ya usimamizi katika utendaji wa kazi maana nauwezo was kufanya kazi mahara popote
My name is Mpembenue ambali yunus. From Pwani,Tanzania living Dar es salaam,Tanzania. Graduated my secondary education Tanga techncal sec. on 2015 having an ordinary diploma of Community development from Mwalimu Nyerere Memorial Academy also am good in using computer. I am asking for a temporary job.
I hope to hear from you soon.
contact: 0788773786 or 0737487189
Email: [email protected]
Refer to the heading above,my names are shamim jaffary i am applying a job in reference to your post. I am graduated at 2018 and am currently pursuing my law degree at university of dar es salaam. I would like any job in your department am a hard worker and trustworthy. I am patiently waiting for a positive feedback. Please contact me through my email [email protected]
My name is YESE S. STEPHANO, living at katavi,currently study bachelor of sience with at university of dar es salaam (UDSM-DUCE) 3rd year, am good in using computer in different cases such data entry, computer repel,disigning as well as installation of different program, I asking for a temporary job.
I thope my quest will be responded positively so, for more information check me on;
Phone: 0762494347 or 0713494347
Email; [email protected]
Mimi ndiyo namalizia masomo yangu mwezi wa saba mwaka huu naomba hiyo kazi maana ninauwezo wa kuzungumza na watu wa lika tofauti na pia ni mtaalamu wa mitandao kutumia na kutunza kunbukumbu
Naitwa Hamis Ramadhani, ni muhitimu ktk chuo cha Mipango Dodoma, shahada ya maendeleo ya mikoa (Regional development planning) Nina umri wa miaka 24.
Ninajua lugha ya Kingeleza na kiswahili.
Natafuta kazi ya yoyote ya kujitolea ktk taasisi yoyote iwe serikali au binafsi. Nitakuwa tayari kufanya kazi kulingana na majukumu nitakayopewa.
Kwa mawasiliano 0656926858
Naitwa shabani Hussein nimehitimu secondary 2013 nahitaji kazi ya udereva na kazi nyengine nauwezo wa kuzifanya
Guys hapa sio sehemu ya kuombea kazi,angalieni hapo juu kwenye tangazo wameatachi tangazo ambalo lina anuani na email address,anuani mtaitumia ili kuandika barua rasmi ya kiosi kuomba hiyo kazi ya muda,mtaambatanisha wasifu wenu(Cv) na nakala ya vyeti vyenu vya taaluma kisha mnatuma kwa kutumia email addres iliyopo hapo juu kwenye hiyo attachment(tangazo)..Mkifanya hivyo ndo mnakuwa mmeomba hizo nafasi…Hapa ni sehemu ya kuandika comment tu ila sio maombi,nani atakupa kazi kwa kuandika tu hapo bila kuweka CV na nakala za vyeti vinavyoonyesha elimu yako?Kuweni makini,mnajihatarisha na matapeli maana mmeweka namba zenu hapa watawatafuta wawatapeli kuwa mmepata nafasi mtume pesa wakati kumbe hata maombi hamjafanya bali mmejifurahisha kwa kuandika sehemu ya comments.
It`s me Mr White!
Wabongo kuelewa ni ngumu sana Asante kaka
Fact 👏👏👏
Naitwa samwel omary lala… ni muhitimu ktk chuo cha ualimu morogoro kigurunyembe kwa masomo ya hesabu ,chemistry na ICT MWAKA huu [special diploma]
naomba ajira na nitafanya kazi chini ya uangalizi w0w0te
nitakuwa mwadilifu na mwaminifu ktk kazi
HAPA KAZI TU
0718647887
My name is Hassan Hussein Mihoho, I’m graduated form four at 2015 . Please I want temporary job in any department Ipromise I will do better and I will make sure I follow the instructions. I live Isamilo_Mwanza,Tanzania.
Contact:_0719828557/0762022148.
My name is Hassan Hussein Mihoho, I’m graduated form four at 2015,And I have a Certificate of Information technology (IT) Please I want temporary job in any department Ipromise I will do better and I will make sure I follow the instructions. I live Isamilo_Mwanza,Tanzania.
Contact:_0719828557/0762022148.
REPLY
Known as Adam Adam taking bachelor of early childhood education at the university of Dodoma, requesting for temporary job opportunity that you announced, I have all skills required including ICT skills my home city is Shinyanga. I beleave in accountability and hard working. Hope you will consider my request
You sincerely
Contact: +225768688383
mimi naitwa stephano msukwa ni mtanzania nina miaka 21 mwanafunzi chuo kikuu cha dar es salaam napenada nitumie nafasi hii kuomba kazi ya muda,ninajua kutumia compyuta vizur,pia najua taratibu za uendeshaji ya uchaguzi kwa mjibu wa katiba ya mwaka 1977 na marekebisho yalifanyika,kikubwa naipenda nchi yangu na napenda kuitumikia,asante 0765327881
Yah: maombi ya kazi katika tume ya uchaguzi wa taifa nec naitwa livinus mutasingwa nipo mkoa kagera wilaya muleba nimehitimu kidato cha nne katika shule ya secondary ya nyanshenye mkoani kagera na kuhitimu chuo stashahada ya IT mkoani kagera ninauwezo wa kuweka mfumo mpya kwenye computer na kutoa mfumo ambao unashindwa kufanya kazi ninauwezo wa kurekebisha bvr kit kwa umakini kwa upande hardware na software niliweza kushiriki katika zoezi la kuboresha daftari la kupiga kula mwaka 2015 Kama muendesha mfumo ( operating system machine) na kushiriki katika zoezi la kuandikisha vitambulisho vya urai nida Kama ( Data entery)2018-2019 kutoka na uwezo ambao ninao wa IT nilipatiwa nafasi ya kuwa IT msaidizi katika zoezi Hilo kwa upande wa software na hardware Naomba ombi langu lipokelewe kwako msimamizi wa taifa. Ndimi Livinus Mutasingwa kwa mawasiliano 0753655022
Nimehitimu kitado cha NNE 2013.Nasoma degree ya INFORMATION TECHNOLOGY kwenye Chuo cha Taifa NIT.Nina uwezo wakutumia Microsoft Word package power point,Excel na program nyingine.
Nina miaka 25 naomba fursa hii kwa mjibu was katiba ya Jamhuri ya mungano wa Tanzania.
Nna miaka 22 nilihitimu kidato cha nne naomba hi fursa
Naitwa Alexius Bernward Sanga,ni kijana mwenye umri wa miak 25 na nimtanzania kwa kuzaliwa pia nimehitimu elimu ya sekondari(upili wa chini na upili we juu ) katika seminari ya stella matutina lighano mkoani Ruvuma na nimehitimu mafunzo ya ualimu katik chuo cha serikali cha Mtwara Ufundi mwaka 2019 mei,hivyo napenda kuomba nafasi ya kazi ya muda katika nafasi tajwa katika Tume ya Uchaguzi kwasababu, sifa vigezo vyote ninavyo na nitafanya kazi kwa stadi na weledi mkubwa kwa manufaa ya Taifa letu. Natumaini ombi langu litakubaliwa, ndimi katika ujenzi wa Taifa Alexius B sanga. namba ya simu 0752109702 na barua pepe [email protected]
naitwa RESPICK MASSAWE, muhitimu wa elimu ya four four 2011. pia nauzoefu wa computer na udereva. naomba kazi yoyote ya muda katika tume huru ya uchaguzi. niko tayari kufanya kazi popote na mazingira yeyote hapa TANZANIA. mawasiliano yangu ni 0782296641
Habari za kazi kwa majina naitwa FRANCIS EDWARD ni mkazi wa kijijini cha Rorya wilaya ya Rorya mkoa wa MAra.ni Mwanafunzi wa mwaka wa tatu chuo kikuu cha Dodoma nasoma Bachelor degree in project planning management and community development. Nina umri wa miaka 23
Ninaomba kazi ya mda mfupi katika tume ya uchaguzi NEC (kama ilivoandikwa kwenye tangazo) kwa sababu sifa zote zinazohitajika ninazo.
Wako mtiifu.
habari..naitwa goodluck nazareth ilomo,ni muhitimu wa kidato cha sita mwaka 2019.naishi tanga.Nina akili timamu na uwezo wa kufanya kazi katika mazingira yoyote nchini..mawasiliano 0768250752 email [email protected]
Hongera kwa majukumu mnaoendelea nayo.
Naitwa Emidius Erasto Kabingwa nimehitimu kidato cha nne mwaka 2011 katika shule ya sekondari Ruhinda iliyopo Nyaishozi Mkoani Kagera Tanzania.
Nimehitimu chuo cha mafunzo ya Biashara ngazi ya cheti fani ya uhasibu mwaka 2013 ninajua kutumia kompyuta vizuri ninajua kusoma kuandika na kuongea lugha ya kiswahili na kiingereza.
Ninao uzoefu wa kazi za uhasibu kwa miaka minne iliyopita, naomba nafasi ya kazi ya muda kama ilivyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Niko tayari kufanya kazi yoyote nitakayopangiwa kulingana na mtakavyoona nafaa kwenye nafasi flani, ninaahidi kufanya kazi kwa ushirikiano mkubwa na kujituma zaidi kufikia malengo yanayokusudiwa na Tume.
Nitashukuru ombi langu likifanyiwa kazi, nawatakieni kazi njema.
Naitwa Andronico Lucas Mabwai ni muhitimu wa mafunzo ya ualimu katika chuo cha ualimu ufundi mtwara ngazi ya cheti, Napenda kuomba kazi ya muda katika nafasi tajwa katika Tume huru ya uchaguzi.sifa na vigezo vilivyohainishwa ninavyo na nitaifanya kazi kwa ubora na weledi mzuri. Nitafurahi kama ombi langu litakubaliwa.Namba zangu za simu ni 0745915300 na 0689325375. Ahsante
My names are Hawadh Najibu, I am persuing my bachelor degree in education in my final year of studies at The University Of Mwalimu Nyerere Memorial Academy(Dar es salaam).I kindly request to be one of the temporary employees at the National Electoral Comission(NEC) with the best reagards in compitences of public speaking and small group supervision.
Contact :0743296515
E-mail:[email protected]
Emidius Erasto Kabingwa
Mawasiliano yangu na. 0756224189 au 0682210142
email address na. [email protected]
Naishi Bukoba Kagera Tanzania.
Naitwa Adroster Gregory kashaba nmehitimu nmehitimu diploma ya maendeleo ya jamii.mkazi wa Kagera nna akili timamu ya kufanya kazi mkoa wowote. Na nna umri wa miaka 24 pia nna uzoefu kwa kompyuta, Nitakushukru endapo ombi langu litakubaliwa
Mawasiliano 0782417916/0744409873
Naitwa Denson kapenya barnaba nikijana mwenye umri wa miaka 20 nimehitimu wa elimu ya sekondari upili wa chini katika seminary ya St. Benedict namupa mkoani Lindi na nimehitimu katika chuo cha ualimu cha serikali mtwara ufundi mwaka 2019 hivyo napenda kuomba nafasi ya kazi ya muda katika nafasi tajwa katika tume ya Taifa ya uchaguzi kwasabu sifa na vigezo ninavyo na nitafanya kazi kwa sitadi katika mazingira yoyote.Ndimi katika ujenzi wa Taifa Denson kapenya barnaba namba ya simu 0629084792 or 0746419845 barua pepe [email protected]
I am pursuing bachelor of arts in economic at Ardhi university. am good in public peaking and good in swahili langauge also in some computer software like spss and stata. Hope my regards will be consider thank you.
My name is kiboko juma mdudusa I graduated soya secondary school 2013 and I graduated high level at karatu secondary school 2016.Current I pursuing bachelor of science with education specialized in mathematics and computer science at university of dar es salaam.I’m good at public speaking and Microsoft usage. Confidently am cooperative and I believe in team work
Hope I will be considered
Email:[email protected]
Phone: 0685444988
Best regards
Naitwa Emmanuel Aanthony kilawe ni muhitimu wa chuo cha ufundi stadi VETA Naomba kazi ya muda ya ya uandikishaji wa daftari la kudumu la wapigakura.
Ni matumaini yangu ombi lqngu litafanyiwa kazi.
0714001705
0768050009
Ninaitwa Innocent Isidori.nimehitimu kidato Cha nne mwaka 2006 katika shule ya Sekondari Kasulu.simu no.0763627910.
Naitwa MASANGA MSAFIR, ni mhitimu Elimu chuo cha ualimu morogoro Diploma sayansi 2019
naomba nafasi hii uandikishaji wa wapigaji kura katika daftari la kudumu la wapigaji kura katika mwaka huu wa uchaguzi
naimani ombi langu litapokelewa vizuri ahsanteni
Phone: 0763338775
:0620502037
Am erick mbuya from moshi am looking for temporary work
My contact 0754608457
My names are SELEMAN AZIZI MALEKANO i completed form six education at MADABA SEC SCHOOL(RUVUMA-SONGEA) during 2014, Am good in speaking and writing english and swahili languages also am good in using computer. Therefore i am interested on temporary work at NATIONAL ELECTORAL COMMISSION(NEC)
Call 0628083793
0767934633
WISH YOU ALL THE BEST THANK YOU
My names are Barnabas Mago Lukoyoyo,i was born in 1993 in Tarime District and Mara Region I have a diploma in Law which i acquired at Institute of
Judicial Administration Lushoto.I am interested to apply in response for the post of temporaly job in your Institution,National Electoral Commission(NEC).
Contact: 0621488148
0654866727
Naitwa daima shemweta nina diloma ya kilimo na mifugo ninauzoefu na kusimamia daftari la kupiga kura kwa mda nitakuwa mwaminifu katika kazi hiyo naombeni mnipe nafasi 0755678147/[email protected]
Yah maombi ya Kazi katika tume ya taifa ya uchaguzi na mimi ni mhitimu wa kidato cha NNE ninaeweza kutumia computer kwa husahihi na ni mzalendo wa nchi yangu naimani nitapata Kazi namba yangu ni 0769025918
Naitwa daima abdala shemweta nina diploma ya kilimo na mifugo kijana mtanzania ninauzoefu na mambo ya daftari la kusimamia la wa piga kura katika kuingiza taarifa za kira raia nitakua mwaaminifu katika kuifanya kazi kwa bidii naombeni nafasi 0755678147/[email protected]
Naitwa Irene bagwelwa ni mhitimu wa form six mwaka 2018 naomba Kazi katika time ya taifa ya uchaguzi ni mzalendo na mtanzania halisi naimani ntafanikiwa namba yangu ni 0714845639
Naitwa peter kishe ni Mtanzania nina miaka 22 ni mhitimu kidato cha sita nwaka 2018 niko tayari kufanya katika mazira yeyote
0743487646.
Hiyo job ya Nec jamani niugeni ,,,nmb ygu 0623333813
am ready to the work at any area
my name is Dickson am a graduate of diploma for commercial agricultural and animals production plus certificate of veta for horticulture crops and am competent on terms of computer use, data recording so I need your appreciation and am believe that my dreams it will be completed for you thanks. my contact number is 0622102493
Kwa majina nahitwa Arnold M. Emmanuel. Nimehitimu mafunzo ya ualimu katika ngazi ya stashahada kutoka chuo cha ualimu Murutuguru mwaka 2018.
Kwa sasa nipo mkoa wa mwanza, wilaya ya nyamagana.
Naomba kazi ya uboreshaji na uandikishaji wapiga kura katika daftari la wapiga kura.
Ninao udhoefu wa kutuimia komputa, katika maswala ya hardware na softwreare pamoja na kuinstall programu zote za komputa muhimu. Pia nitakuwa mstari wa mbele kuakikisha natoa msaada wangu na uzoefu wangu wote katika matumizi na kutengeneza komputa. Mimi ni mtanzania mwennye uzalendo wa kudumu na wa kushirikiana na wafanyakazi wote kwa ujumla.
Natumaini ombi langu litakubali.wako katika ujenzi wa taifa
Napatikana kwa namba 0674780487 au kwa e-mail, [email protected].
my name is said Muhammed I live at Zanzibar I have completed my bachelor degree of procurement and logistic I well in computer program I ask for this temporary work bcs I have experience from the past election (2015). I hope u will consider me in this application my phone no are 077328902, 0655289502
Naitwa Paul Emmanuel Lendita wa Longido. Nilihitimu kidato cha 4 Longido Sekondari mwaka 2002 na Chuo cha Biashara na Uhasibu Arusha 2005. Nimeshiriki shughuli za Tume mara nyingi ktk Wilays ya Longido. Hata BVR nilifanya. Mawailiano yangu ni
0768910680 au
062396183.
Tuongezee muda walau mpaka jumanne to. 03 june
Tuongezee muda walau mpaka jumanne tarehe 03 june,nimechelewa kuona tangazo na mazingira niliyopo umeme unakatika weekend, utumaji utakuwa mgumu.asante
Naitwa Jackson lweganwa ni kijana nilie katika level ya chuo na Nina experience na kazi hiyo kwa zaidi ya mwez mzima kwani nilizunguka na machine izi kipind Cha uchaguzi mwaka 2015 huku mwanza
[email protected] ndo email yang au 0757089472
Kwa majina naitwa james cosmas nina miaka 20, nina elimu ya kidato cha nne, nimeona habari ya kazi za muda (temp job), naomba nafasi.
Naitwa zuhura mbuma nimehitimu shahada ya Kwanza ya ualimu. Namba yangu 0672675436
Jina langu Kelvin Ibrahim John ni muhitimu wa mafunzo ya TEHAMA katika chuo cha Mwalimu Nyerere Dar es salam ngazi ya cheti, Napenda kuomba kazi ya muda katika nafasi tajwa kwenye Tume huru ya uchaguzi.sifa na vigezo vilivyohainishwa ninavyo na nitaifanya kazi kwa ubora kuendana na maelekezo nitakayoelekezwa wakati wa kazi. Nitafurahi kama ombi langu litakubaliwa. Namba zangu za simu ni 0627201754. Ahsante.
Reply
Vyemaaaa
My name is Evaline James shabani am a graduate for animal health and production. I want temporary job in any department I promise I will do better and I will make sure I follow the instructions
Contacts; 0679021138,, 0756688149
OMARY J.MBWANA
S.L.P 6054
DAR ES SALAAM
01/06/2019
MKURUGENZI WA UCHAGUZI,
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI,
S.L.P 10923, DAR ES SALAAM.
Ndugu,
YAH: MAOMBI YA KAZI YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Kichwa cha habari hapo chahusika.
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 37.
Elimu yangu ya juu ni stashada ya juu katika TEHAMA.
Ninaomba kazi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa kuwa ninakidhi vigezo vinavyotakiwa na nina uwezo wa kutumia kompyuta na kutambua matatizo ya kompyuta hardware na software na kuyatatua pamoja na ku-install program za kompyuta na kutoa msaada wa kiufundi wa TEHAMA kwa watumiaji.
Ninaambatanisha barua hii pamoja na nakala za vyeti vya mafunzo pamoja na wasifu wangu.
Ninatumaini maombi yatakubaliwa.
Ahsante.
Wako katika utumishi wa taifa,
OMARY J.MBWANA
MOB:0655333288/0742313175/0718064964
MAIL:[email protected]
Naitwa Airini Stephan Kilave naishi Dar es salaam ,Nimehitimu kidato cha Nne 2013 na kujiunga na chuo cha DAR ES COMPUTING CENTER -DAR ES SALAAM 2014.
Ninauzoefu wa kutumia komputer vizuri kabisa na nina uwezo wa kufanya kazi kwa waredi kabisa
Naitwa Airini Stephan Kilave naishi Dar es salaam ,Nimehitimu kidato cha Nne 2013 na kujiunga na chuo cha DAR ES COMPUTING CENTER -DAR ES SALAAM 2014.
Ninauzoefu wa kutumia komputer vizuri kabisa na nina uwezo wa kufanya kazi kwa waredi kabisa. [email protected]
Interested
Naitwa Kimila John naishi Mwanza, Nimehitimu chuo kikuu mwaka 2017 fani ya UALIMU.
Ninauwezo wa kutumia computer vizuri Sana na nko tayar kufanya kazi katika mazingira yoyote.
I’m Habibu Rajabu Kibwana,from Dar es salaam, Ubungo municipal, I’m 22 years old, my education level’s form four,my hopes of the reference of above shall be awesome, thank you…your honest…Habibu R Kibwana..0714381581
Naitwa Isaac Mrema Ni mhitimu Wa cheti cha juu cha uandishi wa habari naomba kazi ya muda ya kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura.ahsante
0625-941969
Naitwa Mwalimu Henry Matemanga nipo Nzega ninao uzoefu wa kutumia computer pamoja na kutumia BVR.Hivyo naamini ntaifanya kazi kwa umakini zaidi.
Naitwa idd salum kumchenga,nimehitimu kidato cha nne mwaka 2014.ninajua kusoma na kuandika kiswahili na kiingereza,ni mchapa kazi nina weza kutumia kompyuta vizuri 0782233707
Jina langu naitwa Leonard Moris Shekalage Naomba nafasi ya kazi ya Muda ya Uandikishaji,Nina Uzoefu na kazi hiyo nilisha wahi kuajiriwa kama BVR OPERATOR2015,Nipo wilaya ya Nzega Tabora simu yangu 0688886770 natanguliza shukran
Naitwa Theresia Donard Kayamaba,mkazi wa wilaya ya Nkasi Mkoa wa Rukwa Tanzania.Mimini muhitimu wa elimu ya juu (chuo kikuu) katika kada ya usimamizi wa ardhi na usaminishaji,naomba nafasi za kazi kwa muda katika uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kula kwani ninauzoefu wakudumu na matumizi ya computer.
Asante kwa kuwa maombi yangu yatafanikiwa.
wako mtiifu
Theresia kayamba
0743836419
Naitwa ERICK E NTONGANI mkazi wa Mara manispaa ya musoma mjini ni mwanachua mwaka wa kwanza katika chuo Kikuu Ardhi kada ya Land Management and Valuation.Naomba kujotolea katika kazi hii ya muda ya uchaguzi kwani ni mzoefu katika matumizi ya computer na Muhudumu mwema kwa raia wa Tanzania.
Natumai maombi yangu yatakubaliwa wako mtiifu ERICK E NTONGANI
0656433974
Am PRISCA LUCAS I taking diploma in TIA am look for a job temporary contract: 0765475214
Email: [email protected]
I am pursuing Bachelor of art with education at Saut university. Am seeking for temporary job.
0755478331
My name Is Issabela G Sanga ,i have a bachelor degree in project planning ,management and community development ,I request for the temporary job.Thanks .phone no 0757767422
I am Issabela Sanga ,request for the temporary job ,I have degree in project planning ,management and community development from university of Dodoma at 2013.thanks .my no .0757767422/0716743599
My is mark blasi still am learning (university student)bachelor of phy & ict i need tempo work and I believe in tem work (together we can and we reach our goals)my whatsap no 0656229570
ninaitwa joyce swai,nimehitimu elimuvya sekondari 2014,nina miaka 22,pia nina ujuzi katika mambo ya afya,ninaomba kazi za muda katika uboreshaji wa daftari la wapiga kura,naahidi kufanya kaz katika mazingira yoyote
no 0656278635
Naitwa Christina Nchimbi naishi temeke dar es salam nina elimu ya kidato cha nne pia nina uzoefu wa kompyuta na matumizi yake.Naomba nafasi ya kazi katika uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura.Natanguliza shukran zangu za dhati. 0769759207
Naitwa ALLY M HAMADI Mkazi wa Halmashauri ya Chalinze ni Elimu yangu Kitato cha nne mwaka 2013 pia nmehitimu mafunzo ya computer sertificate chuo cha Msakamary institute. Napenda kuomba kujitolea katika kazi hii ya muda ya uchaguzi kwani ni mzoefu katika matumizi ya computer
Natumai maombi yangu yatakubaliwa wako mtiifu ALLY MUSTAFA HAMADI
No 0714873758
Naitwa ALLY M HAMADI Mkazi wa Halmashauri ya Chalinze Wilaya Bagamoyo, Elimu yangu Kitato cha nne mwaka 2013 pia nmehitimu mafunzo ya computer sertificate chuo cha Msakamary institute. Napenda kuomba kujitolea katika kazi hii ya muda ya uchaguzi kwani ni mzoefu katika matumizi ya computer
Natumai maombi yangu yatakubaliwa wako mtiifu ALLY MUSTAFA HAMADI
No 0714873758
Naitwa Tabitha Fulmence, nimehitimu chuo mwaka2018 fani ya ualimu.Naishi mbagala Daressalaam. Nina uzoefu wa komputa na program zote.Naomba nafasi ya kaZi katika zoezi la uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura.0763999324
Naitwa Muslad Abdu Kasisila nimehitimu kidato cha sita mwaka 2019.Nina ujuzi wa masomo ya Tehama niliyoyapata katika shule ya sekondari bwawani na nikaitimu mwaka 2016.Napenda kuomba kujitolea katika kazi hii ya muda ya uchaguzi.Natumai maombi yangu yatakubaliwa wako mtiifu Muslad A Kasisila
No 0753150764
Naitwa Samuel Josso, Nimemaliza chuo
Naishi Mbeya-Rungwe,
Namba yangu: 0756395423
Kwa Jina naitwa Kamuli L Leonard ninaishi magu Mwanza nimehitimu kidato cha nne 2014Mwanza na sita 2017(Bariadi) pia nimehitimu sitashahada ya uwalimu wa Sayansi na hisabati 2019Tanga naomba nafasi ya kazi ya Muda ya Tume ya Uchaguzi mawasiliano 0764823328/[email protected] Ahsante.
Naitwa neema chaula naishi mbeya ninaelimu ya form six..nahitaji kazi ya muda..ninauwezo wa kufanya kazi kwa mujibu wa vigezo..Asante
Naitwa Louis Yatonella Mrisho no mwanafunzi mwaka wa king anza katika chuo kikuu cha DODODOMA.
Ninaomba kazi ya muda hasa kwa kipindi hiki ambacho tunaenda likizo. Nitakuwa tayari kufanya Nazi sehemu yoyote ile na kwa mazingira yoyote Yale. Ahsante
Namba yangu in 0743359465
[email protected]
Naitwa Louis Yatonella Mrisho in mwanafunzi mwaka wa kwanza katika chuo kikuu cha DODOMA natokea Mbeya. Ninaomba kazi ya muda mfupi hasa katika kipindi hiki ambacho tunaenda likizo. Nitakuwa tayari kufanya kazi katika mazingira na maeneo yoyote nitakayopangiwa.
Ahsante.
0743359465
[email protected]
Naitwa mkwavi kikwesha,mwalimu wa sekondari,nafanya kazi kilimanjaro,naomba kufanya kazi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura,ninauzoefu nilifanya kazi hio 2015 kama bvr kit, mawasiliano [email protected] 0629949437
Naitwa hamisi haimsi mwalim nafanya kazi kilimanjaro moshi, ninaomba kufanya kazi ya uboreshaji wa daftar la kudum la wapigakura.nilifanya kazi hio 2015 kama bvr kit.mawasiliano 0625666348
Naitwa LINDA KENNEDY
ni mwanafunzi wa shahada ya
kwanza katika taasisi ya
uhasibu Tanzania (TIA).Natokea
mkoa wa kilimanjaro. Naomba
kufanya kazi katika uboreshaji
daftari la kudumu la wapiga kura
Ahsante.
Naitwa janeth Joseph mbena,naishi dar es salaam,miaka yangu 21, elimu yangu kidato Cha sita, nilimaliza kidato Cha nne 2015 pia kidato Cha sita 2018,naomba kazi katika tume ya uchaguzi ,nitaweza kwa mazingira yoyote,. Kwa mawasiliano 0753587716.
[email protected]
Naitwa Clementina claud songo, naishi dar es salaam, miaka yangu 22, elimu yangu kidato Cha sita, kidato Cha nne nilimaliza 2014, kidato Cha sita 2017,naomba kazi katika tume ya uchaguzi ,kwa mawasiliano 0713175697.
Naitwa Joseph J.Kaboyoka,nimezaliwa Tarehe 18.10.1987, Ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Lutozo Geita, Nina uzoefu mkubwa sana na Matumizi ya Kompyuta. Naomba Nirashukuru endapo nitaipata nafasi hii.
Mimi lapson mbughi mwakapughi nipo mbeya no mtaalamu wa kutumia kopyuta na pia hii nitaaluma yangu nimeitimu mafuzo yangu katka chuo cha st agrey chuo cha mbeya
mimi naitwa Kelvin leonard,ni kijana mwenye umri wa miaka 25 natokea morogoro,kihonda.Elimu yangu ni diploma ya uhandisi mitambo lakin pia naweza kutumia kompyuta na kuifanyia matengenez madogo mdogo.Sifa nnazo naimani nitapata ajira hiyo
My name is bhoke Charles manyama. I am a student of Tumaini University Dar es salaam College.
I am looking for temporary job
Naitwa diana… Nmehitimu kidato cha nne mwaka 2015 pia nmehitimu mafunzo ya computer naishi dar es salaam, temeke
Ninaomba kazi katika tume ya uchaguzi na ninaweza kufanya kaz katika mazngira/muda wowote bila uangalizi/usimamizi.
Kwa mawasiliano 0674731666/0787467388
Naitwa diana… Nmehitimu kidato cha nne mwaka 2015 pia nmehitimu mafunzo ya computer naishi dar es salaam, temeke
Ninaomba kazi katika tume ya uchaguzi na ninaweza kufanya kaz katika mazngira/muda wowote bila uangalizi/usimamizi.
Kwa mawasiliano 0674731666/0787467388
[email protected]
Ahsante.
I am Eliza Shitindi,am living in Songwe region, also I’m university student of SAUT, Am looking for temporary job. Thanks
My Email address is elizabethvenice23 @gmail.com
Kwa majina ninaitwa Eliza Shitindi ninaishi Mkoa wa Songwe, pia ni muhitimu wa chuo kikuu cha SAUT. Ninaomba kazi ya Muda ya kusimamia zoezi la upigaji kura kwa kuzingatia kanuni na taratibu zilizopangwa na serikali Ahsante
My name is Mchau Adrian. I am a student at university of dodoma.
I am looking for a temporary job
I am Bernad Wilson. I am currently pursuing a bachelor degree in accounting at the University of Dodoma. I am requesting for a temporary job at NEC.
REF:APPLICATION FOR TEMPORARY JOB AT
NEC.
I am james ngatunga aged 24 years old, with Bachelor Degree in Environmental Planning and Management from Institute of Rural Development and planning.
I applying this temporary job at NEC hence have professionals,skills in using computer.
contact:0717072096
Email: [email protected]
I’m Katatwire Darius, a first year student in master degree at university of Dododma, a request for the temporary job and i promise to work in any environment. I hope my request will be considered.
CONTACTS;
email: [email protected]
Phone: 0762107650
I am Bakari HUsseni.I’m studying the Bachelor degree of procurement and logistic management at university of dodoma,I’m looking for the temporary job at NEC.
CONTACT;
PHONE;0756468654
I’m Veronica Peter I’m living at Kasulu town council,im requesting a temporary job at nec my contact 0745389561
I’m Bertha Burra I’m living at Kasulu town council I’m requesting a temporary job at NEC,my contact 0758052889
My name is Hassan Yassin am looking for temporary job in NEC my education level is ordinary diploma in civil engineering I wish to work hard and I have a knowledge of computer application.
Kwajina naitwa HUSSEIN MOHAMED MSONGO nilihitimi kidato Cha nne 2013 baada ya happy nilijiunga na chuo Cha taifa chausafirishaji NIT Na kupata cheti Cha Diploma in logistics and transport. Naomba nafasi ya kazi yamuda tume ya taifa yauchaguzi katika mkoa wa Dar es salaam naomba kuwasisilisha.# 0752228035
Kwa jina naitwa Abuu Iddy kalega, nimehitimu kidato cha nne mwaka 2010 baada ya happy jikajiunga na chuo Cha Taifa chausafirishaji NIT Na kutunukiwa cheti diploma in logistics and transport. Naomba nafasi ya ajira yamuda tume ya taifa ya uchaguzi mawasiliano 0713394281 naomba kuwasilisha
Naitwa FRANK KHAMIS naishi mkoa wa SONGWE nimehitimu chuo kikuu dar es salaam pia ninaujuzi wa compyuta naomba nafasi ya ajira ya muda tume ya taifa ya uchanguzi mawasiliano 0678203053
Naitwa Matokeo Rashidi Ally naishi mikumi wilayani kilosa mkoa Morogoro naomba kufanya kazi ya kuboresha daftari la kudumu la mpigakura nilifanya kazi na time ya uchaguzi mwaka 2015 na kusimamia uchaguzi elimu yangu kidato Cha nne pia ninataaluma ya teknolojia ya habari na mawasiliano TEHAMA ninauzoefu mzuri na BVR.Mawasiliano 0767469978 au 0714103490
Kwani anwani si imetolewa hapo kwenye tangazo, mbona watu wengi wanatuma maombi humu, Mbona siwaelewi vijana wenzangu!
My name is frank jailos i have experience of using computer and to solve problems facing computer so that i need the job plese comtact 0755227305/0656256061
Naitwa salum shaban nimeitimu kidato cha nne mwaka 2015 ninauzoefu wakutumiya computer kwa uweledi mkubwa napenda kuomba nafasi ya kazi katika kuwa hudumiya wananchi wetu wote kuakikisha wanapata vitambulisho nitowe shukrani zadhati na ahsante mungu awabariki katika kujenga taifa
i am capable of doing that job
Please check me through these numbers 0693157221.ThankYou
naitwa Emmanuel kiberiti ,nimehitimu elimu ya sekondari mwaka 2016 , katika shule ya sekondari ikola, naomba KAZI ya muda mfupi katika tume ya uchaguzi.pia nimzoefu katika matuzi ya komptuta .
Naitwa Penina Emanuel naomba kazi ya muda mfupi Nina uzohefu wa computer vizuri pia ni mwalimu wa primary ngazi ya diploma, Asante 0742544819