Wednesday, May 14, 2025
HomeREMOTE JOBSJob Vacancies at The Children’s Dignity Forum (CDF)

Job Vacancies at The Children’s Dignity Forum (CDF)

The Children’s Dignity Forum (CDF) is a voluntary, private, non-governmental, non-partisan and non-profit-making Civil Society children’s rights organization based in Dar es Salaam as its headquarters, founded and registered in 2006 under the NGO Act No. 24/2002. CDF has Sub Offices in Mara and Dodoma Regions.



The CDF’s work is geared towards producing a select range of high-visibility products on children’s issues with a view to influencing public attitudes and policy and building the capacity (on legal and human rights issues) of child-focused organizations in Tanzania. It provides a forum for dialogue and discussion on issues affecting children. It seeks to explore new and contentious issues that affects. CDF “put children FIRST” in all aspects of its work.

 

Job Vacancies and more details






Dr.Galus Tarimo
Dr.Galus Tarimohttps://www.unistoretz.com
Dr. Galus is a Medical Doctor who is licensed, registered, and allowed to practice medicine as a General Practitioner by the Medical Council of Tanganyika (in Tanzania). A master’s degree student enrolled at WU-California pursuing an MBA in Healthcare Administration. Dr. Galus has more than 4 years of experience in Blogging, Copywriting, and Search Engine Optimization (Google SEO) based on healthcare-related articles, financial market analysis, and educational content
RELATED ARTICLES

203 COMMENTS

      • Naitwa Maureen Ngasala Nina certificate ya journalism ,Nina uzoefu kwenye customer care and sales,ningependa kufanya Kazi nanyi kwani ninavigezo mnavyovitaka ili kufika malengo ya kampuni ,asante nitafurahi kufanya nanyi Kazi

        Maureen Ngasala
        Contact 0652557060
        ,0767460688

        • Naitwa Elick Anania naishi dar ni dereva nina uzoefu miaka 9 nimehitimu chuo cha usarishaji NIT cose ya vip nipo tayari kufanya kazi popote tanzania kwa uaminifu mkubwa na ueledi mkubwa wa kazi ya udereva pia ni fundi magari hivyo gari nalijua kwa mawasiliano zaidi 0713503527 _0754353798

          • Naitwa laurence msuya naishi dar n dereva nina uzoef wa miaka 30 nina lesense ya 1988 dar nina chet cha usafieishaji NIT cose ya PSV niko tayar kufanya kaz ndan ya dar na nje pia 0677005845 /0787700717 /0625567062

            • Naitwa laurence msuya n dereva nina uzoef wa miaka 30 nina lesense ya 1988 nina PSV ya NIT kw mara ya mwisho nimemaliz mkataba kwenye NG’O iitwayo ICAP (MSPH) mikochen B. 0677005845/0787700717 0625567062 /0717700717

      • Hello,
        Am Benson Moshi.
        I have attended BACHELOR OF EDUCATION IN PSYCHOLOGY .
        I request job vacancy at your company, I will be committed to the assigned tasks .
        I will attach my curriculum vitae below.
        Thanks.

    • Naitwa Bertha Boniphace Nina astashahada ya maendeleo ya Jamii Nina uzoefu wa kazi yenu Kwa sababu nimeshawahi kufanya kazi ya usimamizi wa haki za mtoto kwenye shirika la world vision Na nina jiamini nitafanya Kwa moyo wangu wote , mtoto ni ngao ya Jamii ni lazima tumlinde mana ni Taifa a kesho

      Nitafifurahi sana endapo ombi language litakubariwa
      Namba yangu 0757353706

    • Naitwa Ritta Ni muhitimu Wa shahada ya sayansi ya jamii, Nimefanya kazi katika kituo cha watoto Amani na Rafiki Mjini Moshi na kumaliza mkataba. Napenda kufanya kazi pamoja na ninyi kwenye shirika,asante.

  1. am a graduate studied bachelor of art with education,am ready to work at any place allocated with all my heart

    • My name is nicodemo charles from mwanza i have graduate nursing and midwifery im already to work in any place acording to the anouciment i have an experience on how to care children iwil happy if my request will be accepted
      My contact 0763352825
      Email [email protected]

        • Naitwa datus mpemba ni dreva nauzoefu wa mda miaka 6 pia mafunzo yangu nmepita chuo cha usafirishaj elimu yangu kidato cha nne hvyo naweza kufanya kaz sehem yyte ntakayo pangiwa

      • Am Tanzanian girl ,42yrs old with a xprience on work as community mobilization and worker,with good achievements, as we can see through PASADA project and other NGOS here in DSM.Am happy to join my effort and knowledge in CDF .Thank you

  2. Mimi Yasini Salimu nipo tayari kufanya Kazi kwa uaminifu na uadilifu.Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita katika mchepuo wa HGE(History, Geography na Economics). Asante

  3. Mimi medard kulwa mayala nimehitim community health worker niko tiari kafanya kazi kwa uaminifu.
    Kwa mawasiliano zaidi 0652056262/0625918242
    Napatikana kahama shinyanga

  4. Mimi Haitham Juma Khamis kutoka Zanzibar , nimehitimu fani ya ustawi wa jamii, nmuaminifu nipo tayari kufanya kazi na nyinyi kwa uadilifu. kwa mawasiliano 0656681214

  5. Mimi ni kijana wa miaka 22 nimeitiu Chuo cha veta ni dereva mzuri naomba nafasi ya kazi na Niko tayari kufanya kazi kwa bidii na uhaminifu no zangu za cm ni 0717214278

  6. A am graduate studied of form six
    And I have an experience councen with children because I have already work in non government company of Childcare
    I believe I will use my experience to work even in this
    Thank you

  7. Hellen Thomas Mpumi. Nimehitimu mafunzo ya Afya Ngazi ya jamii, Kutoka Tabora Manispaa, Nina umri wa miaka 25.Ninauzoefu Na kazi kwani Nina miezi 10 najitolea katika Zahanati . Npo tayari kufanya kazi popote kwa uaminifu Na uadilifu. Hivyo Naomba nafasi ya kazi katika Taasisi yako Ahsante.

      • Sorry how to submit the curriculum vital and other details.Through which email to use for sending application?

        • My name is khamisi athumani ramadhan from katav , l have graduate in diploma of animal hearth and production. Am already to work in any place according to the announcement. I have experience to care the children. I will happy if my request will be accept
          My contact 0784206090 or
          0678624078
          Email.. [email protected]

      • My name is theodotha mtenga i have completed my diploma of secondary education and i am willing to work on this job and i will do with all my heart my phone number 0745974797

        • Flora Charles ,nimehitimu fani ya maendeleo ya jamii ngazi ya diploma ,na Nina uzoefu wa kufanya kazi kwani nmeshawahi kufanya kazi na shirika LA vijana la rest less ,ahsante.no.0744689133

  8. Naitwa Amani Henry
    Nimehitimu Kidato Cha sita
    Ninaomba nafasi katika taasisi yako
    Kwa maan Nina uzoefu nilishawahi fanya kazi kwenye shirika la watoto la childcare association
    Hivyo naamin nitafanya vyema
    Asnteee.

  9. Kwa mbona naitwa At human Mohamed
    Ni kijana wa miaka 29 nimehitimu kidato cha nne pia Nina elimu ya ufundi umeme VETA, HOTEL MANAGEMENT pamoja NA udereva pia.
    naahidi kufanya kazi kwa bidii endapo nitapatiwa nafasi katika kampuni hii.
    0714 923 989

  10. Am OPERE WILLIAM, I have pursued barchelor of science with education, kindly am looking for the posted position.

  11. Naitwa siwema devidi fungo nimehitimu mafunzo ya Afya(medical attendant) naninauzoefu wakazi kwanin nimejitolea mwaka mzma katika hospital na Nina certificate ya computer program naomba nafasi yakazi katika ofisi yako nipo tayari kufanya kazi popote mawasiliano:0763678508/0621052398.

  12. Naitwa Agness Peter nmehitimu astashahada ya muhudumu wa afya ngazi ya jamii(community health worker)ninaweza kufanya kazi kwa bidii
    Simu:0757051579

  13. Naitwa Martha Mwashiuya Nina Shahada ya Jinsia na Maendeleo ya Jamii , Nipo tayari kufanya kazi kwa bidii, uaminifu na weredi katika sehemu yeyote. Naomba nafasi ya kazi katika yako. Ahsante

  14. Mimi ni siwema devidi fungo Nina certificate ya afya(medical attendant Nina miaka 23 nintokea njombe makete,ninauzoefu wa kazi kwanin nmejitolea kwa mda mwingi hospitali pia Nina certificate ya computes program. Naomba nafasi yakazi katika kampuni yako nanipo tayali kufanya kazi popote asante.simu:0763678508

  15. Siamin kama ww ni msomi alafu unakoment hapa kuomba kazi. Wakati unaona kabisa tangazo linasemaje na jinsi ya kuomba kazi inakuaje..sasa hapa labda unawaomba unistoretz wakuajili wao.

  16. Hellen Saneth n mhitimu wa kidato cha sits mchepuo wa combination y CBG Mimi nipo tayari kufany kazi sehemu yeyote hata kujitolea mda wowote naomben nafasi

  17. Hellen Kamili Saneth n mhitimu wa kidato cha sita mchepuo wa CBG,ninaomba kufany kazi n nyie hata kujitolea mda woote,kw mawasilian n 0756743611

  18. Hellen Kamili Saneth n mhitimu wa kidato cha sita mchepuo wa CBG,ninaomba kufany kazi n nyie hata kujitolea mda woote,kw mawasilian n 0756743611

  19. Kwa majina naitwa Phoibe Shango Ernest Nina elimu ya chuo kikuu (bachelor of science in education),Naomba nafasi ya kufanya Kaz pamoja na wewe nina weledi wa kutosha katika kufanya kazi na pia Niko tayari kufanya kazi mahali popote hapa Tanzania.Kwa mawasiliano 0769394945,0676394945.Naamini Ombi langu litakubaliwa

  20. Naitwa binaisa mwakyusa naishi dar ni DEREVA Nina uzoefu wa zaidi ya miaka mitatu Niko tayari kufanya kazi kwa uwaminifu na nina weledi mkubwa wa wa kazi ya udereva pamoja na utunzaji wa gari namba zangu 071284923
    0746406841

  21. Kwa majina naitwa renatus Sedede Nina stashahada ya uhasibu niko tayari kufanya kazi pamoja na nanyi,kwa mawasiliano simu no, 0758243596.nipo temeke DSM.

  22. Mimi ni Elasto siliro ni muhitimu kidato cha sita mchepuo wa CBG nipo tayar kufanya kazi sehem yoyote ile na mda wowote ule endapo nitapata fursa katika kampuni yako
    0743458459/0686353662

  23. Why do you guys apply through comment section? That is how a person can apply for a job? Please Learn to follow instructions

  24. Naitwa Loveness Msigwa ni muhitimu wa stashahada ya ualimu nipo tayari kufanya kazi kwa uaminifu katika kampun yenu mahali popote ,npo iringa 0745647498

    • Naitwa Emanuel chale.Ninadiploma ya Ualimu sekondari.Napenda kuomba kazi katika kampuni hii, kwani nipo tayari kufanya kazi katika sehemu yoyote ile. Na nitaonyesha ushirikiano mzuri ili kuhakikisha maendeleo ya kazi yanazidi kusonga mbele pamoja na kampuni kwa ujumla
      Kwa mawasiliano no.0766538765

  25. I am Emmanuel Nyoni, I am a young boy of 24 years old. I have completed my studies at National Institute of Transport NIT pursing Bachelor Degree of Education With Mathematics and Information Technology IT
    I am warmly requesting to work at The Children’s Dignity Forum (CDF)” I am confident that my skills, as well as my knowledge regarding my foremost discipline would indeed be an excellent match for this position and qualified to take on challenge that teaching offers.
    you sincerely
    Emmanuel Nyoni
    contact 0684749855

  26. Naitwa festo charles, ni mvulana wa miaka 22 naishi arusha nimehitimu elimu yangu kwa kazi ya diploma katika fani ya maendeleo ya jamii CDTI monduli kilichopo arusha, pia basi nina uwezo wa kufanya kazi katika mazingira yeyote hivyo basi naomba kupatiwa nafasi katika taasisi yenu.

  27. Mimi naitwa joseph jamesa ni umri miaka 24.nina elim ya kidato cha nne hvy nimebahatika kupata certifate ya na nikajitolea kufanya NHIF BIMA YA AFYA kwa mda usio pungua miezi 8 hvy nauzoefu wa kufanya kaz popote nchin no 0719180147..0743666565

  28. Mimi naitwa Shafigha Ali Hussein nina miaka 22 nina elimu diploma hivo nimebahatika kufanyakazi na zanzibar youth forum(ZYF) mamba yangu ya simu 0713602383

    • Cuthbert Joseph Mponda,Nina elimu ya ngazi ya Diploma katika kozi ya Maendeleo Ya Jamii.Nipo Tayari kufanya kazi Sehemu yoyote pale nitakapopangiwa na Mwajiri wangu.
      Email: [email protected]
      Phone Number 0736-443965/0745-443965
      Napatikana Igunga Tabora Tanzania.
      Ahsante

  29. I am Mpulule Esau, I am a young boy of 30 years old. I have completed my studies at institute of social work pursuing bachelor degree in social work. I am warmly requesting to work at the children dignity forum. I am confident that my skills, as well as my knowledge regarding my foremost my foremost discipline would indeed be an excellent match for this position and qualified to take on challenge that teaching offers.
    you sincerely
    Contact 0713046715

  30. Naitwa Efrazia sephania yotham, ni msichana wa miaka 22 naishi kigoma nimehitimu elimu ngazi ya cheti katika fani ya mhudumu Wa afya ya jamii (community health worker) katika chuo cha afya St.Aggrey mbeya, pia nina uwezo wa kufanya kazi katika mazingira yeyote na wakati wowote, nifaurahi sana endapo nitapata nafasi katika taasisi yako. contact 0743855141

  31. My name is Jane pius, persued bachelor of arts with education in Saut University. I have 32 years old. I am warmly requesting to get this position of children dignity. I have experience of child care for 2 years because now I working in child care school. I will be happy if my request will be considered. 0756432549

  32. Naitwa Efrazia sephania yotham, ni msichana wa miaka 22 naishi kigoma nimehitimu elimu ngazi ya cheti katika fani ya mhudumu Wa afya ya jamii (community health worker) katika chuo cha afya St.Aggrey mbeya 2016-2017, pia nina uwezo wa kufanya kazi katika mazingira yeyote na wakati wowote, nifaurahi sana endapo nitapata nafasi katika taasisi yako. contact 0743855141

  33. Naitwa Dizleki Dotto nina umri wa miaka 26 elimu yangu ni kidato cha nne naomba kazi ya udereva mimi ni dereva bora nielepata mafunzo ya udereva chuo cha taifa cha usafilishaji, (NIT) mawasiliano yangu 0712990822

  34. Naitwa yunice o nnko nimemaliza stashahada ya maendeleo ya jamii CDTI monduli Arusha Nina miaka ishirini na moja ninauwezo wa kufanya kazi eneo lolote na kwa ustahiki mkubwa pia ninauzoefu was kutosha kwani nilishawahi kufanya kazi na MPDI na OIKOS NGOs

  35. Efrazia sephania yotham, ni msichana wa miaka 22 naishi kigoma, nina elimu ngazi ya cheti katika fani ya mhudumu Wa afya ya jamii ( community health worker) katika chuo cha afya mbeya 2016-2017, pia nina uwezo wa kufanya kazi katika mazingira yeyote na wakati wowote, natafurahi endapo nitapata nafasi katika taasisi yenu. Contact 0743855141.

    • Mimi selemani nipo bagamoyo nipo tayari kufanya nanyie popote kazi ya udereva nimehitimu chuo cha usafirishaji 0789 187052

      • Mimi selemani nipo bagamoyo nipo tayari kufanya kazi ya udereva nanyie kokote nime hitimu udereva chuo cha usafirishaji daresalamu 0789 187052

  36. naitwa jesca molex nimehitimu ngazi ya cheti katka chuo cha maendeleo vijijini katika chuo cha mipango mwanza nipo Arusha nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote

  37. kwa majina naitwa jesca molex ninamiaka 20 naishi Arusha Tanzania nina elimu ngazi ya cheti cha maendeleo vijijini katika chuo cha mipango mwanza nipo tayari kufanya kazi katika eneo lolote na kwa mazingira yoyote niyafurahi kama nitapata nafasi katika taasisi yenu

  38. Kwa majina naitwa silvana modest kimario nimsichana mwenye umri wa miaka 22 naishi katika mkoa kilimanjaro nimesomea afya jamii katika chuo cha mtakatifu agustine muheza tanga naomba na nipo tayar kufanya kaz yoyote katika shirika nitashukuru mungu kama ombi langu litakubaliwa .asante

  39. Naitwa Angela Eustasio, naishi kigoma nimehitimu elimu ngazi ya cheti katika fani ya mhudumu Wa afya ya jamii (community health worker) EDGAR MARANTA SCHOOL OF NURSING 2016, pia nina uwezo wa kufanya kazi katika mazingira yeyote na wakati wowote, nifaurahi sana endapo nitapata nafasi katika taasisi yako. contact 0763870039/0676727539

  40. Mm ni georgina dickson miaka 22 ni muhitimu wa kidato cha sita niko tayari kufanya kazi na nyie kwa uaminifu na sehemu yoyote 0688747159

  41. Am kennedy danieli am sincerly looking for job and i had experience doing work in different campanies concern the child protection (WORLD-VISION)
    My education level is DEGREE
    My contact(s) 0621728633&0744622771

  42. Naitwa Joyce meshack nina umri wa miaka 22 nimesomea laboratory assistance, clearing and forwarding na ict certificate. Naomba kaz nipo tayar kujutoleaa popote

  43. Naitwa Joyce meshack nina umri wa miaka 22 nimesomea laboratory assistance, clearing and forwarding na ict certificate. Naomba kaz nipo tayar kujutoleaa popote 0656213330/0766934241

  44. Mimi naitwa Annastazia m Mirrigo ni muhitimu wa kidato cha nne nimesomea graphic design na Microsoft Office nna uzoefuu wa kutosha naomba kufanya kazii nanyi sehemu yoyotee niko daresalaama kwa mawsiliano 0653721013 /0738935646 email :[email protected]

  45. Ninaitwa Frank nina stashahada ya uhasibu na ninao uzoefu wakutosha niko tayari kufanya kazi na hilo shirika. Asante mawasiliano: 0673455482

  46. Naitwa ALEXANDER JEREMIAH nipo kibaha mail moja mkoani pwani.
    Elimu yangu ni form 6 (PCM) 2015
    pia nimepitia jeshi la kujenga Taifa ( JKT)
    nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote hapa Tanzania bila shida
    my contact number 0744835273
    email ni [email protected]
    asante kazi njema.

  47. Naitwa MOKE SIRAB MWANAHAJI.
    Nimehitimu shahada ya elimu na sanaa .chuo kikuu kishiriki cha elimu Dar es salaam. Nimewahi kupitia mafunzo ya Jkt op kikwetwe2015. Nipo tayari kufanya kazi katika shirika lenu kwa kuzingatia taratibu wekwa . [email protected]

  48. Naitwa asya mohamed natokea dar es salaam nina umri wa miaka 20 nipo tayar kufnya kazi katika shirika la watoto lwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa namba 0716787455

  49. Naitwa Agnes esperius Leonard, ni msichana wa miaka 22 naishi kigoma nimehitimu elimu ngazi ya cheti katika fani ya mhudumu Wa afya ya jamii (community health worker) katika chuo cha afya kolandoto shinyanga 2016-2017, pia nina uwezo wa kufanya kazi katika mazingira yeyote na wakati wowote, nifaurahi sana endapo nitapata nafasi katika taasisi yako. contact 0744841409.

  50. Naitwa LUKATA MOSHI RASHIDI nina elimu certificate of electrical engineering nina umri wa miaka 23 pia ninaafya njema pia si mlemavu pia naweza kufanya kazi mazingira yoyote hvyo naomba nafasi ya kazi katika mazingira yoyote.

    • Naitwa LUKATA MOSHI RASHIDI nina elimu certificate of electrical engineering nina umri wa miaka 23 pia ninaafya njema pia si mlemavu pia naweza kufanya kazi mazingira yoyote hvyo naomba nafasi ya kazi katika mazingira yoyote.
      Phone no:0758162188
      E-mail:[email protected]

  51. Mimi MARTINE L NTUNGULU nimemaliza masomo katika chuo cha uuguzi SENGEREMA katika fani ya community health worker .Ninaweza kazi sehem yoyote ile Kwa ueledi mkubwa Ahsante Kwa mawasiliano zaidi.0626538552

  52. Am David William from mwanza a graduate in community healthy work at bugando school of nursing I have impressed with vacancy post am ready to work anyware according to institution of the organization
    For contact 0766545556 or 0657722183
    Or by email

  53. Mimi MARTINE L NTUNGULU nimemaliza masomo katika chuo cha uuguzi SENGEREMA katika fani ya community health worker Nina uwezo wa kufanya kazi katika sehem yoyote ile Kwa ueledi mkubwa Ahsante .natumaini ombi langu litapokelewa vzur ,wako katika ujezi wa Taifa.

    • Kwa majina naitwa Mwasi mganga naishi Dar-es-salama nimesomea mambo ya mifugo lakini niko tayari kufanya kazi popote. Ahsante
      Phone no. 0755704068

  54. Mimi naitwa Allen F Cyridion.nimemaliza masomo katika chuo cha uuguzi Sengerema fani (community health worker) ngazi ya cheti. Hivyo nnayo matumaini kuwa ntafanya kazi kwa weredi mkubwa na niko tayari kufanya kazi . kwa mawasiano 0624852833 /0764338753.
    For email. [email protected]

  55. Naitwa Denis J Malecela ninaumri wa miaka 30, nimemaliza kidato cha sita niko tayari kufanya kazi na shirika lenu kwa weledi na moyo wa kujituma ili kuhakikisha malengo ya kampuni yanafikiwa.
    Ni matumaini yangu ombi langu litafanyiwa kazi. No: 0753107849, 0655368989

  56. Naitwa Marco Mshashu ni Driver miaka 9 uzoefu nikiwa kwenye Embassy sasa nipo korea childrens forund. Elimu form4 na National Institute Tanzania N I T kozi V I P. Nipo tayari kufanya kazi mahali popote mda wowote 0715 586 860/0692703510 .

  57. Naitwa STANLEY BEDA MBUYA na Diploma ya Economics development kutoka chuo cha kumbukumbu ya Mwalim Nyerere, nipo tayari kufanya kazi kwa bidii. Namba yangu ya simu ni 0713618134 na email yangu ni [email protected]. Ahsanteni.

  58. Naitwa Amina Bakar Yussuf , natoka Zanzibar , ni mwanaharakati wa kupinga vitendo vya udhalilisha kwa wanawake na WATOTO , nna uzoefu mkubwa wa kufanya kazi katika jamii , nipo tayari kufanya kazi sehem yoyote katika mazingira yoyote . 0773748710 , ahsante .

  59. naitwa Amos Slyvester Nina elimu ya kidato cha sita nipo tayari kufanya kazi katika mazingira yoyote Yale nimesoma mchepuo wa sayasi pcb

  60. Naitwa Dionisia denis, ni binti wa miaka 22 nimehitimu certificate ya journalism mwaka huu 2018 ,Napenda kufanya kazi na nyie ninamoyo wa kujituma kufanya kazi kwa bidii na pia nina hofu ya Mungu namba zangu ni, 0745957789/0713901302

  61. Am Shukrani William Kija I have diploma in human resource management I have one year experience in office administration am available dar es saalam around mliman city am staying there my email address is williamsaida283@gmail .com,phone 0762727252,0738786601

  62. Kwa majina naitwa Ramadhani amri said ni muhitimu wa kidato cha nne ni mzaliwa wa Zanzibar wilaya ya kaskazini B nimesomea udereva katika chuo cha ufundi veta daressalaam tangu mwaka 2015 nina daraja D na A. naomba kupatiwa kazi ya udereva katika shilika lenu na ninahaidi kufanya kazi kwa uweredi mkubwa muda wote ninapokuwa kazini nitashukuru sana nikipata kazi katika shilika lenu ahsante sana.

  63. Kwa majina naitwa Ramadhani amri said ni muhitimu wa kidato cha nne ni mzaliwa wa Zanzibar wilaya ya kaskazini B nimesomea udereva katika chuo cha ufundi veta daressalaam tangu mwaka 2015 nina daraja D na A. naomba kupatiwa kazi ya udereva katika shilika lenu na ninahaidi kufanya kazi kwa uweredi mkubwa muda wote ninapokuwa kazini nitashukuru sana nikipata kazi katika shilika lenu ahsante sana.namba ya simu 0716 065 065

  64. Kwa majina naitwa Ramadhani amri said ni muhitimu wa kidato cha nne ni mzaliwa wa Zanzibar wilaya ya kaskazini B nimesomea udereva katika chuo cha ufundi veta daressalaam tangu mwaka 2015 nina daraja D na A. naomba kupatiwa kazi ya udereva katika shilika lenu na ninahaidi kufanya kazi kwa uweredi mkubwa muda wote ninapokuwa kazini nitashukuru sana nikipata kazi katika shilika lenu ahsante sana.namba ya simu 0716 065 065

  65. Mimi Daniels M Mhalale ni mhitimu katika ngazi ya Stashahada ya ualimu wa Elimu ya Awali Niko tayari kufanya kazi hii katika kusimamia haki za watoto katika jamii yetu na Duniani kwa ujumla.

  66. Mimi Daniels M Mhalale ni mhitimu katika ngazi ya Stashahada ya ualimu wa Elimu ya Awali Niko tayari kufanya kazi hii katika kusimamia haki za watoto katika jamii yetu na Duniani kwa ujumla. 0758133100

  67. YAH:MAOMBI YA KAZI,KUHUDUMIA WATOTO.
    Naitwa Grace Etien ni msichana wa miaka 23,elimu yangu kidato cha nne,pia nina uzoefu na kazi hii kwa miaka 2 sasa,nimehudumia watoto katika mashirika ya kidini kwa miaka 2 sasa,.
    Ninahaidi Kuwa mtiifu,kushirikiana na wengine pia kutunza Mali na mazingira.
    Ni matumaini yangu ombi langu litafanikiwa. Wako katika ujenzi wa taifa
    Grace Etien.
    0718 400346

  68. Kwa jina naitwa agnes martini nmehitimu fani ya community health nimefanya kazi katika vituo mbali mbali hivyo nina uzoefu wa kutosha nipo tayari kufanya kazi katika taasisi yenu
    Ahsante phone no: 0675983494 /2
    Email [email protected]

  69. Naitwa Evaline Alfred.
    Umri wangu ni miaka 26,elimu yangu ni diploma ya uhasibu kutoka chuo cha TIA Mwanza.Napenda kufanya na wewe,nipo tayari kufanya kazi katika kitengo chochote nitakachopangiwa. Nitafanya kazi kwa bidii, kwa moyo na kwa uaminifu.Nitafurahi endapo ombi langu litakubaliwa.
    Asante
    Mawasiliano
    0755374595 au0755382504.

  70. Hellen Paul Mworia,Niko tayari kufanya kazi pamoja nanyi.Ni muhitimu ngazi ya cheti katika Kilimo pia Nina uzoefu Katika kuwasaidia Wasichana(Girls empower) kutoka Femina Niko Mkoa wa pwani Bagamoyo,
    Asanteni.0657963333/[email protected]

  71. RE: Applications of community work
    I am girl rich 26 years old,have be complete diploma of social work with community development, also own degree of human resource management.
    I would like to apply this position because I like to work with community of people, like to direct them, and show the ways to rich development.
    I can work inside and outside the Dar es salaam,i promise to work with all agility and team work without supervisor. I hope my request will be considering.
    Mfumbwa H mzige
    +255719-714405
    [email protected]

    • I am Mary Mujungu,I am interested to be a part of your organization,Having recently obtained my diploma in Business Administration majoring in Procurement and supplies management. I also obtained my certificate in Community Health at Ngudu School of Environmental Health Sciences.I have ability to work as a team as well as independently in fast moving and changing environment.

      Thank you for taking time to consider this application and look forward to hearing from you
      Mary Mujungu

      • Iam Juma Charles, Iam 23 years old, I come from Musoma Mara Tanzania, Iam interested to be a part of your organization, I obtained my certificate in community health at Ngudu school of environmental health sciences. I have ability to work as a team as well as independently in a fast moving and changing Environment.

        Thanks you for taking time to consider this application and
        my look forward is to hearing from you.
        Juma Charles

  72. kwa jina naitwa magreth simon nina umri wa miaka 23.nimehitimu grade A ualimu wa shule ya msingi katika chuo cha ufundi mtwara, ninaomba kufanya kazi nanyi napatikana mbeya kwa mawasiliano.0743127235.asante

  73. I am Emanuel Elineema Martin , I am 24 years old. Hold of certificate in community Health at YOHANA WAVENZA HEALTH Institute
    I am warmly requesting to work at The Children’s Dignity Forum (CDF)” I am confident that my skills and well experienced from VSO-ICS INTERNATIONAL CITIZEN SERVICES within (3months) , as well as my knowledge regarding my foremost discipline would indeed be an excellent match for this position and qualified to take on challenge.
    you sincerely
    EMANUEL ELINEEMA MARTIN
    Contact 0756851407
    [email protected]

  74. Naitwa Emanuely Petro ni kijana mwenye umri, 25 Nina Cerntificat ya ualimu ECD pia Sport and Leadership development na self leadership na nipo tayari kufanya kazi kwa uaminifu 0745704973 na 0687863759

  75. naitwaaa johnson hamzaa mmtha ninaaa leseniii ya uderevaaa na nimesomeaa vetaaa kabisaaa ningependaaa kufanyaa kaziii nanyiii

  76. naitwa Justine martin umiri wa miaka 22 nimemaliza certificate ya community health chuo cha afya ngudu kwimba,
    na pia ni dereva na nina knowledege nzuri ya computer kwimba ninaisha mara nipo tayari kufanya kazi nanyi kwa umakini asante!

    mawasiliano; 0716305712/0744581240
    email; [email protected]

    nitafurahi nikikubaliwa

  77. Ninaitwa Erica Emily Nina miaka 27 niko Dar Es Salaam. Nina Diploma ya Elimu ya watu wazima na mafunzo endelevu, Ninauzoefu katika masuala ya ushautri wa jamii na utoaji Elimu kwa jamii. Naomba kufanya kazi pamoja na Taasisi yenu na nipo tayar kufanya kazi katika mazingira yoyote Yale.Namshukuru kama omni langu litapokelewa
    simu namba 0742 450 245
    e-mail:[email protected]

  78. I’m a youth of 25 years old, graduated ? from University of Dar es Salaam this year 2018, specialized in Education. I’m real touched to join your organization especially in the position of Front Desk Officer as mentioned in above shown vacancies. I’m ready to work anywhere if my request is positively considered.
    It’s me Salehe Iddy Magoti
    [email protected]
    +255754907641.

  79. Naitwa Janeth champonda Nina miaka20 ni muhitimu wa ngazi ya cheti katika chuo cha utumishi wa uma katika fani ya usimamizi rasilimali watu mkoani mbeya nipo tayari kufanya kazi na nyie katika mazingira yoyote na eneo lolote natumaini ombi langu litakubaliwa ahsante

  80. I am a girl of 26 years old, I am interested with this job vacancy in your organization at children dignity department. I am a graduates of St. Augustine University of Tanzania in Bachelor of education with arts in 2018.
    Is my hope that I will be considered
    Thanks.

  81. Naitwa Mathew joseph shikilo Nikijana mwenye umri wa myaka 25 sasa pia Nime okoka nampenda yesu kweli kweli niko mkowani shinyanga wiraya ya kahama mjini, Naomba nafasi ya udereva ni mzowefu sana nimefanya kazi kwingi sana Nimesoma veta shinyanga, Tumaini rangu ni kupata kazi na Amini itakuwa hivyo, Na mungu wa mbinguni awabaliki wote Namba zangu za cm ni hizi 0765271111

  82. naitwa kitiku yasin ismaily,napenda kufanya kazi ya udereva katika kampuni yenu ,ni muadilifu,mchapakazi na najali maslai ya kampuni.elimu nilio nayo ni shahada ya ualimu katika masomo ya historia na kiswahili.ninao uzoefu wa muda mwingi
    natumaini ombi langu litakubaliwa

  83. Naitwa Joseph Joachim mabena nimehitimu kidato cha bne nimefanya kozi za ustawi wa jamii na kwa sasa ninafanya shughuli za kujitolea kuhusu watoto wanaoishi mitaani nikishirikiana na PASADIT pamoja na PACT chini ya ustawi wa jamii nipo tayari kuomba nafasi ya community forum

  84. naitwa aloyce nina certificate ya maendeleo ya jamii,jinsia na watoto ninao uweZo wa kutekeleza majukumu yote kikaz

  85. Naitwa fanuel Ditram mbawala. Ni astashahada ya ualimu shule ya msingi. Ninauzoefu wa kufundisha wa miaka mitatu. umri wangu ni miaka 26. Ninaomba kufanya kazi ktk taasisi yako.
    Namba ya simu ni 0755118699

  86. Habari.. Naitwa Laizer Longida nina miaka 25.. Ni muhitimu wa stashahada ya Teknolojia Habari na Mawasiliano.(Tehama)…. Nina uzoefu wa kazi.. ningependa kufanya kazi na shirika lenu… Asante
    Contact:0655833370
    Email:[email protected]

  87. Neema Rabiel
    Master in rural development. I would kindly appreciate to work with you. Contact me through 0657361005.

  88. habar, mm naitw Lawrence malat, nmehitim kdato cha nne, nmesoma NIT, uzoefu wang wa kuendesha magar miaka 15, nmefanya kaz za field kwa kweny project za taasis za serikali, npo tayali kufanya kaz popote,namba yngu ni 0677333376

  89. Naitwa Magreth Thomas mkazi Wa Arusha, nina certificate ya procurement and supply management. Naomba kazi kwenye campuni yenu, nitafanya kazi kwa uaminifu.
    Natumaini maombi yangu yatajibiwa.
    0768313303

    • Mimi naitwa Witness Wilson,nimkazi wa dar es salaam (mbezi) nimuhitimu wa ngazi ya chuo kinacho tambulika na serikali,NJUWENI INSTITUTE kilichopo kibaha,nina fani ya receptionist kwa muda wa miaka 3 nina umri wa miaka 25,nina ongea lugha mbili English na kiswahili vizuri kabisa.
      Naomba nafasi ya kazi katika shiraka lenu,naahidi kuwa mwaminifu na kufanya kazi kwa juhudi

  90. I am writing to you with the intent of applying for the position of community worker, I believe the position is a perfect match for my skills and interests, because l have experience, since that l have been working with several colleges just to mention few are ILULA OPHARNS PROGRAMME as a Community Development Officer, AMREF as a Peer educator, also in my field placement l did as a temporary data clerk at Jhpiego iringa .

  91. Naitwa hujath Ally. Mkazi wa dar es salaam.. Ni Dereva ninauzofu wa miaka mitatu. Nitafnya kaz kwa uadilifu.
    My no 0655910997

  92. Naitwa Melkion Francis Paul ni mkazi wa Morogoro Kilosa nimehitimu stashahada ya maendeleo ya jamii Monduli Arusha (CDTI).
    Naomba nafasi ya community worker kwani ninauzoefu wa kutosha nilioupata katika mashirika mbalimbali niliyowai kufanya kazi.
    Asante.

  93. Naitwa joviness bagera nina sta shahada ya maendeleo ya jamii niko tayari kufanya kazi kwa bidii namba yangu ya CM ni 0654767945 ahsanteni sana

  94. Naitwa joviness bagera nina sta shahada ya maendeleo ya jamii ninaomba kazi ya community worker na yangu ya cm ni 0654767945 nitafanya kazi kwa kujituma zaidi ahsanteni.

  95. Naitwa joviness bagera nina sta shada ya maendeleo ya jamii ninaomba kazi ya community worker ,nitafanya kazi bila kuchoka no yangu ya cm ni 0654767945 . nilisahau email yangu ivo nika apply tena samahani kwa usumbufu

  96. Naitwa Mohamedi Tandi nimemaliza bachelor degree in Community education University of Dar es Salaam. Naomba kazi ya Community workers Nipo Mtwara, 0787309177_0674872016.

  97. Hello, I am Irene Blasius Mardai studied at the University of Dodoma taking Bachelor of commerce in Entrepreneurship.
    I was glad to see your advertisement on the job and the company I am wishing to work
    My contact is 0621157908
    Thank you

  98. My name is Victor Elijah, am 22 years old. My education level is form four. I have experience for those jobs you have publish. and I am good driver.

    my contact
    0767265219

  99. Naitwa Rehema Sumari ni muuguzi daraja la 2 ninauzoefu wa miaka 12 kwenye hospitali mbalimbali pia nimefanya kazi kama RCH C0 umri wangu ni miaka47 contact 0653 284419 aksante

  100. Naitwa Hyasinta Joseph kiangi
    Nimehitimu diploma ya ualimu elimu ngazi ya sekondari Ningependa kufanya kazi na ninyi,Nina uzoefu na masuala ya haki za watoto kwani nimeudhuria semina mbalimbali zinazohusu haki ya mtoto lakini pia nnao uzoefu wa wa kuhudumia watoto kulingana na taaluma nliyonayo.
    Namba ya simu:0742735487

  101. Naitwa Frank deusdedith
    Elimu yangu ni diploma ngazi ya msingi,Ninao uzoefu wa masuala mbalimbali ya haki za watoto hii ni kutokana na kuhudhuria semina mbalimbali zinazohusiana namna ya kumlinda mtoto lakini pia kutokana na taaluma yangu nnao uwezo wa kuwahudumia watoto “put children First”
    Naomba ya simu 0758957321

  102. Kwa majina naitwa KULWA RUKUNDO nimehitimu diploma ya mipango na pia nina uzoefu na kazi hizo tafadhari ningependa kufanya kazi nanyi na pia nitashukuru endapo ombi rangu ritakubariwa.ASANTE.

    simu: 0766806949

  103. Naitwa Frank deusdedith
    Elimu yangu ni diploma ngazi ya msingi,Ninao uzoefu wa masuala mbalimbali ya haki za watoto hii ni kutokana na kuhudhuria semina mbalimbali zinazohusiana namna ya kumlinda mtoto lakini pia kutokana na taaluma yangu nnao uwezo wa kuwahudumia watoto “put children First”
    Naomba ya simu 0758957321

  104. Inaitwa Jacktone J Tiibuza nina level 3 ya motor vehicle mechanics na ni dreva kwa kiwango cha PSV naomba kufanya kazi na ninyi
    Ntashukuru sana
    0715359181

  105. Naitwa mwanamvua Ally Mohamed
    Nimesoma CERTIFICATE OF COMMUNITY HEALTH WORKERS, katika chuo cha Ellijery training Centre kilichopo Muheza Tanga, ninauzoefu katika kazi hii, naomba kufanya Kazi na nyie, natumai kupata jibu la ndio, ahsante
    Nambari yangu ya simu:0656548208

  106. Ninaitwa Issa Deus Gregory nimemakiza elimu ya afya ngazi ya jamii(community health) Katika chuo Cha uuguzi na ukunga Kiomboi nnaomba kufanya kazi Katika shirika lenu nipo tayar kufanya kazi eneo lolote nipo Geita
    Phone number 0753217191
    Email: [email protected]

  107. Kwa jina naitwa sadam said Mohamed nipo dar es salaam,Nina elimu ya kidato Cha nne .ninapenda kufanya kazi nanyi katika ngazi ya udereva nimepata mafunzo katika chuo Cha taifa Cha usafirishaji N.I.T .Nina grade two V.I.P pia ni mzoefu katika maswala udereva hivyo napenda kuomba nafasi hii .
    Kwa mawasiliano 0715 445 934
    0684 820 760

  108. My name is Issa Deus Gregory from Geita I have graduated certificate in community health at Kiomboi school of nursing arleady to work in any place according to the announcement I have experience in community health work and Care of children. I will happy if my request Will be accepted.
    Phone number 0753217191
    Email: [email protected]

  109. am Robert samwel,I need to work with this company I don’t have big education,but my mind still work,am ready when your need me mobile:0756290251

  110. First name; Abdallah Middle name; Ngano. Last name; Ibrahim. Nationality; Tanzanian. Birth;10 October 1994. Marital status; Single. Sex;Male. PROFESSIONAL TRAINING 2018-Agust 6 to November 9,The National Institute of Transport Dar es salaam, Tanzania.Obtained Self defense driver in VIP course. EDUCATION BACKGROUND. Certificate in form four level at Azania Secondary School. Certificate in form six level at Mbezi Beach High School Certificate in Primary School in Kisangara School. I would like apply in driver category, Thanks. For more information call number 0654830059

  111. Name: Eliya s . mtondoo
    Nationality: Tanzanian
    Birth: 24.04.1994
    Sex: Male
    Education level: Certificate in civil engineering and community development.
    I’m happy and sure my application request are accepted. Thank you.

  112. Ninaitwa Leonard Francis Makala,,nina umri wa miaka 20, nimesomea afya katka fani ya uhudumu wa afya katika ngazi ya jamii yaani(Basic Technician Certificate in Community Health)katika chuo cha afya na mazingira Ngudu wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza,,ninaomba kufanya kazi katika shirika lenu maana ninauzoefu na kazi na nitafanya kazi kwa uadilifu na utendaji bora kama inavyotakiwa,,nitafurahi sana endapo ombi langu litakubaliwa..Ahsanteni kwa fursa hii na matumaini yangu maombi yangu yatakubaliwa…kwa mawasiliano namba zangu ni 0769323057 /0717591505

  113. Naitwa Emanuel chale. Nina Diploma ya ualimu sekondari, napenda kuomba nafasi ya kazi katika hili shirika. Kwani nipo tayari kufanya kazi kwa bidii zote na mahali popote bila kinyonga . Nitashirikiana nanyi nyote kwa heshima zaidi kuhakikisha maendeleo ya shirika yanazidi kisonga mbele zaidi.
    Simu na.0766538765
    E-mail. http://[email protected]

  114. Naitwa Venant Walter kutoka Korogwe Tanga nina Diploma ya Ukaguzi wa shule kutoka chuo cha uongozi wa elimu ADEM Bagamoyo.Napenda kuomba ajira katika shirika lenu katika kitengo kinachohusiana na masuala ya elimu kwa watoto kama sehemu ya haki yao ya msingi.Pia ninao uzoefu wa miaka 15 katika kazi ya ualimu hasa elimu msingi katika halmashauri za Misungwi-Mwanza na Korogwe-Tanga mpaka sasa.Napenda sana kuona haki za watoto zinatimizwa pasipo kukandamizwa.Nitafanya kazi kwa moyo wote na sehemu yoyote hapa nchini kwa mujibu wa sheria na kanuni za nchi na za shirika pia.Namba yangu ya simu ni 0764993160.

  115. Naitwa Salim juma nimesoma tangazo la kazi katika website yenu
    Mimi ni derevaa ninauzoefu wa miaka minne ni mtanzania Nina miaka ishirin na nne
    Mawasiliano ni 0658639723

  116. Mimi ni mkazi wa dar es salaam ni muhitimu wa cozi ya udereva nilikua natamani sana kufanya kazi na ninyi endapo nitapata nafasi katika kitengo chenu asante

  117. Naitwa datus ni dreva mwenye uzoefu wa mda wa miaka sita barabaran pia nimehitim katka coz ya (PSV) pale chuo cha usafirishaji elimu yangu kidato chq nne hvyo niko tial kufanya kaz sehem yyte ntakayopangiwa.

    0763894856,0655894856

  118. Naitwa datus ni dreva mwenye uzoefu wa muda wa miaka sita barabarani pia nimehitimu katika coziya (PSV) pale chuo cha usafirishaji elimu yangu kidato cha nne hivyo niko tiali kufanya kazi sehemu yoyote ntakayopangiwa.

    0763894856,0655894856

  119. Naitwa Andrew mathew , elim yangu kidato cha nne nimesomea mafunzo ya udreva veta tabora ninauzoefu wa kutosha naomba kazi katika organization yenu. Nitafurah endapo ombi langu litafikiliwa
    Naomba yangu ni
    0752361052

  120. Naitwa august mlingi nina certficate ya community worker ningependa sana kufany kaz katika kitengo chenu 0682029848

  121. Naitwa Bernard Albano Ngatunga nipo songea nimehitimu elimu ya maendeleo ya jamii ngazi ya Diploma , naomba nafasi yakazi katika shirika la haki za watoto, nipotayari kufanya kazi kwa uadilifu na uaminifu na mahalipopote nitakapo pangiwa . 0713258120/0753050564.

  122. Kwa jina naitwa delifinus deocles , nnaumri wa miaka 20 mzaliwa wa muleba kagera , elimu yangu ni certificate of rural development planning of Dodoma at mwanza campus , naomba kazi kwenye taasisi yako na haidi kufanya kazi kwa juudi na kuheshimu waajiri wangu pamoja na wafanyakazi wenzangu.
    Nitashukuru kama utanikubalia kupata kazi kwenye taasisi yako
    Nakutakia kazi njema , na namba yangu ya simu ni 0756992715

  123. EDGAR LIGANGA
    PO BOX 2000,
    DAR ES SALAAM.
    0715440171
    [email protected]

    I am Edgar Liganga have graduate in MOTOR VEHICLE AND MOTOR CYCLE BASIC DRIVING with Certificate and Driving Lisense.
    Also attended to A Basic Computer Science (IT) at Don bosco Vocational Center.
    I have Experience of One year as I worked Ulanga Mahenge Hospital and Dar es salaam University of College as IT.
    I have pleasure to work and to Cooperate with You in Various activities such as Graphics Design, Web pages, Internet and Emails and Software Installation.
    I’m forwarding this comment for a positive from You.
    Your Faithful.
    EDGAR LIGANGA

    • Naitwa Rehema James nipo dares salaam nina certificate ya hotel management na customer care na nina uzoefu wa muda mrefu tafadhali naomba kazi katika kampuni yenu nipo tayari muda wowote mtakaponihitaji.
      Kwa mawasiliano ni 0715181251au0755181251 asanteni

  124. Naitwa joyce chiza nipo kigoma nina certificate ya community heath worker ninaomba kufanya kazi kwenye kampuni yenu nipo tayari mda wowote mtakapo nihitaji kwa mawasiliano 0742485316

    • mim ni msichana miaka 22 naishi Dar es salaam nmhitimu ngaz ya Chet ,, certificate ya utunzanji kumbukumbu naomba nafas katika kampuni yenu ,, nitajitahid kufanya kaz Kwa bidii zangu zote,,,,,,n
      nitashukuru sana Kama ombi langu litakubaliwa

      Asanten
      number,,0746046153

  125. Naitwa jane lungwa, nipo dar es salaam ninadiploma ya maendeleo ya jamii nipo tayari kufanya kazi na nyie na ninasifa zote.

  126. Naitwa jane lungwa ninaishi Dar es salaam ninadiploma ya maendeleo ya jamii, nipo tayari kufanya kazi na nyie. 0711565558

  127. Naitwa Munene Victor Meowi
    Nina umri wa miaka 22 . nimemaliza kidato cha nne nchini kenya. Naombeni kazi kwani niko na bidii ya kufanya kazi.
    Namba zangu kwa mawasiliani
    0767265219

  128. naitwa Mary lodrick kigahe ninacertificant ya community health workers npo wilaya ya iringa mkoa wa iringa .ninauzoefu na kaz pia tayar kufanya kaz popote pale namba zang 0755977197 ,0654433946

  129. naitwa Regina p mwakapalila ni muhitim wa afya Na jamii (community health worker) certificate level, Unaumri wa miaka 22 ni mkazi wa mkoa wa pwani wilaya ya Bagamoyo .

    call:0766973366,
    0658693578

  130. Naitwa Khamis H Juma Mimi ni dereva mwenye udhoefu wa miaka 6..Elimu yangu ya mafunzo nimeipata chuo cha NIT kosi ya PSV na elimu yangu ni kidato cha nne…
    My phone number 0657544387

  131. naitwa Lucy Mwakalindile nipo dar mm ni laboratory assistant nipo tayar kufanya kazi nanyie sehem yoyote
    0715054518
    0784761389

  132. Naitwa magreth elias mkazi wa arusha nina certificate ya ualimu na ninaizoefu wa miaka kumi nitafanya kazi yeyote kulingana na elimu yangu

    • Naitwa magreth elias mkazi wa arusha nina certificate ya ualimu na ninaizoefu wa miaka kumi nitafanya kazi yeyote kulingana na elimu yangu.namba ya cm 0754535462

  133. Naitwa killian Mapunda nipo songea, nimeitimu kidato cha sita ndani ya mchepuo wa HKL nipo tayari kufanya kazi na nyie kwenye idara yoyote ile. Namba yangu ni 0767355942

  134. I’m Galucha Juma a boy aged 28 years old I’m a degree holder in Art and Education especially in Geography and Literature in the university of Dar es salaam main campus, I have very interested in Children’s Dignity Job vacancy according to your announcement provided out I’m ready to work with your organization to bring positive changes in good manner. hopefully my request will be answered in accordance. 0759451215/0787855358.

  135. Naitwa Alphonsina Francis Kihwele nina umri wa miaka 25.Nina elimu ya stashahada ya naendeleo ya jamii.Ninaomba kufanya kazi nanyi katika shirika la ………………..kwani nina uzoefu wa kazi kwani nimefanya kazi katika shirika la USAID kizazi kipya kwa muda wa mwaka mmoja nikiwa mwelimishaji rika wa kijamii.Hivyo basi ninaomba kazi katika shirika hilo la ………….ili tusaidiane katika ujenzi wa jamii bora
    Nitashurukuru endapo ombi langu litakubaliwa.
    mawasiliano 0711561520
    au 0754321473

  136. Naitwa saumu Mgeni kutoka Zanzibar nina umri wa miaka 26 niliyemaliza shahada ya kwanza ya early childhood education .Ninaomba kufanya kaz nanyi katika shirika children dignity forum . Ninauzoefu wa computer na kuzungumza kiengera kiufasaha pia nipo tayar kufanya kaz kwa ushikiano na uaminifu na bidii simu no 0675441829.

  137. My name is Maria Issaimani, 33 years of age. I have Diploma in Business management from Central Johannesburg College, Parktown Campus, South Africa.
    Currently working at KISEDET (Kigwe Social Economic Development and Training) the NGO that based in Dodoma.

    Cell no. +255654161936
    E-mail: [email protected]

  138. Naitwa Stella sylvanus,elimu yangu ni ngazi ya cheti.nimehitimu chuo cha slads
    Course ya librarian and record management. Naomba kazi katika taasisi yako.namba zangu ni 0687406784.natumaini ombi language litakubalika.

  139. Thank you so much for sharing a great information. I appreciate your time and effort in your work. Keep posting.

Comments are closed.

Most Popular

Recent Comments

Titus hassan changaluma on 96 Job Opportunities at Cocoriko Clubs
Doricasi Richadi Juma on 59 Job Opportunities at PASADA Tanzania
MUSA ELIEZERI MANANSE on 96 Job Opportunities at Cocoriko Clubs
Peter Nehemia Mnguu on Job Opportunities at Bahi District
TIMIZA SHABANI kilango on Job Opportunities at Tanzania Police Force
Agnetha Sosteness Thadeo on Job Opportunities at Tanzania Police Force
ELIZABET ILANGA MAGEME on Job Opportunities at Tanzania Police Force
Samwel Masinzagule Doto on Job Opportunities at Tanzania Police Force
Rainer Zawadi Kaligamila on Job Opportunities at Kongwa DC Dodoma
Mouren Benito Mhagama on 7 Job Opportunities at TIRA
Chris David Missano on Job Opportunities at EWURA
Macmirack Kimwaki on Job Opportunities at VSO
Nuhu David Nyambulapi on Job Opportunities at NRC Tanzania
OSCAR.H.SHOO on Job Opportunities at VSO
Malugu Maliba Maduhu on Job Opportunities at NRC Tanzania
Francia chengula on Job Opportunities at NRC Tanzania
Eriick Augustine mloka on 2 Job Opportunities at TBC, Journalists
Silas kaliyo Augustine a Tanzanian on Job Opportunities at NRC Tanzania
Majaliwa Mathias ngagaji on Jobs at Vodacom, Head of Mpesa IT Operations
MAJALIWA MATHIAS NGAGAJI on New Jobs Opportunities at PWC Tanzania
Henry Nickson Mbaya on 4 Jobs at TCRA – ICT OFFICER
John Michael mayombo on Jobs at EFTA, Internal audit Head
JOSEPH FANUEL BENKU on 8 Jobs at MAJINJAH Logistic Limited
Mwinyi yahaya mbelwa on 2 Jobs at at Mbeya University, Drivers
Lilian Ellisome Lutagomoka on New Jobs Opportunities at U.S. Embassy
Bugusu shushuu maguya on 45 Jobs Vacancies at TEMESA
Restuta Massawe on Jobs Opportunities at ESAFF
FRANCIS MUSTAFA TARIMO on Internship Opportunities at Ubongo Kids
Martin Jeremiah Ruziga on Jobs Opportunities at Las Vegas Casino
Cosmas Joseph milings on Jobs Opportunities at Las Vegas Casino
my name is rehema am a university student at NIT in procurement and logistic management l apply for field on Paid Internship Opportunities at CitiBank – University Vacation Program
Salvatory Massawe on Job Opportunity at TPC Ltd
JAMES IGNAS ANDREA on 6 Job Opportunities at TANROADS
JAMES IGNAS ANDREA on 6 Job Opportunities at TANROADS
ANNA FREDRICK PATRICK on Job Opportunity at TPC Ltd
Joseph Ngozi on Job Opportunity at TPC Ltd
prince kajura on Job Opportunity at TPC Ltd
Yasinta kabengwe on Job Opportunity at TPC Ltd
Hidaya jackson on Job Opportunity at TPC Ltd
Atupokile Zabron Kasitila on Jobs Opportunities at Good Neighbors Tanzania
Happiness Moses Mbushi on 100 Jobs Opportunities at Samsung Tanzania
Salma Rajab Nassoro Likunja on Jobs at US Embassy in Tanzania, May 2019
Salma Rajab Nassoro Likunja on Jobs at US Embassy in Tanzania, May 2019
Salma Rajab Nassoro Likunja on Jobs at US Embassy in Tanzania, May 2019
Joely Mazaba on Jobs at TANROADS Arusha
Petro mnjiti mwacha on Jobs at Tigo Tanzania,May 2019
restituta fredy mposindawa on Jobs Opportunities at UMATI, Ajira mpya May 2019
Leonard Matthew Nyandindi on Jobs Opportunities at the US Embassy Tanzania
naitwa james mhagama ndugu rejea na kichwa cha habali mimi naomba kazi y udeleva nina leseni class D nimesoma chuo cha veta songea ninacheti cha form four na ninauzoefu wa kutosha on 81 Jobs Vacancies at Public Recruitment Portal, March 2019 | Ajira Utumishi wa umma
IPEPO SECONDARY SCHOOL on NECTA Form Four CSEE Results 2018/2019
Valenciana Valency Fungo on Jobs Vacancies at UNICEF-Tanzania
Fredrick Chipanda on Jobs Vacancies at UNICEF-Tanzania
asaniel magayane lutego on Job Opportunities at The Islamic Foundation
Naitwa Mary Costantino nina umri wa miaka 27 elimu yangu ni kidato cha nne ninaomba kazi ya Mapokezi au ya sales Officer nina uzoefu wa kazi ya Sales executive kwa miaka minne hivyo ninauzoefu na kazi hizo Namba zangu za simu ni 0765708787 Ahsan on Job Opportunities at the Judiciary Zanzibar, December 2018
https://musiccrazy.co.uk/MyMusic/penile-enhancement-exercises-and-increase-penis-circumference-7 on TCU: THE STIPENDIUM HUNGARICUM SCHOLARSHIP PROGRAMME FOR THE ACADEMIC YEAR 2019/2020
Subira Kenneth kitandala on Job Opportunities at Kairuki Hospital
My name is Leonia Gustav komba I have 27 years old ,graduate from Masasi Utalii college and holding my certificate in Business Administration I would like asking a job opportunity. My contact number is 0764333073 on Job Opportunities,Administrative Officer at Zanzibar
קופת חולים מכבי זימון תורים באינטרנט on 3 Job Vacancies at Tanzania Agricultural Development Bank Limited (TADB)
המוקד הטלפוני של רמי לוי תקשורת on How to Answer the 31 Most Common Interview Questions in 2019
En Que Consiste La Dieta Cetogenica on How to Answer the 31 Most Common Interview Questions in 2019
Frases De Optimismo Y Fe on Job Opportunities at World Vegetable Center
httpss://www.youtube.com/watch?v=kr2hTUnEwI4 on 22 Job Opportunities at MPWAPWA District Council
Pensamientos De Optimismo on Job Opportunities at World Vegetable Center
pc game hooligans storm over europe on How to Answer the 31 Most Common Interview Questions in 2019
Definicion De Optimismo on Job Opportunities at World Vegetable Center
Menu De Dieta Cetogenica on Job Opportunities at World Vegetable Center
Dieta Cetogenica Alimentos Permitidos Pdf on Job Opportunities at WHO Tanzania
Palabras De Optimismo on Job Opportunities at WHO Tanzania
Pensamientos De Optimismo on Job Opportunities at WHO Tanzania
Que Es El Optimismo Como Valor on Job Opportunities at WHO Tanzania
Mensajes De Optimismo on Job Opportunities at WHO Tanzania
JACKLINE ELIBARIKI SUMARI on Job Opportunities at Kairuki Hospital
JOSIAH BETHUEL KIRUNDWA on Job Opportunities at WHO Tanzania
buy bitcoins with paypal no verification on 22 Job Opportunities at MPWAPWA District Council
httpss://newreviewhq.com/muscle/xexlift-male-enhancement-review/ on Radboud University Medical Center Study Fund for Masters Students in Netherlands 2019
httpss://newreviewhq.com/muscle/tru-testo-fuel-platinum/ on MINDS Scholarship for Masters Study in Leadership Development at African Universities 2019
cheap flights to india on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
- The Predator Film Completo on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
Leo Da Vinci – Missione Monna Lisa Film Completo on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
Free business directory in india on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
fresher jobs for opt students on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
httpss://youtu.be/LkulTUIEb6I on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
Marysedeus john Shirima on 2 Job Vacancies at BBC Africa
online casino Wunderino on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
Calendario laboral alava 2019 botha on How to Answer the 31 Most Common Interview Questions in 2019
COMO IMPORTAR DOS ESTADOS UNIDOS - IMPORTAR DOS ESTADOS UNIDOS – Veja isso ates de Importar dos USA! on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
httpss://www.youtube.com/channel/UCVz08fujKH6hlqhK4jNA37A on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
Fredrick Jonas Misigalo on Job Vacancies at ZTM Ltd, Sales Agents
httpss://allthingscrypto.tech/treon-exclusive-airdrop-txo-2/feed/ on Global Fund for Women’s: CALL FOR PROPOSALS GRANTS OPPORTUNITIES TO SUPPORT WOMEN AND GIRLS
innocent stephano mtakyawa on Job Vacancies at ZTM Ltd, Sales Agents
saleh abudli makuka, on Job Vacancies at ZTM Ltd, Sales Agents
httpss://allthingscrypto.tech/bitcoin-gold-takes-epic-q1-beating-but-some-cryptos-saw-big-gains/ on Global Fund for Women’s: CALL FOR PROPOSALS GRANTS OPPORTUNITIES TO SUPPORT WOMEN AND GIRLS
httpss://allthingscrypto.tech/blockchain-day-russia/feed/ on Global Fund for Women’s: CALL FOR PROPOSALS GRANTS OPPORTUNITIES TO SUPPORT WOMEN AND GIRLS
Kutokana na tangazo lenu naomba kufunMndisha English structure 2 .kwa mawasiliano zaid 0779 87 5162.aminaomar318. Nimemaliza degree suza on Teachers Job Opportunities at SEGA Girls Secondary School, November 2018
save money with restaurant coupons on How to Answer the 31 Most Common Interview Questions in 2019
httpss://twitter.com/hashtag/storepupper on 22 Job Opportunities at MPWAPWA District Council
immobilienmakler kassel on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
roofing west palm beach on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
gel hot grow aumenta on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
httpss://youtu.be/EXRKnbURd4A on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
distant healing treatments on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
My name is vummy Edwin I have completed certificate in general agriculture in Tanzania Carrie and development institute on Job Opportunities at Aga Khan Foundation (AKF)
Bunura muhozi nyamgomera on Jobs Vacancies at Super Feo Express, Drivers
Bunura muhozi nyamgomera on Jobs Vacancies at Super Feo Express, Drivers
Severina Simoni Mwaulambo on Job Opportunities at Aga Khan Foundation (AKF)
AU 7300 service man Nyenye Elias Ntunga on 180 Job Vacancies at Tanzania National parks (TANAPA),November 2018
fireproof document bags on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
private english tutor in malaysia on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
Nestory Athanas Ngonyani on Jobs Vacancies at Super Feo Express, Drivers
Naitwa Pilly George jitwala nimehitimu kidato cha nne mwaka 2014 Nina umri wa miaka 24 ninaomba kazi katika hifadhi ya wanyama nitaonyesha uaminifu na ufanisi mkubwa katika kazi namba yangu ya simu ni 0769945952 on Job Opportunities at Singida Urban Water Supply and Sanitation Authority (SUWASA)
Naitwa Catherine Alick Mwabwagilo nimehitimu kidato cha nne mwaka 2013 ninaomba nafasi ya kazi ya hifadhi ya taifa ya wanyama nitakuwa mtiifu na muaminifu katika kazi yangu naomba naomba mnisaidiye mamba yangu ya cim ni 0743080312 on Job Opportunities at Singida Urban Water Supply and Sanitation Authority (SUWASA)
Mimi naitwa Elirehema Zakaria Ayo.. Nilimaliza kozi on Job Opportunities at Singida Urban Water Supply and Sanitation Authority (SUWASA)
Rental Mobil Surabaya on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
Naitwa Daniel Daudi,ni mtanzania,nina umri wa miaka 33,nina elimu ya astashahada ya uhasibu,ninaomba kazi ya utunzaji vifaa katika kampuni yako.Naamini unahitaji watu waadilifu,wawazi,waaminifu na wenye kushirikiana na wenzao ili kuleta ufanisi on Job Opportunities at Geita gold mine, AngloGold Ashanti’s
AR 8584 serviceman Nkinda Ngenda Malugu on 180 Job Vacancies at Tanzania National parks (TANAPA),November 2018
Ar 8535 service man Baraka munzari Ramadhani on 180 Job Vacancies at Tanzania National parks (TANAPA),November 2018
Provixn Review on 2 Job Vacancies at BBC Africa
Structured Cabling on 2 Job Vacancies at BBC Africa
Rapid Keto Review on 2 Job Vacancies at BBC Africa
httpss://cbdcop.com/product-reviews/herbal-relief-cbd/ on 2 Job Vacancies at BBC Africa
PrimeSkin Cream Reviews on 2 Job Vacancies at BBC Africa
htxmaleenhancement.net on 2 Job Vacancies at BBC Africa
Alpha Titan Testosterone Booster on 2 Job Vacancies at BBC Africa
Vero Revive Cream on 2 Job Vacancies at BBC Africa
Brea Skin Labs Review on 2 Job Vacancies at BBC Africa
Platinum Essentials Forskolin Extract Reviews on 2 Job Vacancies at BBC Africa
Pure Slim Keto Reviews on 2 Job Vacancies at BBC Africa
custom dissertation writing service on Job Opportunity at Engender health, Senior Clinical Manager
Lucas mahangi saguda.0784630377. Mbezi luis barabara ya goba. wilaya ubungo Dar es salaam on Funding Opportunities: STARTUPPER OF THE YEAR BY TOTAL – [TANZANIA], 2018
naitwa laurence nimeitimu elimu ya secondali nimesomea udereva daraja D.na B 0713-969154 on Job Vacancies at Tanzania Official Seed Certification Institute (TOSCI)
Avitus mutayoba salvatory on Job Opportunity at Coca-Cola Kwanza Limited
Denver Advertising Companies on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
Ultimate Bodyboss Fitness Guide on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
Review of Manifestation Magic on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
instagram takipçi satın al on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
john goodman's weight loss on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
httpss://counseling4career.com/ethics-and-etiquette-do-you-really-know-the-difference-4/ on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
multi vendor ecommerce script on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
what is wealthy affiliate about a scam or what on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
1 Hour Belly Blast Diet Review - DON'T BUY IT Until You See This! on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
httpss://www.tvfanatic.com/profiles/lushmovie99 on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
Carl Kruse on National Geographic on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
httpss://www.hungryreview.com/2-week-diet-reviews/ on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
uniformed security officers on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
Does The Woman Men Adore Really Work on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
cialis Et Viagra sur Sans-ordonnance.guide/ on NACTE Diploma and Certificate Selection 2018-2019
Tutorial FSO Harmonic Scanner Pro on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
agimat trading system 2018 on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
httpss://twitterhacks.weebly.com/ on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
2bmindsetreview.zohosites.in on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
2b mindset & bod and shakeology challenge pack on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
httpss://couponshy.com/bloomingdales-coupons/ on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
Is The Quantum Manifestation Code For Real on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
httpss://couponshy.com/vineyard-vines-coupons/ on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
My name is Tatu M.Mwanzamtali i finding a job.i graduate a certificate for Hotel management on 76 Job Vacancies From Public Recruitment Portal,CBE,TBS,MOI,NCT,LGTI and Other Public Institutions
malimi m. kitalonja on UDOM Second round selection 2018/19
Invierta en Negocios e inversiones en florida on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
دانلود فیلم و سریال ترکی on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
www.officialliker.co/ on Job Opportunities at KaziniKwetu Ltd
دانلود سریال ترکی on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
دانلود زیرنویس سریال on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
math worksheets for grade 6 on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
muaythaiinfo - Muay Thai information on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives