Wednesday, May 14, 2025
HomeREMOTE JOBSJob Opportunities at Geita gold mine, AngloGold Ashanti’s

Job Opportunities at Geita gold mine, AngloGold Ashanti’s

Geita, one of AngloGold Ashanti’s flagship mines, is located in north-western Tanzania, in the Lake Victoria goldfields of Mwanza Region. The mine has been in operation as a large-scale mine since the 1930s.

7.7 million ounces of gold have been produced since we commissioned the mine in 2000. As at December 2016 the Mineral Resource is 7.32 million ounces.



The Geita gold deposit was mined solely as a multiple open-pit operation until 2015. Geita has since successfully transitioned to underground mining in the Star & Comet area and 2017 will be the first full year of underground commercial production.
Preparatory work to access the Nyankanga underground Mineral Resource has been completed and blasting operations will begin in 2017.
Geita Gold Mine generates its own power and an energy management system is in place to support future development.

Job Vacancies details and Mode of Application






Dr.Galus Tarimo
Dr.Galus Tarimohttps://www.unistoretz.com
Dr. Galus is a Medical Doctor who is licensed, registered, and allowed to practice medicine as a General Practitioner by the Medical Council of Tanganyika (in Tanzania). A master’s degree student enrolled at WU-California pursuing an MBA in Healthcare Administration. Dr. Galus has more than 4 years of experience in Blogging, Copywriting, and Search Engine Optimization (Google SEO) based on healthcare-related articles, financial market analysis, and educational content
RELATED ARTICLES

623 COMMENTS

      • kwa jina naitwa ibfahim mazoea naish dar es salaam kinondon naomba nafasi ya kazi ya idereva
        elimu n. ya form four
        no yangu ya simu n
        0692 540401
        asante

          • Naitwa. Emanweli Alfried naomba kujinga na jeshi la tanapa. Simesomea udereva na umacanika nina vyeti pamoja na leseni nimesoma had. Kidato cha nne 0714234370 au 0675613378

        • Naitwa simon bunzari mkazi wa Mwanza elimu form two,naombakaz katka kampun yenu naamini nitachapa kazi sitawaangusha nitakuwamwamifu,ahsanten nawatakia kazinjema Bwana awatangulie kwatafakari hii wenu katka kazi simobunzar,0710690896

        • Naitwa Nalisisi Martin Alistides Elimu yangu kidato cha NNE. Naomba kazi ya kutunza vifaa Umri wangu miaka 23 nitashukuru sana hendapo nitapokelewa No,0755283873 Au 0653809819 nawatakia Kazi njema

            • Kwa jina naitwa Victoria Benson (22) kutoka Mwanza, nnaelimu ya diploma ya uchumi katika chuo cha usimamizi wa fedha (IFM). Naomba kaz yoyote kwenye kampuni yenu kwa mawasiliano zaidi wasiliana nami kwenye namba 0624320629.

        • Rose Msafiri,
          14/11/2018
          Naitwa Rose Msafiri, naomba kazi kutunza vifaa naishi mwanza.Nitashukuru iwapo nitakubariwa. Namba yangu ya simu Ni 0759658478

      • Naitwa Gadi Robert Mbwambo elimu yangu kidato Cha nne na Nina level 3 ya electrical installation ninauzoefu wa kazi ya umeme kupitia kampuni mbali mbali,ikiwemo Nile perch kiwanda Cha samaki,na pia tanesco mawasiliano yangu 0769687937

      • My name is paul rudala I would like to apply a position of store keeper I was completed advance diploma in account so I have experience I have been working different organization
        I hope so I Will get a job my number 0757655167

        • Naitwa Jesca Welwel, nimemaliza kidato cha NNE 2014 naishi Manyara ninaomba kazi yoyote katika Kampuni yako,..Nitafurahi sana endapo ombi langu litakubaliwa..Namba zangu ni 0744059739

        • Jina langu ni Mmbaga Mwasity A. ni muhitimu wa chuo kikuu katika fani ya ualimu wa science naomba kazi ya supervisor kwani ni moja ya ndoto zangu na napenda na ntafanya kazi kwa umakini mkubwa endapo ntapata nafasi Ahsante.namba yangu ya simu ni 0768367073 au 0654726038.Ahsante

      • Naitwa Jackline Sospeter naishi Mwanza elimu yangu kidato cha nne.Naomba kazi ya usafi.Nahidi nitakuwa mwaminifu katika kazi yangu,nitashukuru sana endapo ombi langu litakubalitakubaliwa. Namba ya cm 0762830146

        • naitwa sada Abdallah kamenya naomba kazi ya kufanya usafi . namba yangu ni 0655655280 Nina uzoefu wa kazi.ahsante

      • Naitwa Mary kaaya nina miaka 23 nimeishia kidato cha nne naomba kazi ya utunzaji vifaa katika kampuni yenu nitakuwa mwaminifu kwenu natumaini ombi langu mtalikubali namba zangu ni 0684633927 au0676128346

      • NAITWA EDSON NINA MIAKA 24 NINA ELIMU YA KIDATO CHA SITA NAOMBA KAZI OFISINI KWENU PIA NINA UJUZI WA KUIJUA PROGRAMU ZOTE ZA KOMPYUTA

      • Naitwa Ngika shaban nimehitimu kidato cha Nne naomba Kazi ya kufanya usafi katika kampuni yenu natumaini ombi langu lipewa kipaumbele mawasiliano no 0758469439

    • Naitwa naomi kashindye mkazi wa kahama elimu yangu ni diploma ya utawala naomba kazi yoyote kwenye kampuni hii
      Namba yangu ni 0753110718

      • Mimi nimesomea office atendant na ya usafi maofisini elimu yangu ni form 4 naomba kazi kwenye ofisi yenu naishi dar es salaam mawasiliano yangu ni 0657928898

    • Education level
      Certificate in secondary education
      Certificate In hotel management and front office operation.
      Certificate in business administration.
      I would like to apply this job vacancy in your organisation.

      • Naitwa Mary Benard Niko Geita na miaka 22 Elimu yangu kidato cha nne Napenda kuomba kazi Nafasi ya KUFANYA USAFI,Nitashukuru kama ombi langu litafanyiwa kazi na kukubaliwa Asante. Mawasiliano yangu 0764927572/0685800035

        • Naitwa Baraka Fidel elimu yangu ni kidato cha nne na pia nina gread one pamoja na level two ya moter vehicle mechanics pia ni dereva mzuri na nina leseni class E naomba kazi yoyote kwenye kampuni yenu nahaidi kufanya kazi kwa huaminifu napatikana da er salaam namba yangu ni 0718201620/0765714677

      • Naitwa Mary Benard Niko Geita na miaka 22 Elimu yangu kidato cha nne Napenda kuomba kazi Nafasi ya KUFANYA USAFI,Nitashukuru kama ombi langu litafanyiwa kazi na kukubaliwa Asante. Mawasiliano yangu 0764927572/0685800035

    • My name is Rehema Kazige, am aged with 23 years old. Am a diploma holder of a special course certified as horticulture attained at horti-tengeru arusha,am applying for the vacancy of special trainers as my qualification meets your demands,have been working by training individual farm projects found at kiteto-manyara. Thanks call 0653 386926,0768 949853 or 0687 610279 you’ll have me on call.

    • kwamajina naitwa Simon Bunzar elimu form two naomba kazi ya usafi katka kampuni yenu naahdi nitakuwa mwaminifu kwakumtanguliza Mungu katka kazi kwa mawasiliano 0710690896,0755578317,ahsanten

      • naitwa Simon Bunzar elimu form two naomba kaz usafi katka kampuni yenu naahd nitakuwa mwaminifu nitafanyakazi vzr sitatoa siri ahsante kwa mawasiliano 0710690896,0755578317

    • Naitwa tomy ngekele naomba nafasi ya kazi ya kutunza vifaa kwan naahidi nikipata nafasi hiyo nitaitumikia kwa uadilifu. Natanguliza shukran zangu za dhati.. Namba yangu ni 0766261466.

        • Naitwa Masalu Nkuni mtanzania
          Elimu yangu cheti cha uuguzi ngazi ya jamii
          Naomba kazi kama operator katika mgodi wa GGM pia ninauwezo wakufanya kazi nyingine yeyote kama vile usafi kutunza vifaa na nyingine yeyote
          Mawasiliano
          0745801959

    • Kwa majina naitwa ASHELI FANEL BUKARA, Nifundi umeme(electrical installation) nimesoma nakupata level two certificate (VC TWO) npo mkoan kigoma ,naomba kazi ya ufundi

      No,0755870304

    • Naitwa ASHELI FANUEL BUKARA, nikijana mwanye umri miaka23,ninaelimu ya kidato cha NNE (form four) nakufanikiwa kusomea umeme kwa mda Wa miaka miwili na kupata VC TWO naomba kazi katika ngazi ya ufundi

      Number 0755870304

    • Naitwa asnath mkuji nina elimu ya kidato cha nne division four nina umri wa miaka 19 naomba kazi katika kampuni yenu naahaidi kufanya kaz Kwa juhud Na ufasaha kabisa 0765378513

    • Naitwa Mawazo masanja Sebastian
      Naomba kazi ya kutunza vifaa katika mgodi wa GGM elimu yangu na cheti cha uuguzi ngazi ya jamiii pia nina uwezo wakufanya kazi nyingine yeyote kama usafi na nyingine yeyote

      Mawasiliano
      0762241506

    • Naomba kaz ya ulinzi na usalama wa Mali kwakua ninauzoefu nayo pia nimepitia mafunzo ya kijesha ktk jeshi LA kujenga. Taiga JKT naahidi kua mwaminifu Elim yang ni kidato cha NNE pia nideleva asante

    • Habari za kanzi mkuu Ninaitwa sylvester samson nipo bugulula geita ninaomba kanz ya kutunza vifaa elimu yangu ni 4m4 na nitashkulu sana japo ombi lang litashkulikiwa number agu ni:- 0745505608

  1. Elimu yangu ni kidato cha nne naomba kazi ya utunzaji wa vifaa nimeomba nafasi hii sababu nnaamin naiweza na ntaimudu. Naahidi kufanya kazi kwa uweredi wa hali ya juu kwa muongozo wa kiongozi wangu na kwa ushirikiano na wenzangu
    Simu namba: 0655-251126

  2. you are actually a excellent webmaster. The web site loading pace is incredible.
    It kind of feels that you’re doing any distinctive trick.

    Moreover, The contents are masterpiece. you have performed a wonderful process in this subject!

    • Naitwa Milka Daniel Erasto Ninaelimu ya kidato cha nne naomba kazi yoyote katika kapun yako. 0710093701

  3. Hey there! I realize this is sort of off-topic but I needed
    to ask. Does running a well-established blog like yours require a lot of work?
    I am completely new to running a blog however I do
    write in my diary every day. I’d like to start a
    blog so I can easily share my experience and views online.
    Please let me know if you have any ideas or tips for new aspiring bloggers.
    Appreciate it! httpss://ketosupplementtrial.com/

  4. My name is EUGENIA PAULI SIMONI my level aducation Certificate of RECORD MANAGEMENT i need job please help me
    My number :0676122575

    • I am PIUS MTALEMWA ANDRIAN. A male of 26years old and a graduate for bachelor degree of geography and English language in education. From the university of Mwl Nyerere main camps dar es salaam,allocated at kigambon ferry.
      I hereby applying for a job vacancy at your company I a sure you to perform effectively, regardless am considered.
      In the following position:
      Administration
      Storekeeper
      Clean ness
      Security

      0757955953
      [email protected]

  5. I am in really need of a job in the geita gold Mine , I can do any affordable job, iam a man 22 years my Education is form six,,,

  6. Nahitaji kazi mm mkazi wa Kahama, umri miaka 22 ,ni mwanaume elimu yangu ni kidato cha Sita..namba yangu ya simu ni 0759130266 ready to work in any affordable environment

  7. Amazing! This blog looks just like my old one! It’s on a entirely
    different topic but it has pretty much the same layout and design. Outstanding choice of colors! httpss://betterstrength.net/

  8. Naomba kazi ya kutunza kumbukumbu nina elimu ya kutosha niliyoipata katika chuo cha uhasibu Tanzania ni matumainj yangu kuwa ombi hili litakubaliwa

  9. I know this if off topic but I’m looking
    into starting my own blog and was curious what all is required
    to get setup? I’m assuming having a blog like yours would cost a pretty
    penny? I’m not very internet savvy so I’m not 100% positive.
    Any suggestions or advice would be greatly appreciated.
    Thanks

  10. httpss://www.reddit.com/r/ketodietprogress/comments/9ulckc/ketogenic_safe_food_list/
    Great beat ! I wish to apprentice while you amend your website, how can i subscribe for a blog
    web site? The account aided me a acceptable deal.
    I had been tiny bit acquainted of this your broadcast offered bright clear idea

    • Naitwa Mary Benard Niko Geita na miaka 22 Elimu yangu kidato cha nne Napenda kuomba kazi Nafasi ya KUFANYA USAFI,Nitashukuru kama ombi langu litafanyiwa kazi na kukubaliwa Asante. Mawasiliano yangu 0764927572/0685800035

  11. Sharifa abdallah nina miaka 22 elimu yangu ni stashahada ya ukarani[ secretary] naomba kazi yeyote kulingana na elimu yangu. Asante. 0678995578

  12. kwa jina naitwa shukuru abdallah umri wangu miaka26 ,naomba kazi katika kampuni yenu mimi ni ufundi umeme niliesomea nnauzoefu na nnavyeti level yangu ni level two ,,no 0717024996 au 0623248921

  13. My name is ELITRUDA NEMES KESSY,I’m Tanzanian girl i have 26 years old,I have certificate of ICT.I’m read need a job in the Geita Gold Mining,i can do any affordable job.I look forward to hearing from you

    • My name is ELITRUDA NEMES KESSY.I’m Tanzanian girl of 26years old.I have certificate of ICT.I’m read need a job in Geita Gold Mining,i can do any affordable job.It’s my gladdnesses working in your industry.
      I appreciate with your cooperation
      My mobile number : 0762528443 / 0711 937289.

    • Name , Emmanuel Nangi. I have more pressure about this opportunity. My education level is form four I would like to join on this mine doing a job concerning my education its my hope that I will do the best my level to make sure my contribution is seem to brought a fruit in the mine,,,, thank you 0715138435

  14. Keep up the wonderful piece of work, I read few posts on this web site
    and I conceive that your site is really interesting and contains lots of great information. httpss://genodriveme.com/

  15. Naomba kazi ya kutunza vifaa elimu yangu ni kidato cha nne namba yangu 0766738291.ntafurahi endapo ombi langu litakubaliwa.

    • Naitwa John Valerian Ritte Nina umri wa miaka 30 Nina elimu ya kidato cha NNE pia Nina taaluma ya udereva wa magari madogo lesseni yangu ni daraja C1, C2, C3,D nimefuzu mafunzo yangu ya awali ktk chuo cha Veta na mafunzo ya juu ktk chuo cha Taifa cha Usafirishaji cha NIT naomba nafasi mojawapo kati ya Dereva ,au kutunza vifaa nikipata nitakua mwaminifu kwa mwajiri wangu na kwa uongozi kwa [email protected]

  16. Name , Emmanuel Nangi. I have more pressure about this opportunity. My education level is form four I would like to join on this mine doing a job concerning my education its my hope that I will do the best my level to make sure my contribution is seem to brought a fruit in the mine,,,, thank you 0715138435

    • Requesting any job from your good and well organized company, any post am degree holder from Udsm and persuaded many courses in different carriers.
      Contact:0754096329.

  17. This is the right website for anybody who really
    wants to understand this topic. You know a whole lot its almost hard to argue with you (not that I really would want to?HaHa).
    You definitely put a fresh spin on a topic that has been written about for a long time.
    Excellent stuff, just excellent! httpss://synergex7.net/

  18. Hey! I’m at work surfing around your blog from my new iphone!
    Just wanted to say I love reading your blog and look forward to all your posts!
    Keep up the excellent work!

  19. As I website owner I believe the written content here is very wonderful, appreciate it for your
    efforts. httpss://qualitynutraketodiet.com/

  20. I blog often and I truly thank you for your information. This article has really peaked my interest.
    I am going to book mark your website and keep checking for
    new details about once a week. I subscribed to your
    Feed too. httpss://verocream.net/

  21. Wonderful paintings! That is the type of information that are supposed to be shared across the web.
    Disgrace on the search engines for no longer positioning this post upper!

    Come on over and discuss with my website . Thank you =) httpss://bodyfitketo.org/

  22. Naitwa Eliada N.Maiga nimesomea utunzaji kumbukumbu, natumaini nitafaa katika utunzaji Wa vifaa
    0755018800

  23. naitwa atufingine Maholani nipo mbeya naomba kazi Nina elimu ya certificate of record management namba yangu ni 0768837028

  24. I’m gone to say to my little brother, that he should also pay a quick visit this
    weblog on regular basis to obtain updated from newest news update. httpss://nutrasurrealforskolins.com/

  25. Josephina Thomas elimu yangu ni stashahada ya maendeleo ya jamii, naomba kazi kitengo chochote, uzoefu; cashier, data entry,secretariet na record management namba yangu ya simu 0765013564

  26. Naitwa Mary paul, ni muhitimu wa shahada, napenda kuomba kupewa kazi ya kutunza kumbukumbu au kufanya usafi,
    Ni matumaini yangu ombi langu litafanikiwa,

  27. You have brought up a very wonderful details, thank you for the post. httpss://purefastketo.net/

    • Ninaitwa Joshua nimesomea utunzaji wakumbukumbu nitafaa Katika utunzaji wakumbukumbu ninadiploma y’a records management. 0755934489

    • I’m looking for job according to the above announcement, my level of education is Bachelor of philosophy with education. I can do any affordable work according of my level of education.

  28. Mwindadi mabruki,level diploma Naomba kazi kutokana na nafasi zilizopo namba 0712423194 nipo tanga,ahsante

  29. Amazing blog! Is your theme custom made or did you download it from somewhere?
    A design like yours with a few simple tweeks would really make my blog jump out.

    Please let me know where you got your theme.
    Appreciate it httpss://maxboostomegamuscle.com/

  30. Am Nolasco mathias sanga, a boy of 26 yrs old, living at mbeya, am seeking for a job which will be relevant with my skils from adminstation studies, am a holder of diploma in business adminstrarion, as per supervising mentor am well skilled with that, waiting for ur check out. 0755917639

  31. My name is juma mruta live in mwanza my education level is diploma in laboratory technician.I would like to apply for the job mentioned above as an operator. I will be happy if my request will be accepted

  32. I am in fact grateful to the holder of this website who has
    shared this wonderful paragraph at at this place. httpss://slim999keto.net/

  33. Excellent article. I am dealing with some of these issues as
    well.. httpss://rx1male.net/

  34. Oh my goodness! Incredible article dude! Thank you,
    However I am encountering problems with your RSS.

    I don’t understand why I can’t join it. Is there anybody else
    getting similar RSS problems? Anybody who knows the solution will you kindly respond?
    Thanx!! httpss://dermacorrect.org/

  35. Hello there, just became aware of your blog through Google,
    and found that it’s really informative. I’m going to watch out for brussels.
    I will appreciate if you continue this in future. Many people will be benefited from your writing.
    Cheers!

  36. hey there and thank you for your info –
    I have definitely picked up something new from right here.
    I did however expertise a few technical points using this site, as I experienced to reload the web site lots of
    times previous to I could get it to load properly. I had been wondering if your web hosting
    is OK? Not that I am complaining, but sluggish loading instances times
    will often affect your placement in google and can damage your high quality score if advertising and marketing with Adwords.
    Anyway I am adding this RSS to my e-mail and can look out for much more of your
    respective intriguing content. Ensure that you update this again very soon.

  37. Outstanding post, I believe people should acquire a lot from this weblog its very user pleasant.
    So much fantastic info on here :D. httpss://www.yelp.com/user_details?userid=Xzm1mbKNEiamGE8qT-qkbQ

  38. Wow, this post is fastidious, my younger sister is analyzing these kinds
    of things, thus I am going to inform her. httpss://jubileantigravity.com/

  39. Hello I am so happy I found your blog, I really found you by
    mistake, while I was researching on Askjeeve for something else, Nonetheless I am here now and would
    just like to say thanks for a marvelous post and a all round interesting
    blog (I also love the theme/design), I don’t have time to go through it all at the moment but I have saved it
    and also included your RSS feeds, so when I have
    time I will be back to read a great deal more, Please do keep up the awesome job.

  40. Naitwa Mohamed Idd Mdaki nina umri wa miaka 24, pia nina Elimu ya kidato cha nne na nimesomea fani ya Electrical installation (ufundi umeme) kwa miaka miwili (2) na Nimepitia National Service (JKT).
    Kwa mawasiliano;
    0744821564 au
    0565841338.
    Naimani ombi langu litakubaliwa.
    Ahsante.

  41. Naitwa Jelly Andrew,nina certificate ya ualimu, naomba nafasi ya kufanya usafi,Nina uzoefu wa kutosha na kazi hiyo.ni matumaini yangu ombi langu litakubaliwa.(0625613129.)napatikana Dar es Salam.

  42. Nice weblog right here! Additionally your site quite a bit
    up fast! What host are you the use of? Can I get your associate
    link for your host? I want my website loaded up as fast
    as yours lol. httpss://hydrestore.org/

  43. What’s up, this weekend is nice for me, since this moment i am reading this enormous informative paragraph here at my residence. httpss://ketoshreddiet.com/

  44. Thank you so much regarding giving us an update on this topic on your web site.
    Please understand that if a brand new post becomes available or if
    perhaps any changes occur to the current posting, I would consider reading more
    and learning how to make good using of those techniques you write about.
    Thanks for your time and consideration of other men and women by making this blog available. httpss://flextron.net/

  45. Naomba kazi yoyote maake mwanaume achagui kazi iwe usafi sawa iwe kutunza bustani sawa iwe kushusha mizigo sawa tu mi kazi yoyote nafanya tu ntafulai sana endapo ntapata kazi kwenye kampuni hii asante by Mr Burito nashon 0755630366

    • Naitwa, YOHANA NATHANIEL, elimu yangu nmehitimu chuo kikuu, pia nimefanya mafunzo ya jkt naomba kazi ya kufanya usafi, mawasiliano 0758185659/0789494561,

  46. Naitwa MAPESA J MASOTA
    Nimuhitimu wa kidato cha nne ninauwezo wa kufanya kazi ya kutunza store
    Pia nimesomea medical attendant (first aider)
    Ninaimani ombi langu litakubaliwa
    Mawasiliano yangu 0753398577

  47. Magnificent beat ! I would like to apprentice whilst you amend your website, how can i subscribe for a weblog web site?

    The account helped me a appropriate deal. I were a little bit acquainted of this your broadcast provided
    shiny transparent concept. httpss://erogenx.org/

    • Naitwa norahy kisongo naomba/ natafuta kazi ya usafi Nina uzoefu wa usafi wote nina elimu ya 4m4 natumaini ombi langu linashughulikiwa ninakaa arusha nikipata nafasi kwa mawasiliano zaidi no:0625532643

  48. I was just searching for this information for some time.
    After six hours of continuous Googleing, at last I got it in your web site.
    I wonder what’s the lack of Google strategy that don’t rank this type of informative sites in top
    of the list. Generally the top sites are full of garbage. httpss://ketoslimmax.net/

  49. Mimi Rashida M.Yahya, nimsichana wa kitanzania, elimu yangu ni ya diproma ya ukutubi na Uhifadhi nyaraka, endapo mkinichagua nahaidi ntakuwa na ushilikiani na ntafanya kazi kwanz bidii kwa mawasiliano 0715935246,0625546629 asante

    • naitwa masanja k juma nimemalza elim ya sekondar na nimesoma cheti ya ualimu ,pia nimesoma computer application, hivy naomba kazi kulingan na sifa zangu,0689333173,0659426930,0753431181

  50. Nice read, I just passed this onto a friend who was doing
    a little research on that. And he actually bought me lunch as I found it for him smile Therefore
    let me rephrase that: Thanks for lunch! httpss://elyraderma.com/

  51. Your mode of telling all in this post is genuinely fastidious, every one
    can effortlessly understand it, Thanks a lot. httpss://vitobrainpill.com/

  52. I have read so many posts concerning the blogger lovers except this
    article is in fact a fastidious article, keep it up. httpss://zvital.net/

  53. Hello. impressive job. I did not anticipate this.
    This is a great story. Thanks! httpss://diademgarcinia.net/

  54. I real delighted to find this website on bing, just what I was searching
    for 😀 also bookmarked. httpss://ketoprimal.net/

  55. Naitwa BARAKA JUSTINE TIMBA nina umri wa miaka 20, elimu yangu darasa la saba,dini ni mkiristo nyumbani tarime, naomba kazi ya Electrians upande wa electrical installations kwani ninaupako na uweledi wa kufanya kazi hiyo kwani nimesomea fani hiyo kwa miaka mawili na kuifauru vyema

  56. My name is Mutalemwa Mulokozi
    I have been completed this year
    At University of Dar-es-Salaam
    At bachelor degree of geography
    And Environmental studies
    ,i did practical training on
    Gold mines company and studied
    Part of my course called
    Natural resource management
    Just call me whotever available
    Whasap or through call
    Contact number 0674631933

  57. Naitwa BARAKA JUSTINE TIMBA nina umri wa miaka 20, elimu yangu darasa la saba,dini ni mkiristo nyumbani tarime, naomba kazi ya Electrians upande wa electrical installations kwani ninauwezo na uweledi wa kufanya kazi hiyo kwani nimesomea fani hiyo kwa miaka miwili na kuifauru vyema
    0755665867

    • Jina langu ni juma m mashimba, nina umri was miaka 22 Nina elimu ya kidato Cha nne, pia Nina leseni ya udreva daraja D,ivyo ninaomba nafasi ya kazi kutokana na tangazo lenu lilivyojieleza ntafurah endepo ombi langu litashughulikiwa, asantee simu no 0627509429

  58. I am asking for a job of Supervisor-underground mining due to the fact that I have required qualifications thanks if my request will be taken positively in Improving our Nation as a slogan of JPM “HAPA KAZI TU”

  59. Kwa majina naitwa glory mushi Nimesomea stashahada ya uhasibu, naomba kazi katika kampuni yako, nipo tayari kufanya kaz yoyote mbali na fani niliyosomea, wako katika ujenz wa taifa

    0754263935 /0627140075

  60. naitwa maria mwita naomba kazi ofisini kwenu Nina umri wa miaka 24 nimemaliza kidato cha nne naomba kazi ya usafi na natumaini obirangu litakubaliwa
    sim namba 0757884904

  61. umri (23)elimu ya certificate in nursing and medical na natoa huduma ya first aid kit napenda kufanya kazi Geita naomba mnisaidie kupata kazi hii asanteee.

  62. ninaitwa nicholous gwerino msasa nina umri wa miaka 25 pia elimu yangu ni kidato cha nne ninairaji kaxi yoyote kutoka kwenu pia nina certificate ya ufundi bomba katika chuo cha don bosco iringa naombeni mnisaidie kifanikisha malengo yangu namba yangu ni 0678775429 …..nipo iringa mjini.

    • I’m Ramadhani Mohamed Mullumba a graduate of electrical installation level ¡¡.Am interest on your oppotunities,I will be happy to work with you so as to gain more knowledge.0677682125 thanks.

  63. Naitwa Irene bernald nina Diploma ya Human Resource and Magement, nimehitimu katika chuo cha Uhasibu Singida,, Ninaomba kazi katika kampuni yenu ,,Nina imani ombi langu litakubaliwa

  64. Truly no matter if someone doesn’t understand after that its up to other people that they will
    assist, so here it occurs. httpss://genodrivebooster.com/

  65. Naitwa Damas magoti Mtalima ni mtanzania nina umri wa miaka 32 ninaomba kazi ya operator wa mitambo excavator ninauzoefu wa kufanya kazi hii kulingana na elimu niliyoipata nikiwa chuo
    Pia ninauzoefu wa ufundi wa magari kutokana na kufanya kazi hiyo kwa muda wa miaka miwili nashukuru kwa ombi langu litashughulikiwa Namba yangu ya simu ni
    0788582782, 0657268468
    Email address yangu ni damasmagoti74@gmail . com

  66. Hey there, You’ve performed an incredible job. I’ll definitely digg it and for my part suggest
    to my friends. I am sure they’ll be benefited from this site. httpss://novaessenceskincream.net/

  67. Name:Wilbert Shilinde
    Education: Bachelor of Philosophy & Education.
    Age: 31 Year old
    Nationality: Tanzanian
    Contacts: 0782270412/0759317758
    Religion: Christianity.
    I can do any Job regarding to my level of education. pls Help me.

  68. WOW just what I was searching for. Came here
    by searching for pre-workout experience httpss://maxpowertestosterone.com/

  69. Kwa jina naitwa damas igenga ninayo miaka 19 nimehitim kidato cha nne(4) mwaka 2017,naomba kazi kwenye ofisi zenu nafasi ya utunzaji na uifadhi wa vifaa,naihidi kuipenda kazi yangu na kuiheshimu na kuheshimu wenzangu wote.kwamawasiliano zaidi.

    no0624496249,0678767375
    0767714628.
    Email,[email protected]

  70. Naitwa Daniel Daudi,ni mtanzania,nina umri wa miaka 33,nina elimu ya astashahada ya uhasibu,ninaomba kazi ya utunzaji vifaa katika kampuni yako.Naamini unahitaji watu waadilifu,wawazi,waaminifu na wenye kushirikiana na wenzao ili kuleta ufanisi Naitwa Daniel Daudi,ni mtanzania,nina umri wa miaka 33,nina elimu ya astashahada ya uhasibu,ninaomba kazi ya utunzaji vifaa katika kampuni yako.Naamini unahitaji watu waadilifu,wawazi,waaminifu na wenye kushirikiana na wenzao ili kuleta ufanisi

    Naitwa Daniel Daudi,ni mtanzania niliye na umri wa miaka 33,Nina elimu ya astashahada ya uhasibu niliyochukua katika chuo kikuu cha St.Augustine cha Tanzania.Ninaomba kazi ya utunzaji vifaa katika kampuni yako.Naamini unahitaji watu weledi,waaminifu wawazi na wenye kushirikiana na wenzao ili kutimiza lengo la kampuni.Ni matumaini yangu kuwa ombi language litakubaliwa.( 0757330235).

  71. naitwa delphinus boniphace namiaka 33,Nina elimu ya diploma ya biashara toka chuo cha elimu ya biashara Cbe,naomba nafasi ya kutunza kumbukumbu Nina uzoefu mkubwa,niliopata kutokana nakwamba nimeshafanya kazi na tltc kama forestry sector supervisor,,,, naamini ofis itanifikilia na kunikubalia ombilangu,namba yangu yasimu ni 0688335088,asante

  72. Naitwa Edson mvungi Nina miaka 22 .naomba kazi ya ufundi umeme au pump operator Nina certificate ya electrical engeneering katika kozi za apprenticeships system Nina uzoef wa Miaka mitatu na kazi hizo nitafurahi nikipata kazi kwenye K ampuni yako namba yangu ya Simu 0718400186

    • Naitwa Anna Joseph Kiparasha, naishi Mwanza Elimu yangu ni kidato cha 4. Naomba kazi ya kufanya usafi popote.0653508708

  73. Naitwa ester ellen kulwa mkazi wa morogoro Nina umri wa miaka 27 nimesomea ugamvi naweza kutunza store nimaliza certificate ya ugamvi pia Nina udhoefu wa kutunza store

  74. naomba Kazi ya kutunza kumbukumbu,mim nimsomi Nina diploma ya biashara kutoka chuo cha biashara CBE, namba yangu ni 0688335088

  75. Name:Irene Sebastian
    Education:Diploma in Early Childhood Development
    Age:23 years
    Location:Dar es Salaam
    Contact:0679015646

  76. Enatha Lutha nipo Geita Nina umri wa miaka 26, ninaelimu ya kidato cha nne,Nina uzoefu wa computer nimeisomea na ninacheti, hivyo nikotiari kufanya Nazi yoyote kwenye kampuni yako, tofauti na niliyosomea. Endapo nikipewa nafasi na kuelekezwa nitaipenda kazi yangu bila kujali lolote nitakuwa mtiifu kwa kila mfanyakazi endapo nikipata nafasi hii mtajionea wenyewe. Naomba sana natamani kuwa na ajira na Mungu anisaidie katika hili. Mawasiliano yangu ni 0742534813 / 0719105982

  77. Naitwa Elizabeth mbogo nina miaka 21 ninaelimu ya 4m4 naomba kazi ya utunzaji wa vifaa namb:0756829060

  78. Naitwa Iluminata Mlwale , nimehitimu elimu ya shahada ya kwanza ya uchenjuaji wa madini, ninaomba nafasi ya kazi katika kampuni yenu, hata kama ni kufanya usafi , namba yangu ni 0764548415

  79. Fantastic items from you, man. I’ve be mindful your stuff prior to and you’re just extremely magnificent.
    I really like what you have obtained right here, really like what you are saying and the best way through which
    you assert it. You make it enjoyable and you
    still care for to keep it wise. I cant wait to read far more
    from you. This is actually a terrific web site. httpss://wasatchbiolabs.net/

  80. Naitwa Elizabeth kimath,nimesomea Mambo ya community development katika ngazi ya certificate,naomba kazi yoyote.asante sana

  81. Naitwa Elizabeth kimath,nimesomea Mambo ya community development katika ngazi ya certificate,naomba kazi yoyote.asante sana
    0745134688.

  82. naitwa Benedicto Mageni,naomba kazi ya ufundi wa magari,nimesomea chuo cha ufundi tabora level ya certificate. 0757329974 au 0767129415

  83. Naitwa Emmanuel mathias ni muhitimu wa kidato cha nne katika shule ya sekondari Nyakasaluma naomba kazi ya Jumbo opperator nimeomba nafasi hii sababu ninaamini naiweza na nitaimudu .Naahidi kufanya kazi kwa weredi wa hali ya juu kwa muongozo wa kiongozi wangu na kwa kushirikiana na wezangu nitafurahi sana endapo ombi langu litakubaliwa naahidi kuwa mwadilifu na mtiifu katika kazi asante sana.simu no 0742828210

  84. I loved as much as you’ll receive carried out right
    here. The sketch is attractive, your authored material stylish.
    nonetheless, you command get got an nervousness
    over that you wish be delivering the following. unwell unquestionably come more formerly again since exactly the
    same nearly very often inside case you shield this increase. httpss://vidatone.org/

  85. Its like you read my mind! You appear to know a lot about
    this, like you wrote the book in it or something. I think that you can do with some
    pics to drive the message home a little bit, but other than that,
    this is great blog. An excellent read. I will certainly be back. httpss://surgerx.org/

  86. Naitwa dotto mussa nimesomea record management ngazi ya certificate natumaini ombi langu litakubaliwa kwani ninauzoefu n kutunza kumbukumbu asnteni namba yangu 0715823215

  87. Naitwa dotto mussa nimesomea record management ngazi ya certificate natumaini ombi langu litakubaliwa kwani ninauzoefu n kutunza kumbukumbu asnteni namba yangu 0715823215

  88. Respected Ashanti Gold Mines, My name is Kubega M Dominiko form six leaver for 2018. I am 21 years of age, A Tanzanian by residence with fruitful commitment in any circumstances. I write to apply for the post of jumbo operator. I am a harder worker and disciplined. My aim to apply for a job in your company is to share my maximum effort with you for further success and I am ready for any changes that may be made by you for the applied post.
    Positive response will be highly appreciated.
    Yours,
    Kubega M Dominiko
    0744833715

  89. Naitwa Leah ni mkazi wa shinyanga naomba kazi ya usafi nina uzoefu wa miaka miwili nilioupta katika kiwanda cha Azam cola naomba yangu 0712561881

  90. Naitwa Leah ni mkazi wa shinyanga naomba kazi ya usafi nina uzoefu wa miaka miwili nilioupta katika kiwanda cha Azam cola naomba yangu 0712561881

  91. Mimi Oresti G Amandi naomba nafasi ya electrical installation Nina certificate pia nimehitimu kidato cha nne ninauzorfu wa miaka miwili

  92. Naitwa SAID AMIRI ni mtanzania nina umri wa miaka 25 Ninaelimu ya Form 4 ninaomba kazi ya operator wa mitambo excavator na Planting ninauzoefu wa kufanya kazi hii kulingana na elimu niliyoipata
    Pia ninauzoefu kutokana na kufanya kazi hiyo kwa muda wa miaka miwili nashukuru kwa ombi langu litashughulikiwa Namba yangu ya simu ni 0768 057 508, 0675 630 485

  93. Majina yangu ni Jane Wakuru Samwel.Nina elimu ya kidato Cha nne,ninaomba kazi ya kutunza vifaa katika kampuni yako.Nahaidi kufanya kazi kwa uaminifu na bidii kwa kushirikiana na wenzangu endapo nitabahatika kuwa miongoni mwa watakao chaguliwa.Mawasiliano yangu ni 0767 403067 au 0655 403067

  94. Majina yangu ni Jane Wakuru Samwel.Nina elimu ya kidato Cha nne,ninaomba kazi ya kutunza vifaa katika kampuni yako.Nahaidi kufanya kazi kwa uaminifu na bidii kwa kushirikiana na wenzangu endapo nitabahatika kuwa miongoni mwa watakao chaguliwa.Mawasiliano yangu ni 0767 403067 au 0655 403067

  95. Jina langu naitwa Faldu Mtanda nina elimu ya 4m4 naomba kaz ya kutunza vifaa mamba zang ni 0683349776

  96. ninaitwa Sara L. Ntandu,nina umri wa miaka 23,elimu tangy ni stashahada ya ualimu ngazi ya msingi, (ordinary diploma in primary education). lakini pia nmesoma ICT kwa program ya computer applications, na computer networks.Naomba kazi yeyote kulingana na elimu yangu, Naamini maombi yangu yatakubaliwa.
    namba yangu ni 0766623914

  97. Naitwa Moses Robert Simbi nipo Dar es salaam, elimu kidatu cha nne ,ninaomba Kazi ya supervision, nimesomea tena ni master gaid. Ninahaidi nikipata nafasi nitafanya kea uaminifu wote maana Mimi ni mwaadventista msabato.
    No.0759707030
    0654992728 Ahsanteni sana kwa kupokea ombi langu

  98. Jemadari Misago Niko mikoa wa Kagera ninaomba yoyote maana nimesomea ufundi ujenzi pia nimewahi kufanya Kazi katika kampuni ya MAJOR DRILL Kazi yoyote itakayojikeza naomba nafasi hii ya pekee.0620176827,0789948227.

  99. My name is ERICK ALPHONCE. I am a Tanzanian citizen with the age of 24 years old am a holder of Bachelor of commerce in Finance. I would like to apply for the post of supervisor as it was advertised. I am an individual who is capable of working alone and also as a part of group or team to achieve company’s goals.I look forward to hearing from you.

  100. Naitwa Joram Katunzi Emmanuel kutoka mwanza, nimehitimu stashahada ya uhasibu(ordinary Diploma in Accountancy)naomba nafasi ya usimamizi wa stoo (supervisor-store tools),ninauzoefu
    Wa miaka miwili TANESCO-mwanza.Nitashukuru Sana ombi langu likikubaliwa-0763000817

  101. Iam florance alfred aged 29years. am looking for job opportunities in your company .
    My level of education are
    Secondary education from 2004 to 2008 in malenga secondary school,
    Advance level from 2009 to 2011 at usevya sec school
    Diploma in secondary education from 2012 to 2014 at st aggrey teachers college
    And also ihave passed jkt at mtabila
    From 2014 to 2015
    If got that chance i will be sincere full to my work
    My phone no:0759377586

  102. Nmesoma certificate ya business adminstration na nina driving licence nahitaji kazi phone number 0783 704002

  103. Naitwa Gando Salvatory , Naomba kazi ya kutunza vifaa elimu form six, ntaifanya kazi kwa weledi na uaminifu kwa kiwango cha juu

  104. Elimu angu ni Diploma in Fisheries science and Technology the same with environmental studies nimesoma Fisheries Education and Training Agency Nyegez campus Mwanza napenda unipatie kazi yoyote katika kampuni ako kwanii na uzoefu wakutosha na niko tayari kufanya kazi katika mazingira yoyote

    • Naitwa Martha Maingu nimehitimu masomo ngazi ya cheti ya utunzaji kumbukumbu na masomo ya ufundi bomba naomba kupatiwa kazi ya kutunza vifaa.Nashukuru kama ombi langu nitajibiwa namba yangu ni 0717093064/0684026968.

  105. naitwa Michael Julius ,mtanzania mwenye umri wa miaka 27 niliyehitimu Mafunzo ya mwalimu ngazi ya cheti naomba kazi yoyote itakayonifaa kutokana na elimu yangu no.zangu Ni 0759099176.nitafurah endapo nitajibiwa.ahsante

  106. Naitwa nasma Mahmoud mkalawile Nina elimu ya kidato cha nne nilikuwa naomba kazi ya usafi kwasababu Nina uzoefu nayo naishi Lindi simu namba 0655164852

  107. NAITWA PAULO BONIPHACE LUHENDE MKAZI WA SHINYANGA MJINI UMRI MIAKA 18 . ELIMU YANGU NI DARASA LA SABA. PIA NI MHITIMU JESHI LA AKIBA MWAKA 2018 NAOMBA KAZI YA ULINZI NA USAFI KATIKA KAMPUNI GGM NATUMAINI OMBI LIMEPOKELEWA . NO: 0743794053 &0710139359

  108. My name is Zacharia Benedicto Lwimbo from Iringa -Mufindi, am 28 years old, my education level is Form 4, am also a certificate holder in primary teaching education in 2016, I ask any job according to my level of education at Gold mining. Am so happy if my request will be taken under consideration . Thanks, my contacts : 0755247541//0758105481

  109. my name is samson m amos from mwanza am 24 yrs old education level is Form 4 and certificate of general agriculture
    i ask a job at any postion acording to education level i will be happy if my request will be taken under consideration
    contact 0766429992 / 0621964916

  110. Naitwa Maria Nahayo nimemaliza kidato cha nne, naomba kazi ya usafi nitaifanya kwa uaminifu na umalidadi wa hali ya juu,
    Mawasiliano yangu ni: 0745831590

  111. Naitwa Saraphina Kivinge kutoka Iringa ni mTanzania elimu yangu ni kidato cha NNE pia nmehitimu mafunzo ya ualimu naomba kazi ya kufanya usafi

  112. Naitwa john nathanaely umri wangu miaka26,elimu yangu ni form4,ujuzi nilio nao ni uderva,computer maintenance. Pia Niko tayari kufanya kazi yeyote ile nitakayopewa ama kupangiwa na uongozi wangu.
    Kwa mawasiliano
    0757324271,0783321269.
    E-mail. [email protected]

  113. Am capable of doing any job that some can teach for 3day to 5days like keeping things etc 0719 717575 .

  114. Naitwa Eliakim Peter haonga ninaelimu ya chuo Veta Dodoma nimehitimu grade two civil draughting Nina Miaka 24 Nina uzoefu na kaz natumaini ombi Lang litakubaliwa

    • Naitwa Erasto Richard naomba kaz yyte nimeitimu 4m4 na Nina lesen ya udrave pia Nina uzoefu na kaz ya worse technical namba 0628963797

  115. I kindly submit my application for any vacancy, my name is Ali muyesi kilinge of age 34 years old. Before I work at geita gold mine as dump truck operator.my education background I’m form four and I hold diploma in safety management and I have certificate of mechanis and computer I’m from Tanga region.im look forward. Phone number +254712626721 or+97430683829

  116. I kindly submit my application for any vacancy, my name is Ali muyesi kilinge of age 34 years old. Before I work at geita gold mine as dump truck operator.my education background I’m form four and I hold diploma in safety management and I have certificate of mechanis and computer I’m from Tanga region.im look forward. Phone number +254712626721 or+97430683829 my email address is [email protected]

  117. My name is Thomas Mwadaga I would like to apply electrician post, my education level is Ordinary level,electrical course grade 2 N.V.T.C,also I have refredgeration and air conditioner certificate grade 3.
    My contact: 0692 674 833/ 0743 325 473
    Email. [email protected].

  118. Naitwa Ichimpaye Shinzeh, binti wa miaka 28 mkazi wa Mwanza.naomba kazi ya usafi ama utunzaji wa vifaa katika kampuni yako ya GGM.elimu yangu ni Shahada ya uchumi kilimo na biashara.naahidi kufanya kazi kwa weledi na kwa usimamizi mdogo endapo nitapewa nafasi.Natumai ombi langu litapokelewa na kukubaliwa.
    Kwa mawasiliano: 0754547233

  119. Dear
    Sir
    My name is Evod Kawishe im matured Tanzanian im looking for the job opportunuty. Im well in Boiler Maker in this schem i have Grade One in W/GArcFabriication .Not only Iwas longly ptactised in Sikh Saw Mills ( T) Ltd Tanga. How ever its my strongly that iwill get the postive reply for your future thnx.

  120. Naitwa Daud Ngasa mafungwa nmesomea procurement nna umri miaka 25 naomba kaz katika kampun yako namba ni 0759397562

  121. Jina langu Veronica chaye ni msichana mwenye umli wa miaka 22 naomba kazi ya utuzaji vitu nimesomea utuzaji wa kumbukumbu 0746197091

  122. Jumanne Omary Ngarama, muhitimu wa level two katika fani ya umeme katika chuo cha ufundi stadi VETA Mgualani, umri miaka 27, nina utayari wa kufanya kazi katika mazingira yenu. Naomba mpokee maombi yangu. Ahsanteni. 0712306353

  123. I’m Sadiki Saburi,age 21 am mining engineering technology,I have experience in mining.
    I would like to work Geita gold mining in the section of operater, I believe in faithful and appreciate my request.
    Contact:+255744363042

  124. Dear Sir/Madam,
    My name is Amran Godwin and am 25 years old. I hereby apply for the job vacancy as advertised in this website and my wish and hopes is to get any job concerning maintenance of machineries as i have jus completed my bachelor degree of marine Engineering. I am a hard worker and i hope you will give me an opportunity to apply all my knowledge and skills in your company.

  125. Naitwa Fatuma Shaban miaka 24 mkazi wa geita,elimu yangu ni kidato cha 4 nina certificate ya ualimu.Naomba kazi ya utunzaji wa vifaa naamini naiweza na nitaifanya kwa uaminifu sana.email yangu ni [email protected] au 0755317221
    Ahsante.

  126. Naitwa Fatuma Shaban miaka 24 mkazi wa geita,elimu yangu ni kidato cha 4 nina certificate ya ualimu.Naomba kazi ya utunzaji wa vifaa naamini naiweza na nitaifanya kwa uaminifu sana.email yangu ni [email protected] au 0755317221
    Ahsante.

  127. Naitwa Irene Zablon 23 toka geita naomba kazi ya utunzaji vifaa au ya usafi,elimu yangu ni kidato cha 4
    0755317221
    Ahsante.

  128. naomba nafasi ya utunzaji vifaa mimi ni getera ramadhan monge elimu kidato cha nne pia nna cheti cha elimu ya ufundi wa umeme wa magali (AUTO ELECTRICS LEVEL II)
    MAWASILIANO 0782395998/0768339287

  129. Naitwa Emanueli Elias Nimesomea ufundi bomba kwa miaka miwili nina cheti cha daraja la pili la (VETA) nina elimu ya kidato cha nne.Naomba kazi katika kampuni yenu nitafanya kazi kwa uadilifu mkubwa ili nilijenge Taifa langu la Tanzania.Mungu awabariki sana. Mawasiliano 0759895008

  130. Naomba nafas ya kaz katika nafas ya ufundi umeme hata mtunza vifaa nina elimu ya form four pia nina cheti cha ufundi umeme level II

  131. Naitwa Fatuma Shaban miaka 24 mkazi wa geita,elimu yangu ni kidato cha 4 pia nina certificate ya ualimu.
    Naomba kazi ya utunzaji wa vifaa katika kampuni yenu.
    [email protected] or 0755317221
    Ahsante

  132. My name is Norman chihota. I am 27 years old. I am applying for a driving post. I have been on the road for 7 years and I have my NIT certificate I finished my O level in Zimbabwe. If you are looking for a good driver I am the best.
    How to hear from you soon.
    0789766722
    0715088786
    [email protected]

  133. My name is Norman chihota. I am 27 years old. I am looking for a driving job. I have my NIT certificate and I have 7 years of experience as a driver. I drive and I care for the vehicle. If you I look for a good driver I am the right guy for the job.
    0789766722
    0715088786
    [email protected]

  134. My name is Richard Robert
    Education: Diploma in computer information technology
    Professional: website,blog,computer maintenance with graphics design

    IT Consultant
    Tel: 0685932113

  135. Naitwa sultani salumu kaburuta nina umri wa miaka 28 ni mkazi wa kahama ninaomba kazi ya forklift operators pia naomba kazi ya reach stacker operators pia nina certificate TANZANIA PORTS AUTHORITY BANDARI COLLEGE pia nina certificate of service ya kurasini container terminal limited ninamatumaini kwamba ombi langu litakubaliwa asante wako katika ujezi wa taifa namba za simu 0744318316 au 0716672257

  136. Naitwa Kiza Elisha kifunyu,mkazi wa Kigoma, Nina elimu ya kidato cha nne,nina ujuzi wa kuoperate mashine kubwa Kama track dozer, Excavator pc 4000,Dump truck ,wheels dozer naomba nafasi ya kazi.

  137. Kwa majina naitwa john joseph challe Elimu yangu ni Diploma ya manunuzi na ugavi ninauzoefu wakutokasha kutunza vifaa yaani storekeeper napia nimehitimu mafunzo ya udereva na chet na leseni class D ntashukulu kama maombi yangu yatakubaliwa wako mtihifu john challe namba yasim 0653344349/0742143579

  138. My name is Eligius Pasiensi,I am 24 years old. I am a graduate at Dar es salaam University College of Education (DUCE) this year 2018,I worked with NGO’s that was based on Natural resources management for 3 months and I have a computer program skills. Kindly I request a chance at your company.
    Contact: 0753856144
    Email: [email protected]

  139. Jina langu naitwa noeli emanueli nabora na miaka 19.Naelimu yakidato cha nne pia na certificate of electrical instollation .naomba kazi katika shirika lenu kulingana na elimu yangu .mtashukuru kama nitapata nafasi iyo
    Kwamawasiliano 0715557906

  140. My name is Amoni Amoni i have
    22 yeas old and also certificatee of form four I’m applying to be store keeping in your company I hope you will assist coz of my experience which I got from different company before for more communication my phone number is 0672268902

  141. naitwa bakari Rashid kutoka DSM umri miaka22 kiwango cha elimu kidato cha sita pia taaluma ya ununuz na ugavi kwa mwaka mmoja naomba kazi yoyote katika kampuni yako nna uzoefu kutokana na field mbalimbali ambazo nimefanya ikiwepo manispaa ya temeke na nida.
    kwa mawasiliano 0652009421

  142. Name: Furaha edward
    Education: Bachelor of arts with Education.
    Age:27 Year old
    Nationality: Tanzanian
    Contacts: 0769086992
    Religion: Christianity.
    I apply for store keeper and any job I can do efficiently and effectively at any place. I hope I will be part of your company to make sure that all planed goals and aims will be achieved in right time.

  143. naitwa imani harold mtui nina elimu ya kidato cha nne pia ni na certificate ya electrical installation cha level II ningefurah kupata ajira katika shirika hili kwa mawasiliano 0672118128

  144. Kwa majina naitwa Amina Seif naomba kazi ya kutunza vifaa elimu yangu ni form four pia nimesomea computer nafanya secretarial service natumaini ombi langu litakubaliwa
    Wako katika ujenzi wa Taifa
    Amina Seif Masawe
    0783474125

  145. Am Getruda Patrick, I’m looking for job according to the above announcement,my education level is Bachelor in Public Administration,i can do any affordable work according to my level of education!!
    My phone number: 0712548860

  146. Naitwa Remigius kyarukamba ni mtanzania nina umri wa miaka 30 ,ninaomba kazi kulingana na sifa hizi nilizonazo, nina Certificate ya Electrical Installation, pia nina Certificate in studies in Mining covered units. .Introduction to mining. .Basic first aid training. .Basic fire training. .Explosive training. .Blasting for surface and underground mining working. .Explosive handling,storage and transportation. .Safety practices in mining. Natumaini ombi langu litapokelewa na kukubaliwa asante. Kwa mawasilino 0719030682 / 0629103247

  147. I am a girl with 24yrs my education ground level is form four.
    I really need a job in Geita mine atleast even doing cleanliness there my phone number is 0675582602

  148. Naitwa william gerald nina miaka 25 , nina elimu ya kidato cha nne (4) na nina cheti , pia nina elimu ya udereva wa vyombo mbali mbali vya usafiri pamoja na lesseni.
    LENGO
    Nilikuwa na uhitaji wa kazi ya kutunza vifaa au jumbo operator,nina uzoefu wa kutosha kwasababu nimefanya kazi mbali mbali kipindi hiki nilivokuwa nikitafuta fursa.
    Nina imani nikipata nafasi nitaitumikia vema ,na nilikuwa naomba kama kuna uwezekano nifanye kazi kwa mda kabla ya kulipwa ili muweze kuona ufanisi wangu katika kazi.

    Napatikana kwa namba ya simu :-0652076569
    Email:[email protected]

    Ahsante.

  149. Naomba kazi kitengo cha utunzaji wa vifaa naidikua nitafanya kazi kwa umakini na kuhakikisha upotevu wavifaa haujitokezi pia nitashilikiana na wenzangu bila kujali kabila na ninatumaini ombilangu litakubaliwa na kufanyia kazi. Elimu yangu ni ya chuo, Astashada ya Mipango na Maendeleo
    ni mkazi wa Mbogwe _Geita _Tanzania

    • Naitwa Elias kidafula Mussa nimkazi wa wilaya ya Mbogwe _Geita. Naomba kazi katika kitengo cha utunzaji wa vifaa na aidikua nitahakikisha hakuna upotevu wa vifaa pia nitashilikiana na wezangu ilikuleta maendeleo bila kujali kabila Elimu yangu ni yachuo ya Astashaada ya Mipango na Maendeleo natumaini ombilangu litakubaliwa na kufanyiwa kazi kwa mawasiliano zaidi namba yangu ya simu ni 0621962675/0766485128

  150. Ninaitwa, AV 1070 SM , SYLVANUS M, MUGETA , Kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 Elimu yangu ni kidato cha sita , pia ni mhitimu wa mafunzo ya kijeshi katika kikosi cha jeshi namba 824kj kanembwa kjt kigoma , pia nimkufunzi wa mchezo wa kareti kutoka chuo cha BLACK KENPO KARATE ACADEMY. kilichopo mwanza Tanzania kwa ngazi ya Degree, ninauzoefu wa kutoa mafunzo hayo kwa vijana wa kitanzania kwa kipindi cha miaka mitatu sasa ninaomba kufanya kazi katika kampuni yako hasa katika kitengo cha ulinzi na usalama .natumaini ombi langu litaokelewa

    Wako katika ujenzi wa Taifa.

    SYLVANUS M, MUGETA .
    Mawasiliano zaidi .+255764-938691 / +255782-510216. Au Email . [email protected]

  151. anaitwa Joyce Msuya elimu yang nikidato cha 4 ninaomba kazi ya kufanya usafi mawasiliano yang ni 0783441635

  152. Naitwa RWELAMILA ALEX MTAYOBA nina miaka 23 nimeitimu elimu ya kidato cha nne na kujiunga na chuo cha afya na kuchukua mafunza ya huudumu wa afya ninaomba kazi katika kampuni ya geita gold mining ninahaidi nitakuwa mweledi wa kazi yangu kwa mawasiliano zaidi ni 0754989540 kwa barua pepe [email protected]

  153. Naitwa Elias Kidafula Mussa ni mkazi wa wilaya ya Mbogwe Geita ni nikijana mzaliwa wa Tanzania ni naumuri wa miaka 21. Naombakazi katika kitengo cha utunzaji wa vifaa na ninaadikua nitahakikisha ninazibiti upotevu wa vifaa pia nitakua mwadilifu katika utendaji kazi na wenzangu bila kujali jinsia Elimu yangu ni ya chuo .Astashaada ya Mipango na Maendeleo natumaini ombilangu litapokelewa na kufanyiwa kazi kwa mawasiliano nipigie katika namba yangu ya simu 0621962675/0766485128

  154. Naitwa delifinus deocles , elimu yangu ni certificate of rural development planning at Dodoma tawi la mwanza , nna umri wa miaka 20 , Naomba kazi katika kampuni yako . Nitashukuru endapo nitakubali
    Nakutakia kazi njema katika ujenzi wa taifa
    Namba yangu ya simu ni 0756992715

  155. BUTIMBA MWANZA
    P.O BOX 133,
    NYAMAGANA
    8/11/2018.
    GEITA GOLD
    MINING , (GGM).

    Dear Sir / Madam.
    REF; TO JOB APPLICATION ON YOUR COMPANY.

    Consider the above mentioned title which is openly expressing it self my name is AV 1070 SM , SYLVANUS M, MUGETA. a Tanzania with 24 years i am requesting for a job of security and deffense at your company iam physically strong and well skilled in millitary training and karate fighting skills with Degree of karate I can work propary at your company.

    I hope my request shall be accepted and i will be happy.
    NB;my curriculum vitae and other more qualifications may be included if needed.
    Thanks
    Your sincerely
    SYLVANUS M, MUGETA

    CONTACT ME: phone number : +255764-938691. And +255782-510216. Or Email: [email protected]

  156. Habari,
    Naitwa Dorine Kusiriel Massam nina umri wa miaka 25, Ninaomba nafasi ya kutunza vifaa katika kampuni yenu.Elimu ya stashahada ya ununuzi na ugavi niliyohitimu katika chuo cha utumishi wa Umma. Nina ujuzi wa kutosha kuhusu masuala ya stop.
    Nitafurahi endapo ombi langu litakubaliwa.
    Asante.
    Tel: 0744814683

  157. My names is Mesiaki meja lomayan.I am 24 years old and i am Tanzanian citizen.my level education is form four certificate and certificate in tourism and also certificate in hotel management at Tropical center institute college.please i need any possition at your company.i belive that you will be consider my request positivelly and let me to join as a work team in your company.my phone no.0752575136 and my email is [email protected]

  158. Naitwa delifinus deocles, kutoka muleba kagera , nna umri wa miaka 20 .Elimu yangu ni certificate of rural development planning at Dodoma kampasi ya mwanza , Naomba kazi mwenye kampuni na haidi kufanya kazi kwa juudi na kuheshimu wakubwa zangu wa kazi
    Nashukuru kama nitakubali kupata kazi kwenye kampuni yako.
    Nakutakia kazi njema katika ujenzi wa taifa
    Namba yangu ya simu ni 0756992715

  159. Mimi naitwa Ramadhani Bakari zayumba Nina elimu ya kidato channe na nimesoma fani ya electrical installation nakupata electrical installation level 11 (two) na nimefanya kazi kitika sehemu tofauti tofauti kwaniyo ninauzoefu wakutosha niimani yangu kwenu kwamba nitapata nafasi katika kitengo chenu. Kwamawasiliano zaidi 0713863201/0682649649

  160. Mm naitwa victor Dominick naomba nafasi ya kutunza vifaa nimesomea diploma ya kutunza kumbukumbu nimesema Chuo utumishi wa umma tabora Ntashukur number yangu ya simu ni 0753021706

  161. kwa majina naitwa Sofia faustine Nina umri was miaka 24 Nina elim ya kidato cha nne pia nina Nina certificate ya usafirishaji yaani nimesona kozi ya shipping and port management katika chuo cha bsndari kilichopo mkoani dar es laam naomba nafasi ya kazi katika kampuni katika kapuni yenu. naamini ofisi itanifikiria na kunikubalia ombi langu. namba yangu ya sim ni 0688911290

  162. Naitwa Patrick Edson Moshi Elimu ni kidato cha nne miaka 24 pia ni fundi wa Umeme wa Magari kwa hatua ya level two Veta Mbeya kwa miaka mitatu naomba kufanya kazi sehemu yeyote ile nitakayofaa,mawasiliano ni 0759678506 nipo Mbeya,Nitashukuru endapo nitakubaliwa.

  163. naitwa Ngeleja Sengasenga nina miaka 30 mtanzani nina elimu ya kidato cha nne na level 3 ya electrical installation.Naomba kazi kwenye kampuni yenu na nina uzoefu mkubwa katika hii fani ya umeme.Natumaini maombi yangu yatakubaliwa .Mawasiliano 0654980153/0758213804

  164. Kwa majina naitwa Rachel Amos Shanyangi Nina umri wa miaka 29, nimwenyeji wa Arusha ,ninaelimu ya shahada ya uchumi na maendeleo ya jamii niliyoipata chuo cha uahirika moshi.
    Naomba nafasi ya kazi katika kampuni yenu, Ninamatumaini kua ombi langu litapokelewa na ofisi na kulifanyia kazi.kwa wasiliano zaidi no za simu +255786244701

  165. Naitwa LUCIA PHILIPO. Nina elimu ya kidato cha nne. Ni naomba Nafasi ya kazi Katika kampuni Kama mtunza vifaa ama attendants. Nitaifanya kazi yangu kwa uadilifu mkubwa. Napatikana kwa namba 0785754942

  166. Kwa majina naitwa EPAPHULA JONATHANI nina umri wa miaka25 nina elimu ya form4 pia nina certificate ya mining engneering pamoja na ICT.
    Naomba kazi katika kampuni yenu Eidha katika vitengo nilivyo ama katika kitengo cha kuhifadhi vifaa, nahaidi kuwa mwaminifu na kufanya kazi kwa umakini mkubwa kwa kuto ingizia kapuni hasara ya aina yeyote ile
    Nashukulu naimani mtanipokea kulijenga taifa moja asante.

  167. Kwa majina naitwa EPAPHULA JONATHANI nina umri wa miaka25 nina elimu ya form4 pia nina certificate ya mining engneering pamoja na ICT.
    Naomba kazi katika kampuni yenu Eidha katika vitengo nilivyo ama katika kitengo cha kuhifadhi vifaa, nahaidi kuwa mwaminifu na kufanya kazi kwa umakini mkubwa kwa kuto ingizia kapuni hasara ya aina yeyote ile
    Nashukulu naimani mtanipokea kulijenga taifa moja asante. kwa mawasiliano zaidi
    0769 25 50 50/ 0622 49 58 90.

  168. Naitwa lailia said muhammed, naishi mahonda Zanzibar naomba kupatiwa nafas ya procurement and supply , nna elimu ya degree ya procurement and supply management . kwa mawasiliano no: 0778_891075

  169. Naitwa Fredy Haule nina certificate ya Electrical Installation pamoja na form four certificate naomba kazi katika kampuni hii namba zangu za simu 0783780240 ntashukuru kupata kazi ya umeme katika kampuni hii Ahsante

  170. naitwa Amos mnubi nina elimu ya cheti cha maendeleo ya jamii naomba kazi ya usafi kwa mawasiliano 0757867158

  171. Mimi mkazi wa Halmashauri ya Mji geita umri wangu 42 naomba kazi ya
    1. Underground Dump Truck Operatore (Aina zote za Underground Dump Truck mashine) Elimu ya kidato cha sita,uzoefu wa miaka 7 (Bulyanhulu Goldmine)
    2.Underground storekeeper
    3.Mfanya usafi

    NB Nina uzoefu wa utegaji na ulipuaji (Blaster underground development faces)

    Mawasiliano: 0768403782
    0672136458

  172. Kwamajina naitwa lsmaili mwedy nimkazi wa tanga wilaya ya handeni. nina miaka20 pia elimu yangu ni kitado cha nne. ningeomba kazi kwenye kampuni yenu.natumaini ombi langu litafanyiwa kazi

  173. William oscar nina elimu kidato cha nne na pia mafunzo ya computer napenda kuomba kazi kwenye (wafanya usafi,watunza vifaa opperators,supervisor naamin ombi langu litakumbaliwa

    namba yangu ni 0685232843

  174. Iam NG’WENDESHA .B. NSHINGA my education level is Certificate of Information communication technology (ICT) am looking for Job opportunity, my contact number is 0763378935_ email address [email protected]

  175. Naitwa pili ally mkono elimu yangu ya kidato cha nne nahitaji kazi katika kampuni yenu usafi au kugawa vifaa Na pia nimesomea uuguzi Na ugawaji dawa

  176. naitwa Emmanuel Alex manyama natokea kayenze geita(nungwe).naomba kazi ya usafi elimu yangu from four namba ya simu 0744889485

    • Naitwa Emmanuel Alex,Nina umri wa miaka 28,Elimu ya kidato cha nne,ni mtanzania mwenye akili timamu,ninapenda kuomba nafasi ya kazi katika kampuni yenu,nina uzoefu mkubwa wa ufanyaji usafi.Natanguliza shukrani zangu kwenu.namba yangu ya simu 0745799003

  177. Naitwa sara ernest ni mkazi wa Dar es salaam nina umri wa miaka 24,Elimu ya kidato cha nne,ni mtanzania mwenye akili timamu,ninapenda kuomba nafasi ya kazi katika kampuni yenu,nina uzoefu wa utunzaji vifaa,pia nauwezo mkubwa wa ufanyaji usafi.Natanguliza shukrani zangu kwenu.

  178. Naitwa Esther Biye, naomba nafasi ya kazi ya usafi/attendant au utunzaji wa vifaa.nmesomea utunzaji wa kumbukumbu kwa ngazi ya shahada.0743272217

  179. my name is peline Mwampagama I am Tanzanian my education level is certificate of nursing and midwife.i’m looking for job opportunity and I need any opportunity in your company’s.my phone contact is 0657630515.

  180. Naitwa francis godliving naomba kazi ya usafi nina uzoefu nayo nlikua nikifanya katika kampuni ya Acacia gold mane Tarime 0767859383

  181. am 23 years old, certificate in computer programming also hosting website and pages as my experience i know to write and spoke fluent English and kiswahili, i need the chance of BLOGGER OPERATOR to ANGLO GOLD MINE i will use my experience and expose to you company and have a team work. waiting hear from you because i want to be the one of yours and make the company be modern in technology . YOUR FAITHFUL

  182. Naitwa Rickson Godfrey nipo Arusha usa-river nina certificate ya masonry and bricklaying level 1 niliyoipata mikumi veta nina uzoefu sana na kazi yangu ninaomba kazi kwenye kampuni yenu namba zangu ni 0767219617

  183. naitwa Wachiba Camilius,elimu yangu cirtificate ya electrical grade II naomba kazi. namba yangu 0759666991

  184. Naitwa KOKU H.KILULU.nna umri Wa miaka 24.Elimu uangu ni stashahada ya maendeleo ya jamii. Nna omba kazi ya usafi.mawasiliano yangu ni 0657434723

  185. Naitwa Akf5666 jackline sika elimu yangu ni kidato cha4 nipo jkt kikosi 841kj naomba nafac ya kazi katika kampuni yenu kazi ya aina yoyote ninanguvu na nipo timamu kimwili.
    Natumaini ombilangu litamepokelewa na litafanyiwa kazi.

  186. Naitwa Mary .I. Mwashitete nipo Geita-Chato, elimu yangu ni kidato cha nne naomba kazi ya kufanya usafi katika kampuni yenu.Nimatumain yangu kuwa ombi langu litashughulikiwa ahsante. Kwa mawasiliano zaidi ni 0754514771

  187. Naitwa rose mawalla ni naelimu ya kidato cha nne naomba kazi ya usafi katika ofis yenu maana na uzoefu na kazi za usafi mara yangu ya kwanza kufanya kazi ya usafi ni kutoka kwenye kampun ya care nitafurahi sana endapo mkinichagua kuwa moja wao katika kampun yako 0716472667 au 0713869982

  188. Naitwa Mary Benard Niko Geita na miaka 22 Elimu yangu kidato cha nne Napenda kuomba kazi Nafasi ya KUFANYA USAFI,Nitashukuru kama ombi langu litafanyiwa kazi na kukubaliwa Asante. Mawasiliano yangu 0764927572/0685800035

  189. Heavy plant mchanic, working with different company, caspian, moolman aveng company at star&comet pit,african barrick bulyanhulu, acacia mining, byrnecuty offshore bulyanhulu site..with enough experience to catappillar machines, jumbo, bogger, etc, education background..o lever certificate & motor vehicle mechanic grade one. My contact +255717965656

  190. Application for a job
    Dear/sir/madam refer to the heading above ineed a job operator of doser and front end loader operator to your company.

    Your hopefully
    Ramadhani Shabani

  191. My name is Rennie Charles i have 24 years old i am Auto electrician i complited my ordinary level 2013 then i went to Veta 2016 then i complited 2017 at Mbeya Vocational Trainning Centre i done field in done field in Auto Mech ltd at Dar es salaam Tabata please can i have chance for job in Auto Electric

  192. MIMI NAITWA ELIAS JACKSON NIPO DAR-ES-SALAAM NINA ELIMU YA KIDATO CHA NNE NA NINA MAFUNZO YA UFUNDI UMEME DARAJA LA PILI MAWASILIANO YANGU NI 0717784946

  193. Habari,
    Naitwa Anna Mongera,ninamiaka 26 Nina diploma ya Records Management nilihitimu chuo cha utumishi wa umma tawi La Mtwara na kufaulu vizuri.Naomba kazi ya UTUNZAJI , na nipo TAYARI kufanya KAZI yoyote katika kampuni yako.
    ASANTE
    naamini nitakuwa miongoni mwa watakaochaguliwa,NAAHIDI KUFANYA KAZI KWA BIDII.
    0754 075887

  194. Hey there! Someone in my Facebook group shared this website
    with us so I came to give it a look. I’m definitely enjoying the
    information. I’m bookmarking and will be tweeting
    this to my followers! Fantastic blog and excellent style and design.

  195. My name is Ibrahim yusuph mnyema. According the announcement, I need a job in Operators position. I capable to operaty hydraulic excavator with expillience and certificate. I hope my application will be acceptable.
    My contact. 0719 260863 or 0787735195 or my email address is [email protected]

    Thank you.

  196. Naitwa Baraka Raphael ,,ni umri wa miaka 24 , ni mhtimu wa chuo kikuu cha Dodoma (UDOM ),,katika fani ya Public Administration. Ni uwezo wa kufanya kazi yoyoye ile bila kubagua . ntafurahi kama ntakuwa miongoni mwa wafanyakazi katika Kampuni yako . kwa mawasiliano zaidi 0762366720 Asante Sana

  197. Habari naitwa Erick nina umri wa miaka 22 Ninaishi Mwanza. Nimehitimu kidato cha nne pia nina elimu ya ufundi wa Umeme kupitia VETA. Kama utapendezwa naomba nafasi ya kazi ya Umeme(Electrical Installition) ata usafi ntashukuru..
    mawasiliano.0745890844

  198. Naitwa Annacrista Felicean Bigambo.
    Nina umri wa miaka 35, elimu yangu ni Kidato cha Nne (4) pia nina nimehitimu Kozi za Attendant katika chuo cha VETA Mkoa wa Arusha. Naomba kazi ya Office Attendant, nimefanya kazi hiyo na nina uzoefu na wa muda usiopungua Miaka 4, Nimefanya kazi hiyo kwenye tasisi mbali mbali za kiserikali na zisizo za kiserikali kama ifuatavyo: Mwaka 2009-2011/TCRS Kigoma, 2012-2014/CARMATEC Arusha, 2014-2017/TDBP (Tanzania Domestic Bio-gas Program) Arusha. Asante Sana, Kwa mawasiliano zaidi, Anna Bigambo +255 782856022/+255 764258736

  199. Mimi naitwa Jofrey Hamis Ramadhan Nina umri was miaka 22 nini elimu ya kidato Cha nne .Naomba nafasi ya kazi k wenye ofisi ya GGM katika kitengo Cha kufanya usafi na utunzaji vifaa .Natumaini ombi langu litakubaliwa mawasiliano yangu Ni 0755332946 na 0655231462

  200. kwa majina naitwa hamad simon naomba kaz ya kutunza vifaa ktk compun yen elimu yang ni kidato cha nne na nimesoma maswal ya zimamot na uokoaji na mzoefu katika idar hiyo na nitafanya kaz kwa umakin mkubwa kbsa no yang 0712216574 au 0756700711

  201. kwa majina naitwa hamad simon naomba kaz ya kutunza vifaa ktk compun yen elimu yang ni kidato cha nne na nimesoma maswal ya zimamot na uokoaji na mzoefu katika idar hiyo na nitafanya kaz kwa umakin mkubwa kbsa no yang 0712216574 au 0756700711

  202. Naitwa Mary James .Elimu yangu ni kidato cha nne naishi dar es salam naomba kazi kwenye kampuni yenu.kutunza vifaa _ kufanya usafi.nk.

    0673626213

    • naitwa Mussa Mtangi nipo kigoma ninaomba kazi ya ufundi umeme nina grade 2 ya umeme, namba yangu no 0758033909

  203. Naitwa janeth rashid rajabu.Ninaujuzi wa masijala (record keeping).naomba ajira ya office attendance katika ofisi yako.

  204. Elimu yangu ni kidato cha nne, nipo Arusha,ninaomba kazi ya kutunza vifaa ,ninaahid kufanya kazi kwa uaminifu
    ahsante
    no:0746369020

  205. Witness marema, 22yrs from geita. Nina taaluma ya afya na computer ila naomba kaz kwenye kampuni yako ya utunzaji wa vifaa au usafi nitaifanya vyema na kwa uaminifu.
    Ahsante
    +255752184726

  206. Naitwa Getruda Kabuta ,umri wangu in miaka 24 , elimu yangu ni kidato cha NNE! Naomba kazi ya usafi popote pale

  207. Naitwa MERCY JOEL elimu yng ni kidato cha 4 na pia nilikuwa naxomea certificate ya ununuzi na ugavi ila ckumaliza nina umri wa miaka 21 nilikuwa naomba kazi ya kutunza vifaa, , , , , , natanguliza shukrani zng za dhat endapo ombi lng litakubaliwa my phone number 0657 344902

  208. Naitwa NOEL MUSHI natokea mkoa wa Kilimanjaro umri miaka (24) Fani yangu ni plant operator mashine zinazotumia ni Excavator tyre and chain pia wheel loader, Roller course hii nilisomea Veta Shinyanga inteck ya 35 mwaka 2017 nikafuzu vizuri nakukabidhiwa cheti pia na uzoefu wa mwaka mzima kwenye kampuni ya barabara iliyopo Arusha inayoitwa Deniko Constractions na uhakika na kazi zangu kama mkiniamini mnaweza kunipa kazi Asanteni

  209. Naombeni kazi ya kutunza vifaa pia nina fani ya udereva elimu yangu ni ya kidato cha nne namba yangu 0753751863

  210. Naitwa janeth Edimund miaka ya 23. Mkazi wa mwanza ilemela. Elimu yangu kidato cha 4. Naomba kazi yoyote kwenye kampuni yenu. Namba yangu ni 0672132931

  211. Mimi kwa majina naitwa ernest leckson ndendya namiaka 25 elimu yangu kidato cha sita mchepuo wa sayansi nimepitia mafunzo ya jkt kikosi mgambo jkt 835 kj nipo tayari kwa kazi yoyote kufanya napatikana Dar-es-saalam 0652846289

  212. Naitwa Happy Rogers naishi dar es salam naomba kazi ya usafi nina certificate ya hotel
    Mawasiliano 0753146040

  213. Dear Sir or Madam
    my name is Pendo Kebure i apply in Cleaner/Attendant
    i have a certificate of Hotel House Keeping and I have Experience for 2years….I was working in Singita Grumet Reserve almost 2 years and I have a good Experience and that Experience I have they are pushef pushed me to apply a vaccany in your Company…as well as i promise to be a committed worker your faithful Pendo Kebure my contact is 0746615142,0692948295

  214. Kwa majina naitwa Leah Elisha Masanja ni mkazi wa Geita nina elimu ya form four na pia nimesoma chuo cha veta nikichukua masomo ya hotel management naomba kazi ya usafi kutokana na elimu niliyonayo natumai nitaimudu vyema.Ntashukur endapo ombi langu litakubaliwa

  215. Naitwa GEORGE RASHID PASCHAL ni mkazi Wa DSM elimu yangu ni degree ya mineral processing, naomba kazi ya kuwa operator namba zangu ni 0754803199/ 0653688440

  216. Am Rehema Kazige,aged with 23 years old,am a diploma holder of horticulture attained at horticultural research and training institute( horti-tengeru) am applying for the vacancy of supervisor as my qualifications meets your damands. Am available and ready to work, email:kazigerehema.com
    Phone numbers 0653 386926,0768,949853 and 0687 610279. Thanks

  217. Naomba nafasi yoyote ya kazi kwenye kampuni hii. elimu yangu nimeshamaliza kidato cha sita kwa kombi ya EGM, natumaini ombi langu litakubaliwa

  218. Naitwa maagi peter mkazi musoma,elimu yangu kidato cha NNE,Naomba kazi ya usafi,na utunzaji store.namba yangu ni 0743 576273

  219. Naitwa Azimu.r.archard Nina miaka 24 nimehitimu kidato cha sita, ni mtanzania mwenye jinsia ya kiume ,Naomba kazi kulingana na vigezo vyenu na Nina uwezo wa kufanya kazi sehemu yoyote ile.

    Napatikana kwa 0758389958

  220. Kwa majina naitwa Leah Elisha ni mjazi wa geita nina umri wa miaka 26 elimu yangu ni kidato cha nne na pia nilijiunga ns chuo cha veta mwanza nikichukua masomo ya hotel management kutokana na uzoefu wa kazi natumai ntafanya kazi kwa bidii na kuwa mwaminifu .Ntashukur sana endapo ombi langu likikubaliwa kwa mawasiliano 0744044229 au 0755731425

  221. My name is Sara Luhi Ntandu,i have 22 years, I have completed my study at Singida teachers college, and I have obtained my diploma in primary education on 2017,i would like to apply any work at your organization, due to my Education, I hope my request will accepted. contact me 0766623914

  222. Nnaitwa paschal kazula shija,umri wangu miaka 22 nimeoa na watoto wawili,Elimu yangu ni kidato cha nne,pia nina mafunzo ya udereva darajaA,A2,B na D pia nimefanyakazi kampuni ya G4s security ndani ya mgodi wa GGM nikatoka baada ya mkataba kuisha naomba nafasi ya kazi wowote ninaweza nipper/offsider,nanyingnezo zote,mawasiliano,0763512254,0620161380

  223. Mimi naitwa Amani sarwat Nina miaka 23 nilisomea course electric katik chuo cha ufundi
    Fdc mto wa mbu Arusha 2015_16 certificate level
    Pia nilifanya fild Tanesco katesh manyara kwa mda wa miaka 2
    Pia nimesomea computer applications & solar electrification
    Nina omba nafas ya kazi kitengo cha umeme
    Nitaimudu
    By Amani sarwat
    0789677094 /0762460415

  224. Naitwa deborah kamendu nina miaka 23 nina elimu ya ngazi ya cheti kwa utunzaji kumbukumbu naomba nafasi ya kazi
    My no 0742957497

  225. Naitwa Sophia bongo elimu yangu ni diploma in accountants pia nimesoma computer naomba nafasi yakaz katika ofisi zenu namb zangu 0769388284

  226. Naitwa Ndimilwa paul. Naomba kazi ya utunzaji wa vifaa elimu yangu ni ya form four na pia ninacatificate ya ualimu wa shule ya msingi. Naomba nafasi katika ofisi yenu. Namba zangu ni 0652070796/ 0687582522.

  227. Kwa majina naitwa Godiani Gildad Masabo Elimu yangu niya kidato Cha nne certificate pia na level three ya welding . Naombeni nafani ya kazi ya welding pia na ombeni kazi ya usafii ndani na nje ya mazingira yanayotuzunguka kazi hiyo naiweza vizuri
    Namba yangu ni0714116779

    • Mimi GODIAN GOLDAD MASABO ni umri was miaka 27E. Elimu yangu niya kidato Cha nne certificate na Nina level 3 ya welding
      No.0714116779 .
      Naombeni nafani ya kazi hiyo pia usafii ndani na nje ya mazingira naweza .

  228. Naitwa simon Bunzar Nina miaka 33 elimu form two naomba kaz katka kampuni yenu naamin nitaifanya kwa ufanisi nikimtanguliza Mungu wangu nambayangu 071069896,0755578317

  229. kwa majina naitwa Moses s Moses, Nina miaka 24 , Nina elimu ya kidato cha NNE ,Nilipata GPA ya 1.7(credit) mwaka 2014,naomba kazi kaka kitengo cha, wafanya usafi au watunza vifaa au Jumbo operators au majukumu mengine nitakayo pangiwa. mawasiliano.0717048993

  230. Am Richard Evaristo I applying supervising job t post to your company according to your announcement my Education is Diploma of Business Administration in Accounting with more than 3 years work experience I worked at microfinance based on saving and credit societies also am computer skilled and is study business low,human resource management,entrepreneurship management,marketing management,finance management,treasury management therefore I can work at any working enviroment under pressure and at different job I apply because am multipurpose man contact +255762 738 690/+255652 256 747 email [email protected] thanks I hope I will called for more interogations .

  231. Mim ni Emmanuel mashindi, umri miaka21 elimu kidato cha sita
    Naomba kazi kwenye kampuni yenu kulingana na elimu yangu

    simu namba
    0629167601

  232. Mimi jalala Rashidi Ally nimemaliza kidato cha nne 2015 na pia kidato cha sita 2018 nitafurahi na nina matumaini kupata kazi kweny company yenu namba ya simu 0687756572 email [email protected]

  233. Naitwa Editha Marco wa Nyankumbu Geita naomba kazi ya usafi katika kampuni. Ni elimu ya form four. Ninauzoefu wa kazi maana nishafanya kazi KASESA company l.t.d geita. Nitashukuru ombi langulikikubaliwa. Namba zangu za simu 0744614263 au 0759322934

  234. simon Maduka Wa geita Tanzania, naomba kazi ya uoperator crusher(crusher operator) umli 23yrs,ninauzoefu Wa kazi kwa muda mrefu Kafka kampuni La nyanza road limited,0765536536

  235. Mimi naitwa clispinus vesasto mzaliwa wa mkoa wa kagera kyerwa elimu yangu ni ngazi ya cheti naomba nafasi ya kazi katika kapuni yenu yeyote nitashukuru iwapo ombi langu litakubaliwa kwa mawasilino no yangu ni 0768277530

  236. Awesome blog! Is your theme custom made or did you download it from somewhere?
    A design like yours with a few simple adjustements would really make my blog shine.
    Please let me know where you got your design. Thank you

  237. kwa majina naitwa Rozalina John Masiku mwenye umri Wa miaka 24 mwenye elimu ya kidato cha NNE na pia nimesomea uwaziri yaani secretary katka chuo cha veta na kupitia katka jeshi la kujenga taifa ( Jkt) ivyo nitashukuru sana kama nitaajiriwa katika company yenu, kwa mawasiliano zaidi 0753303082/ 0683865242

  238. Dear sir/madam
    my name is Nyamis s. Sheka I am 22 years old. My level education is certificate in Secretarial and computer course. I looking a job in your company. My contact is 0672239986 or 0755798620
    thanks.

  239. Yucuph msuya mimi naomba nafasi ya udereva uzoefu wa kutosha ninao kwenye usafirishajiq kwa mawasiliano 0754089237 napatikana mwanza tanzania

  240. Aaanteni sana kwa kutanganza nafasi za ajira kwa jamii nzima naitwa benjamin joseph nimemaliza elimu yakidato cha nne katika seminary ya mtakatifu yohane bosco ikijulikana kama st don bosco didia na kujiunga na elimubya kidato cha sita katika seminary ya mt maria ikijulikana kama st marys seminary nhegezi na baada ya kumaliza form six nilijiunga na na chuo cha veta shinyanga kwaa miezi mwili kuchukua short couse ya operator ,naombeni nafasibya kuwa operator katika kampuni yenu . Umri miaka ishirini

  241. Kwa jina naitwa christina masangula nina umri wa miaka 21 nina elimu ya kidato cha nne pia nina certificate ya ICT hivyo ninaomba kazi ya kutunza vifaa katika company yenu namba yangu ya simu ni 0675544414

  242. Naitwa IRENE LAMECK nnamiaka 21, natoka Mara, nmeitimu diploma ya usimamizi na teknolojia ya uvuvi katka chuo cha uvuvi nyegezi mwanza namba n Ns3891/0008/2014, award verification number kutoka Nacte ni 18NA1009037KE, numba ya kidato cha nne ni s3891/0008/2014, naomba kazi sehemu yoyote nitakapofaa,nimatumaini yakua ntapokelewa, mawasiliano 0746736065 email address [email protected]

  243. naitwa maryam umri23 naomba nafasi ya u supervisor ninauzoefu wa miaka miwili katika company ya survey ya TNS namba yangu 0762558198

  244. Naitwa yusuph mdaile mkazi wa daresalam elimu yanguni kidato cha nne.Mimii funding WA umeme WA nyumba na viwanda pia no funding wa mafriji na viyoyozi Nina grade one kwenye umeme na level two ya refrigeration and air condition nna uzoefu wa miaka si chini ya mitano naomba kazi kwenye kampuni yenu namba yangu ni 0752239657

  245. Naitwa judith e. Ulomi Naumri wamiaka23 naishi taarime mkoa wa mara naelimu ya diploma ya sheria naomba nafaasi ya kazi katika kampuni yenu nipo tayari kufanya kazi katika mazingira yoyote nakwa juhudi zangu zangu zote ntashukuru sana endapo Maombi yangu yatakubaliwa, mungu awabariki. Namba zangu ni0756886894/075551339

  246. My name is Mwikwabe chacha aged 24 years old. I am form four leaver a level three (vc3) certificate holder from VETA KIGOMA in AUTO-MOTIVE (AUTO-ELECTRICAL).I have got work experience of 1 year from Temesa Tabora. But I can perform even mechanical work so, I would like to apply for the post of a company to work as assistance-technician according to my qualifications to deal with AUTO-ELECTRICAL & MECHANICAL works in your company
    I hope my post will be considered thank you all
    Call: 0757992991
    0677769438.

  247. Naitwa ADAM JOSEPH CHISEMWA Nina elimu ya kidato cha nne na nimehitimu mafunzo ya umeme(Electrical installatio level two) CBA system na nnauzoefu wa kufanya kazi kwa miaka mitatu ikiwemo TANESCO pia nna weredi najiamini na mawasiliano mzuri natumaini nitataarifiwa zaidi 0692241475

  248. Naitwa EVELINA NOVART Nina elimu ya astashahada ya mipango maendeleo ninaomba kazi ya kutunza vifaa namba 0743930644

  249. Naitwa Musa Johnson Gumali umri miaka 29,naomba kazi katika nafas ya storkeeper(utunzaji wa vifaa)nina uzoefu wa kutosha ktk hii kz ni mwaminifu pia ni mwadilifu naipenda sn hii kz,,Elimu yngu kidato cha nne(4) namba zng ,,0752006260,,0688988366 npo shnyanga

  250. Naweza fanya kaz ya usimamizi kwa mda stahiki wa kazi pia kwa mda endelevu wa kazi kama msimamizi naweza kuifanya
    Naomba ajira ya usimamizi
    Napatikana dar es salaam

  251. Naitwa Tekla Masanja elimu yangu stashahada . Naomba nafasi katika nafasi ya utunzaji wa vifaa ninauzoefu nahyo kazi.
    Namba ni 0753999282

  252. Majina yangu naitwa Mathayo Angelo naishi Geita nimemaliza kidato cha NNE pia Nina fani ya udreva naomba ajila kwenu namba yang 0743253713

  253. Jina langu ni josephati k wikama elimu yangu ni kidato cha nne pia nina elimu ya chuo cha ualimu naomba kazi ya utunzaji wa vifaa kwani nina uwezo huo namba yangu ni 0762577459

  254. My name is Furaha James, I have 26 year, I live in Geita. Male in gender,
    Am a holder of diploma in education. I apply a position of tool keeper. I believe I will perform good once I will get this an opportunity.
    am looking forward hearing from you. Phone number:0753854109
    Thanks

  255. My name is Furaha James,,am a male in gender and I have 26 years, I live in Geita distinct.
    I have diploma of education.
    I apply a position of attendant( wafanya usafi)
    I will perform better once I will get this an opportunity.
    Phone number: 0753854109

  256. Kwa majina naitwa mariamu mohamedy zuberi, mkazi wa Dar es salaam. Nina umri wa miaka 25. Elimu yangu ni ya sekondari. Nilikua naomba kazi ya kufanya usafi katika kampuni yenu. Nimatumaini yangu kwamba ombi langu litakubaliwa. Kwa mawasiliano zaidi 0718955546

  257. Naitwa Eradius Rwiruki naishi Mwanza ila Kwa sasa niko Geita elim kidato cha nne uzoefu migodini zaidi ya miaka 10 ninaomba nafasi ya usafi Kwa mawasiliano 0763559484

  258. Ninaitwa Daniel Mpanguko(27),nina elimu ya shahada ya kwanza ya Ualimu(Degree),ninaomba kampuni linitumie kwa nafasi litakayoona inafaa hususani Specialist Trainers na Watunza vifaa vya Elimu. Ahsante.

  259. Naitwa delick donatus naishi karagwe tanzania
    Elimu yangu ni chet uhasibu na biashara lakini pia nimesoma masuala ya ugavi[approcuament]
    Naomba kazi ya usimamizi{suppervisor}ktk company yenu maana ninao uzoefu katika kazi za ofisi kama ifuatavyo
    1.nimefanya kazi Elct karagwe kama mgavi(storekeeper)mwaka mmoja
    2.nimefanya kazi Beth english medium kama msimamiz wa shule miaka miwili(school supervisor)
    3.nimefanya kazi chama cha msingi ktk biashara ya kahawa
    Hvyo ninao uzoef katika kaz
    Nitashukuru endapo ombi langu litakubaliwa
    Call:0763555002/0621014155
    Email:[email protected]

  260. robert paul ngelela
    24 years old
    cbet level three
    course : electrician
    contact: +255753222010
    email: robertpaul914.com

  261. Naitwa SOSPETER ANDREW MSOGOTH
    Naishi katavi-Mlele
    Nina miaka 26 Nina elimu ya kidato cha nne nimehitimu mwaka 2010
    Naomba Kazi ya usafi au kutunza kumbukumbu
    Asante.
    0752094951

  262. Naitwa SAMSONI LUTEGO MASANYIWA Nina miaka 22 naishi mwanza , nimemaliza kidato cha nne (4) mwaka 2014 na nimepata merit na kidato cha sita nimepata divison 3 kwenye mchepuo wa PCM ,naomba kazi ya kufanya usafi au ya kutunza vifaa, Nitashukuru kama ombi langu litakubaliwa.
    Mawasiliano; 0768268117
    0719508454

    • Kwa majina Naitwa Henry Nkwabi masomi, elimu yangu kidato cha nne pia na level two ya electrical instillation nauzoefu na kazi naweza fanya kazi Mazingira yoyote Yale kwa mawasiliano zaidi 0757291728 / 0653291728, [email protected].

  263. Naitwa SAMSONI LUTEGO MASANYIWA Nina miaka 22 naishi mwanza , nimemaliza kidato cha nne (4) mwaka 2014 na nimepata merit na kidato cha sita nimepata divison 3 kwenye mchepuo wa PCM ,naomba kazi ya kufanya usafi au ya kutunza vifaa, Nitashukuru kama ombi langu litakubaliwa.
    Mawasiliano; 0768268117
    0719508454

  264. Naitwa Faustine Pima , Ni mzaliwa wa Geita nimuhitimu wa kidato cha nne ..Ninaomba nafasi ya kazi yoyote katika kampuni yako..

    Naimani ombi langu limepokelewa na linafanyiwa kazi …

    ahsante.

    mawasiliano ni 255757403482

  265. APPLICATION FOR A JOB
    The heading above concerned, I recently heard of the name posting in your compan and i got interested to apply on it believing that i will make the best out of it as iterested as it sound.
    I am certificated holder of hotel management and i have work and lived in multicultural society enough to broaden my knowledge on how to deal with different nationalities.
    Thank you for going through my cover letter and taking an account of my resume
    I look forward to receive your position responce
    YOUR FAITHFULLY
    HIDAYA HAMISI

  266. Kwa jina naitwa anna athanas. Elimu yangu ni darasa la saba. Ninaomba kazi katika kampuni yako.kazi ninayoomba ni kazi ya kufanya usafi.nipo tayari kufundishwa pale nisipoelewa.kushirikiana na wenzangu.ninabidii na kazi naomba unipatie nafsi katika kampuni yako uone utendaji kazi wangu.

    • Kwajina naitwa naitwa anna athanas. Mimi ni mtanzania.mwenye umri wa miaka24.elimu ni darasa la saba. ninaomba kazi katika kampuni yako.kazi ya kufanya usafi. Mimi ni mchapakazi mwwenyekujituma niwapo kazini. Ninaomba nafsi hii najua nitaitendea haki. Namba yangu ya simu 0678503809

  267. APPLICATION OF JOB OF PROCUEMENT AND CONTRACT.

    The heading above i’m contacting you due to the position listed to your company and i got interest to apply one of the job listed as the officer of procuement and contract believing that am compitent enough.
    I’am a certificate horder of law at st.augustine university of tanzania and i have worked under many lawyer’s farm to gain exprience. i hope my request it will considered and hope of good responce you.
    your faithfull in building the nation
    Bwire bwire

  268. naomba kaz kweny kampuni yako pendwa elimu yangu ni diploma in accountancy pia ninauwezo wakufany kaz yeyote nje ya proffesinional yang

  269. MAOMBI YA KAZI
    Naitwa GRACE KAZINZA mwenye umri wa miaka 24 nimehitimu kidato cha sita mwaka 2015 na kupata tatu ( CREDIT) katika mchepuo wa PCB.
    ninaomba kazi katika kampuni yako kwani nimesomea pia utangulizi wa kompyuta ( microsoft word, microsoft excel, microsoft publisher) pia nimefanya kazi katika kampuni ya mabasi ya mikoani nafasi ya meneja na mhasibu . n
    Natanguliza shukrani zangu za dhati nikiwa na tumaini kuwa ombi langu litapokelewa na kufanyiwa kazi
    wako mtiifu Grace
    simu 0765739752.

  270. Am noel francis. my education level is advanced in chemistry,biology and agriculture science.i request for a job according to my detail. My contact is 0784855293

  271. MAOMBI YA KAZI
    kwa majina naitwa LOVENESS MECK, mwenye umri wa miaka 23 elimu yangu kidato cha nne nilihitimu mwaka 2016
    Ninaomba kazi kwenye kampuni yako kwani nimefanya kazi ya kutunza stoo,kuuza duka la mikate pia niko tayari kufanya kazi kwa bidii na kwa moyo.
    ninatumaini maombi yangu yatapokelewa na kufanyiwa kazi. natanguliza shukrani zangu.
    wako katika ujenzi wa taifa
    Loveness
    simu 0744476433

  272. Naitwa AYUBU ARON Nipo kahama nina umri wa miaka 27 elimu yangu ni Form four naomba kazi kwenye kampuni yako mimi ni operator wa wheel loader nimesomea Veta Shinyanga ni mzoefu na kazi hiyo pia naweza kufanya kazi yoyote ile kulingana na elimu hiyo. wako maminifu Ayubu Aron
    namba za simu ni
    0762925292

  273. Naitwa Yusuph Emmanuel nakaa morogoro Nina elimu ya kidato cha nne na fani zingne kama udereva n.k naomba kaz kwenye company yenu ya utuzaji vifaa mwako mtifuu mawasiliano yang ni 0655325361 na email [email protected]

  274. MAOMBI YA KAZI
    Kwa majina naitwa paul kashinje umri miaka 26 nipo kahama elimu yangu kidato cha sita (PCB) naomba kazi yeyote katika kampuni yako (mtunza vifaa au jumbo opperator).
    Wako mtiifu paul
    Namba ya simu
    0759211734

  275. Naitwa Joseph mwanang’ombe nipo wilaya nkasi mkoa wa Rukwa ni kijana mwenye umri wa mwaka 34 Na nina Elimu ya kidato cha nne “Naomba kazi ya utunzaji VIFAA”kwani kazi hiyo nimeifanya kwa muda wa miaka 3 ktk kampuni ya CHINA HUNAN COMPANY ENGINEERING(CHCEG) Lakini pia kama nitakosa nafasi hiyo naomba kazi nyingine yeyote itakayolingana Na level ya Elimu yangu Niko tayari kufanya. Nitumaini langu kuwa maombi yangu yatafikiriwa. Mawasiliano, 0763277611,0782466112 au [email protected]

  276. Naitwa Gloria Angelo Magoma .Nina umri wa miaka 24 nina elimu ya form six kwa masomo ya uchumi EGM ambapo nilipata ufaulu wa division three nikaenda kupata elimu ya astashahada ya uhasibu katika chuo cha UHASIBU TIA nina uzoefu wa kazi ya uhasibu kutokana na mafunzo ya vitendo nilio yapata katika bank ya NMB.Pia nina experience ya matumizi ya computer kwa kua nilipata mafunzo hapo awali …Natumai ombi langu litakubaliwa namba zangu ni 0789303702

  277. Am Evance Barack from kisumu Kenya am asking If I can get any job in your company
    My phone number +254713692257

  278. 1.CONTACT DETAILS
    NAME:CHARLES
    MIDDLE NAME:LAIZER
    SURNAME:GODFREY
    SEX:MALE
    PLACE OF BIRTH:ARUSHA
    P.O BOX 2707 ARUSHA
    MOBILE:0756447239/0717725253

    2.ACADEMIC QUALIFICATION
    Certificate of primary school
    Certificate of Secondary Education

    3.PROFESSIONAL QUALIFICATION
    .Basic in PC maintenance and Networking Engineering, college of Veta Kipawa ICT center.
    .Diploma in PC maintenance and Networking Engineering, college of Veta Kipawa ICT center.

    4.COMPUTER SKILLS
    .Os operating system
    .Computer Assembly
    .Web Design Programming
    .Internet Knowledge
    .Database management system
    .Networking
    Computer Security
    .Computer Maintenance

  279. Naitwa TALHA HARUNA RUBUNDA elimu yangu kidato Cha nne kwa nkijana mwenye umri miaka 21 nimepita mafunzo jeshi la kukenga taifa (JKT) pia mzoefu wa kazi mchapakazi masaa 24 naomba nafasi ya kazi Kama mtunza vifaa store security pia nimesomea chuo cha uhasibu Tanzania TIA accontancy and finance kwa Sasa nipo 844 kj mbeya jkt muda wowote mkijitaji ntawasili mungu nisaidie

  280. Naitwa simon edward mgonela nina ujuzi wa procurement and supply nimesoma chuo cja institute of procurement and supply napia nimemaliza shule ya secondary pugu secondary elimu ya form4 hivyo bas nilikua naomba niwe mmoja wenu katka nafasi izo mlizo tangaza na ivo pia nina uzoefu wa store na manunuzi nimefanya field katk manispaa ya kinondoni miez 2 ivyo bas naombeni msaada wenu lengo kubwa nikujenga taifa kiuchumi na maendereo nakujenga campuny iwe ina sifa nzur. nawatakia kazi njema mungu awabaliki

  281. Habari, jina langu naitwa Mkangara Sisso Boniphace Nimeitimu katika chuo cha Ufundi Veta Mwanza katika fani ya Umeme Level ya 3, Ninacheti kizuri chenye sifa zote.Napenda kuomba nafasi ya STORE KEPER katika Kampuni yenu Ninaujuzi wakutosha kabisa.Namba yangu ni 0657811520 na 0756577568.Asanteni

  282. Naitwa Ratifa Mrisho niko Mwanza,Ninaomba kazi ya usafi,elimu yangu ni fm 2,nilishafanya kazi kwenye makampuni kwa kazi hiyohiyo,nitashukulu kama ombi langu litakubaliwa Namba za cm 0754401089

  283. Naitwa Emanuel chale. Napenda kuomba kazi katika kampuni hii nafasi ya Supervisor,elimu yangu Nina Diploma ya ualimu sekondari.kwani nikazi ambayo naipenda sana katika ndoto yangu.Kwahiyo kutokana na hii fursa nitashirikiana nanyi nyote endapo nitapata nafasi,kuhakikisha maendeleo yanasonga mbele zaidi ya kiwanda chetu.
    Kwa masiliano zaidi
    Simu na.0766538765

  284. Naitwa EZRA EZEKIEL nimehitimu ualimu ngazi ya cheti naomba kazi naahidi kua mwaminifu na mwadilifu ahsante!

  285. Naitwa Sabina masunga Naomba kazi kwny ofisiyako na elimu ya kidato cha nnee na certificate ya procurement and accountant na Diploma ya procurement and logistics naahidi kuwa mwaminifu na kujituma kwa juhudi na kujenga ofisi vyema bila Malalamiko nipo tayari kuitumikia ofisi na kujituma kifanisi kwa mawasiliano 0719481915 ,

  286. Naitwa
    Herbert benedicto
    Napenda kuomba kazi ya operating , elimu yang kidato cha NNE , umri 26
    Pia uzoefu wa kutumia computer ninao kwa ngazi ya cheti
    Nitashukuru
    No.0674743254

  287. Naitwa
    James Doto Said
    Napenda kuomba kazi ya blog operater , elimu yangu ni ngazi ya stashada , umri 26
    Pia uzoefu wa kutumia computer
    Nitashukuru
    Namba za sim0763343592

  288. Naitwa chamalama Hussein luhamba nmehitimu form four na nnaastashahada ya ualimu naomba kazi katika kampuni hii naahidi kufanya kazi kwa uadilifu na ushirikiano mkubwa 0685 87 82 84 ,0766871011namba zangu

  289. Naitwa mosesi mshingisha n mkazi wa mkoa wa shinyanga,umri ni miaka 20 ninaomba kazi katika shirika lenu elimu yangu ni kidato cha nne ,nitashukuru endapo maombi yangu yatakubaliwa ,ahsante.
    Namba yangu ni 0763092288.

  290. naitwa said Maliki said elimu yang ni fourm four naish dar nimeitimu mwaka 2013 Nina chet changu madhumuni yabgu ya kuandika barua ii au maombi aya nikuomba kaz katika kampuni yako kama mtunza vifaa nikipata na nafasi ya kaz naaid nitaitumikia kwa uadirifu namba zangu ni0712987999 wako katika ujenz wa taifa said malik said

  291. NAITWA RAPHAEL MEDADI KUTOKA DAR ES SALAAM NIMEHITIMU ELIMU YAKIDATO CHA NNE NINGEOMBA NIWEZE KUPATA NAFASI KATIKA OFFICE YENU NIPO TAYAR KUPANGIWA KAZI ENEO LOLOTE NCHINI NITAFANYA KAZI KIUADILIFU NA KWA BIDII ZOTE NITASHILIKIANA NA WENZANGU KWA JITIHADA ZOTE NAIMANI MUNAWEZA NISAIDIA KUPATA NAFASI ASANTENI NAMBA YANGU KAMA KUTAKUWA NA LOLOTE LILE 0719884292

  292. Naitwa Dorcas magoma naomba Kazi ya tunzaji vifaa elimu yangu Ni kidato cha nne namba yangu Ni 0753977119

  293. naitwa PAPIAS STEPHANO LIGWA naomba kazi ya utunzaji wa vifaa elimu yangu ni form four na cheti cha librarianship and record management

  294. Habari,
    Naitwa Tamim Mambo, nina elimu ya kidato cha nne na elimu ya ufundi stadi(Electrician) ngazi ya cheti, pia nina uzoefu wa kufanya kazi za umeme kwenye kampuni kadhaa,
    Ninaomba kazi kama Electrician.
    Natanguliza shukrani za dhati.
    Mawasiliano yangu 0687537450
    Napatikana Dar es salaam.
    Ahsante

  295. naitwa baraka Joseph naishi morogoro naomba kazoo us udereva Au utunza codas Nana elimu ya kidato Cha nne nina miaka 20 mamba za cm 0621462030

  296. naitwa PAPIAS STEPHANO LIGWA naomba kazi ya utunzaji wa vifaa elimu yangu ni form four na cheti cha librarianship and record management.Mawasiliano 0683754242/0763344949

  297. Naitwa Swaumu Msengi… Ninaelimu ya Stashahada ya Teknolojia ya Habari Na mawasiliano…Ninaomba kazi tajwa… Naamini maombi yangu yatafanikiwa… Namba ya simu 0716 664495

  298. My name is Rennie Charles, i am 24 yrs old, i completed my o leve 2013 then i went to Vocational Training Centre for two yrs and my occupation is auto electrical engineering .My experience i got field in Auto Mech ltd at Dar es salaam and this time am experinced for that work can i have job .Am thankfull because my application will be received and agreed .my contact 0746228525

  299. Naitwa Efeso Yona Kingali,
    Naomba nafasi ya utunzaji wa vifaa(store keeper) kwa kuwa nimehitimu mafunzo ya kilimo na mifugo, hivyo ninao uwezo na ufanisi mzuri wa utunzaji wa vifaa.
    Natumaini maombi yangu yatakubaliwa.
    Wako katika ujenzi wa taifa,
    Efeso Yona Kingali.
    Simu: 0752886917

  300. Naitwa Hamza miraji nina umri wa miaka 36 naomba kazi ya ufundi umeme katika kampuni yako nina ngazi ya cheti cha daraja kwanza kazi hii nina uzoefu nayo wa muda mrefu natumaini ombi langu litapewa uzito
    Kwa mawasiliano no 0719413979/0766393942.

  301. Naitwa Aridi A Ramadhan, ninaomba ajira katika nafasi ya ELECTRICIAN UNDERGROUND nina uzoefu wa miaka sita (6), niko tayari kwa usaili muda wowote nitakaohitajika.

  302. Naitwa Adam Maguo naishi Dodoma naomba nafasi yakazi ya utunzaji vifaa elimu yangu niyakidato channe no 0782522563 asanten San naombeni ushirikiano wenu

  303. naitwa Lucy Thomas John Nina miaka 23 mkazi wa mwanza elimu yangu kidato cha pili napia ninaelimu ya ufund bomba ninaomba kazi yeyote Niko tayar kufanya nitafulah sana endapo nitapata nafas ya kazi

    wako mtiifu Lucy Thomas John kwa mawasiliano ya cm 0755298634.

  304. naitwa Revocatus Matiku Elimu kidato cha NNE(4) ninauzoefu wa shuguli mlizotoa asa utunzaji wa vifaa, endapo nitapata nafasi hiyo nitafanya kwa weledi nzuri na sahihi kwa umakini wa hali ya juu sana.
    Naomba kuwa miongoni mwa wafanyakazi wenu.
    kwa mawasiliano zaidi
    Email, [email protected]
    0757842904/713292107

  305. Ninaitwa Nuhu Mnaro nina cheti cha kidato cha nne na cha taifa cha utunzaji wa vifaa, ninauzoefu pia wa kutumia computer. Ninaomba kazi ya utunzaji wa vifaa, ninaahidi kuwa mwaminifu na mchapakazi kwa maslahi ya kampuni.

  306. Naitwa Oscar Wilson umri miaka 22 elimu kidato cha nne mchepuo wa Science. Nina uzoefu wa kazi ambapo nilkua wich Oparator mgodi wa ZEM uliopo butiama zaidi ya mwaka mmja hvyo bhas nilkua naomba nafasi ya kazi yoyote itakayopatikana sababu sibagui kazi niko tayari mawasiliano 0768838182
    Email [email protected]

  307. Edwin Donald mwakalinga 31 naomba kazi yeyote elimu yangu n i kidayo cha nne ni fundi plumbing ndio inanipa mkate wangu wa kila siku akhsanteni mawasiliano 0753126298

  308. Naitwa JAMES LEONARD MPOLI Elim yanga kidato cha nin , naomba kaz ya Operator , mafunz nimepata katik chuo cha veta shinyanga, pia nifund wa uchomeleaje,
    Ahsaniteen
    Namb 0764870999 / 0717542766

  309. MAOMBI YA KAZI
    Naitwa FIDELIS M. LUCAS niliyehitimu SHAHADA YA KWANZA YA MIPANGO- KAZI MENEJIMENTI NA MAENDELEO YA JAMII katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) mwaka 2016. Ni mkazi wa kata ya KAKORA iliyopo katika wilaya ya NYANG’HWALE mkoani GEITA.

    Ninaomba kazi ya usimamizi (supervisor) au mtuza ghara(storekeeper) uwezo ninao maana ni taaluma yangu, ninahadi kufanya kazi mahali popote katika mazingira yoyote yale.
    Nitafurahi sana kama maombi yangu yatakubaliwa

    kwa mawasiliano zaidi
    0756896483
    [email protected]

  310. Naitwa Ntoyoyo Moshi Sebba Nina umri wa miaka 23 mkazi wa Mwanza.Elimu yangu ni diploma ya procurement and supply management naomba nafasi ya storekeeper au book makers nina uzoefu na hizo kazi naahidi naweza kutanya kazi popote na katika mazingira yoyote kwa mawasiliano ni 0753 555605

  311. Naitwa Ntoyoyo Moshi Sebba Nina umri wa miaka 23 mkazi wa Mwanza.Elimu yangu ni diploma ya procurement and supply management naomba nafasi ya storekeeper au book makers nina uzoefu na hizo kazi naahidi naweza kufanya kazi popote na katika mazingira yoyote kwa mawasiliano ni 0753 555605

  312. naitwa EVARIST Gerald in mkazi wa mbogwe Geita Nina elimu ya kidato cha sita naomba kazi inayoendana na elimu yangu katika kampuni lenu
    PHONE 0742625642

  313. My name is joseph madebe. I’m writing to applying to the position of supervisor .I’m Geotechncian who graduated studies of Diploma at Earth Science Institute of Shinyanga …thanks for your consideration …I will be so happy if ,I will be considered positively
    For more commutation tell 0620201841/0762814400
    Email madebe.esis@gmail .com
    I’m looking forward to hearing from you…thanks

  314. Kwa majina naitwa joseph Paul Elimu kidato cha NNE na nimesomea Geology miaka mitatu.ninaomba nafasi ya store keeper(mtunza vifaa) katka campuni yako..wako mtiifu Joseph
    Contact
    0620201841/0762814400

  315. Naitwa hidaya hamisi ninaumri wa miaka 22 ningefrahi nakushkuru kama ningepata kazi yakufanya usafi katika kampuni yetu nahic kujituma nakufanya kazi kwa bidii.
    Namba zangu ni0767284887

  316. Kwa majina naitwa Hidaya Hamisi Athumani ninaumri wa miaka22 nimkazi wa karatu elimu yangu nidarasa la saba ningefurahi nakushukuru sana kama ningefanikiwa kazi ya usafi ningeitendea haki nakuifanya kwa jitihada zangu zote. wako mwaminifu hidaya hamisi athumani
    Mawasiliano yangu ni 0767284887

  317. Naitwa Eddah Peterson, Nina umri wa miaka 30, nipo Dar es Salaam. Elimu yangu ni form four pia diploma ya maendelo ya Jamii, nimehitimu katika chuo Chamaendeleo ya jamii Dodoma. (Tanzania Research and Career Development Institute. Nipo tayari kufanya kazi kulingana na sifa nilizonazo. Nitashukuru iwapo ombi langu litafanikiwa. Kwa mawasiliano zaidi 0769198657/0693202657

  318. Naitwa Esther Yakobo elimu yangu ni certificate in records management naomba nafasi ya kazi ya usafi nitafurahi sana ombi langu likikubakiwa no 0765740988

  319. my name is Emmanuel, it will be my pressure, to get the opportunity at GGM, as a security guard, or keeping records, with all thanks

  320. naitwa Amina Juma Chakupewa,nina miaka 25 nina elimu ya kidato cha nne pia nina uzoefu wa utunzaji stoe na ninauzoefu wa utunzaji kumbukumbu,naomba kazi ya stoe katika office yako
    natanguliza shukurani zangu za dhati endapo ombi langu kitapokelewa
    aksante
    0746773902 /0675947580

  321. Naitwa Sesilia Severini Pesambili, nina umri wa miaka 20 nina elimu ya kidato cha nne pia nimesomea kazi ya utaunzaji kumbukumbu ninaomba nafasi ya kazi ya utunzaji vifaa katika ofisi yako namba yangu ya simu ni 0655286052 na 0765961331 nina matumaini ombi langu litakubaliwa asante

  322. I blog quite often and I seriously thank you for your
    content. This great article has truly peaked my
    interest. I’m going to book mark your site and keep checking for new details about
    once a week. I subscribed to your RSS feed as well.

  323. naitwa Daniel Thobias Ndomba elimu yangu ni shahada ya hesabu (double mathematics) naomba kazi yoyote ile na nipo teyari kazi katika mazingira yoyote. 0756608322

  324. Naitwa Anna Daniel Haule ni mkazi wa dar es salaam,nina miaka 28 elimu yangu ni form two.Nilikuwa naomba nipate kazi katika sekta ya usafi nina ujuzi nayo,namba zangu ni 0752615575

  325. kwa majina naitwa MICHAEL MSALANJI ZENOBI Nina umri wa miaka 21 ni mkazi wa Lubanda Geita,elimu yangu na ya KIDATO CHA SITA pia nimepitia mafunzo na JKT kambi ya Msange iliyoko mkoani Tabora ,Ninaomba kazi ya usafi au utanzaji wa vifaa kwani Nina uzoefu Mkubwa katika utunzaji wa mazingira kwan Nina cheti cha utunzaji wa mazingira (Mali hai certificate) nipo tayar kufanya kaz kwa uaminifu na uhodari Mkubwa pia kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wafanya kazi wenzangu na kwa wakubwa wangu wa kazi ,ntafurahi sana maombi yangu yakikubaliwa ,namba zangu ni 0752021208 au 0626990496

  326. Naitwa Raymond macha mkazi wa dodoma Naomba kazi ya umeme(Electrical) nimesoma level yangu ni level 3 , ahsante! namba zangu ni 0674052577

  327. My name is WINGIA WILLIARD KAKULIMA. I am a Tanzanian living in Dar es salaam ,my education level is a foundation of procurement and supply achieved from(PSPTB)procurement and supply professional and Technician Board .am asking for a job at your company …my contact are 0764561304

  328. mimi ni driller pia ni blaster elim yangu kidato cha nne nina uzoefu mining naomba kazi pia katika kazi za drilling na blasting

  329. naitwa Francis Jovin . naomba nafasi ya supervisor au storekeeper nina diploma in primary education .
    contact 0752898093

  330. Kwa jina naitwa Ally Abdul mwenye umri wa miaka 25 mwenye elimu ya certificate ndugu mheshimiwa tafadhar naomba unipatie nafasi ya kazi kama zilivyotajwa kitengo cha kilinda vifaa naweza kuifanya asante
    0673863192
    0788476638

  331. Kwa majina naitwa obas mwambilu nimesoma bacherol ya computer science naomba kazi nina umri wa miaka 27 ntafurahi ombi langu likikubaliwa namba yangu ya simu ni 0755233944

  332. naitwa abel venans nipo kakora geita elimu yangu ni kidato cha 6 Nina umri wa miaka 22 naomba kaz ya Usafi nipo tayar kufanya kaz hiyo kwa uhodar mkubw namb zangu ni 0745973946

  333. Naitwa Joseph Mtatiro Nina miaka 24 nimehitimu stashahada ya utafiti na uchimbaji wa madini namba yangu in +255756742005 natafuta kazi. Ahsante

  334. Naitwa Peter A Mchunguzi
    Umri 30
    Mkazi wa kirumba Ilemela Mwanza Tanzania elimu yangu kidato cha nne na niemiitimu mafunzo ya kujitolea JKT kigoma kanembwa pia nimeitimu chuo cha udreva LIKE ZONE DRIVING nina leseni yenye madaraja A B C1 C2 C3 D E
    Naomba kazi yakutunza vifaa ninauwakika nitaitendea aki 0672173131

  335. Naitwa Aranus B Chowe naomba kazi ya kutunza vifaa elimu yangu kidato cha nne. Kwamawasiliano 0766627946 naishi Mleba

  336. My name is Dickson A. Mwijage, i am 22 years old i have graduated secondary ordinary level in 2015 and join at college and take basic certificate in business administration at Mwalimu Nyerere Memorial Academy. i request for stock keeping job here. +255 712354306

  337. naitwa kalekwa john elim yangu 4m4 Nina umri wa miaka 29 naomba kazi ya kutunza vifaa,
    kwa mawasiliano;0679801145 au 0742856240

  338. kwa ufupi mimi nimuhitimu wa kidato cha sita mwaka 2018 katika mchepuo wa fizikia kemia na biolojia na kupata maksi za kwendleaa chuo kikuu nilikuwa naomba kazi katka hii kampuni na pia nimepitia mafunzo ya awali ya ujenzi wa taifa katika kikosi namba 832kj ruvu jkt naomba kazi kutokana na sifa zangu hapo juu ahsante

  339. My Name is Stephano Charles am a Tanzanian 22years old looking for Job , my education level is Advanced in Uganda I can speak well English and hearing it also,I would like to apply on the side of store keeper in your company .my contact: 0621843933. I promise that I will be very care , wish you good implementation

  340. RE:APPLICATION FOR EMPLOYMENT
     ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄
    Dear Sir/Madam,The heading above is highly concerned, I am to applying for the position of Electician in you are AngloGold Ashant. my fully names are Sebastian Moses living at Kiloleli Mwanza. I have graduated form four October 2009,after that I have studied Ginnery Fitter in 2011and getting level one. then after that i have decided to study Electrical three years since 2013 up to 2015 getting Level three.
    kindly do me afavour by giving me a job to in you are AngloGold Ashanti,i promise you that i will work hard with all my heart and all my strength,i will also cooparate well with my fellow workers.
    Thank you for consideration my contact 0753966363,and 0715915696. please consider me for the interview,I looking forward to hearing soon from you.
    Your sincerely,
    Sebastian Moses.

  341. Am neema mpanga(24yrs), from dar es salaam, with bachelor degree geography and environmental studies. I would like to apply a job in ur company in any position. I hope my request will be considered.
    Cont.: 0655684041

  342. Joyce Calisti Minja ninaomba kazi yoyote katika kampuni yenu kuendana na elimu yangu. .Nimehitimu kidato cha 6 kwa ufaulu daraja la tatu mwaka 2016 na nina umri miaka 23.Ninaahidi nitakuwa mwaminifu na ninaamini maombi yangu yatajibiwa.
    0743-805795

  343. Mimi ni mkazi wa Geita mjini, Naitwa Hamis Omary Utoto. nina elimu ya kidato cha nne, fani nilio nayo ni Udereva, License ina madaraja A,B,D. Naomba kazi katika kampun yenu. Ni Furaha sana kama ombi langu litakubaliwa, maana hayo ndio malengo yangu. kila lakherii katika kazi.
    HAMIS OMARY UTOTO.

  344. Naitwa Stella sylvanus.ninamiaka 29,naomba kazi ya jumbo operators.Elimu yangu ni ngazi ya cheti cha ukutubi na uhifadhi nyaraka.nilihitimu katika chuo cha slads.kilichopo Dar es salaam.nimatumaini kua ombi langu litakubalika.Wako katika Ujenzi wa Taifa Stella sylvanus.namba zangu ni 0687406784

  345. Naomba kazi ya utunzaji wa vifaa na ufanyaji wa usafi elimu yangu ni kidato cha nne.ninao uwezo wa kumudu kazi moja wapo kati ya hizo,jina langu ni anna dawi mawasiliano ni 0620647328

  346. naitwa Martha Charles ,naishi Sengerema mwanza ,elimu yangu n degree ya procurement and supply nimemaliza katika chuo kikuu cha kimataifa Kampala Uganda,naomba kazi ya utunzaji wa vifaa,mawasiliano yangu ni 0743852999

  347. Name: Kelvin BIRUKILA

    Education: Bachelor degree in procurement and supply at State University of Zanzibar (School of Business)

    Skills: Microsoft office and Leadership skills

    AM APPLYING AT ANY POSITION IN YOUR COMPANY FOR MORE INFO AVAILABLE IN MY CURRICULUM VITAE
    MY MAIL- kelvinbirukila@gmail. com
    My CONTACTS – +255757092615/ +255656698980

  348. Naitwa Jumanne mhangilwa mhitimu kutoka chuo cha ufundi chang’ombe dar naomba kazi ya fundi umeme namba ya simu ni 0758016228

  349. naitwa Pius shelukindo ninaishi geita elimu yangu ni kidato cha nne
    ninaomba kazi ya kutunza vifaa vya ofisi.
    nitashukuru endapo ombi langu litakubaliwa.
    namba yangu ni 0767918505

  350. hello kwa jina naitwa jackline gemin shirima nina miaka 22 nina elimu ya basic technician certificate in library ,records and information studies no yangu 0715321350

  351. hello naitwa jacklini gemin nina certificate ya library ,records and information studies naomba kaz namba yangu ni 0715321350

  352. naitwa kasimu Mrisho ally naomba kazi ya technician elimu nimehitimu form four Nina certificate na nimesomea umeme wa magari Nina VC2 namba ya simu 0785335024

  353. Naitwa Dennis cleophas mi ni operator na driver elimu yangu ni kidato cha NNE nilikuwa nikifanya kazi katika mgodi wa cata mine kwa sasa ulifungwa kwa hyo naomba ushorikiano wenu no 0754956704 email ni [email protected]

  354. Naitwa Marry C.Assenga.Elimu kdato cha nne,naomba kaz nafas ya Usafi katika campun yenu! Nna chert cha Basic Hotel management kutoka Arusha College pia nna uzoefu wa miaka kumi.Kwa mawasiliano 0764266969.Niko Arusha Tanzania Ahsante.

  355. Naitwa hasani iddy nna umri wa miaka 25 nmefanikiwa kusoma elimu ya sekondar mpaka form four na kuitimu. Baada ya kumaliza nkajiunga na chuo cha ufundi stadi Veta Katka fani ya UMEME katika shirka la Elmu kibaha lilopo kibaha pwani. Naomba kazi katika kampuni yenu na ahidi ntafanya kazi kwa bidii na kufata sheria ya kazi.

  356. Hey would you mind letting me know which web host you’re working with?
    I’ve loaded your blog in 3 different browsers and I must
    say this blog loads a lot quicker then most. Can you suggest a good internet hosting provider at a reasonable price?
    Kudos, I appreciate it!

  357. Stellah Timotheo nina umri wa
    miaka 20 nimeitimu kidato cha
    nne napenda kuomba kazi ya kutunza vifaa na kufanya usafi na kazi
    yoyote kuligana na elimu
    yangu naamini ombi langu
    litapokelewa
    namba yangu 0756248687

  358. naitwa abeli mdemle, nimemaliza veta tabora, naomba kazi ya ufundi magari.level yangu ni certificate.0768937411 na 0783372236

  359. naitwa mohamed siengo .naomba kazi ya ufundi Umeme wa magari,level yangu ni certificate kutoka veta tabora. 0759564229

  360. naitwa mohamed siengo .naomba kazi ya ufundi Umeme wa magari,level yangu ni certificate kutoka veta tabora. 0759564229

  361. Naitwa FREDY OUNO nina miaka 23 mkazi wa Rorya ,elimu yangu ni kidato cha nne,pia nina Diploma ya ualimu.Ninaomba kazi ya utunzaji wa vifaa katika kampuni yako naamini naiweza na nitaifanya kwa uaminifu na kuleta ufanisi katika kampuni.
    Nitafurahi endapo ombi langu litakubaliwa.

    [email protected]
    0752775932

    • Naitwa FREDY OUNO nina miaka 23 mkazi wa Rorya ,elimu yangu ni kidato cha nne,pia nina Diploma ya ualimu.Ninaomba kazi ya utunzaji wa vifaa katika kampuni yako naamini naiweza na nitaifanya kwa uaminifu na kuleta ufanisi katika kampuni.
      Nitafurahi endapo ombi langu litakubaliwa.

      [email protected]
      0752775932

  362. Naitwa JAMES .E. MWALONGO umri wangu ni miaka 30,elimu yangu ni diploma in business administration.naomba kazi katk company yako na nitakua mchapakaz mwema na mtihifu. 0712683699

  363. Naitwa Agnes M. Jonas nimkazi wa Buselesele ,elimu yangu kidati cha nne naomba kazi kwenye kampuni yenu katika nafasi ya kutunza vifaa .
    Naahidi kufanya Nazi kwa uaminifu na kwa bidii.
    Nitafurahi sana endapo nitapatiwa nafasi. No.0759756132.

  364. Asante kwa tangazo:
    Pole na majukmu ya kulijenga Taifa.
    naomba nafasi ya kazi kwa upande wa kutunza vifaa, Mimi nitakuwa mwaminifu sana. Napatikana Kigoma, Elim yangu ni ya Kidato cha sita.
    Naamini ombi langu litapokelewa.
    wako katika kuijenga Taifa,
    Hamenyimana vicent.

  365. Naitwa Joyce Calisti Minja,ninaumri wa miaka 23 ni mkazi wa Kilimanjaro ninaomba kazi yoyote kulingana na kiwango changu cha katika kampuni yenu.Elimu yangu ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka 2016 na diploma ya elimu ya secondary mwaka 2018 mwezi wa tano.Naahidi nitakuwa mwaminifu na pia naamini nitajibiwa ombi langu.
    Mawasiliano yangu ni 0743-805795 au 0672-454260.

  366. Naitwa Filomena V Magorwa.naishi kibaha nina umri wa miaka 21 nina elimu ya form 4 naomba kazi yoyote kulingana na elimu yangu

  367. Naitwa glory goodlick Kanza nimesoma record management katika ngazi ya diploma.nilikuwa naomba nafasi ya kutunza vifaa.asante

  368. Habari jina langu Elizabeth Emmanuel Nina umri Wa miaka 24 Nina elimu ya kidato cha NNE pia Nina diploma ya early childhood education naomba kazi yoyote inayonifaa katika kampuni yenu kulingana na elimu yangu natumaini ombi langu litafanyiwa kazi namba yangu ni 0657859710

  369. naomba kazi ya ufundi electrica instolatio elimu yangu kidato cha nne nina umri wa miaka 23 namba yangu ya Sim 0685879021/ 0768231386

  370. Naitwa Elizabeth Charles nina umri wa miaka 24 elimu yangu ni kidato cha nne ninaomba nafasi yakaz yoyote inayolingana na elimu yangu

  371. Naitwa Rajab Marto nipo moshi nna miaka 25 nmesoma electric installation level 2 nna uzoefu na kazi za umeme naomba kujiuga na kampun yenu namba za simu 0759056020 Nashukuru sana kama ombi langu litakubaliwa asante

  372. RE: APPLICATION FOR EMPLOYMENT  ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄ ̄
    Dear Sir/Madam,my fully names are prosper Joseph masunga,living at Bungando Mwanza. the heading above is highly concerned I am applying for the position of Electician in you are AngloGold Ashanti. I have finished form four in 2010,then I have decided to study electrical for three years i have level three.
    If you will give me a job and i will also work hard,thank you for you are consideration my contact is 0756393264.please consider me for the interview,i looking forward to hearing soon from you.
    Your sincerely,
    Prosper Joseph masunga.

  373. Naitwa Paul Mpemba nina umri wa miaka 26 nimesomea umeme wa magari (outo electrical) kwa miaka mitatu nina uzoefu wa kazi kwani nimefanya kazi katika magereji mbali mbali kwa muda wa miaka minne. Hivyo ni naomba kazi katika kampuni lako. Nitafanya kazi kwa ufanis na weledi wa hali ya juu. Natanguliza shukran.
    Mawasiliano yangu ni
    0787222291

  374. Naitwa Neema Mwaipaja nina umri wa miaka 28,Elimu yangu ni kidato cha nne ,pia ni fundi stadi katika fani ya umeme daraja la kwanza (grade 1)ninaomba kazi ya ufundi katika ofisi yako ,nitumaini ombi langu litakubaliwa.namba. yangu ni 0756435409/0655435408.

  375. YAH: OMBI LA KAZI KATIKA KITENGO CHA KUTUNZA VIFAA.
    Tafadhali lejea kichwa cha habari tajwa hapo juu. Mimi naitwa Mussa Manyama nimezaliwa 8/81994. Elim yangu ni kidato cha nne na muhitim wa Certificate in Pharmaceutical science. Naomba kazi ya kutunza vifaa katika taasisi yenu kwani ninauzoefu huo. Nitashukuru sana kama ombi langu litakubaliwa.
    Mawasiliano 0755914101
    Barua pepe, [email protected]

    • YAH. OMBI LA NAFASI YA KAZI KATIKA KITENGO CHA UTUNZAJI VIFAA naitwa ELENESTINA GEORGE SYLVANUS.. Nmehitimu kidato cha nne 2015 na nina cheti cha ufundi, naomba nafasi ya kazi katika kampuni yako natumain omb lang nitakubaliwa mawasiliano 0746038495

  376. Naitwa johanitha jasson natokea mwanza nina umri wa miaka 25 nimesomea diploma ya manunuzi na ugavi katika chuo cha biashara mwanza ninaomba kazi katika kampuni hii niko tayari kufanya kazi kwa bidii na kwa kujituma ili kukuza na kujenga malengo ya kampuni kupitis uzoefu nilionao naomba kipaumbele katika nafasi za kutunza vifaa pamoja na supervisors nitafurahi nkichaguliwa kuwa mfnyakazi katika kampuni yenu wako kazini j.Jasson napatkana kwa namba 0768942821.

  377. Ninaitwa LAURENT MBEGETE LADSLAUS Nina Umri wa Miaka 18.Nimemaliza Kidato Cha Nne katika shule ya Sekondari ya CHATO_GEITA P.O.BOX 102, Mwaka 2018 , Nimefaulu Vizuri Ufaulu wangu Ni huu ufuatao;
    C-HISTORY
    C_KISWAHILI
    C-ENGLISH LANGUAGE
    D-GEOGRAPHY
    D-BIOLOGY
    F-BASIC MATHEMATICS NA
    F-CIVICS
    Naomba Kazi inayoendana na Ufaulu Wangu Kwani nitaweza imudu Vizuri saana.
    Naimani Maombi yangu Mtayafanyia kazi Nashukuru Sana
    Nawatakia Kazi njema katika Ujenzi wa Taifa
    Contact;0744550023/0692486698
    [email protected]

  378. Ninaitwa LAURENT MBEGETE LADSLAUS Nina Umri wa Miaka 18.Nimemaliza Kidato Cha Nne katika shule ya Sekondari ya CHATO_GEITA P.O.BOX 102, Mwaka 2018 , Nimefaulu Vizuri Ufaulu wangu Ni huu ufuatao;
    C-HISTORY
    C_KISWAHILI
    C-ENGLISH LANGUAGE
    D-GEOGRAPHY
    D-BIOLOGY
    F-BASIC MATHEMATICS NA
    F-CIVICSNaomba Kazi ya UTUNZAJI WA VIFAA Kwani nitaweza Kuimudu Vizuri saana.
    Naimani Maombi yangu Mtayafanyia kazi Nashukuru Sana
    Nawatakia Kazi njema katika Ujenzi wa Taifa
    Contact;0744550023/0692486698
    [email protected]

  379. Ninaitwa LAURENT MBEGETE LADSLAUS Nina Umri wa Miaka 18.Nimemaliza Kidato Cha Nne katika shule ya Sekondari ya CHATO_GEITA P.O.BOX 102, Mwaka 2017 , Nimefaulu Vizuri Ufaulu wangu Ni huu ufuatao;
    C-HISTORY
    C_KISWAHILI
    C-ENGLISH LANGUAGE
    D-GEOGRAPHY
    D-BIOLOGY
    F-BASIC MATHEMATICS NA
    F-CIVICSNaomba Kazi ya UTUNZAJI WA VIFAA Kwani nitaweza Kuimudu Vizuri saana.
    Naimani Maombi yangu Mtayafanyia kazi Nashukuru Sana
    Nawatakia Kazi njema katika Ujenzi wa Taifa
    Contact;0744550023/0692486698
    [email protected]

  380. habar! Naitwa hudhaifa dabasi khalfan kiumbe. nikajana mwenye umri wa miaka 22 elimu yangu ni diploma in local government Administration katika chuo cha serikali za mitaa, napenda kuomba kazi ya senior supervisor
    namba yangu ya sim ni
    0764015072
    Ahsante

  381. Naitwa frank ni mtanzania elimu yangu ni diploma ya ugavi ninaomba kazi kwenye kampuni yenu namba zangu ni 0626557597

  382. Naitwa edson Magwari Joseph umri wangu ni miaka 29,

    nina shahada ya mahusiano ya jamii na masoko, nimeisha wahi Fanya Nazi kama supervisor kwenye mgodi wa North Mara Gold mine, naomba kazi ya supervisor.

  383. Naitwa Julieth Mgonja umri wangu ni miaka 21 nina elemu ya diploma ya procurement and supply management katika chuo cha Tanzania Public Service College nina uzoefu sana wa stocktaking,issuing material, received material na codification naombeni kazi katika company yenu, natumaini ombi langu mtalikubali Asante. 0755 806339

  384. Habari poleni na kazi kwa jina ninaitwa .Yusta Philbert elimu yangu ni kidato cha tatu naomba kazi kwenye kampuni yenu nitafurai kama nitakuwa miongo mwa watu mtao wachagu asante Mungu away bariki niwatakie kazi njema mawasiliano yangu ni 0654206420

  385. Naitwa Daima abdallah
    Ninaomba kazi katika tasisi yako, Nimesomea utunzaji kumbukumbu ngazi ya stashahada.
    nimatumaini yangu mtanipokea, Iwapo mtanichagua nitawajibika vizuri na kuendeleza Taifa letu.
    Wako muaminifu
    Daima Abdallah.

  386. Rose Msafiri.
    14/11/2018,
    Naitwa Rose Msafiri naishi Mwanza. Naomba kazi ya kutunza vifaa. Ninahaidi kutoa ushirikiano. Nitashukuru ombi langu likifanyiwa kazi. Namba yangu ya simu Ni 0759658478.

  387. Naitwa Juliana Mangu,naishi Mwanza elimu ya diplom ya Human Resouse and Managment,Naomba nafas ya kutunza vifaa katika kampuni yko..Ntashukur kama ombi langu litapokelewa,namb yangu ya simu ni 0755097714..Barua pepe [email protected]

  388. Kwa majina naitwa jackline medard Nina umri wa miaka 23 ,nimuhitimu wa chuo cha elimu ya biashara (cbe), stashahada ya manunuzi na ugavi .ninaomba kazi ya kutunza vifaa au superver kwa kuwa ninauzoefu wa kutosha ,pia nitafanya kazi kwa bidii ili kuwezesha kampuni kusonga mbele .mawasiliano yangu. 0759367984

  389. Naitwa jasitha Leonidas Nina umri was miaka 24 nimesomea diploma ya manunuzi katika chuo cha elimu ya biashara .pia ninauwezo wa kufanya kaz kwa kuwa ninauzoefu kwa kufanya Nazi katika makampuni mbalimbali kama vile ttcl ,taneaco na vodacom. Naomba nafasi ya kuwa mtunza vifaa au supervisor ,nitafanya kazi kwa juhudi ili kuongeza kipato cha kampuni.Mawasiliano yangu 0754476776

  390. Naitwa Munene Victor Meowi. Nina mmiaka 22 . Elimu yangu ni kidato cha nne nimemalizia nchini Kenya. Naomba kazi ya surviser. Number zangu
    0767265219

  391. Naitwa mickson nsembe nina ishi Geita nkome naelimu ya kidato cha nne Naomba kazi ya usafi nina miaka 21namba ya simu 0744949335

  392. Naitwa Rachel Makoye nina miaka 28 ninaishi mza nimesoma uhasibu chuo cha cbe mza cumpus naomba kaz yoyote nitashukuru endapo mtaniona 0768690379

  393. Naitwa amina mustapha salum,ninamiaka 34,nimehitimu elimu ya utunzaji wa kumbukumbu ngazi ya cheti katika chuo cha utumishi wa mama mtwara,naomba kazi ya usafi katika ofisi yako,nashukuru kwa kupokea maombi yangu

  394. Naitwa amina mustapha salum,ninamiaka 34,nimehitimu mafunzo ya utunzaji was kumbukumbu ngazi ya cheti katika chuo cha utumishi wa umma MTWARA,naomba kazi ya usafi,nashukuru kwa kupokea maombi yangu

    • Naitwa amina mustapha salum,ninamiaka 34 nimehitimu mafunzo ya utunzaji wa kumbukumbu ngazi ya cheti katika chuo cha utumishi wa umma MTWARA ,naomba kazi ya usafi,namba yangu ya simu no 0755952131

  395. NINAITWA JAMES JOHN URIO (23), ELIMU YANGU KIDATO CHA SITA. NINAOMBA NAFASI YA UTUNZAJI VIFAA KATIKA KAMPUNI YAKO. NITASHUKURU SANA ENDAPO OMBI LANGU LITAKUBALIWA. NAAHIDI KUWA MWADILIFU.
    MAWASILIANO YANGU :0758256647 AU 0623415322
    ASANTE.

  396. Naitwa amina mustapha salum,ninamiaka 34 nimehitimu mafunzo ya utunzaji wa kumbukumbu ngazi ya cheti katika chuo cha utumishi wa umma MTWARA ,naomba kazi ya usafi,namba yangu ya simu no 0755952131

  397. NINAITWA JAMES JOHN URIO, UMRI MIAKA 23, NINAOMBA KAZI YA JUMBO OPERATOR KATIKA KAMPUNI YAKO. NINA ELIMU YA KIDATO CHA SITA. NAAMINI OMBI LANGU LITAKUBALIWA. MAWASILIANO YANGU 0758256647/0623415322

  398. Naitwa Neema Fredrick
    Nina miaka 33
    Naishi Dar ila nina weza pia kuishi Geita
    Naomba kazi ya kufanya usafi
    Nitaifanya kwa weledi na kwa uaminifu na hofu ya Mungu.
    Kama mwajiri utafurahia na hutojuta kunipa nafasi hii adimu.
    Namba yangu ya Simu 0736019606

  399. habari naitwa Barnabas Emmanuel Wambura nina miaka 25, Nimehitimu elimu ya juu shahada ya sanaa ya uandishi wa habari {bachelor of art in journalism}katika chuo kikuu cha Iringa {Tumaini}’ Naomba kazi ya blogger operators, supervisors katika kampuni yako.
    namba yangu ya simu 0684 660504

  400. Naitwa John bundala, nimtanzania. Elimu yangu ni kidato cha nne, nina umri wa miaka 24. Naomba nafasi ya opperator machine. Ni mzowefu na kazi hii. Nimefanya kazi katika mgodi wa Acacia buzwagi miaka 3. Wako katika ujenzi wa taifa. Namba yangu ya simu 0785207776, 0746359771.

  401. Naitwa John bundala Masanja, elimu yangu ni kidato cha nne, ninaumri wa miaka 24.naomba nafasi ya jumbo Opperators, Ni mzowefu na kazi za mgodini. Natanguliza shukran zangu za dhati, Asante.namba yangu ya simu 0746359771 na 0785207776.

  402. Naitwa Halima M Shomary , umri wangu ni miaka 24 naomba kazi ya kutunza vifaa elimu yangu ni ngazi ya cheti katika maswala ya ugamvi na manunuzI.
    Nina matumaini nitachaguliwa
    Asante
    Namba 0746 692 288

  403. Kwa Majina Naitwa Johari Raphael Rashidi, Naishi Tabora Nina Umri wa Miaka 20, Elimu Yangu Ni Kidato Cha Nne Ninaomba Kazi ya kufanya Usafi (attendants). 0624858738 /0785306514.

  404. Naitwa Bupe Kasyele,ni mtanzania mwenye umri wa miaka 28.Elimu yangu ni Diploma in library and Records management.naomba nafasi ya kazi kwenye kampuni yako kutokana na level ya elimu yangu.0764_859900

  405. Naitwa HAMISI ABDALLAH nimesomea electrical installation naomba kazi katika nafasi za electrician wanaohitajika nina uzoefu wa kutosha”
    +255713139549

  406. NINAITWA JAMES JOHN URIO UMRI MIAKA 23, NINAOMBA KAZI YA FILTERS UNDERGROUND MINING. ELIMU YANGU NI KIDATO CHA SITA. NI MCHAPAKAZI NA MSIKIVU. NITASHUKURU SANA ENDAPO OMBI LANGU LITAKUBALIWA. MAWASILIANO 0758256647/ 0623415322

  407. Naitwa Bashiri saidi Nina umri wa miaka 21 elimu yangu ni kidato cha nne na nimesomea course ya fire and rescue kwa mawasiliano zaidi 0757064638

    • My name is Roselight Daniel Machango I would like to apply a job vacancy in your organisation as a cliner I have
      I hope so I will get a job my phone number is 0769 225 436 or 0715 860 672

  408. Excellent post. I was checking continuously this blog and I’m impressed!
    Extremely helpful info specifically the last part 🙂 I
    care for such information much. I was looking for this certain info for a long time.
    Thank you and best of luck.

  409. NAME :Aneth Joseph
    AGE :24 years old
    GENDER :Female
    NATIONALITY :Tanzanian
    LANGUAGE :English and Swahili
    EDUCATION :From 2009-2012 form four at Kanyigo secondary school
    :From 2013-2014 certificate in Information and communication technology
    :From 2015-2016 form six at St Theresa
    I’m so happy if my request will be taken under consideration
    CONTACT :0653546227,0765740967
    EMAIL :[email protected]

  410. Naitwa ERICK STEVEN TIBAIGANA” naishi sengerema mwanza nina umri wa Miaka21 nina elimu kidato cha nne,ninaomba kazi ya usafi katika kampuni yako. 0659913692

  411. Jina langu ni Mwanahawa Abrahamani Mkamba nina umri wa miaka 22 Elimu yangu ni kidato cha 6 naomba kazi ya kutunza vifaa katika kampuni yenu endapo nitapata nitafanya kazi kwa umakini mkubwa
    Sim 0719054060

  412. Naitwa bahati seif athumani ni msichana,naomba kazi katika kampuni yenu nimesomea blasting,computer,kuoparate exacavetar.pia kufanya usafi na kutunza vifaa naweza.

  413. Jina langu Lilian Humphrey,ninaishi kibaha pwani,Elimu yangu ni kidato cha nne,naomba kazi ya kutunza vifaa katika kampuni ya GEITA GOLD MINE. 0678121819

  414. Mi ni msichana naomba kazi kwenye kampuni lenu,nimesomea blasting,computer,kuoparate excavetar pia kufanya usafi na kutunza vifaa naweza.

  415. Naitwa Katalina Malio Malinga,naomba kazi ya kufanya usafi elimu yangu ni kidato cha nne na ninauzoefu pia

  416. I’ve learn some good stuff here. Certainly worth bookmarking
    for revisiting. I wonder how much attempt you place
    to make this sort of magnificent informative site.

  417. Kwa majina naitwa Bora Evaristi naishi kigoma kibondo nilikua naomba kazi ya kutunza vitu katika kampuni yenu. Nimeokoka nampenda Yesu Nina Elimu ya cheti kidato cha nne. Nimatumaini yangu kua ntafanikiwa bila shaka.kwa mawasiliano zaidi. Namba yangu no .0764193882 Mungu awabariki sana.

  418. My names are Vianey Mushobozi living in Mwanza with 24 years of age.I am writing to apply for a job at your company due to the fact that i have the ability to perform tasks under minimal supervision and i am ready to accept any challenge and very enthusiastic to solve a problem.I have graduated as a student from the University of Dodoma in Bachelor Degree of Arts in Political Science and Public Administration.I believe in aiming accountability,visionary and high degree of integrity for sensitive work.Thank you for considering me.I look forward to hearing from you soon

  419. I am Aminiel mziray, I am electrician from VETA Moshi. I would like to apply. I believe I will be considered and kindly get work from you. My contacts 0659500436

  420. Habari ya kazi kwa majina naitwa mathias deogratias katunzi naishi geita mjini .elimu yangu kidato cha nne .lengo kubwa naomba kazi katika compuny yenu mawasiliano namba zangu 076809941 /0712224090

  421. Kwajina ni Patrick paschal mkazi wageita elimu yangu ni kidato cha nne pia nmefanikiwa kujiunga na veta geita nakuchukua fani ya udereva wa gari ndogo(class D) ikiwa ninavivuri vya vyeti vyangu.Natuma maombi yangu kwa heshima na taadhima kuomba kazi katika kampuni yenu namba ya simu-0712224090,ntashukuru endapo ombi langu litakubaliwa

  422. Am Paschal Masanja, completed form four and a grade III A(certificate of teaching).
    I am requesting for any vacancy which can be affordable to me according to my education.

    My contact is 0764110756/0715110756

  423. Naitwa Thomas Mambosho nina elimu ya kidato cha 4 form(4), mimi ni fundi mchundo ( fitter mechanics) level 2 ninauzoefu miaka mitano(5) ninanaweza kufanya kazi zote za kuchonga vyuma no,0679017245, asante

  424. Joseph David Nina elumi ya advance deplom in IT Nina uzoefu wa kazi 11 years , nimesha fanya kazi kilombero sugar Morogoro,veta Arusha , (NHC) shirika la nyumba la Taifa Arusha,Tanroad Arusha.Nauwezo waku operate any computerized mashine na computer hardware and software .kwa sasa niko Mwanza ,0763477228 Thanks

  425. Naitwa Emily Philemon, Nina elimu ya shahada ya ujasiliamali ,chuo kikuu mzumbe morogoro. Naweza kufanya kazi ya supervision hapo Geita gold mine. Nitashukuru iwapo langu litakubaliwa.

  426. Ninaitwa yohana sembo Nina Elimu ya kidato cha nne nliyohitimu mwaka 2015 pia nmehitimu Elimu ya kidato cha sita mwaka 2018 katika seminary ya mt maria nyegezi Mwanza ni naomba kazi ya kutunza vifaa umri wangu ni miaka 21 nitafurahi endapo ombi langu litakubaliwa

  427. kwa majina naitwa Baraka Marigirya natokea Mara, nina umri wa miaka ishirini (20). Nimehitimu astashahada ya maendeleo ya jamii katika chuo cha Tanzania Research and Career Development Institute (TRACDI) kilichopo Dodoma, napenda kuomba nafasi ya kushirikiana na kampuni ya Geita Gold Mine na nipo tayari kuifanya kazi ya aina yoyote ile nitakayopangiwa. Ahsante sana napenda kutoa shukrani za dhati kwa kampuni ya Geita Gold Mine.
    kwa mawasiliano 0626653828 au 0745303618

  428. Naitwa eliya dickson sijila Nina umri wa miaka 22 mkazi wa mwanza ilemela elimu yangu ni diploma ya records management ila nilipitia form six pia naomba kazi ya kutunza vifaa. Asanteni sana 0655281989

  429. Naitwa Ally Kassim naishi Igunga tabora ni fundi waya(umeme wa magari) nina uzoefu wa kutosha na elim yangu kidato cha nne pamoja na elimu ya ufundi level 2 namba yangu 0756500907

  430. My name is Emmanuel Telly I’m living Dar es salaam and I’m looking for job my education level is form four am graduated this year please am asking for job because am strong and will work under pleasure hand to hand .i hope my request will. meet for you for most consideration and am ready for any interview. My contact 0783897200

  431. Kwa jina naitwa Azizi Moshi juma Ni mkazi jijini mwanza elimu yangu n kidato Cha nne. Naomba kazi katika kampuni yenu. Nitafanya kazi Kwa uaminifu na Kwa bidii. Nitafurah endapo ombi langu lita kubaliwa

  432. Kwa jina naitwa Salimu Hamisi Khoja nina umri wa miaka 21 mkazi wa mbagala Dar es salaam mzaliwa wa Tanga. Nimehitimu elomu ya kidato cha nne mwaka 2015. Pia nimemesomea fani ya umeme wa magari mwaka 2016. Pia nimesomea mafunzo ya udereva daraja D katika chuo cha udereva cha police (Ufundi driving school) kilichopo Dar es salaam. Dhumuni langu ni ombi la ajira kaitika kampuni yenu.
    Natumaini ombi langu litasikilizwa
    Kwa mawasiliano namba 0658629494/0687846624

  433. Naitwa grace Steven ninaumri wamiaka 22 ninaelimu yacertificate yahotel management pia ninaelimu yasecondary form four naitaji kazi upande wausafi au watunza vifaa,nipo tayari kufanya kazi katika mazingira yeyote pia nitaifanya kampuni ifikie malengo zaidi nikupata profit not loss nipo tayari kufanya kazi kwaushirikiano namba zangu 0717708286 or 0688273194 or 0653893506 or 0679194296.

  434. Naitwa Dorah Thomas Tarimo,nina degree ya Pulbic admnistration kutoka UDOM,nipo tayari kufanya kazi yeyote katika company yako,naahidi nitafanya kwa uaminifu mkubwa na nitawajibika kwa kiasi sana,Asanteni kwa kupokea ombi langu

  435. I’m Galucha Juma a boy aged 28 years old I’m a degree holder in Art and education specifically in Geography and Literature at the University of Dar es salaam, I have very interested with your job vacancy in your company of Gold mining, I’m ready to work with you for any position located above. sincerely and hopefully my request will be answered in accordance. 0759451215and 0787855358.

  436. Naitwa Devotha Frank. Na umri wa miaka 23 naelimu ya sekondari. Naomba kazi katika kampuni yenu. Hasa ufanyaji usafi na kutunza vifaa nitajituma na nitakua mwaminifu katika kazi. Natumaini maombi yangu yatapokelewa. Asanteh??

  437. Naitwa Mathew Malembeka,ninaumri was miaka 23, naomba nafasi ya operator wa dump truck kwani ndio fani yangu na pia nimesomea upasuaji wa miamba kwa baruti (blasting) na process plant.ninaomba kuwa mmoja Wa wafanyakazi katika kampuni ya GGM,ahsantee
    namba yangu 0769825148

  438. Naitwa hamza Mongi nimesomea electrical installation Nina chet cha gred test one Nina uzoefu na Umeme kupitia kiwanda cha kahawa Doman moshi,Tbl arusha,.Pepsi,Tanesco himo nitafanya kazi kwa moyo wangu wrote na ustadi wa hali ya juu natumain ombi langu litakubaliwa asante namba ya simu 0762607820

  439. Do you mind if I quote a few of your articles as long as
    I provide credit and sources back to your website?
    My website is in the very same niche as yours and my visitors would definitely
    benefit from some of the information you present here.
    Please let me know if this okay with you. Many thanks!

  440. Naitwa kaparity medard naishi karagwe kagera nimehitimu kidato cha NNE mwaka 2014 naomba kazi ya kufanya usafi katika kampuni yenu ninauzefu wa kazi ,nitashukru endapo ombi Langu litakubarika no 0789870081

  441. Thank you so much for sharing a great information. I appreciate your time and effort in your work. Keep posting.

  442. My name is Augustino marck benard from mwanza tanzania i Am 26years old am looking for job my education level is form four but I also study about computer information technology +225755637105 ,+225672748347

  443. Mm naitwa Adam Niko Arusha Ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 24 elimu ya kidato cha nne napia nimesomea mambo ya hotel kama, Housekeeping, front office,food and beverage,na kubahatika kufanya kaz kwenye hotel ya landmark ubungo Riverside,ndan ya miaka minne,kwahiyo nilikuwa naomba kaz yeyote kwenye kampun yenu Asante na mungu awabariki katika ombi langu muweze kunifikiria, number zangu za cm Ni,0716030619/0759212647

  444. Mimi Fredy Haule nimesomea umeme wa majumbani na nina certificate ya level two pia nimesomea computer application nina certificate nina omba kazi katika kampuni yako namba yangu ni 0764122074 and 0783780240

  445. I am Rehema Kaseko a graduand from Moshi Cooperative University . I’m 24 years old.I have a degree in accounting and finance. Iam looking for the supervision job vacancy. I hope my request will be accepted.my contacts are 0753970783.Thanks.

  446. NAITWA SULTANI JOHN RICHARD NAISHA DAR ES SALAAM
    NAOMBA KAZI YA OPERATOR WA CRANE BOOM TRACK MANITOU FOLKLIFT ELUMU YANGU NI KIDATO CHA NNE

  447. NAITWA SULTANI JOHN RICHARD NAISHI DAR ES SALAAM
    NAOMBA KAZI YA MOBIL CRANE OPERATOR RAFTER CRANE OPERATOR BOOM TRACK OPERATOR FORKLIFT OPERATOR ELIMU YANGU NI KIDATO CHA NNE

Comments are closed.

Most Popular

Recent Comments

Titus hassan changaluma on 96 Job Opportunities at Cocoriko Clubs
Doricasi Richadi Juma on 59 Job Opportunities at PASADA Tanzania
MUSA ELIEZERI MANANSE on 96 Job Opportunities at Cocoriko Clubs
Peter Nehemia Mnguu on Job Opportunities at Bahi District
TIMIZA SHABANI kilango on Job Opportunities at Tanzania Police Force
Agnetha Sosteness Thadeo on Job Opportunities at Tanzania Police Force
ELIZABET ILANGA MAGEME on Job Opportunities at Tanzania Police Force
Samwel Masinzagule Doto on Job Opportunities at Tanzania Police Force
Rainer Zawadi Kaligamila on Job Opportunities at Kongwa DC Dodoma
Mouren Benito Mhagama on 7 Job Opportunities at TIRA
Chris David Missano on Job Opportunities at EWURA
Macmirack Kimwaki on Job Opportunities at VSO
Nuhu David Nyambulapi on Job Opportunities at NRC Tanzania
OSCAR.H.SHOO on Job Opportunities at VSO
Malugu Maliba Maduhu on Job Opportunities at NRC Tanzania
Francia chengula on Job Opportunities at NRC Tanzania
Eriick Augustine mloka on 2 Job Opportunities at TBC, Journalists
Silas kaliyo Augustine a Tanzanian on Job Opportunities at NRC Tanzania
Majaliwa Mathias ngagaji on Jobs at Vodacom, Head of Mpesa IT Operations
MAJALIWA MATHIAS NGAGAJI on New Jobs Opportunities at PWC Tanzania
Henry Nickson Mbaya on 4 Jobs at TCRA – ICT OFFICER
John Michael mayombo on Jobs at EFTA, Internal audit Head
JOSEPH FANUEL BENKU on 8 Jobs at MAJINJAH Logistic Limited
Mwinyi yahaya mbelwa on 2 Jobs at at Mbeya University, Drivers
Lilian Ellisome Lutagomoka on New Jobs Opportunities at U.S. Embassy
Bugusu shushuu maguya on 45 Jobs Vacancies at TEMESA
Restuta Massawe on Jobs Opportunities at ESAFF
FRANCIS MUSTAFA TARIMO on Internship Opportunities at Ubongo Kids
Martin Jeremiah Ruziga on Jobs Opportunities at Las Vegas Casino
Cosmas Joseph milings on Jobs Opportunities at Las Vegas Casino
my name is rehema am a university student at NIT in procurement and logistic management l apply for field on Paid Internship Opportunities at CitiBank – University Vacation Program
Salvatory Massawe on Job Opportunity at TPC Ltd
JAMES IGNAS ANDREA on 6 Job Opportunities at TANROADS
JAMES IGNAS ANDREA on 6 Job Opportunities at TANROADS
ANNA FREDRICK PATRICK on Job Opportunity at TPC Ltd
Joseph Ngozi on Job Opportunity at TPC Ltd
prince kajura on Job Opportunity at TPC Ltd
Yasinta kabengwe on Job Opportunity at TPC Ltd
Hidaya jackson on Job Opportunity at TPC Ltd
Atupokile Zabron Kasitila on Jobs Opportunities at Good Neighbors Tanzania
Happiness Moses Mbushi on 100 Jobs Opportunities at Samsung Tanzania
Salma Rajab Nassoro Likunja on Jobs at US Embassy in Tanzania, May 2019
Salma Rajab Nassoro Likunja on Jobs at US Embassy in Tanzania, May 2019
Salma Rajab Nassoro Likunja on Jobs at US Embassy in Tanzania, May 2019
Joely Mazaba on Jobs at TANROADS Arusha
Petro mnjiti mwacha on Jobs at Tigo Tanzania,May 2019
restituta fredy mposindawa on Jobs Opportunities at UMATI, Ajira mpya May 2019
Leonard Matthew Nyandindi on Jobs Opportunities at the US Embassy Tanzania
naitwa james mhagama ndugu rejea na kichwa cha habali mimi naomba kazi y udeleva nina leseni class D nimesoma chuo cha veta songea ninacheti cha form four na ninauzoefu wa kutosha on 81 Jobs Vacancies at Public Recruitment Portal, March 2019 | Ajira Utumishi wa umma
IPEPO SECONDARY SCHOOL on NECTA Form Four CSEE Results 2018/2019
Valenciana Valency Fungo on Jobs Vacancies at UNICEF-Tanzania
Fredrick Chipanda on Jobs Vacancies at UNICEF-Tanzania
asaniel magayane lutego on Job Opportunities at The Islamic Foundation
Naitwa Mary Costantino nina umri wa miaka 27 elimu yangu ni kidato cha nne ninaomba kazi ya Mapokezi au ya sales Officer nina uzoefu wa kazi ya Sales executive kwa miaka minne hivyo ninauzoefu na kazi hizo Namba zangu za simu ni 0765708787 Ahsan on Job Opportunities at the Judiciary Zanzibar, December 2018
https://musiccrazy.co.uk/MyMusic/penile-enhancement-exercises-and-increase-penis-circumference-7 on TCU: THE STIPENDIUM HUNGARICUM SCHOLARSHIP PROGRAMME FOR THE ACADEMIC YEAR 2019/2020
Subira Kenneth kitandala on Job Opportunities at Kairuki Hospital
My name is Leonia Gustav komba I have 27 years old ,graduate from Masasi Utalii college and holding my certificate in Business Administration I would like asking a job opportunity. My contact number is 0764333073 on Job Opportunities,Administrative Officer at Zanzibar
קופת חולים מכבי זימון תורים באינטרנט on 3 Job Vacancies at Tanzania Agricultural Development Bank Limited (TADB)
המוקד הטלפוני של רמי לוי תקשורת on How to Answer the 31 Most Common Interview Questions in 2019
En Que Consiste La Dieta Cetogenica on How to Answer the 31 Most Common Interview Questions in 2019
Frases De Optimismo Y Fe on Job Opportunities at World Vegetable Center
httpss://www.youtube.com/watch?v=kr2hTUnEwI4 on 22 Job Opportunities at MPWAPWA District Council
Pensamientos De Optimismo on Job Opportunities at World Vegetable Center
pc game hooligans storm over europe on How to Answer the 31 Most Common Interview Questions in 2019
Definicion De Optimismo on Job Opportunities at World Vegetable Center
Menu De Dieta Cetogenica on Job Opportunities at World Vegetable Center
Dieta Cetogenica Alimentos Permitidos Pdf on Job Opportunities at WHO Tanzania
Palabras De Optimismo on Job Opportunities at WHO Tanzania
Pensamientos De Optimismo on Job Opportunities at WHO Tanzania
Que Es El Optimismo Como Valor on Job Opportunities at WHO Tanzania
Mensajes De Optimismo on Job Opportunities at WHO Tanzania
JACKLINE ELIBARIKI SUMARI on Job Opportunities at Kairuki Hospital
JOSIAH BETHUEL KIRUNDWA on Job Opportunities at WHO Tanzania
buy bitcoins with paypal no verification on 22 Job Opportunities at MPWAPWA District Council
httpss://newreviewhq.com/muscle/xexlift-male-enhancement-review/ on Radboud University Medical Center Study Fund for Masters Students in Netherlands 2019
httpss://newreviewhq.com/muscle/tru-testo-fuel-platinum/ on MINDS Scholarship for Masters Study in Leadership Development at African Universities 2019
cheap flights to india on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
- The Predator Film Completo on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
Leo Da Vinci – Missione Monna Lisa Film Completo on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
Free business directory in india on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
fresher jobs for opt students on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
httpss://youtu.be/LkulTUIEb6I on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
Marysedeus john Shirima on 2 Job Vacancies at BBC Africa
online casino Wunderino on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
Calendario laboral alava 2019 botha on How to Answer the 31 Most Common Interview Questions in 2019
COMO IMPORTAR DOS ESTADOS UNIDOS - IMPORTAR DOS ESTADOS UNIDOS – Veja isso ates de Importar dos USA! on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
httpss://www.youtube.com/channel/UCVz08fujKH6hlqhK4jNA37A on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
Fredrick Jonas Misigalo on Job Vacancies at ZTM Ltd, Sales Agents
httpss://allthingscrypto.tech/treon-exclusive-airdrop-txo-2/feed/ on Global Fund for Women’s: CALL FOR PROPOSALS GRANTS OPPORTUNITIES TO SUPPORT WOMEN AND GIRLS
innocent stephano mtakyawa on Job Vacancies at ZTM Ltd, Sales Agents
saleh abudli makuka, on Job Vacancies at ZTM Ltd, Sales Agents
httpss://allthingscrypto.tech/bitcoin-gold-takes-epic-q1-beating-but-some-cryptos-saw-big-gains/ on Global Fund for Women’s: CALL FOR PROPOSALS GRANTS OPPORTUNITIES TO SUPPORT WOMEN AND GIRLS
httpss://allthingscrypto.tech/blockchain-day-russia/feed/ on Global Fund for Women’s: CALL FOR PROPOSALS GRANTS OPPORTUNITIES TO SUPPORT WOMEN AND GIRLS
Kutokana na tangazo lenu naomba kufunMndisha English structure 2 .kwa mawasiliano zaid 0779 87 5162.aminaomar318. Nimemaliza degree suza on Teachers Job Opportunities at SEGA Girls Secondary School, November 2018
save money with restaurant coupons on How to Answer the 31 Most Common Interview Questions in 2019
httpss://twitter.com/hashtag/storepupper on 22 Job Opportunities at MPWAPWA District Council
immobilienmakler kassel on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
roofing west palm beach on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
gel hot grow aumenta on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
httpss://youtu.be/EXRKnbURd4A on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
distant healing treatments on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
My name is vummy Edwin I have completed certificate in general agriculture in Tanzania Carrie and development institute on Job Opportunities at Aga Khan Foundation (AKF)
Bunura muhozi nyamgomera on Jobs Vacancies at Super Feo Express, Drivers
Bunura muhozi nyamgomera on Jobs Vacancies at Super Feo Express, Drivers
Severina Simoni Mwaulambo on Job Opportunities at Aga Khan Foundation (AKF)
AU 7300 service man Nyenye Elias Ntunga on 180 Job Vacancies at Tanzania National parks (TANAPA),November 2018
fireproof document bags on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
private english tutor in malaysia on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
Nestory Athanas Ngonyani on Jobs Vacancies at Super Feo Express, Drivers
Naitwa Pilly George jitwala nimehitimu kidato cha nne mwaka 2014 Nina umri wa miaka 24 ninaomba kazi katika hifadhi ya wanyama nitaonyesha uaminifu na ufanisi mkubwa katika kazi namba yangu ya simu ni 0769945952 on Job Opportunities at Singida Urban Water Supply and Sanitation Authority (SUWASA)
Naitwa Catherine Alick Mwabwagilo nimehitimu kidato cha nne mwaka 2013 ninaomba nafasi ya kazi ya hifadhi ya taifa ya wanyama nitakuwa mtiifu na muaminifu katika kazi yangu naomba naomba mnisaidiye mamba yangu ya cim ni 0743080312 on Job Opportunities at Singida Urban Water Supply and Sanitation Authority (SUWASA)
Mimi naitwa Elirehema Zakaria Ayo.. Nilimaliza kozi on Job Opportunities at Singida Urban Water Supply and Sanitation Authority (SUWASA)
Rental Mobil Surabaya on Job Vacancies at Kitonka Medical Centre
Naitwa Daniel Daudi,ni mtanzania,nina umri wa miaka 33,nina elimu ya astashahada ya uhasibu,ninaomba kazi ya utunzaji vifaa katika kampuni yako.Naamini unahitaji watu waadilifu,wawazi,waaminifu na wenye kushirikiana na wenzao ili kuleta ufanisi on Job Opportunities at Geita gold mine, AngloGold Ashanti’s
AR 8584 serviceman Nkinda Ngenda Malugu on 180 Job Vacancies at Tanzania National parks (TANAPA),November 2018
Ar 8535 service man Baraka munzari Ramadhani on 180 Job Vacancies at Tanzania National parks (TANAPA),November 2018
Provixn Review on 2 Job Vacancies at BBC Africa
Structured Cabling on 2 Job Vacancies at BBC Africa
Rapid Keto Review on 2 Job Vacancies at BBC Africa
httpss://cbdcop.com/product-reviews/herbal-relief-cbd/ on 2 Job Vacancies at BBC Africa
PrimeSkin Cream Reviews on 2 Job Vacancies at BBC Africa
htxmaleenhancement.net on 2 Job Vacancies at BBC Africa
Alpha Titan Testosterone Booster on 2 Job Vacancies at BBC Africa
Vero Revive Cream on 2 Job Vacancies at BBC Africa
Brea Skin Labs Review on 2 Job Vacancies at BBC Africa
Platinum Essentials Forskolin Extract Reviews on 2 Job Vacancies at BBC Africa
Pure Slim Keto Reviews on 2 Job Vacancies at BBC Africa
custom dissertation writing service on Job Opportunity at Engender health, Senior Clinical Manager
Lucas mahangi saguda.0784630377. Mbezi luis barabara ya goba. wilaya ubungo Dar es salaam on Funding Opportunities: STARTUPPER OF THE YEAR BY TOTAL – [TANZANIA], 2018
naitwa laurence nimeitimu elimu ya secondali nimesomea udereva daraja D.na B 0713-969154 on Job Vacancies at Tanzania Official Seed Certification Institute (TOSCI)
Avitus mutayoba salvatory on Job Opportunity at Coca-Cola Kwanza Limited
Denver Advertising Companies on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
Ultimate Bodyboss Fitness Guide on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
Review of Manifestation Magic on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
instagram takipçi satın al on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
john goodman's weight loss on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives
httpss://counseling4career.com/ethics-and-etiquette-do-you-really-know-the-difference-4/ on Job Opportunity at Amana Bank, Sales Executives