Are you a young entrepreneur? Do you have a project you believe in? Is it innovative and does it address a social or community challenge in your country or for your fellow citizens? Register and apply now. You could be the Startupper of the Year!
“Startupper of the Year by Total” Tanzania – 2018-2019 edition is a competition organised by Total Tanzania Limited, a limited liability company, incorporated under the Companies Act Cap 212 R.E.2002, located at 1720 Haile Selassie Road, Msasani Peninsula, Dar Es Salaam, Tanzania.
We aim to support good ideas and projects that help address a widespread problem affecting communities in your country. It could be about providing educational opportunities, reducing child mortality, improving public health, developing access to electricity in rural areas, improving road safety on the roads or building houses with eco-friendly materials — in fact, anything that could make life better in your country.
Tell us how your project will help more and more people over time, at home or even abroad. Tell us how it empowers people, improves living conditions, and contributes to overall economic well-being.
Naitwa halonga julius naishi dar es salaam naumli wa miaka 25 elim yangu ni kidato cha nne
Naitwa Leonce Mkalawa ninaumri wa miaka 30 ni mkazi wa Dodoma, ni Mtanzania na mzalendo wa nchi yangu. Nina aidia ya yakufungua migahawa sehemu za Vyuoni ili kuwapatia huduma wanafunzi pamoja na watu mbalimbali, maana chakula ni lazima Mtu ale ili aweze kuishi pia nitakuwa nimetoa ajira kwa wananchi wenzangu. Natanguliza shukrani yangu ya dhati kama nitafikiliwa. Ahsante
Kwa mawasiliano 0717090761 na 0766424213
Habari..naitwa husna nandonde, nina umri wa miaka 23 ni mhitimu wa elimu ya juu chuo cha TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA), naishi dar es salaam. ni mjasiliamari mdogo nashighurisha na usindikaji wa vyakula.natengeneza chillisauce(achali) pamoja na unga wa lishe wa watoto na wagonjwa wa kisukari…nina ujuzi wa utengenezaj wa bidhaa zangu na zinaubora mkubwa…….nimepata mafunzo chini ya usimamizi wa viwanda vidogo vidogo SIDO…..mradi wangu unatambulika BRELA….kupitia opportunity hii ningependa kukuza na kuinua biashara yangu kimtaji…kwani nitasaidia ajira kwa vijan wenzangu walio mtaani lakin pia ninaend kugusa jamii moja kwa moja kw kuwapa virutubisho vilivyobora watoto, pamoja na wagonjwa wa sukari…..hivyo bas nitapunguza kwa asilimia kubwa tatzo na utapia mlo kwa watoto na kuwapa virutubisho vilivyo bora kwa afya zao…chakula ni dawa
Ahsante
Good Opportunity.It is time to make it
Am Joyce Peter Msyani from Mbeya in rungwe district thanking for this opportunity , my plan is to open the DAY CARE JS NURSERY AND PRIMARY SCHOOL
The needs of this plan are capital, labour, land about 4 hecter
Though this I will meet a different needs of children, parents, my government ,creating employment to my fellow Tanzanian also in my self will be a source of income
To the children I will make sure they get quality food and education
To the parents it will help them to care their children from morning to evening as in our days most student after completing the standard seven they pass all so there is short tage in home service dauthers so through this children will be cared
To the government through education which I will provide that is quality will help for development of a country
Another thing through providing quality food rich in essential nutrients to children will help for the health and creative society in future
I will create employment to different people because alot of things are needed to be done to the children
Also my self will be a souce of income since will pay a little money for that service
I will thanks for that chance so as to accomplish my plan
Naitwa joseph ndunguru nina umri wa miaka 22 from ruvuma.mbinga tz. Wazo langu ni kirimo cha mazao jamii ya soya kutokana na uhitaji mkubwa wa lishe Nchini mimi ningepata mtaji ningejikita katika kirimo hiki cha zao jamii ya soya.masoko ni ya uhakina kwa mfano ningesambaza katika mashule na taasisi mbalimbali za selikali na binafsi ata nnje ya Nchi kwa kwa kushilikiana na wadau mbalimbali wa lishe nchini
mimi ni suhaila mkaazi wa dar ninaumri wa miaka 23 pia nimesomea mambo ya afya nimepanga kufungua duka kubwa la madawa ili niweze kusaidia jamii na kutoa ajira chache kwa vijana wenzangu nina tumai manila fursa kama kijana na kama bint
Mimi naitwa Francis Wazo langu ni kwamba nilikuwa nataka kuanzisha mradi mkubwa wa kilimo cha UYOGA. Mradi huu utasaidia kukuza uchumi wa watanzania lakini pia kutoa ajira kwa wananchi vilevile UYOGA Ni zao ambalo Lina faida nyingi za kiafya mradi huu utasaidia kuondoa tatizo la kiafya kama vile utapiamlo.
Pia katika nchi yetu kuna uhaba wa mboga kwa ajili ya kitoweo kwa wananchi. Kupitia huu mradi utasaidia kuongeza kitoweo kwa wananchi.
Lakini pia hili zao lina soko kubwa hata nje ya nchi kwa hiyo litasaidia kuongeza fedha za kigeni katika taifa letu
Uzuri wa hili zao unalima muda wote wa kipindi cha Mwaka . pia haliharibiki kwani unaweza ukalikausha baada ya kulivuna.
Nilikuwa naomba sapoti kwa ajili ya mtaji niweze kuandaa shamba. Yaani mabanda ya kufanyia kazi nataka nifanye large scale ili niweze kushirikisha hata jamii iliyo nizunguka, Na niweze kuzalisha kwa wingi maana naona soko lake ni kubwa sana.
Natanguliza shukrani kwa sapoti ya kimtaji itakayotolewa kwangu.
Your doing so good but I want to join With you please can you help me?
Naitwa christopher kibasa mkazi wa arusha na raia wa Tanzania .mzalendo wa maendeleo nashukur kwa adhim ya kufuatilia sisi vijana
Paulo sulley mkaz was Arusha I need this chance to join with them 0763022651
naitwa jenipher ni mwanafunzi wa chuo cha DIT ,ni mtanzania halisi mwenye umri wa miaka kumi na nane na mpenda fashion.kwa mara ya kwanza nilipata fundi viatu aliekuwa anakaa mikocheni,nikamuomba tufanye biashara ambapo mimi nakuwa na design yeye anavitengeneza.mishe ya viatu ilienda poa sana mpaka ikawa inanisaidia kwa matumizi yangu.kwa sasa nimepata wazo la kuhusu nguo,napenda kutaarifu kuwa mimi ni designer ambae nataka kubadilisha mfumo wa mavazi yaliyozoeleka .niliwashirikisha vijana wenzangu ,wanawake wawili na wanaume watano pamoja na fundi ambaye angehusika kushona ayo mavazi
.kila mtu alikubaliana na ilo wazo kwamba tuungane tulete kitu kizuri,plan yetu ikawa ndio iyo .niliwaza swala la nguo kwa sababu watu kila kukicha wanavaa na kupendeza,endapo design ya nguo itakuwa nzuri na ikiingia sokoni ikakubalika basi tutakuwa tumefanikiwa step ya kwanza.
naitwa jenipher ni mwanafunzi wa chuo cha DIT ,ni mtanzania halisi mwenye umri wa miaka kumi na nane na mpenda fashion.kwa mara ya kwanza nilipata fundi viatu aliekuwa anakaa mikocheni,nikamuomba tufanye biashara ambapo mimi nakuwa na design yeye anavitengeneza.mishe ya viatu ilienda poa sana mpaka ikawa inanisaidia kwa matumizi yangu.kwa sasa nimepata wazo la kuhusu nguo,napenda kutaarifu kuwa mimi ni designer ambae nataka kubadilisha mfumo wa mavazi yaliyozoeleka .niliwashirikisha vijana wenzangu ,wanawake wawili na wanaume watano pamoja na fundi ambaye angehusika kushona ayo mavazi
.kila mtu alikubaliana na ilo wazo kwamba tuungane tulete kitu kizuri,plan yetu ikawa ndio iyo .niliwaza swala la nguo kwa sababu watu kila kukicha wanavaa na kupendeza,endapo design ya nguo itakuwa nzuri na ikiingia sokoni ikakubalika basi tutakuwa tumefanikiwa step ya kwanza
0757554696 nitafute , I like
Naitwa Hamis Ally kunguru Nina miaka 25 naomba nafasi katka mafunzo hayo.
naitwa Israel Sanga mkaz WA njombe ,, kuna aidia ninayo kuhusu wakulima WA vjjn,,,vilivyopo mkoa WA njombe hususa wilaya ya makete,, hawa wakulima wamekuwa wakifanya biashara ya mazao hao ikiwemo maharage mahind viaz,, changamotoo wanayokumbukana NayO kwa baadhi ya mazao n kumtegemea mnunuz mmoja hivyo BA’s huyo mnunuzi akishindwa nunua BA’s wakulima hukosa sko na kuuza bei ya hasara mno, na kupelekea kushindwa kupta mtaj kulimia tena ,,hivyo nilikuwa nahitaj support yenu kama inawekana nkapewa mtajii mkubwa ili niweze kununua mazao vjjn..pia nifanyie tafit said kupta sko LA kudumu la azao au kutanua solo LA mazao . ko kwa kufanya ivoo niwezeshe wakulima vjjn wawezelima kwa sana nakuongeza kiptochao pia kuajir watu katka mashamba yao.vilevile nao waweze kuwekeza kweye sector zingine mfano ufugaj pia waweze somesha watoto wao vizur pia itasaidia watu kurud kjjn kuwekeza na kufanya huduma ziboreshwe ktk vijji vyote ntakavyo nunua mazao kwa oder.. pia nkifaya hivyo ntawezesha kuboresheka kwa huduma za kjamii mfano umeme maji miundombnu ya vjjn. shulee.hospital na kuboresha maendeleo kwa ujumla ktka vjj ntakavyo nunua mazao kwa oder na pia ntafanya namna yakuboresha masoko ya mazao yawe ya kudumu ndan na nje ya nch pindi tyu mkinipa seaport na kunikutanisha na wenzangu wenye ham na uzalendo na nch kuhakksha naboresha maendeleo vjjn kwa kupitia biashara ya mazao yao,,, hiloo naamn maana watu WA vvjn wanategemea kupta hela kupitia mazao ,,,asanteee naomben hili mlifikirie zaid ya maelezo nliyo nlio andka..elimu yangu n kidato cha sita,.
0713190843 call me
Naitwa Edgar Andrew ni kijana mwenye umri wa miaka 30 Mtanzania halisi na ni mkazi wa Mwanza…. mimi nina mradi wa ufugaji wa nyuki kwa ajili ya uvunaji wa asali , ni mradi ambao nimeuanza tangu mwaka 2011 nina eneo kubwa la ufugaji lililopo Mkoani Katavi…. Asali ina faida nyingi wengine hutumia kama dawa ambapo hutibu magonjwa kama vidonda vya tumbo, kikohozi, kutibu majeraha ya moto n.k pia asali hutumika kama mboga au kikorezo m’badala wa sukari na ni nzuri hasa kwa watu wenye presha na kisukali vile vile inasadikika kuwa asali hasa ya nyuki wadogo huongeza nguvu za kiume,, asali pia kwa sasa ina ushindani hasa kwenye soko la kimataifa hivyo kupelekea kuingizia serikali na mfugaji kipato…. Changamoto.. nina eneo kubwa la mradi ila sina uwezo wa kuliendeleza ili kuenenda na kasi ya soko husika pia nilitaka ikiwezekana nipate watu tutakaoshirikiana au kuwafundisha kazi hii kwani inalipa pia ni sehemu ya biashara huku ukitunza mazingira…. Vifaa.. sina vifaa vya kisasa kwa ajili ya kazi hii mfano mizinga ya kisasa kwa ajili ya nyuki kutengeneza masega ya asali na mazalia ya nyuki, vifaa vya uvuniaji wa asali vilivyo salama, vifaa vya kuhifadhia kwa ajili ya uuzaji n.k
N.B nahitaji na masoko ya kimataifa zaidi kwani asali ninayozalisha ni ya kiwango kizuri sana ingawa hua natumia zana duni
nitashukuru endapo ntapata support yenu ya uwezeshaji
Habari Edger, naomba tuwasiliane kupitia 0625028661
Hello Edgar,twaweza wasiliana 0764794221
Naitwa emanuel majura mkazi wa dar es salaam kurasini, kupitia hii fulsa ningeweza kuwasilisha wazo langu kwa kutengeneza ubuyu mzuri ambao unapatikana humu humu kwetu nchini, ukiwa umepakiwa katika package nzuri ambayo inaweza mshawishi mteja mfano;(diamond karanga )na kuisambaza tanzania nzima na nje ya mipaka ya tanzania ikiwa kwa jumla na rejabreja kuwasaidia pia kina mama waweze kununua na wao kuuza wajipatie kipato
Ilo ndio wazo langu
Naweza pata ubuyu nikaupack mwenyewe na kuuza?na wauzaje kwa kilo.pia naomba kujua ni kama ule Wa Zanzibar?maana ninao uuza ni ule Wa iringa
Pia twaweza Fanya biashara Mimi nikakuuzia asali mbichi na wewe ukauza huko
Hello! Naitwa Mario John mwanafunzi wa Engineering UDSM.
Ni mjasiriamali, nafanya parttime, ninajishughulisha na biashara ya kimataifa inayohusu uboreshaji wa afya na kinga ya magonjwa yatokanayo na utandawazi, kazi kubwa ninayofanya ni kutoa elimu kwa njia ya kushirikishana na watu mbalimbali, hivyo najiongezea kipato na uwezo wa kuanza kujitegemea mapema.
0766 172 162
mkurugenzi shikamo
naitwa jackson john wa igoma mwanza ninaumri wa miaka 23 nina aidia nyingi kwani nimtu ninaewaza kuamfanya biashala mkubwa ndani na nje ya nchi. aidia mojawapo nilio nayo ni utengenezaji wa sabuni, mafuta ya kujipaka, mafuta ya nazi, mishumaa na nk nafurusa hii napenda kuwafundisha na wenzangu ili waweze kuanzia viwanda vidogo vidogo na mwisho wa siku tuweze kufikia atua nzuri ya tanzania ya viwanda namba zangu za sm ni 0672724369 asante
Mimi ni Lilian Mulaki ni mwanafunzi katika chuo cha biashara CBE.
Nilikua na wazo juu ya uendelezeji wa elimu yetu hususani vijijini na katika kumuelimisha haswa mtoto wa kike pia ambaye ni maskini
07132290843
Ninauwezoa wa kutoa Aidia zote za kibiashara na Elimu
Naitwa Rita Onesmo 31 years. Nimekuwa na wazo mwaka miwili iliyopita. Nikiwezeshwa nitafungua kituo cha watoto wanaoishi magerezani kwa makosa ya mama zao. Nitawachukua asubuhi kwa wale wanaonyonya na kuwarudisha jioni.. Wenye umri mkubwa kidogo nitawafanya wasome. Lengo ni kuwatoa upweke na kujisikia wanapendwa na hawajatengwa. Pia wapate mlo kamili hivyo kukua kimwili na kiakili pamoja na kiroho. 0759947188
My name is Tarimo, from Temeke Daresalaam, my idea is about to create a food with a nutrition such as porridge, i did it for few months ago, but challenge to get enough capital, I have a market and society need it alot especially children even others because help to make body fit and among of unt diseases…… So natengeneza unga wa uji KWA kuchanganya vitu vingi vyenye vitamin na kufunga ktk package ambapo naweza ajiri vijana KWA kuusambaza sehemu Tofautii,, kuchukua oda mashule mbalimbali, na hata oda maofisini, ila Tatizo ni mtaji wa kutosha…. Ubunifu huu umesaidia kuajiri wait, kupata afya nzur kwa jamii yote, hivyo naomba kuwasilisha contact0762104485Tarimo
Naitwa BAMTUKUZA
Naishi Dar es salaam
Wazo langu ni KUZALISHA VIEWERS NA SUBSCRIBERS KATIKA MTANDAO WA YOUTUBE ILI KUPATA MALIPO YATOKANAYO NA MATANGAZO YANAYOWEKWA NA YOUTUBE ILI KUONGEZA FEDHA ZA KIGENI KATIKA NCHI YANGU. kitu kikubwa kinachohitajika endapo itapatikana 30000000 itanunuliwa kamera ambayo ni affordable kama canon 5D mark 4 INAYODILIWA KUWA NI DOLA YA MAREKANI 42000 ambayo naweza kupata video nzuri zitakazoweza kufikisha watchtime 4000 na kuzidi kiwango ambacho kimetajwa kuwa ni SABABU MUHIMU YA MTANDAO WA YOUTUBE KUANZA KUWEKA MATANGAZO NA KULIPA HIVYO KWA KIANZIO HICHO KOMPUTER NA VITU VINGINE VIDOGO KWA AJILI YA EDITING ITAWEZA KUPATIKANA NA VIJANA WAKATA AJIRA HUKU WAKIKAA OFISINI KWAO BILA WATEJA LAKINI WAKIPATA FEDHA ZA KIGENI NA KUBADILI HALI YA MAISHA YAO.
Mawasiliano yangu 0759401313
Kwa majina naitwa Omary Nassoro, Umri miaka 25 ni mfanya biashara vile vile ni mpenda maendeleo katika taifa langu la Tanzania.
Kwanza niwashukuru sana kampuni ya mafuta ya TOTAL kwa sapoti ya kukuza mawazo ya vijana kifedha na kielimu pia na ukizingatia tupo katika sera ya kukuza Viwanda na Uchumi katika Taifa letu kama Mh.Rais John Pombe Magufuri alivyoipa kipa umbele sera hii Hongereni sana TOTAL Company kwa ubunifu huu.
Nina kila sifa za kuwania katika shindano hili la kukuza mawazo tofauti tofauti ya kibiashara n.k kama nikibahatika ntaweza kuelezea biashara yangu na kuonesha mifano hai ya biashara hiyo na ukuaji wake. Email: [email protected]
Kwa majina naitwa Omary Nassoro, Umri miaka 25 ni mjasiriamali vile vile ni mpenda maendeleo katika taifa langu la Tanzania.
Kwanza niwashukuru sana kampuni ya mafuta ya TOTAL kwa sapoti ya kukuza mawazo ya vijana kifedha na kielimu pia na ukizingatia tupo katika sera ya kukuza Viwanda na Uchumi katika Taifa letu kama Mh.Rais John Pombe Magufuri alivyoipa kipa umbele sera hii Ongeleni sana TOTAL Company kwa ubunifu huu.
Nina kila sifa za kuwania katika shindano hili la kukuza mawazo tofauti tofauti ya kibiashara n.k kama nikibahatika ntaweza kuelezea ujasariamali wangu na kuonesha mifano hai ya biashara hiyo ya ujasiriamali na ukuaji wake. Email: [email protected]
Naitwa Maiko Christopher Luoga Ni Kijana wa Umri wa Miaka 24 Mtanzania halisi Naishi Mkoa wa Njombe katika Wilaya ya Ludewa Ni mwandishi wa Habari wa Kujitegemea Ninamiliki Blog http://www.mwanzo255.blogspot.com lakini Blog hii nimeisimamisha kutokana na Serikali kudai Usajili sina Mtaji wakujisajili.
Wazo langu kwakutumia Taaluma yangu ya Habari ni Kufuatilia Familia za Vijijini katika Wilaya ya Ludewa ambazo Wazazi wanaishi na Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi wao wanatumia dawa za Kufubaza makali, lakini Watoto wao wadogo hasa wanaosoma katika Shule za Msingi Ambao wamepatwa na Ugonjwa huu Wazazi wao wanaelewa lakini hawataki kuueleza Umma Mapema wakisema kuwa hiyo ni Aibu, Hivyo basi lengo langu ni Kuzitambua Familia hizo ili watoto waweze kupata haki yao ya Kuishi pamoja na Kupata Elimu kwakuwa Jamii ikitambua hali zao Mapema Wataishi Daima.
Asante sana.
Hello naitwa Maryam Ali Maalim. Naishi mbwen zanzibar. Nina umri wa miaka 25. nimtanzania halisi. Ni mama wa mtoto mmoja pia nalea watoto wawil ambao ni yatima pia mimi ni mjane.Mim ni Naibu katibu taasisi ya rafiki wa wanawake na watoto taasisi yetu nimejikita katika kusaidia wanawake wanaoishii katika mazingira magumu na mayatima na walemavu pia Ni mjasiriamali wa kujitegemea ni mbunifu katika masuala yote ya saloon na makeup, hatahivyo huwa natoa mafunzo ya makeup ili kuweza kuwawezesha vijana wenzangu waweze kujiajiri. Napenda kuomba nafasi ya kuwa mshiriki wa shindano hili ili niweze kusaidia jamii na kuweza kukuza vipaji vya kinamama wasojiweza ili niweze kuwa ni mwanamke wa mfano katika taifa lete la Tanzania
Mbona.hamjatujibu
Mimi naitwa Elpidius nipo Kagera Mimi nina idea mbili tofaut.
1. Ufugaji wa kuku.
Nimekuwa nikifunga kuku wa kienyeji lakin tatzo linakuja katika sa mtaji wa kuendesha Biashara hii kutokana na kukosa mashamba ya kutosha kwa akili ya kujenga mabanda yanyofaa, madawa, chakula pamoja na kuwalipa wasaidiz.
Nina iman huu mrad unalipa kwan utaondoa tatzo la ajira .
2. Ujasilimali mtandaon(Online business & investment)
Mimi ni mtaalamu wa Biashara ya forex na uzuri wa Biashara hii ni kwamba kadiri unavyokuwa na mtaji mkubwa ndivyo unavyozalisha pesha vzr kwasababu unakuwa na uwanja mpana wa kwenda sokon na kufanya Biashara vizuri ukiwa na mtaji mkubwa unazalisha hata Mara mbili ya mtaji wako kwa wiki
MALENGO BAADA YA KUPATA MTAJI MKUBWA.
1. kuanzisha kikundi cha uwekezaji na kulipa kwa asilimia na camission kwa wawekezaji.
2. Kuanzisha center ya kutoa Mafunzo ya forex bure kwa wawekezaji pamoja watakaohita Mafunzo.
3.kuwafikia vijana wote waliochin kiuchumi ili kuwaingiza kwenye project yetu ili kuwainua kiuchumi.
Asante
fantastic idea broh
plz look me via 0712213314
Jina langu Diana Gabriel umri miaka 31, wazo langu la biashara ni kutengeneza siagi ya Karanga, bidhaa hii hutumika kupikia mboga, kupaka kwenye mkate kuweka kwenye uji wa mtoto hata MTU mzima, bidhaa hii huongeza radha katika chakula na kuleta mvuto na harufu nzuri ya mboga,
LENGO LA LA WAZO LA BIASHARA
1: KUWAFUNDISHA WANAFUNZI WA SEKONDARI JINSI YA KUANDAA NA KUTENGENEZA SIAGI YA KARANGA MAARUFU KAMA PEANUT BUTTER,
2: KUWASAUDIA WANAFUNZI KUJIONGEZEA KIPATO KULIKO KUTEGEMEA MZAZI KWA KILA KITU
3 KUKUZA HII BIASHARA IKAWA YA KITAIFA
MAHITAJI
1 KARANGA
2 KIFAA CHA KUKAANGIA AU PEANUT ROASTING MACHINE
3. KIFAA CHA KUONDOLEA NGOZI YA KARANGA BAADA YA KUKAANGA AU PEANUT SHELLING MACHINE
4.PEANUT MAKING MACHINE
5.PACKAGING MATERIALS WITH DIFFERENT SIZE Eg500grams, 800gram 1000gram
6.LEBELS
Naitwa Rahma Mohamed nina miaka 26 , nimesomea accounting , lakini napenda sana ujasiliamal, lengo langu ni kununua viatu China na kuuza karikaoo kwa wa machinga, nina ndugu yang yuko China ndio atanisaidia kuninulia na kunitumia, asante
Ni vema pia kwa taasisi,mngezipa kipaumbele
Naitwaa Wussal Said Mussa nimkaazi wa zanzibar nina umri wa miaka 25 mm ni mjasiri amali wa michoro ya henna katika canvas ambayo huwa ni picha kw ajili ya mapambo majumbani na sehemu tafauti nimemaliza diploma 2016 baada ya hapo nilishindwa kuendeleya nikaamuwa kujifunza ujuzzi wa mama yangu (msaniimkubwa wa michoro ya henna sherry) nae ndio alikuwa mwalimu wangu. Michoro ya henna ni ajira nzuri kwa wanawake hivo ninapendeleya kutowa mafuzo zaidi kw wanawake wezangu wa vijijini kwa ajili nao kuweza kujikombowa zaidi katika maisha yao na familiya yao. Hivo basi ninaomba kupewa nafac hii ili kujiendeleza mm na kuwapatia ajira wanawake zaid katika vijiji tafautikatika Tanzania hii itasaidia kupatikana ajira kw upande wa wanawake wezangu
Mm naitwa Neema shirima naishi Dar es salam, Na miaka 25 ni mfanyabiashara wa nguo, na ni mwanamitindo, na aidia ya kua mfanyabiashara mkubwa nachukua nguo China, na kuboresha biashara
naitwa gift ezekiel nina umri wa miaka 22 ni mwanafunzi wa (IFM) Nina penda sana ujasiliamali ila nina shortage ya capital lengo langu kubwa ni kununua nguo za mabinti,wakaka na wamama from china na ku SUPLY kwa machinga kariakoo( TZ),
Naitwa Lucas mahangi saguda Miaka 41.niko Dar es salaam. Ni mjasiliamali wa kufundisha ushonaji wa mazuria na kuuza mazuria tuliyotengeneza. Pili tunahitaji kufungua kiwanda cha mazuri kwa kutumia maligafi inayopatikana kupitia mifuko ya ngano iliyotuka mifuko hiyo kwa sasa inachafua mazingira. Tatu lego langu ni kuwa na kiwanda cha kusokota uzi kwa kutumia pamba inayolimwa hapa nchini kwa hiyo nikifanikiwa kushida mradi huu utapunguza kiasi kwa vijana sio na kazi.
Naitwa Christina Kitomary Arusha Nina miaka 29,lengo ni kuboresha ufugaji
wa kuku na ngo’mbe wa maziwa na nyama pia kilimo cha umwagiliaji kama vile mahindi,na mboga mboga kama vile greenbeans na nyinginezo.Asanteni
0752941705
hello..Naitwa priscar sinda, ni mtanzania halisi..ninaumri wa miaka 26…ninajishughulisha na biashara ya utengenezaji na usambazaji wa bidhaa ya peanut butter, yaani siagi ya karanga..nanunua karanga nazisafisha vizuri, na kwenda kusaga alafu napakia mwenyewe kwenye kontena na kusambaza. changamoto ni nyingi lakin imenisaidia kujitegemea na kuendesha maisha yangu..nategemea kuwa na kiwanda cha uzalishaji wa siagi ya karanga..idea yangu ni kutoa mafunzo na elimu mitaani kwaajili ya vijana kujishughulisha..hata kwa vitu vidogo kama hivi mtu anaweza kujikimu na maisha na kuondokana na umaskin uliokithiri,uvutaji bangi,na wadada kujiuza..asante
naitwa MARYANI MOHAMEDY ELMI.naishi dar es salaam,miaka 23. napenda Sana ujasiliamali lengo langu ni kununua viatu na mapochi kutoka China then nije kuwa uzia wamachinga wa karikoo actually biashara hii nime ifatilia kwa ukaribu Sana nime gundua ina faida nzuuri tatizo Sina mtaji wa kuanzia
Nina umri wa miaka 24. Ni mtanzania halisi. Ninapenda kusaidia watoto wakike kuhusu elimu yoyote ile itakayowawezesha kujitambua kwani nimefanya utafiti bado hali ya upatikanaji elimu hasa vijijini ni changamoto kubwa sana inayopelekea vizazi na vizazi kuathirika. Bado kuna baadhi ya makabila hayajakubali kusomesha mtoto wa kike ni kusomesha jamii natamani kidogo nilichonacho niwapatie na wao kitawasaidia.
Naitwa millinga fulko, mwanafunzi wa chuo kikuu cha mtakatifu agustino _mwanza. Mimi ni mwenyeji wa mkoani ruvuma wilayani mbinga, Nina wazo la kuanzisha kiwanda kidogo cha kufanya processing katika zao la mahindi ndiposa niweze kufanya biashara ya unga badala ya nafaka zenyewe za mahindi. Mradi huu utawasaidia wakazi wenyewe wa mkoani ruvuma, ambao ndio wakulima wa zao husika Kama ifuatavyo :-Kwanza, kutokana na bei duni ya zao hilo licha ya kuzalishwa kwa wingi, Nitahamasisha wakulima waungane nami tuunde kikundi badala ya kuuza nafaka tuuze ambao utaandaliwa kwa ustadi mkubwa na hatimaye kuuzwa kwa bei nzuri. Pili nitanunua zao hilo kwa bei nzuri kwa kuwa mimi nitafanya processing na kuuza unga badala ya nafaka. Mradi huu hautakuwa tu mkombozi mkoani ruvuma la hasha, Bali kwa Tanzanian nzima .So naomba Sana support yenu. 0763882195
mtanzania mzalendo Nina miaka22 ningependa kushirikiana nanyi
Naitwa Marcelino ni mwanafunzi wa shahada ya udaktar wa Mifugo. Ningependa kuanzisha mradi wa ufugaji wa aina za kipekee za bata na kuwauzia wakulima katika kiwango cha chini ukilinganisha na bei halisi sokoni. Bata hii ni kama vile aina mpya za Bata kama (geese (Bata bukini) , mallards , pekins, na wengineo )bei ya Bata hawa ni kubwa sokoni adi laki na nusu ,,naamini naeza kuzalisha kitaalamu na kuwauzia wakulima katika bei ya chini zaidi.
Mpango mwigine ni Kufungua shamba darasa la samaki , Yani sehemu ambayo wakulima wanakuja na kujifunza juu ya ufugaji wa samaki ,, aina za samaki ambazo ningependa kuanzia Nazo ni sato , kambale na aina za samaki mapambo. Ningeweza kufundisha wakulima na kuzalisha vifaranga vya samaki kwa akili ya kuwauzia wakulima .
Mradi wa mwisho ni Kilimo Cha azola mmea ambao unavirutubisho bora kwa akili ya chakula cha Mifugo. Na hapa nitatumia maji yanayotoka kwne mabwawa ya samaki . ili yasipotee kwani maji Yale Tayar yanambolea ambayo kutoka kwne kinyes cha samaki.
Miradi hii mitatuinaweza kutegemeana vzur kwani aina nyingi za Bata hapo ni wa majini na husaidia kupunguza vyura kwne maji au mabwawa ya samaki na samaki watanufaika kwa kufanya mavi ya Bata kama kitoweo na mwishowe maji yatakayoToka shamba ni nitayatumia kwa ajili ya kilimo cha azola zao ambalo nitawapatia wakulima wa eneo langu kwa ajili ya Mifugo yao.
Nimebahatika kuanzia na ufugaj wa Bata hawa kwa miaka mi3 sasa laki ni sikuwa na uwezo wa kujenga mabwawa na pump za kusupply maji. Pesa itakayotolewa inatosha kabisa kusimamisha mrah huu . kwani Tatar najua sehemu za kupata vifaranga vya samaki wote nlosema, sehemu nitakayopata aina zote za Bata, eneo nitakalochukua miche , na eneo lililoko kijijini la kuweka mrad huu.
Mm ni na umri wa miaka 35 natamani kuanzisha kituo cha kulea watoto Kwa kutwa jioni wazazi wanawachukua kutokana na wimbi la kuibiwa kwa watoto katika nchi yangu Tanzania imekuwa inatutia hofu sana kama wazazi na mama pia bora kumpeleka mtoto kwenyekituo jioni unaendamchukua hataukiwa kwenyemajukumu ya kujenga Taifa unakuwa naamani na kaziinafanyikakiufanisi zaidi asanteni.
Kwa jina naitwa James sospeter kutoka Dar es salaam.nataka kukusaidia jamii kwa ujumla hasa katika kulinda mazingira kwa kuanzisha mradi wa kupikia kutumia biogas hasa vijijini ilikuweza kuzuia uharibifu wa mazingira pamoja na kuwasaidia wakina mama kuepuka kutumia kuni ambazo husababisha moshi ambao huambatana na madhara kiafya
Asante sana
Naitwa Mau Reuthery Kalolo.naishi Makambako Njombe.naomba kupata mafunzo ya ujasiliamali.
Naitwa Kastuli Sarwat nasoma katika chuo kikuu cha kikatoliki Mwenge(Moshi-Kilimanjaro),,,,,nina wazo la kuanzisha kilimo cha umwagiliaji,kilimo hicho kitahusu mboga,nyanya na vitu vingine Vingi,,,,naombeni uahirikiano wenu katika hili,,,,,,Ahsanteni sana
Vyema
Naitwa Benedictar Ligwa Steven, nina umri wa miaka 23, ni mwanafunzi wa sheria chuo kikuu cha Dar es salaam. sheria ya mtoto ya mwaka 2009 kifungu cha nne inamtambua mtoto niyule aliye chini ya miaka kumi na nane Kwa kipindi kirefu sasa nimekua nikiumizwa na vitendo vya watoto wa jinsia zote kujihusisha ama kuhusishwa na matendo ya kingono na mahusiano ya kimapenzi katika umri mdogo, nmelifatilia swala hili kwa upana nimebaini visababishi vinavyosababisha tatizo hili, ambapo sababu kuu ni mtoto kukosa malezi bora ya kimaadili, mahusiano yasiyo rafiki kati ya mtoto na mzazi, madada wa kazi, baadhi ya wanafamilia kuwaingilia kimaumbile watoto.
Kupitia hivyo watoto hupata athari za kiakili kimaumbile na hata kiafya, kama binti sifurahishwi hata kabisa, na vitendo hivi hivyo nimejidhatiti kuwasaidia watoto hawa, kwani watoto ni taifa la kesho.
Changamoto kubwa ni pale ambapo mwanafamilia au mwanaukoo anapomfanyia mtoto vitendo vya kingono, mara nyingi wanafamilia huishia kusema tuyamalize kifamilia na muhusika kubaki huru bila kuchukuliwa hatua zozote za kisheria, kama binti nimejipanga kuwasaidia wahanga wa vitendo hivi kupata msaada wa kisheria kulingana na taaluma ninayosoma kwa kuwaunganisha na mawakili mbalimbali wanaopigania haki za watoto.
Nimejipanga kutoa elimu dhidi ya vitendo hivi kwa wahanga wakuu ambao ni watoto wa jinsia zote yaani KE na ME, wazazi, walezi, walimu na vijana na watanzania wote kwa ujumla, kubwa Zaidi wazazi waweze kua na mahusiano yaliyo bora ambapo mtoto anaweza kua huru kumweleza mzazi pale ambapo ametendewa vitendo hivyo.
Ndoto yangu ni kuona vitendo hivi vinapungua kama si kukoma kabisa kwani kwa kuzuia vitendo hivi tutategeneza taifa lijalo lenye viongozi bora na wataalamu wa kada mbalimbali wenye weledi katika kazi zao na maadili mema.
Ili kulifikia lengo hilo ninahitaji kuwezeshwa kiuchumi kwani nitahitaji kutoa semina juu ya athari za watoto wadogo kujihusisha ama kuhusishwa na vitendo vya kingono katika umri mdogo, sehemu mbalimbali nchini, ikiwa ni pamoja na kutafuta msaada wa kisheria kwa wahanga, kuandaa vipeperushi kwa ajili ya kutolea elimu pamoja na hayo nitahitaji kua na team nitakayofanya nayo kazi hii.
Nina ndoto, nina nia ya kuwasaidia watoto! Tafadhali naomba sana kuwezeshwa.
Naitwa James kahindi nipo pasians ilemela mwanza nauwezo wakutengeneza chakula chakuku kutumia uchafu ila mtaji wavifaa n.k ndo shida
Naitwa Castor Ngailo,mwanafunzi chuo cha ruaha iringa. ujasiliamali wa rahisi na haraka ni ufugaji wa kuku wa kienyeji au wa kisasa kwa ajili ya mayai na nyama.
Mimi ni mwalimu naitwa Asumpta Simon
Nipo Arusha jiji. Najishughulisha pia na ufugaji wa kuku na Kilimo. Naomba kama nitasaidiwa ili niendeleze ujasiliamali.
Naitwa cosmas kimario Mkazi wa arusha mjini
Nina wazo la kutengeneza mbolea ya kupaki kwa kutumia mbolea ya ngombe,mbuzi na kuku
Hilo ndio wazo langu
Naitwa Azimio J mawata ni NETWORK ADMINISTRATOR na deal xana na masuala ya iztallation ya network na ufungaji wa CCTV CAMERA Na ku create its network kwa mawasiliano +255756698481
Umri wangu miaka 27
Naitwa jesca mwachilo nimwanafunzi was chuo kikuu mzumbe mwaka watatu ninamiaka 22 ,nimegundua kitu kwamba tunachokisoma shule na tunayoyakuta mtaani nivitu viwili tofauti kutokana ajira kuwa ngumu kupatika wakidai wanaitaji mwajiri mwenye mwenye experience mawakati bila kutufikilia je tunaotoka chuo tunapata wapi hyo experience kwahyo nimejikita zaidi katika ujasiriamali nikiwa chuo muda ambao sio wavipindi napenda kutumia kufanya shughuli zangu kama kuuza nguo za mitumba kwa wadada wenzangu kuwauzia pedi na pia huwa nauza Rasta nakutana nachangamoto nyingi hasa sheria zashule zinanibana pia muda autoshi lakini kubwa zaidi nimtaji wakuendeleza biashara zangu kwasabbu napenda Sana kuja kuwa mfanyabiashara namjasiliamali mkubwa kutokana nauzoefu ninaoupata wakati nafanya biashara zangu ndogondogo ili kujikimu wakati naendelea namosomo naniwapo likizo.malengo yangu nikupata mtaji kidogo utakoanisaidia kufanya shughuli zangu hasa kufungua duka la nguo za familia nzima nikisemea familia namaanisha nitakuwa mbunifu katika kupangilia duka langu liweze kutosha mavazi ya familia nzima wanapokwenda shopping ya mavazi na pia nitakuwa mbunifu katika kupata vitu vyenye ubora na vinavyopendwa ili kukuza kipato changu pia niweze kuwasaidia vijana wenzangu wadogowadogo katika kujikwamua kiuchumi na kielimu pia
Naitwa raphael Francis malekano ninamiaka 25 nimkazi wa kilombero morogoro ni mtanzania alisi nina stashaada ya taarifa za mawasiliano za kiteknolojia (ICT) mawazo yangu ni kufunguwa centre ya kufundisha computer application short couse kwa muda wa miezi mitatu kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne /sita na wananchi wengine ili waweze kujiajiri katika kazi za studio liblary na stationary. Nategemea majibu mazuri kwa mawasiliano +255626-397 697 au 0787-131 084
Naitwa Salome Sylvester nimesomea utalii maoni yangu ni kukuza utalii nchini, kwa kufungua camp&hotel ndani ya mbuga ili kuongeza pato la nchi na kuwaajiri wengine, ninaimani ntafanikisha hili kutokana na uwakilishi wa utalii kutoka nchi 5 utakavyotuwasilisha nchini kwao.
Oky naitwa soboto Mihammed miaka 29 Nina mawazo y’a kufuga kuku wa mayai kwa ajili y’a kukuza kipato changu na kupandisha uchumi wa tz
Habari Total, Shukran kwa nafasi hii kwetu vijana wenye umri chini ya miaka 35.
Majina yangu Mwalimu S. Mwasingi umri miaka 31, Nina wazo ambalo mpaka Sasa lipo nusu katika ukamilishwaji nikiwa na changamoto ya kiuchumi.
Wazo lenyewe ni KUANZISHA ASASI YA KIRAIA ITAKAYO JIKITA KATIKA UTOAJI WA ELIMU ZA UJASILIA MALI NA AFYA:-
1)UTENGENEZAJI WA SABUNI;-
i) Za maji
ii) Za unga
iii) Za vipande
-Magadi
-Mawingu
iv)Kunawia mikono
v) Kufulia
vi) kusafishia vyoo
vii)Kuogea n.k
2) UTENGENEZAJI WA NGUO ZA BATIKI.
3)UFUMAJI WA MIKOBA & VIPOCHI KWA KUTUMIA SHANGA MBALI MBALI.
4)ELIMU YA AFYA
-Uzazi wa mpango
-Matumizi ya njia sahihi (kinga)
-Athari ya Dawa za kulevya, pombe, bangi, Mirungi n.k
-Athari ya matumizi ya vitu vingi vya viwandani kama vile
-Pampasi
-Majani ya Chai
-Radha za michuzi mix
– Snacks
-Kondomu
-Nyama kwa kiwango kikubwa
-Soda
5) ELIMU YA UFUGAJI
-kuku
-Ng’ombe
-Mbuzi
-Kondoo
-Sungura
-Samaki n.k
6)KILIMO CHA:-
-Matikiti
-Vitunguu
-Matango n.k
kuwakutanisha VIJANA & WANAWAKE na MAAFISA WA HALMASHAURI HUSIKA WALIPO VIJANA
Mfano;-
MAAFISA WA:-
1)KILIMO
2)BIASHARA
3)AFYA NA UKIMWI
4)UVUVI
5)BIASHARA
6)MIFUGO
7)MIKOPO n.k
maafisa hawa huwa wapo kila halmashauri lakini kwa Bahati mbaya vijana walio wengi hawawezi kuwafikia kutokana na sababu mbali mbali, HIVYO BASI KUPITIA NGO nitakayo ianzisha ITAKUWA DARAJA KATI YA WANANCHI NA MAAFISA WALIOPO HALMASHAURI ZOTE HAPA TANZANIA KUWEZA KUWASAIDIA WANANCHI.
WAZO LA PILI KUANZISHA KAMPUNI YA USAFI NA UTENGENEZAJI WA SABUNI
Kupitia kampuni vijana wengi watapata ajira katila kufanya usafi popote tenda itakapo patikana pia utengenezaji wa sabuni utasaidia vijana na wanawake kupata ajira kupitia kampuni rasmi iliyosajiriwa
Ahsante.
+255 714 537190
DAR ES SALAAM
TANZANIA
Habari Total, Shukran kwa nafasi hii kwetu vijana wenye umri chini ya miaka 35.
Majina yangu Mwalimu S. Mwasingo umri miaka 31, Nina wazo ambalo mpaka Sasa lipo nusu katika ukamilishwaji nikiwa na changamoto ya kiuchumi.
Wazo lenyewe ni KUANZISHA ASASI YA KIRAIA ITAKAYO JIKITA KATIKA UTOAJI WA ELIMU ZA UJASILIA MALI NA AFYA:-
1)UTENGENEZAJI WA SABUNI;-
i) Za maji
ii) Za unga
iii) Za vipande
-Magadi
-Mawingu
iv)Kunawia mikono
v) Kufulia
vi) kusafishia vyoo
vii)Kuogea n.k
2) UTENGENEZAJI WA NGUO ZA BATIKI.
3)UFUMAJI WA MIKOBA & VIPOCHI KWA KUTUMIA SHANGA MBALI MBALI.
4)ELIMU YA AFYA
-Uzazi wa mpango
-Matumizi ya njia sahihi (kinga)
-Athari ya Dawa za kulevya, pombe, bangi, Mirungi n.k
-Athari ya matumizi ya vitu vingi vya viwandani kama vile
-Pampasi
-Majani ya Chai
-Radha za michuzi mix
– Snacks
-Kondomu
-Nyama kwa kiwango kikubwa
-Soda
5) ELIMU YA UFUGAJI
-kuku
-Ng’ombe
-Mbuzi
-Kondoo
-Sungura
-Samaki n.k
6)KILIMO CHA:-
-Matikiti
-Vitunguu
-Matango n.k
kuwakutanisha VIJANA & WANAWAKE na MAAFISA WA HALMASHAURI HUSIKA WALIPO VIJANA
Mfano;-
MAAFISA WA:-
1)KILIMO
2)BIASHARA
3)AFYA NA UKIMWI
4)UVUVI
5)BIASHARA
6)MIFUGO
7)MIKOPO n.k
maafisa hawa huwa wapo kila halmashauri lakini kwa Bahati mbaya vijana walio wengi hawawezi kuwafikia kutokana na sababu mbali mbali, HIVYO BASI KUPITIA NGO nitakayo ianzisha ITAKUWA DARAJA KATI YA WANANCHI NA MAAFISA WALIOPO HALMASHAURI ZOTE HAPA TANZANIA KUWEZA KUWASAIDIA WANANCHI.
WAZO LA PILI KUANZISHA KAMPUNI YA USAFI NA UTENGENEZAJI WA SABUNI
Kupitia kampuni vijana wengi watapata ajira katila kufanya usafi popote tenda itakapo patikana pia utengenezaji wa sabuni utasaidia vijana na wanawake kupata ajira kupitia kampuni rasmi iliyosajiriwa
Ahsante.
+255 714 537190
DAR ES SALAAM
TANZANIA
Wazo langu kuu ni kuzalisha mayai na kuanzisha lanch ya kuku ambayo itakua na kuku wa mayai na wa nyama,mfano
Ukitotolesha kuku elfu 3000 na kuwafuga katika kila kuku elfu moja ukiuza kwa 10000 ni million kumi sasa tokana na kiasi hiki kinachoweza patikana kwa mda wa miez minne kijana akiwezeshwa eneo na mabanda ya kisasa anaweza tengeneza adi million 30 kwa mwaka kama faida maana uhitaji upo na ni mkubwa .
Naitwa kassim ramadhani ninaishi mwanza ni mtanzania mzalendo wa nchi yangu Mimi Nina wazo la biashara ya dagaa kuwatoa mwanza na kupeleka mikoani maana kuna imani kuwa na kuzoeleka kuwa dagaa wa mwanza wana michanga ili kuondokana na njia hiyo ya kuanika dagaa kwenye mchanga nikuanzisha kiwanda kidogo kinaksusha dagaa hizo kwa njia salama na kuzifunga kwa pakeji na kuzisafirisha mikoani ambapo kiwanda hicho kitatoa ajira kwa vijana wengine na kuwafunza mbinu hizo ili na wao wakajiendeleze siku wajisimamie wenyewe na kukuza uchumi wa nchi kiwanda hicho kitakuwa kidogo tu kwa ajili ya shughuli hiyo nitashukuru kama ombi langu na wazo langu litafanyiwa kazi niwatakie kazi njema katika ujenzi wa taifa
naitwa Beatrice Daudi nipo mbeya nimemlz diplom ya procurement nina idea ya kufungua cafteria ys chakul maeneo yenye watu wengi pia kufany food delivery ofisn na sehm mbali mbali pia nina wazo la kurmtengnz unga wa lishe na kusply madukn kwa bei ya jumla
ubuyu na dagaa kusupply kwa bei ya jumla madukn asante no ya simu 0752758921
Habari, ninaitwa Rehema Kasmiri,
Ninaishi Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha, nimehitimu stashahada ya Ugavi na Manunuzi katika chuo cha Utumishi wa Umma Tanga,
Kwasasa nimejiajiri kwa shughuli za ujasiriamali mdogo wa kuhza bytes, ninamalengo ya kufungu kiwanda kidogo cha uzalishaji wa bytes …kupitia malengo hayo baada ya kufanikiwa ninampango wa kuisaidia jamii kwa kuwawezesha watoto wanaoishi katika mazingira magumu ,Mungu akijalia uzima, Asante.
I am awake, I am 23 years old and I live in Dar es Salaam … I am graduate of college degree training college in 2016..Because of the difficulty of employment I have decided to self-employed and apply my idea by engaging in cooking,decorating and designing cakes in various event including birthdays, weddings, bridal shower etc. Because of the existence of various shows I earn income to help me solve different challenges of life.
I will be thankful if my request will be accepted … In consultation 0719907605
I am Aziza, I am 23 years old and I live in Dar es Salaam … I am graduate of college degree training college in 2016..Because of the difficulty of employment I have decided to self-employed and apply my idea by engaging in cooking,decorating and designing cakes in various event including birthdays, weddings, bridal shower etc. Because of the existence of various shows I earn income to help me solve different challenges of life.
I will be thankful if my request will be accepted … In consultation 0719907605
Habari, naitwa Nehemiah Elias nipo dar es salaam ninamalengo ya kufungua workshop ya car interior yani kurepair vitu vyote ndani ya gar nimeanza kwa kufungua ofis na tupo wa 4 baada ya kufanikiwa naitaji kusaidia jamii kuwa na vijana zaidi ya 20 wanaoishi ktk mazingira magumu
I am Aziza, I am 23 years old and I live in Dar es Salaam … I am graduate of teaching training college in 2016..Because of the difficulty of employment I have decided to self-employed and apply my idea by engaging in cooking,decorating and designing cakes in various event including birthdays, weddings, bridal shower etc. Because of the existence of various shows I earn income to help me solve different challenges of life.
I will be thankful if my request will be accepted … In consultation 0719907605
Mimi kwa Jina naitwa samweli frank moshi Nina umri wa miaka 32 ni baba wa watoto wa watoto watatu wakiume wawili na moja wa kike pia ni mkazi wa hapa Dar ee salaaam.
Mm WAZO langu ni kuaziasha mradi wa vyoo kila eneo lenye mkusanyiko wa watu wengi kwa wakati moja hasa hapa mkoa wa Dar es salaaam MF stend za mabasi , baadhi ya vituo vya mabus ( bus stop) nk.
Lengo hasa LA kuazisha hyo biashara ni kutunza mazingira pia kupata kipato na kuendesha maisha yangu na familia yangu ki ujumla
Napenda kutoa ushaur WANGU kwamba tutunze mazingira yawe masafi na ya kuvutiaa
NAMBA yangu 0714333699
0784608844
Email samwelimoshi27 @gmail.com
Asalam aleykum kwa majina naitwa Zaituni Sinkala nina miaka28 ninaelimu ya maendeleo ya jamii nimehitimu mwezi wa sita 2018 mawazo yangu kama yafuatayo nafikilia kutengeneza unga wa rishe na kuuza kwa bei nafuu kwajili ya watoto chini ya miaka 5 nyanda za juu kusini sambamba na kutoa elimu ya rishe bora kwa kina mama kwani mikoa hii Njombe, Iringa watoto hupata utapiamlo ilihali mazao ya rishe hulimwa kwa wingi mikoa hii, pia kuanzia shule ya chekechea katika jijiji kimoja nimeona kunafrusa hii watoto kuanzia miaka2-5 hushinda na mama zao shambani hadi wafikapo miaka6 ndipo huanza chekechea vilevile nimeanzisha kundi la vijana wanaoshida stendi alimaarufu kama wapiga debe wanaweka pesa kidokidogo niayangu waweze kubadilika na kufanyakazi nyingine kwani wengi wao wanafamilia pia nimewapaelimu ya kuwatika mbegu za parachichi wanaokota jalalani sanjari na hili nimeanzisha kikundi cha kina mama nao wanaweka pesa kidogokidogo iliwaweze kufanya biashara ndogondogo yote haya kwasababu ya kukosa mtaji, vilevile nafunga kuku wa nyama150 lengo langu kufuga zaindi ya hapa nianinayo nakosa pesa ya mtaji,0768242592 asante
Naitwa Omary Kapeyu, nina umri wa miaka 32 ni mtanzania naishi Mbozi Mbeya. Nina mradi wangu wa utengenezaji wa YOGHURT project hii nilijifunza nikiwa chuoni SUA Morogoro. UMUHIMU WA YOGHURT; Inasidia mmeng’enyo wa chakula, inasaidia kupandisha kinga ya mwili, inasaidia kupunguza mafuta mwilini (cholesteral), inasidia tatizo la heart attack, kusaidia mama alietoka kujifungua maziwa yakawa hayatoki, inasaidia tatizo la kutokwa na damu kwenye fizi na ulimi kwsababu ina calcium na phosphorus, inasaidia tatizo la osteoporosis ( tatizo la mifupa kuwa legevu) kwsbabu ina calcium na phoshorus nyingi, inasaidia sana kupunguza maumivu ya vidonda vya tumbo, inasadia kuondoa ttzo la virginal infection kwa wanawake. Bidhaa hii natengeneza mwenyewe na kuweka kwenye vifungashio vyake, kuweka label na kuweka seal na MAZIWA NANUNUA KWA WAFUGAJI, AMBAO AWALI HAWAKUA NA SOKO LA UHAKIKA LA MAZIWA KWASABABU NI MENGI SANA, tarehe 3/8/2018 nilipata nafasi ya kupeleka YOGHURT yangu kwenye maonyesho ya nane nane mbeya KUONYESHA KWA WAFUGAJI MNYORORO WA THAMANI WA ZAO LA MAZIWA ILI WAENDELEE KUFUGA KWA TIJA ZAIDI. nashukuru mungu bidhaa ilipokelewa vizur sana, ilipendwa sana na nilipata oda kutoka sehem mabalimbali makambako, tunduma, mbeya hapa hapa na sehemu zingine. CHANGAMOTO; sina vifaa vya kisasa vya utengenezaji wa YOGHURT mfano vifaa vya kupack, na ku seal, (Nafanya kazi usiku kucha kupack, kuseal na label ni kazi kubwa sana) sina vifaa vya kukusanyia maziwa (milk utensils), sina mafriji makubwa, sina usafiri wa kusambaza bidhaa zinapokua tayari, naomba nisaidiwe niweze kuweka wasaidizi( ajira) ili nikidhi uhitaji wa soko, Uhitaji wa bidhaa ni mkubwa sana ila uzalishaji bado uko chini sana kwa wiki nazalisha lita 140 za maziwa, wakati uhitaji uliopo sokoni kwa sasa ni angalau lita 400 za maziwa/week. NITASHUKURU SANA KAMA OMBI LANGU LITAKUBALIWA, KWANI NITAKUA NIMEWEZA KUTOA AJIRA KWA WATU MBALIMBALI KUANZI KWENYE UZALISHAJI MPAKA USAMBAZAJI, NITAKUA NIMEWEZA KUONGEZA VIPATO VYA WAFUGAJI KWA KUNUNUA MAZIWA KWAO, NITAKUA NIMEWEZA KUGUSA JAMII KWA KUIMARISHA AFYA ZAO.
Kwajina naitwa Amina Mahmoud namimi naomba nafasi nimesomea Counseling Psychology
Nina itwa Fedrick Charles Ndai..Nina umri wa miaka23 Nina ishi Mwanza Bwiru. Idea yangu ya kibiashara na kijasiriamali niliyo nayo ni yakuwasaidia watu mbalimbali katika mazingira tofauti. baada ya kuona kuwa kuna upungufu was vyoo hasa kwenye mazingira ambayo yanamkusanyiko wa watu hasa kwa wafanya biashara wa masokoni na minadani. Utakuta soko linawatu mia5 lakini lina choo kimoja cha matundu kumi10 au sehemu ambazo kila week zna minada hakuna choo hivo watu wanalazimaka kukojoa hovyo na kuchafua mazingira na kusababisha magonjwa ya milipuko..kwahiyo Mimi nimeamua kuja na Idea ya kutengeneza Mobile toilet (choo cha kutembea) ntakuwa kila siku nazunguka sehemu zenye mkusanyiko wa watu ili kuwasaidia na kuokoa uchafuz wa mazingura.. Hivyo naomba nisaidiwe nguvu ya kipesa ili niweze kutengeneza tela la. gari litakalo kuwa na masink 6 na matenk 3 ambayo garama yake ni sawa na Tsh. Millioni20 na pesa yakuwa nakodi gari kwaajiri ya kuvuta hili tela lenye choo ndani..namba yangu ni 0764741930/0710149671..Asanteni.
Naitwa Pascal Julius ,nipo dodoma Nina umri wa miaka 20 wazo langu la biashara ni kuwa mjasiriamali na pia kuuza ama kusambaza mafuta ya kula tazania nzima na nje ya nichi namba zangu 0653085827 asanteni.
Naitwa Monica Joseph Yohana Nina umri wa miaka 20 ni mkazi wa Dodoma.Nina elimu ya kidato cha nne.Mimi ni mjasiriamali ninatengeneza viungo vya chai na chakula.Pia Nina elimu ya ujasiriamali na pia napenda kutoa elimu kwa wengine kuwafundisha na pia kuwahamasisha waingie katika ujasiriamali.Nitashuku sana kama ombi langu litakubaliwa kwa sababu nitakapo pata nafasi nitaweza kuwaelemisha wengi kuhusu ujasiriamali na pia watajifunza kupitia Mimi.Namba zangu ni 0712638941/0654137121 .Ahsante
Naitwa Monica Joseph Yohana Nina umri wa miaka 20 ni mkazi wa Dodoma.Nina elimu ya kidato cha nne.Mimi ni mjasiriamali ninatengeneza viungo vya chai na chakula.Pia Nina elimu ya ujasiriamali na pia napenda kutoa elimu kwa wengine kuwafundisha na pia kuwahamasisha waingie katika ujasiriamali.Nitashuku sana kama ombi langu litakubaliwa kwa sababu nitakapo pata nafasi nitaweza kuwaelemisha wengi kuhusu ujasiriamali na pia watajifunza kupitia Mimi.Namba zangu ni 0712638941/0654137121 .Ahsante
Naitwa omary, ni mtanzania nina umri wa miaka 32 naishi Mbozi Mbeya, nina mradi wa uzalishaji wa yoghurt( maziwa) naomba msaada wa kukuza mradi huu, sina vifaa vya kutosha, sina wasaidizi, nina eneo nahitaji kuliedelezaa kwa uzalishaji, naomba pia msaada wa mawazo, na namna ya kukuza uzaliishaji. Mtu yyte namkaribisha/ kujifunza na kubadlishana mawazo pia ili kuongeza uzalishaji
Naitwa Rebecca Julius welia Nina umri wa miaka 21 ni mkazi wa Singida,Nina elimu ya kidato cha nne,ni mjasiriamali ninatengeneza sabuni za maji,Dawa za kusafishia choo,batiki na kufuga Kuku wa kienyeji Nina elimu ya ujasiriamali changamoto niliyonayo ni mtaji sina banda la kisasa la ufugaji nafuga tu kienyeji,sina vifungashio vizuri vya kuwekea sabuni zangu zenye lebo,nimeanzisha kikundi cha vijana wenzangu ambao nakuwa nawafundisha namna ya kutengeneza sabuni,batiki,kikundi chetu kinausajili ila tunakosa mitaji kukikuza mfano kujenga banda la kuku ,vitendea kazi katika utengenezaji wa sabuni. Hivyo basi kama ikitokea nikapata msaada wa pesa/mtaji nitaweza wasaaidia vijana wengi sana apa Singida kwa kuwaajili katika Biashara zangu za kusambaza sabuni na katika mabanda ya ufugaji na kupitia mimi vijana watajifunza vitu Sana Namba Yangu ya simu ni 0674082746
My idea is called M doctor mobile app wchich make access of books, notes and other materials for medical subject including contact with specialist doctors through smartphone. Another idea is about innovation of affordable and cheap sanitary pad for school children female who drop of school during their menstrual period and those delivering mothers after delivery contact 0712253701
Naitwa mary james njau ni msichana mwenye umri wa miaka ishirini na nne (24), ni mkazi wa Dar-es -salaam. Kwanza kabisa nitoe shukrani kwenu kwa fulsa kama hii itakayoweza kuinua vijana na kusaidia jamii zenye mazingira mbalimbali yanayo tuzunguka., hivyo basi kila kitu hapa duniani ili kiweze kuwa sawa ni lazima kiwe na misingi iliyo kuwa imara na kiunda zaidi tukijaribu kuangalia misingi ya shule zetu za msingi kwa Tanzania nzima mingi inayumba na haswa shule za vijijini. Mfano shule inachangamoto ya maji ,majengo,choo,huduma ya kwanza ,madawati,umbali wa kutoka kijijini mpaka mahala shule ilipo,umeme,vitabu, lakini bado tunaiita shule ya msingi nadhani hakuna msingi hapa., hivyo basi kupitia fulsa hii ningependa kufanyia kazi haya yote na naamini litakuwa ni zoezi endelevu mkoa kwa mkoa maana nitaomba na misaada kwa watu mbali mbali pia ambao wamepita katika misingi hii isiyo kuwa na uhimara, hivyo basi kama nitafanikiwa katika swala la kufanikisha changamoto hizi nitashukuru. Ahadi yangu (1).nitahakikisha na shirikiana na wakuu wa shule za msingi ili kutatua changamoto hizo maana naamini wakuu hawa wanafahamiana na hata baadhi ya viongozi au watu mbalimbali ambao walipita katika shule hizo kwa kupata masomo hivyo basi nitawatumia hao pia kwa misaada zaidi. (2) kutoa mrejesho katika jamii, mfano kuonyesha picha za awali na baada ya misaada ,kuwaalika waje kujionea kilichofanyika kutokana na misaada yao,watu ambao wamesaidia kutatua changamoto hizo naamini katika kufanya hivi itasaidia kuwa na misaada mingi zaidi itakayoweza kutatua changamoto kwa haraka katika shule hizi za misingi.msingi kwanza mwendelezo ndivyo utakavyokuwa vyema.Asanteni 0765644184,0683513553.my No.
Naitwa yakuob mwalim salim ni mkaazi wa zanzibar
elimu yangu kidato cha pili.
kipaji changu ubunifu wa biashara.
Nime anzisha group ambayo ina watu wa rika tofauti.
lengo kujikukwamua kiuchumi na kutoa ajira kwa vijana.
Nilihitaji kudili na mchai chai. kwa ajili ya kuzalisha majani ya chai, mafuta ya mchaichai na kufikia kuwa na matokeo mazuri ya mchaichai Tanzani.
Nikisaidiwa mtaji na mafunzo ya ku ukuza mchaichai kwa
utaalam natarajia kuzalisha bizaa nyingi na kuajiri vijana 100 kila mkoa kusambaza bizaa ya majani ya chai na mafuta. pamoja na kulitafuta soko la nje ya nchi.Ahsanten TOTAL .(MJASIRIAMALI MBUNIFU MZALENDO WA NCHI).
NAsaitwa Christina Kitomary umri 29,natokea Arusha wila ya meru.lengo langu ni kuimarisha ufugaji wa kuku wa kienyeji ambapo
Hawa kuku wataugua natumia dawa za asili kuzitibu kama vile Alovera(shubiri mwitu) ni kama antibiotic ya asili,pia nitatoa elimu ya utumiaji vitu vya asili kwani dawa hizi no nzuri na napata kuku wenye afya bora
Dawa hii hutibu homa ya matumbo
(Typhoid), mafua (coryza),kipindu pindu cha kuku(fowl cholera).lakini pia hupunguza makali ya kwa ugonjwa wa kideri,pia mmea huu hutibu vidonda vya ndui kwa kuku.
Faida ya kuku tunapata mbolea nzuri,mayai na nyama bora
Pia ufugaji wa ngo’mbe wa maziwa katika haya maziwa nitakayopata naweza kutengeza samli ya maziwa ya ngo’mbe ambayo ni nzuri sana kiafya kwa watoto na kwa kinamama wanaonyonyesha mama anaenyonyesha anapata maziwa mengi kwa mtoto pia mtoto anakuwa na afya bora,uzito mzuri kwasababu anapata maziwa mengi kutoka kwa mama
Pia tunapata mbolea:mbolea ya ngo’mbe faida take tunapata gesi asilia(Biogass) ambapo katika gesi hii itasaidia kupunguza gharama kubwa ya matumizi ya umeme kwa watu wanaotumia majiko ya umeme kwasababu biogass ni nzuri sana endapo itatumika kwa ufasaha zaidi.
Lengo jingine ni kilimo cha mbogamboga,kwasasa hivi kumekuwepo na magonjwa mengi kwasababu ya kutokula vitu vya asili,katika hiki kilimo cha mbogamboga nitatoa elimu ya afya jinsi ya kuzitumia mboga kutengenezea juice.Tukila/tukinywa juice ya mbogamboga tunapata afya bora kuimarisha kings ya mwili,
Ngozi zetu zinakuwa nzuri na kupendeza pasipo kutumia madawa yenye chemical nyingi.Pia juice ya mbogamboga inasaidia sana kupunguza uzito,ni vizuri kuwa na uzito wa sahzi nzuri kwani tunaweza kujikinga na magonjwa kama vile presha,sukari na magonjwa mengine mengi endapo tutatumia vitu vya asili ipasavyo.Asante
NAsaitwa Christina Kitomary umri 29,natokea Arusha wila ya meru.lengo langu ni kuimarisha ufugaji wa kuku wa kienyeji endapo
Hawa kuku wataugua natumia dawa za asili kuzitibu kama vile Alovera(shubiri mwitu) ni kama antibiotic ya asili,pia nitatoa elimu ya utumiaji vitu vya asili kwani dawa hizi no nzuri na napata kuku wenye afya bora
Dawa hii hutibu homa ya matumbo
(Typhoid), mafua (coryza),kipindu pindu cha kuku(fowl cholera).lakini pia hupunguza makali ya kwa ugonjwa wa kideri,pia mmea huu hutibu vidonda vya ndui kwa kuku.
Faida ya kuku tunapata mbolea nzuri,mayai na nyama bora
Pia ufugaji wa ngo’mbe wa maziwa katika haya maziwa nitakayopata naweza kutengeza samli ya maziwa ya ngo’mbe ambayo ni nzuri sana kiafya kwa watoto na kwa kinamama wanaonyonyesha mama anaenyonyesha anapata maziwa mengi kwa mtoto pia mtoto anakuwa na afya bora,uzito mzuri kwasababu anapata maziwa mengi kutoka kwa mama
Pia tunapata mbolea:mbolea ya ngo’mbe faida yake tunapata gesi asilia(Biogass) ambapo katika gesi hii itasaidia kupunguza gharama kubwa ya matumizi ya umeme kwa watu wanaotumia majiko ya umeme kwasababu biogass ni nzuri sana endapo itatumika kwa ufasaha zaidi.
Lengo jingine ni kilimo cha mbogamboga,kwasasa hivi kumekuwepo na magonjwa mengi kwasababu ya kutokula vitu vya asili,katika hiki kilimo cha mbogamboga nitatoa elimu ya afya jinsi ya kuzitumia mboga kutengenezea juice.Tukila/tukinywa juice ya mbogamboga tunapata afya bora kuimarisha kings ya mwili,
Ngozi zetu zinakuwa nzuri na kupendeza pasipo kutumia madawa yenye chemical nyingi.Pia juice ya mbogamboga inasaidia sana kupunguza uzito,ni vizuri kuwa na uzito wa sahzi nzuri kwani tunaweza kujikinga na magonjwa kama vile presha,sukari na magonjwa mengine mengi endapo tutatumia vitu vya asili ipasavyo.Asante
Kwa majina Naitwa Eliakim Xavery Mingayo, naishi Mwanza Mimi ni mjasiriamali najihusisha na utengenezaji wa Viatu mbalimbali nina miliki kisehemu kidogo ambacho ni vyumba vi3 sehemu 1 ni sehemu ya kuuzia na sehem ya pili ni Sehemu ya kutengenezea na sehem ya tatu ni stoo, lengo langu kuBwa nipatapo nguvu zaidi natakakufungua Kampuni ya utengenezaji wa vitu vya ngozi (viatu, mikoba, mabegi, mipira nk) na hatimaye kusaidia katika kukuza uchumi wa taifa na kuzalisha ajira kwa vijana wengi itakavowezekana.
Ahasanteni
0746 469 304
Naitwa Imelda Marco Maselu:
Kwanza nitoe shukurani zangu za dhati kwa kampuni ya Total. Nimefarijika sana kwa fursa hii maana naamini watoto wa kike wasiojiweza kununua Pamba(Pedi) sasa ni wakati wao,Nina malengo ya kufungua kampuni ambayo itazalisha pedi za bei nafuu kuliko bei ya zote zinazopatikana maduka Hapa Tanzania nikiamini ya kwamba kupitia uzalishauji huo nitakuwa nina uwezo wa kusaidia mabinti wa Tanzania wenye hari duni,hili ni jambo ambalo limekuwa likiwasumbua mabinti wengi wa Tanzani. Lakini pia nitatoa ajira nyingi kwa Watazania na kuchangia ukuaji wa pato la Tanzania pale nitakapolipia mapato. Pia nitakuwa nimesaidia kupunguza aibu kwa wale ambao hawajiwezi katika kununua hizo Ped maana wengi wao wamefikia katika ya kuaibika wawapo hata safarini na katika majukumu yao malimbali. Kutokana na hili swala kuwa la muhimu kiafya na kwa usalama wa binti wa kitanzania naamini Kampuni ya Total italipa kipaumbele wazo langu.
Natanguliza shukurani
Wako katika ujenzi wa Taifa,
Imelda Marco Maselu
0753172570
Mkurugezi shikamoo, Naitwa Marius Faustne Mtashoberwa kutoka Mbeya Mjini Miaka 30, ni msindikaji wa vyakura mbali mbali mf, Mango pika, Mbilimbi, Achali, Soya ya chai, Soya ya Maziwa, na mchaichai. Pia nauza Dagaa wa mwanza wa kukahangwa Pia mimi mkulima wa viazi mvilingo Mkurugezi naomba uniwezeshe mtaji ili nifikie malengo yangu. Namba yangu ni 0762094680.
Naitwa Benard Pelekamoyo.
Ninaumri wa miaka 25, ni mtanzania halisi, ni mhitimu wa shahada ya uhandisi mitambo kutoka DIT.
Wazo langu ni kutengeneza mkaa kwa kutumia makaratasi chakavu (paper waste).
Taarifa ya benki ya Dunia ya mwaka 2009 inaonesha kuwa karibu 90% ya kaya zote nchini zinatumia nishati ya mkaa na kuni.
Wakati kwa Mkoa wa Dar Es Salaam pekee takribani tani laki tano (500,000) za mkaa hutumiwa kwa mwaka. Hali ambayo huinaathari kubwa kwenye mazingira kama kusababisha mmomonyoko wa aridhi na kukosa mvua za uhakika.
Mkaa wa makaratasi utapunguza kiwango cha miti inayokatwa kwa ajili ya mkaa kadhalika mradi huu utasaidia kuweka mazingira katika hali ya usafi kwani badala ya watu kutupa karatasi hovyo, zitakusanywa na kuuzwa.
Pia biashara hii itatoa fulsa kwa watanzania kuweza kujipatia kipato kwa kukusanya karatasi na kuziuza.
Pia kutokana na kupungua kwa miti itakayokuwa inakatwa, miti mingi itastawi na kusaidia kupunguza gasi za ukijani (green house gases).
+255 719 847 423
Habari naitwa Rhoda Thomas , nina miaka 22 , nmehitimu 2015 kwa ngazi ya diploma ya uhasibu ,Mimi nafkiria kufanya biashara ya kuku wa kienyeji wa nyama na wa mayai , makazi yangu ni Arusha ntashkuru Sana Kama nkipata nafasi hi ili niweze kutimiza mawazo yangu . Ahsantee
Contact _0769934081
Naitwa Benard Pelekamoyo.
Ninaumri wa miaka 25, ni mtanzania halisi, ni mhitimu wa shahada ya uhandisi mitambo kutoka DIT.
Mkazi wa Dar Es Salaam
Wazo langu ni kutengeneza mkaa kwa kutumia makaratasi chakavu (paper waste).
Taarifa ya benki ya Dunia ya mwaka 2009 inaonesha kuwa karibu 90% ya kaya zote nchini zinatumia nishati ya mkaa na kuni.
Wakati kwa Mkoa wa Dar Es Salaam pekee takribani tani laki tano (500,000) za mkaa hutumiwa kwa mwaka. Hali ambayo husababisha athari kubwa kwenye mazingira kama kusababisha mmomonyoko wa aridhi na kukosa mvua za uhakika.
Mkaa wa makaratasi utapunguza kiwango cha miti inayokatwa kwa ajili ya mkaa kadhalika mradi huu utasaidia kuweka mazingira katika hali ya usafi kwani badala ya watu kutupa karatasi hovyo, zitakusanywa na kuuzwa.
Pia biashara hii itatoa fulsa kwa watanzania kuweza kujipatia kipato kwa kukusanya karatasi na kuziuza.
Pia kutokana na kupungua kwa miti itakayokuwa inakatwa, miti mingi itastawi na kusaidia kupunguza gasi za ukijani (green house gases).
+255 719 847 423
Naitwa Jeredina Michael Sabuni mkazi wa Iringa wilaya ya Mufindi. Ni mwalimu wa shule ya msingi nina miaka 26. Napenda sana ufugaji hasa ufugaji wa kuku. Napenda kufuga kuku aina ya chotara ambao wanakuwa kwa haraka hasa pale wanapopewa matunzo mazuri na pia kufugiwa sehemu nzuri. Naamini kupitia project hii nitajikwamua kimaisha na pia nitaweza kusaidia wengine kwa kupitia fursa hii na pia kukuza pato la Taifa.
0659811449
Naitwa hamisi Ismail mkazi wa dar es salam Tanzania Nina umri wa miaka 24
nimehitimu kidato cha NNE mwaka 2012 na sikupata alama ya kuendelea na shule wala chuo yani nilipata alama 0
japo ilichukua muda kupata kujua nini cha kufanya katika maisha haya ila nikaangalia nini napenda na ndipo nikaamua kwenda sido na kwenye semina za ujasiriamal
kiukweli nimejifunza mambo mengi na kwakua nilipenda ndipo nikawa nabuni vitu tofaut kati ya vile nilivyojifunza
nikaamua kuwasaidia na wengne kwa kuanzisha magroup ya watsap na kuwapa elimu bila malipo na hilo jambo lipo linaendelea
baada ya kupata member wengi haswa wanawake likanijia kuamua kutaka kufungua taasisi ya wakina mama itakayo itwa seve woman power ( SWP) kazi kuu ya hii taasisi ni kuokoa uwezo wa Dada zetu kwa kuwapa elimu ya ujasiriamal kama kutengeneza mafuta ya kupaka sabuni mishumaa nk
lakin kazi kuu ya taasisi hii inatakiwa kuzarisha bidhaa zote za usafi kama sabuni za maji,unga na kipande pamoja na dawa za kusafishia masink na dawa za madoa
kisha kila mwisho wa mwezi kutenga fungu la fedha na kuchagua moja ya hospital na kutoa kwaajir ya kuwalipia baadhi ya wagonjwa wasio jiweza hivi itafanyika kila mwezi
pia katika kila siku kuu yeyote inayotambulika katika serikali tutagawa bidhaa bure katika mashuleni na mahospitalin
pia kila baada ya miezo mitatu tutatenga fungu la fedha kwaajiri fedha ya dharula kwaajir ya wananchi watakao umwa na kusumbuka na fedha za matibabu na kuwasaidia watu waliopo mijin ambao wanaishi maisha magumu taasisi itawapa elimu ya kuwapa mawazo na kurudi vijin na kuwasimamia uko walipo
pia kazi ya taasisi hii itatoa ajira kwaajir ya wakina mama kwa kuanzisha biashara ndogo ndogo kwa kila mama anaetaka atawez kumkidhi mahitaji ya maisha yake
pia taasisi hii itajenga hostel kubwa kwaajir ya kuwasaidia watoto na wanawake wasiokua na makazi tutawalea kwa muda na kutoa msaada wa kibiashara na akifanikiwa aendelee na maisha akiwa kwake
kwakua nimekua mjasiriamal na ninawez kutoa elimu kwenye group za watsap basi chini ya hii taasisi tutakua na timu utakayo pita mashulen na vyuon kuwapa elimu hii ya ujasiriamal na kuwashauri wasiwe wenye kutegemea kuajiriwa na watakao feri wasikate tamaa naa maisha kua kuna maisha baada ya shule
ila wazo hili lisimame linahitaji msaada wa kifedha Mkubwa na washauri pamoja timu wenye moyo wa kujitolea
ila nimeshaanza kujenga kaeneo nyumban kua ndio ofisi ila kazi inaendelea
naitwa Hamisi Ismail
phone +255714543585
Naitwa Lazaro Mtunda mkazi wa DSM kigamboni mm Ideayangu kufungua biashara ya matunda na stoo ya Michele na maharage coz uku kigamboni akunamaduka ya nafaka ntakuwa nimewarahisishia wananchi nakuoanua wigo wakipato na hajira nikifanikiwa number zangu ni 0714461074
mkurugenzi habariyako Mimi naitwa Lazaro gerodi mtunda Nina umri wamiaka 26 naishi DSM kigamboni Nina idea moja ambayo ninaipenda pia ninaifanya nikipata mtaji itaniongezea ukubwa wa biashara yangu ambayo ni ya duka la nafaka ya chakula cha binadamu na nafaaka za mifugo pamoja mgahawa maeneo ya fukwe za bahari yaani beach naomba uangalie kiliochangu cha capital ili nitoke nilipo nisonge mbele Asante mawasiliano yangu 0714461074
Dear Director,
My Idea involves getting the elderly a care house
In my research it has been observed that Most of Tanzania have migrated from their original birth villages/cities/Regions and moved to the Metropolitan cities in search of greener pasture ,Thus leaving their old parents unattended and causing inconveniences.
I hope the statement of the problem will make it to the selected funded Ideas.
Regards
AGNES
Hello! Naitwa Salma itaso nina umri wa miaka 23 ni mwanafunzi wa chuo cha Archbishop James medical campus songea MD4,nina idea ya kuanzisha Day care kwa ajili ya watoto kuanzia miezi sita (6month ) mpaka miaka mitano(5years ) .Daycare hii kwa jina lingine huitwa “baby sita” itafanya kazi ya kuwalea watoto kwa kujali afya, mazingira na michezo mbali mbali kwa ajili ya watoto.Nina sababu kuu mbili za kufikiria hii idea
1 -Wazazi wengi wamekosa elimu sahihi ya namna ya kuwalea watoto na ni nin hasa mtoto anahitaji kwa wakati uliopo ,hii hupelekea udumavu, vifo, kupotea na ajali mbali mbali kwa mtoto
2-ongezeko la elimu kwa upande wa wanawake ,Elimu hufanya wanawake waweze kuajiriwa au kujiari wenyewe na hii hupelekea kuwa na ukosefu wa wadada wa kazi (house maids) ,sababu hii hufanya wanawake wakose mda wa kuwalea watoto wao ipasavyo .
Mkinisaidia kufanikisha hili ntahakikisha Day care hii ina walea watoto katika misingi ya afya (chakula na tiba),dini ,ulinzi ,maadili ,elimu na michezo mbali mbali kwa watoto
Mwisho ntawaelimisha wazazi faida za kuwapa watoto afya bora na malezi bora kwa watoto.
Habari! naitwa Halima Yusuph Mussa ni kijana wa kitanzania mkazi wa Dar es salaam mwenye umri wa miaka 24. Nina wazo la kuanzisha kampuni ya kuzoa taka katika maeneo mbali hasa katika kata yangu na baadae katika maeneo mbalimbali . Malengo yangu ni kuhakikisha tunatunza mazingira yetu na kuzalisha ajira nyingi kwa vijana wenzangu pia sehemu ya faida nitakayoipata katika biashara hiyo nitahakikisha nasaidia jamii yangu hasa mashule kwa kuanzisha program mbalimbali za kielimu kwani naamini wao ndio kesho ya taifa letu hivyo ni jukumu letu kuwapatia elimu stahiki.
#Africa is not poor, our time has arrived
My name is Beatrice J.Kivagaye, I’m a Tanzanian lady aged 22,a third year Bachelor of Accountancy student at Tanzania Institute of Accountancy Dar es salaam cumpus.
I have a project of fattening cows which I started six months ago, I got this idea after visiting various auctions in Uvinza district where most of the cows for sale were malnourished due to the shortage of pastures and water however some other cows were sick and needed veterinary care, this low quality cows fatched very low price in market ranging from Tsh 200000 to about Tsh 300000 according to their size and health condition. These poor cows could be put back to good condition by giving them grass, water and some food supplement which include mixture of maize bran,common salt,soft rice husk,cotton seed cake,Palm carnel cake and sunflower Cake coupled by veterinary care. A price could increase more than two folds(Tsh 400000 and above) within 90 days treatment.
I have an area of 30 acres of arable land.In order to improve my project, I need to stock hey,food supplement, veterinary medicine and buy cows for treatment. As cows will be kept under zero grazing to protect environment, hey grass plating will be required which will involve land clearing and make permanent structure of the hey and food supplements.
The above activities will involve recruitment of manpower for taking care of cows(cows attendance), veterinary doctors and drivers to ship cows to other parts of Tanzania and other foreign market for sale.
If this project is successful, I will be able to find out foreign market for selling meat and skin(hides),this will help government to get foreign funds.
My vision is to establish meat industry to increase the value of cows after sustainability development of this Project.
Habari TOTAL! naitwa Lilian George Kalinga, nina miaka 21 na ni wa Mafinga (Iringa). Ninasoma Agricultural engineering (SUA). napenda kilimo, idea yangu ni
-Kilimo cha matunda
Parachichi, Apples, Peas
-Ufugaji wa kuku wa kienyeji (both mayai na nyama)
-Kilimo cha mboga mboga
Pilipili hoho (aina zote), mboga za majani (aina zote), vitungu (saumu na maji), nyanya n.k.
Hivi vitu vipo very applicable kwenye daily life yetu, kama kijana, na binti mtafutaji nimefanikiwa kupata maeneo ya kuendeshea kilimo hiki. Changamoto niliyonayo ni kukosa vifaa kwa ajili ya kuendeshea kilimo changu,kama incubator 2-3(1000000/= ), Sprinkles kwa ajili ya umwagiliaji wa mboga na vifaa vingine vidogo vidogo.
Nashukuru Mkurugenzi kwa kutupa nafasi hii, Ahsanteni natumaini ntapata nafasi ya sponsor hii.
Contact no :0755668281
Habari TOTAL naitwa Hawa Sindika ni mwanamke mwenye mtoto mmoja, mkazi wa Dar es salaam na nina miaka 29.
Biashara ninayofanya hivi sasa ni KUUZA MACHICHA YA NAZI AMBAYO HAYAJAKAMULIWA.
Machicha haya ni halisi kwa ajili matumizi ya chakula kwa binadamu kwani mtumiaji ndio atahusika kukamua ili apate tui kwa kiwango anachohitaji.
Nia na madhumuni ni kufungua kiwanda kidogo/kati/ kikubwa ili kuweza kukidhi mahitaji ya watu wengi
Pia biashara ina muda wa miaka miwili.
LENGO
1. Kumrahisishia mtumiaji asipate tabu ya kukuna nazi kwa muda mrefu
2. Kumpa furaha mtumiaji kwa kutumia bidhaa halisi ambayo ataichakata yeye mwenyewe
3. Kutengeneza nafasi za ajila kwa wakulima na wafanyakazi kwa wingi zaidi
4. Kuimarisha afya za watu kwa kutumia bidhaa asilia.
Simu: 0758452680
Asanteni Sana na Mungu awabariki
Habari, naitwa Alfred Ngulo, Nina umri wa miaka 21, naishi morogoro,Nina mradi unao lenga kufukuza mbu wa enezao ugonjwa wa malaria kwa kutumia mmea wa asili, nahitaji kusajili hiyo dawa,pia kuwa na kiwanda kitacho kuwa kinajihusisha na utengenezaji wa hizo dawa hapa Tanzania, lengo kuu ni kutokomeza malaria katika Taifa letu, kwa mawasiliano zaidi napatikana kwa namba 0768641810, Mungu awabariki!!
kwa majina naitwa nuru boniphace,ni msichana mwenye umri wa miaka 21, nipo kahama shinyanga,ninafyatua tofali na kuwauzia watu lengo langu baada ya mwaka mmoja nitakuwa nimekamilisha vifaa vya kufyatulia tofali ili niweze kuwaajili vijana wenzangu
Naitwa shomary.y.salim Nina umri wa miaka 26.naishi mbezi beach Dar-es-salaam Tanzania.Mimi ni mjasiliamali mdomdogo shughuli yangu kuu ni uuzaji wa viombo vya umeme(used).kama vile fridge,TV,Pas,Cattle na nk.hii kwangu sio idea Bali ni biashara ilio katika mfumo rasmin kwani Nina uzoefu nayo kwa kipindi cha takriban miaka mitatu(3).Sasa na kwa kipindi chore hicho niliweza kuajiri vijana wenzangu na kushilikiana pia katika maisha ya kila siku.lakini nimeza kurudi nyuma kutokana na tatizo la kuvunjiwa duka langu maeneo ya njia panda makumbusho opposite na mnyamala mnamo mwa mwaka 2017-3-11.na nikiwa na ushahidi wa kesi iliopo osterbay police na Rb no:MNK/RB/725/2017.Hivyo basi bado sijaweza kufanikiwa katika hilo.endapo mtanipa nafasi nitaitumia kikamilifu kwani tayari binafsi nilshaweza kutanua wigo na ajira kwa vijana wenzangu nami nilisha fikia hatua nzuri kwani awali nilikuwa na nunulia mzigo Zanzibar na nilitamani nishafiri mwenyewe mpaka UK.kwani ndipo solo kubwa la manunuzi lilipo kwa wafanya biashara ya Used.na tayari nilishaanza kuandaa safari kwani tayari nilishakata hati ya kusafiria na kutafuta connection ya kule nitakapo elekea nk.Ni Mimi wako mpendwa Shomary.y.salim.Kwa mawasiliano zaidi:-+255655209963/789966441.
Naitwa siwema devidi fungo ni mtanzania halisi natoka mkoa wa njombe wilaya makete Nina umri wa miaka 23 ,wa kike nimehitimu mafunzo ya afya ngazi ya medical attendant ,computer program nategemea kufungua maduka ya dawa vijijini ili kusaidia na kuwasogezea huduma hii ya afya ,pia nimesoms ADDO,domestic science na nimefanya kazi katika finance mbalimbali nategemea ombi langu liyapewa nafasi mawasiliano:0763678508
My contact 0762474674 na diploma ya maabara shuleni,Niko tayari
Naitwa Rahma Mohamed ,,nina umri wa miaka 26 ni mkazi wa Tanga na ni Mtanzaia halisi na nina elimu ya sekondary na nilisoma maswala ya Afya,,natanguliza shukran za dhati kwa kutupa fursa hii vijana ya kujua ndoto zetu na kuzifanyia kazi kwa hapo niwashukuru sana,,,mim idea yng n utengenezaji wa tambi za kula zile na nina ujuzi wa hilo kwan nilishawah kufanya kutokana na ukosefu wa ajira nchin kwetu kama ningeweza kusaidia kuanza kufungua kasehem kama kiwanda kidogo tuu ninunue malighafi hizo kwan nikifungua ntaweza kuajiri vijana wenzangu na pia ntakua nmeisaidia jamiii kwan n chakula kinachopendwa na kila rika hasa kwa mikoa ya pwan huku,,,,ntashukur zaidi kama nitapewa hii fursa na pia nikiipata ntaweza kufungua phamancy kubwa na hapo ndipo ntaendelea kusadia jamii zaidi na kuajiri vijana kupitia kwangu….natanguliza shukran zangu za dhat,,,n mim wenu mtiifu ktk kujenga taifa,, R.Mohamed
No 0764132124
Naitwa Leonard Mwenesi, nina wazo la kuwawezesha wafanyabiashara wakubwa, wakati na wadogo kutumia mfumo wa taarifa za kijografia kuweza Ku create, edit, plan, decision making, etc, hiyo itatumia Android application, ambayo ni zero cost, haihitaji mtaji wowote, ni bando tu smartphone yako.
0765413739
Naitwa CALVIN MOHAMED nipo Arusha naumri wa miaka 25 elimu yangu Form two ila nimesomea computer pia nahusika na maswala ya usajili wa laini za simu na setting za simu pamoja na laptop computer n
Pamoja na vingine
I want to know in which address shall we supposed send or proposal . I fail to know how shall I respond on that advertiser provided by TOTAL CO.
Please TOTAL Team assist me.
Naitwa Nasri shaibu hamisi
ni mkazi wa dar es salaam mbagala chamazi mbande
ni mwalimu wa chekechea pia mjasilia Mali
mimi nina mradi wa usafi na mazingira kwa vijana wakitanzania yaani zoezi la ukasanyaji taka taka kwenye nyumba pia kuna mradi ndani usafi na mazingira ama zoezi la ukasanyaji takataka kuna mbolea na kukaza mradi wa plastic ama Zile dustbin na viloba
namba zangu 0677938361
nasri shaibu hamisi
MRADI WA UJENZI WA HOSTEL YA WANAFUNZI WA KIKE.
Kwa majina naitwa Mwalimu ERICK ARKADI AKARO ni mtanzania, mwenye umri wa miaka 29. Mimi ni mwalimu, idara ya elimu sekondari katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya. Elimu yangu ni ya ngazi ya shahada ya pili (uzamili) katika elimu (Master of Arts in Education). Awali ya yote napenda kutoa pongezi za dhati kwa kampuni ya mafuta ya TOTAL kwa nia yao madhubuti ya kuinua vijana na jamii kwa ujumla kwa kukuza mawazo yao kwa lengo la kuwasaidia katika kujikwamua kiuchumi kwa kutumia mawazo yao mbalimbali ya kibiashara.
Nikiwa kama mtaalamu wa elimu katika jamii na Taifa kwa ujumla napenda kutoa wazo linalohusiana na swala zima la uboreshaji wa elimu na ufaulu kwa wanafunzi katika shule za kata nchini Tanzania hususani shule ya sekondari Ziwa Ngosi kwa kujenga HOSTEL kwa ajili ya wanafunzi wa kike. Shule ya sekondari Ziwa Ngosi ipo katika kitongoji cha Iduda, kijiji cha Ishinga, kata ya Swaya, tarafa ya Ukukwe katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe, mkoani Mbeya. Shule ipo umbali wa kilomita 32 kutoka ofisi za halmashauri ya wilaya ya Rungwe na umbali wa takribani kilomita 20 kuelekea Ziwa Ngosi. Shule ya sekondari Ziwa Ngosi kwa asili jina lake limetokana na uwepo wa Ziwa Ngosi, Ziwa Ngosi ni ziwa lenye historia ya kipekee kijiografia maana lipo juu ya mlima, ni kivutio kikubwa kwa watalii kutoka ndani na nje ya nchi. Shule hii ilianzishwa kwa juhudi za wananchi katika kata ya Swaya na serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania mwaka 2010 kama shule tegemezi ya sekondari ya kata. Shule ya sekondari Ziwa Ngosi imezungukwa na shule nne za msingi ambazo ni Ishinga shule ya msingi, Swaya shule ya msingi, Malangali shule ya msingi pamoja na Isebelo shule ya msingi. Pindi tu wanafunzi wamalizapo shule ya msingi katika shule hizi na kupata ufaulu mzuri huchaguliwa kwa lengo la kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya sekondari Ziwa Ngosi maana ndio shule pekee ya sekondari ya kata katika kata ya Swaya. Kutokana na utaratibu wa kuchagua wanafunzi waliofaulu vyema kutoka shule za msingi katika kata na kuwapeleka katika shule ya sekondari ya kata hiyo, hupelekea shule nyingi za sekondari za kata kupokea wanafunzi kutoka sehemu au kata moja.
Kata ya Swaya imetawaliwa na wenyeji wakazi wa kabila la Wasafwa kwa idadi kubwa ambayo ni takribani asilimia tisini na tano (95%) ya wakazi wote katika kata ya Swaya. Makabila mengine waishio katika kata ya Swaya ni Wakinga, Wanyakyusa, Wandali na Wanyiha ambao kwa idadi yao ni takribani asilimia tano (05%) tu. Wakazi wa kata ya Swaya wamejikita katika kilimo cha viazi, mahindi na maharagwe na sehemu ndogo sana ya wakazi ni wafugaji. Kihistoria, katika kata ya Swaya wenyeji wakazi kwa maana ya Wasafwa wapo nyuma sana katika swala zima la Elimu hivyo hupelekea kutoithamini na kutoipa kipaumbele ambapo hupelekea changamoto mbalimbali katika uboreshaji wa elimu na ufaulu wa wanafunzi katika shule ya sekondari Ziwa Ngosi. Tangu shule ianzishwe mwaka 2010 mpaka sasa mwaka 2018 ni miaka kumi lakini ufaulu wa wanafunzi kwa mitihani ya ndani na ile ya taifa bado ni hafifu, hauridhishi ukilinganisha na baadhi ya shule za kata zilizopo katika halmashauri ya wilaya ya Rungwe na mkoa wa Mbeya kwa ujumla. Kwa mfano, mwaka 2016 shule ya sekondari Ziwa ngosi ilikuwa ya mwisho kimkoa katika matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne.
Sera ya Elimu na mafunzo ya ufundi ya mwaka 2014 imeelezea changamoto mbalimbali katika sekta ya Elimu ambazo hupelekea ufaulu usioridhisha na baadhi ya wanafunzi kuacha shule amabazo ni umbali wa kutembea kwenda shuleni na kurudi, ujauzito, ndoa za utotoni, ajira za watoto, utoro, umaskini, kukosekana kwa mahitaji maalumu shuleni kwa baadhi ya wanafunzi na baadhi ya mila na desturi zinazokinzana na utoaji wa elimu kwa watoto wa kike. Changamoto zinazoikabili shule ya sekondari Ziwa Ngosi ni pamoja na Elimu kutopewa kipaumbele na wazazi, jiografia ya shule ilipo na makazi ya watu, utoro na kuacha shule kwa idadi kubwa ya wanafunzi katika ngazi zote yaani kidato cha kwanza mpaka cha nne, na swala la mimba kwa wanafunzi wa kike.
(i) Elimu kutopewa kipaumbele na wakazi.
Wazazi waishio kata ya Swaya ni wazazi wasiolimika kwa maana ya kwamba wengi wao hawajasoma ni wachache tu waliofanikiwa kumaliza Elimu ya msingi na kidato cha nne. Kutokana na sababu hii wengi wao hawajui umuhimu wa Elimu kwa jamii na maendeleo ya kizazi chao na Taifa kwa ujumla. Kwa kuwa hawaithamini Elimu wengi wao hawawahimizi watoto wao (wanafunzi) kusoma hivyo huwahimiza watoto wao kujikita katika shughuli mbalimbali ambazo ni tofauti kabisa na kusoma, kwa mfano, ukulima wa viazi, mhindi na maharagwe au kufanya kazi katika mashamba ya viazi, mahindi na maharagwe ambayo yanamilikiwa na wakulima wakubwa ndani na nje ya kata ya Swaya. Pia ufanyaji wa shughuli za nyumbani pindi watokapo shuleni kama vile kuosha vyombo, kupasua kuni, kuchota maji na kupika ambovyo kimsingi kutokana na mazingira muda mwingi hutumika kuvitekeleza. Hii hupelekea wanafunzi wengi kutofatilia yale yote ambayo wanafundishwa shuleni pindi wawapo nyumbani ambapo hupelekea kuwepo kwa ufaulu usioridhisha kwa mitihani ya ndani na ile ya Taifa hususani mitihani ya kidato cha pili na ile ya kidato cha nne.
Kwa takwimu zilizopo tangu shule ianzishwe mwaka 2010 mpaka sasa (mwaka 2018) shule ya sekondari Ziwa Ngosi haijafanikiwa kufaulisha wanafunzi wa kidato cha nne kwa ngazi ya daraja la kwanza (division one). Asilimia kubwa ya wanafunzi ufaulu wao ni wa daraja la nne na sufuri. Jedwali hapo chini linabainisha matokeo ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Ziwa Ngosi kwa miaka minne iliyopita yaani kuanzia 2013, 2014, 2015 na 2016.
DARAJA LA UFAULU 2013 2014 2015 2016
DARAJA LAKWANZA 0 0 0 0
DARAJA LA PILI 0 01 0 0
DARAJA LA TATU 03 03 04 0
DARAJA LA NNE 20 06 10 18
DARAJA SUFURI 24 07 10 33
JUMLA 47 17 24 51
(ii) Jiografia ya shule ilipo na makazi ya watu.
Kwa ujumla mikoa ya nyanda za juu kusini nchini Tanzania hususani mkoa wa Mbeya kijiografia ni mkoa wenye miinuko au milima na mabonde makubwa ambayo hupelekea baadhi ya sehemu kutokufikika kiurahisi kwa mfano baadhi ya maeneo yaliyopo ndani ya wilaya ya Rungwe. Kata
ya Swaya wilayani Rungwe kijiografia ni kata yenye miinuko au milima mikubwa ambayo hupelekea sehemu moja hadi nyingine kufikika kwa shida. Shule ya sekondari Ziwa Ngosi ni mfano wa shule ambayo kufikika kwake ni kwa shida kijiografia maana imezungukwa na miinuko au milima mikubwa ambayo kwa asili ni zao la volcano inayosadikika ilitokana na mlipuko wa Ziwa Ngosi miaka mingi iliyopita.
Pia vijiji vinavyoizunguka shule pia kijiografia hufikika kwa shida kwa sababu ya miinuko au milima na mabonde makubwa. Jiografia ya kata ya Swaya hususani Ziwa Ngosi sekondari hupelekea wanafunzi kutembea umbali mrefu kwa kupita katika miinuko au milima na mabonde makubwa yaliyopo katika vijiji vyao pindi watokapo nyumbani na kuelekea shuleni kwa shughuli za kitaaluma. Wanafunzi hutumia (hutembea) takribani saa mbili (2) mpaka tatu (3) pindi watokapo nyumbani na kuelekea shuleni, hivyo hufika shuleni wakiwa wamechelewa na wengi wao hufika wakiwa wamechoka sana. Vivyo hivyo hutumia (hutembea) takribani saa mbili(2) mpaka tatu (3) kutoka shuleni mpaka nyumbani, hufika nyumbani wakiwa wamechoka sana, wengi hufika nyumbani usiku. Kwa kuwa hutembea umbali mrefu pindi watokapo nyumbani kuelekea shuleni wanafunzi wengi hukosa kuhudhuria vipindi vya asubuhi darasani na kwa kuwa huchoka sana wengi huwa wanasinzia wakati vipindi vinaendelea darasani na kutokuwa makini kwa kile ambacho mwalimu anafundisha darasani.
Madhara ya jiografia ya shule ya sekondari Ziwa Ngosi ni mwendelezo wa kuwa na ufaulu au matokeo yasiyoridhisha katika mitihani yote ya ndani na ile ya taifa, pia kuendelea kuwa nyuma kitaaluma na kimaendeleo kwa wananchi wa kata ya Swaya, kwani inaaminika kuwa Elimu ndio chachu ya maendeleo.
(iii) Utoro na kuacha shule kwa idadi kubwa ya wanafunzi.
Tangu shule ianzishwe mwaka 2010 mpaka sasa shule ya sekondari Ziwa Ngosi inakabiliwa na changamoto ya wanafunzi wengi kutohudhuria shule ipasavyo kwa siku zote zinazobainishwa na kalaenda ya shule katika mwaka na wengine huhitimisha masomo yao kwa kuacha shule kabisa. Swala la utoro kwa wanafunzi husababisha matokeo kuwa mabaya kwani wengi hukosa kuingia darasani pindi walimu wafundishapo na kusababisha kutokuelewa baadhi ya maada ambazo kimsingi tayari zimeshafundishwa darasani. Jedwali lifuatalo linaonesha asilimia ya wanafunzi waliohudhuria katika kipindi cha kuanzia mwezi wa tatu mpaka mwezi wa tano 2018 katika shule ya sekondari Ziwa Ngosi. ambapo kwa miezi yote mitatu iliyobainishwa kwa jedwali hapo chini haijawahi kutokea wanafunzi kuhudhuria shule kwa asilimia mia (100%).
KIDATO MWEZI WA TATU MWEZI WA NNE MWEZI WA TANO
I (A&B) 96.53% 93.3% 89.25%
II (A&B) 86% 85% 86%
III (A&B) 68.9% 81% 64%
IV (A&B) 94.75% 92.5% 88.3%
(iv) Swala la mimba kwa wanafunzi wa kike.
Kumekuwa na changamoto katika swala la mimba kwa wanafunzi wa kike katika shule nyingi za serikali za kata nchini Tanzania ambapo hupelekea wanafunzi wengi kuacha shule na kutofikia
malengo yao, kwani wengi huishia kuwa tegemezi katika familia zao. Sababu kubwa za mimba kwa wanafunzi ni baadhi ya wanafunzi kutojitambua na kujua thamani yake katika jamii, malezi katika familia, tamaa kwa wanafunzi wa kike, wazazi kutotimiza wajibu wao na kuwaacha wanafunzi (watoto wao) wajitafutie wenyewe, jiografia ya shule na makazi ambapo hufanya wanafunzi kurubuniwa njiani pindi waendapo shule na swala la ushawishi wa kundi rika pamoja na ukosefu wa elimu juu ya matumizi sahihi ya mipira ya kiume na kike (kondom).
Katika shule ya sekondari Ziwa Ngosi swala la mimba limekuwa changamoto kwani wanafunzi wamekuwa na tabia ya kujiingiza katika ufanyaji wa ngono zembe bila kutumia kinga. Kutokana na umbali kutoka nyumbani kuelekea shuleni wanafunzi wengi hurubuniwa na kushawishiwa na wanakijiji kwa ahadi nono ambapo mwisho wake hufanya maamuzi yasiyo sahihi ya kufanya ngono na wanakijiji ambao wengi wao huwa ni watu wazima wenye familia zao ili waweze kutimiziwa ahadi walizoahidi. Pia kutokana na hali halisi ya maisha vijijini na kutokukosa kujitambua wanafunzi wengi wa kike hujikuta wakiingizwa katika ufanyaji wa ngono zembe ili kuweza kutatua changamoto zinazowakabili.
(v) Upangaji kiholela wa wanafunzi mtaani.
Tangu shule ianzishwe mwaka 2008 kumekuwa na utaratibu wa baadhi ya wanafunzi kupanga mitaani hususani katika baadhi ya makazi yanayoizunguka shule. Upangaji huu wa kiholela kwa baadhi ya wanafunzi sio rafiki kabisa kwa wanafunzi kwani hupelekea wanafunzi kuwa huru katika kufanya mambo mengine yasiyohusiana na taaluma mfano uvutaji wa sigara, bangi, utoro, ngono zembe na hata kupata mimba zisizotarajiwa. Pia imegundulika kuwa wanafunzi wapangao mitaani hujiingiza katika shughuli za utafutaji kipato kwa kufanya shughuli za kulima katika mashamba ya viazi, mahindi na maharagwe na katika uvunaji wake.
Swala la wanafunzi kujiingiza katika shughuli za kutafuta kipato zina madhara hasi kwa maendeleo ya kitaaluma ya wanafunzi kwani wengi hutumia muda wa kujisomea vibaya kwa lengo la kujiinua kiuchumi kwa kujiingizia kipato. Ukosefu wa watu wa kuwalinda na kuwaongoza pindi wapangapo mtaani ndio chanzo cha wanafunzi kujiingiza katika mambo ambayo kimsingi hayapaswi kuigwa na matokeo yake hupelekea kuwepo kwa ufaulu usioridhisha Kutokana na sababu mbalimbali zilizoelezwa hapo juu kwa lengo na nia madhubuti ya kuinua ufaulu na ubora wa Elimu katika kata ya Swaya hususani shule ya sekondari Ziwa Ngosi kuna haja ya kujenga HOSTEL ambayo itasaidia wanafunzi kusoma kwa umakini na kuyapa kipaumbele masomo na hatimaye kuwa na ufaulu unaoridhisha.
Kwa utafiti nilioufanya mwaka 2017 unaonesha kuwa Hostel katika shule ya sekondari Ziwa Ngosi ni suluhisho kwa ufaulu usioridhisha (mbaya). Kwa mfano, mwaka 2017 uongozi wa shule kwa kushirikiana na wazazi wa wanafunzi kwa kidato cha pili na nne walifanikiwa kukubaliana kwa lengo la kuweka kambi shuleni ili wanafunzi waweze kutumia mazingira ya shule kujisomea vizuri na kujiandaa vyema na mitihani yao ya Taifa iliyofanyika mwezi novemba mwaka 2017. Kambi iliwekwa kwa muda wa miezi miwili kuanzia mwezi wa tisa mpaka novemba 2017 ambapo wanafunzi waliweza kujisomea kwa muda wote walipokuwa kambini (mazingira ya shuleni). Uwepo wa kambi uliwezesha kuwepo kwa ufaulu mzuri kwa wanafunzi katika mtihani wa Taifa mwaka 2017 ukilinganisha na miaka ya nyuma kama inyoonekana katika jedwali hapo chini.
MADARAJA YA UFAULU KABLA YA KAMBI MWAKA 2016 BAADA YA KAMBI MWAKA 2017
DARAJA LA KWANZA 0 0
DARAJA LA PILI 0 01
DARAJA LA TATU 0 06
DARAJA LA NNE 18 16
DARAJA SUFURI 33 12
JUMLA 51 35
Jedwali hapo juu labainisha utofauti wa matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne ambapo hakukuwa na daraja la kwanza, la pili wala la tatu ufaulu ulianzia daraja la nne na sufuri kwa mwaka 2016. Kuna utofauti mkubwa kwa matokeo ya mwaka 2016 na mwaka 2017 baada ya kuwepo kwa kambi mwaka 2017 matokeo yalibadilika na hatimaye shule ya sekondari Ziwa Ngosi ilifanikiwa kufaulisha kwa ufaulu wa daraja la pili na tatu ambapo haijawahi kutokea mwaka 2016. Kwa kutumia takwimu tajwa hapo juu na kwa kuboresha changamoto zilizotokea awali, ujenzi wa HOSTEL utapelekea ufaulu mzuri na matokeo yanayoridhisha na kunyanyua kielimu wakazi wa kata ya Swaya kwani, kutapelekea kuwepo kwa kizazi chenye kuelimika, hivyo kupelekea maendeleo kwa jamii husika na Tanzania kwa ujumla.
Kwa ufaulu uliobora katika shule ya sekondari Ziwa Ngosi hainabudi wanafunzi wote (wakike na wakiume) wakae hostel, lakini kutokana na changamoto za kifedha kwa kuanzia kipaumbele kimewekwa kwa wanafunzi wote wa kike wasomao shule ya sekondari Ziwa Ngosi kwa sababu kutokana na takwimu mbalimbali mfano, matokeo mitihani wa kidato cha nne kwa miaka mitatu iliyopita yaani mwaka 2013, 2014, 2015, 2016 na 2017 ufaulu wao ni mbaya kuliko wanafunzi wa kiume. Kwa mfano, kwa mwaka 2013 jumla ya wanafunzi waliopata daraja la tatu walikuwa watatu ambao ni wavulana tu. Ufaulu kwa wasichana kwa mwaka 2013 ulianzia daraja la nne ambapo wasichana walikuwa watatu na wavulana kumi na saba. Pia kwa mwaka 2015 kati ya wanafunzi waliofaulu kwa daraja la tatu msichana alikuwa mmoja na wavulana ni watatu. Hii tafsiri yake ni kwamba changamoto tajwa hapo juu zina madhara hasi zaidi kwa wanafunzi wa kike (wasichana) kuliko kwa wanafunzi wa kiume (wavulana).
Baada ya kumaliza masomo yangu ya shahada ya pili katika Elimu (Master of Arts in Education) mwaka 2017, katika chuo kikuu cha Dodoma nimeanza mkakati wa lengo la kuchochea ongezeko la wanafunzi katika shule ya sekondari Ziwa Ngosi baada ya kununua uwanja wenye ukubwa wa nusu ekari karibu na mipaka ya shule na kuanza ujenzi wa HOSTEL yenye vyumba vinne ambavyo chumba kimoja ni cha mlezi wa wanafunzi “matron” na vyumba vitatu na kwa ajili ya wanafunzi. Kila chumba kinakadiriwa kupangishwa na wanafunzi wapatao wanne kwa hiyo vyumba vyote vitapangisha wanafunzi kumi na mbili. Maamuzi ya kuanzisha mradi huu ni baada ya wazazi na utawala wa shule kuridhia na kunipa kibali cha kuanzisha mradi huu mwaka 2015 ambapo kwa mara ya kwanza nililiwakilisha hili wazo kwa uongozi wa shule (mkuu wa shule) na kunipa matumaini na kunihakikishia kuwa wakati wa usiku wanafunzi watatumia madarasa kwa lengo la kujisomea.
Mbali na kuanza kwa mradi huu wa HOSTEL ambao unailenga jamii moja kwa moja, mradi wangu unakabiliwa na changamoto za kifedha, uhaba wa fedha katika kuukamilisha mradi wangu ambao unaigusa jamii moja kwa moja. Katika mradi huu fedha zinahitajika katika kutimiza malengo yafuatayo;
(i) Kununua eneo (ardhi) jirani na eneo la mradi na shule.
Kwa sasa eneo la mradi lina ukubwa unaokadiriwa nusu ekari. Kwa kuwa mradi una lengo la kupangisha idadi kubwa ya wanafunzi ili kutatua changamoto wanazokumbana nazo kuna haja ya kuongeza ukubwa wa eneo ambao mradi utajengwa. Ukubwa wa eneo utapelekea ujenzi wa vyumba vya kutosha ambavyo vitapangishwa na wanafunzi na kuondokana na idadi kubwa ya wanafunzi kupanga kiholela pasipo na usimamizi wowote mtaani. Pia kuongezezeka kwa ukubwa wa eneo utapelekea ujenzi wa huduma za jamii kama vile kisima cha maji safi, bwalo na uwanja kwa ajili ya mazoezi na kupumzika wanafunzi.
(ii) Ujenzi wa vyumba zaidi kwa ajili ya kupangisha.
Shule ya sekondari Ziwa Ngosi ni miongoni mwa shule zenye idadi ndogo ya wanafunzi, kwa takwimu za mwaka 2018 shule in jumla ya wanafunzi 217 kuanzia kidato cha kwanza mpaka kidato cha nne. Lengo la mradi huu ni kupangisha wanafunzi wote wasomao shule ya sekondari Ziwa Ngosi. Hivyo kuna haja ya ujenzi wa vyumba vingine zaidi ili kuweza kufikia lengo la mradi wa kupangisha wanafunzi 217, mpaka sasa tumefanikiwa kujenga vyumba vitatu ambavyo vitapangisha jumla ya wanafunzi 12.
(iii) Kuchimba kisima cha maji masafi.
Kuna ukosefu mkubwa wa maji safi na salama kwa ajili ya matumizi ya binadamu katika kata ya Swaya wilayani Rungwe. Wananchi wengi hutumia maji yanayotokana na maporomoko ya mito inayoizunguka kata ya Swaya kwa ajili ya matumizi yao ya kila siku mfano, kwa ajili ya kunywa, kuogea, kuoshea vyombo na kufulia. Kimsingi maporomoko ya mito katika kata ya Swaya ni makubwa sana ambayo si rafiki kwa wananchi kwani yanahitaji uangalizi wa hali ya juu pindi mtu apitapo kwa ajili ya kwenda kuchota maji. Ni maparomoko hayohayo ya mito ndiyo yatumiwayo na wanafunzi pindi watumwapo maji na walimu kwa ajili ya matumizi ya shule. Wanafunzi hutumia muda mwingi sana pindi wafuatapo maji mtoni, hivyo katika mradi huu kuna haja ya kuchimba kisima ili kuweza kuwalinda wanafunzi kimazingira, kiafya kutokana na matumizi ya maji na kutokupoteza muda mrefu na hatimaye kutumia muda huo kwa ajili ya shughuli za kitaaluma.
(iv) Ununuzi wa “Solar Pannel”.
Kata ya Swaya haina umeme, kwa maendeleo ya mradi na katika kufikia lengo la mradi kuna haja ya kununua “Solar Pannel” ambayo itafungwa kwenye hostel za wanafunzi ili waweze kuutumia mwanga wake kwa shughuli za kitaaluma wakati wa usiku kwa lengo la kujisomea.
(v) Kuajili mlezi wa wanafunzi, mpishi na mlinzi.
Kwa kuwa mradi ni endelevu kuna haja ya kuwaajili mlezi wa wanafunzi, mpishi na mlinzi ambao kwa pamoja watakuwa na kazi ya kutimiza malengo ya mradi katika kuinua ufaulu wa wanafunzi. Mlezi wa wanafunzi au matron atakuwa ndio muhusika mkubwa wa kuwaangalia wanafunzi na kutatua changamoto wanazokutana nazo, mlinzi ni kwa ajili ya ulinzi kwa wanafunzi wakati wote wawapo katika shughuli zao za kitaaluma na mpishi ni kwa ajili ya kuwapikia wanafunzi kwa
kuzingatia makubaliano yaliyowekwa kati ya msimamizi mkuu wa Hostel pamoja na wazazi wa wanafunzi waishio Hostel.
(vi) Kujenga vyoo imara.
Ujenzi wa hostel hautokamilika pasipo na choo imara kwa matumizi ya kila siku. Mradi umezamilia kujenga vyoo imara ambavyo vitatumika kwa wanafunzi wote wakike na wa kiume.
(vii) Ununuzi wa vitanda na magodoro.
Mradi umelenga kuongeza idadi ya mvitanda na magodoro kulingana na idadi ya wanafunzi watakaopangisha katika nyumba ya mradi.
Pindi tu mradi huu utakapo kamilika kwa udhamini wa kampuni ya mafuta ya TOTAL kila mwanafunzi atatozwa gharama ya shilingi elfu tano tu (5000) za kitanzania kwa mwezi kama ada ya pango ambayo ni sawa na shilingi elfu sitini kwa mwezi ambazo zitatumika katika juhudi za kuuendeleza mradi ili uweze kuwa bora zaidi. Kiasi cha kiwango kilichopangwa kinaweza kupungua au kuongezeka kulingana na gharama katika uendeshaji wa mradi. Kuhusu swala la uchangiaji wa chakula kwa wanafunzi ambao watapanga katika vyumba vya mradi litakuwa ni swala la makubaliano kati ya msimamizi wa mradi na wazazi husika lengo la makubaliano ni kufanya mradi kuwa rafiki kwa jamii na wala siyo kuwanyonya wazazi.
Mwisho kabisa napenda tena kuipongeza kampuni ya mafuta ya TOTAL kwa nia yao madhubuti ya kukuza na hatimaye kuiwezesha miradi mbalimbali inayotokana na mawazo ya wananchi yenye lengo la kuwainua wananchi kiuchumi katika kuelekea Tanzania ya viwanda. Napenda kuwasilisha mawazo yangu (mradi) na ninatumaini mapendekezo ya mradi wangu yatapewa kipaumbele na kuzingatiwa kwani yana lengo ya kuboresha ufaulu kwa wanafunzi wa shule ya sekondari katika kata ya Swaya wilayani Rungwe, mkoani Mbeya.
Kwa mawasiliano zaidi namba ya simu ni 0753934609 na 0718951795.
Barua pepe ni [email protected]
Asante.
mlowejoseph70@ gmail.com
Naitwa Joseph Mlowe ni mkazi wa mwanza nina umri wa miaka 23 .Nina mimefungua kituo cha kufundishia wanafunzi wa Elimu ya awali ( chekechea).
Lengo la kuanzisha kituo hiki ni kutoa mafunzo tangulizi kwa watoto wadogo kabla hawajaanza elimu ya msingi.
pia nimeanzisha kituo hiki kwa lengo la kujipatia kipato ili kuepuka tatizo la ukosefu wa ajira.
PAMOJA NA KUANZISHA KITUO CHANGU NINA CHANGAMOTO NYINGI SANA ZINAZONIKABILI KAMA VILE
1:Uhaba wa vifaa vya kufundishia mfano vitabu
2:Udogo wa eneo la kituo
3:uhaba wa fedha za kuendeshea kituo mfano kuwalipa walimu wengine kituoni.
HIVYO BASI: naomba kwa namna moja ama nyingine kama kuna uwezekano wa kunisaidia ili niweze kuendeleza kituo changu