Are you a young entrepreneur? Do you have a project you believe in? Is it innovative and does it address a social or community challenge in your country or for your fellow citizens? Register and apply now. You could be the Startupper of the Year!
“Startupper of the Year by Total” Tanzania – 2018-2019 edition is a competition organised by Total Tanzania Limited, a limited liability company, incorporated under the Companies Act Cap 212 R.E.2002, located at 1720 Haile Selassie Road, Msasani Peninsula, Dar Es Salaam, Tanzania.
We aim to support good ideas and projects that help address a widespread problem affecting communities in your country. It could be about providing educational opportunities, reducing child mortality, improving public health, developing access to electricity in rural areas, improving road safety on the roads or building houses with eco-friendly materials — in fact, anything that could make life better in your country.
Tell us how your project will help more and more people over time, at home or even abroad. Tell us how it empowers people, improves living conditions, and contributes to overall economic well-being.
After the success of the first Challenge in 34 African countries, this year’s has been extended to a total of 55 countries around the world.
3 winners from each country will receive financial support, extensive publicity and coaching. From among these 3 winners per country, we will select grand winners by region, who will be offered additional support.
This year, a Top Female Entrepreneur category has been introduced. During the first Challenge, women accounted for almost 25% of the winners, even though they only made up 13% of the applicants. With this special award this year, we hope to give the women entrepreneurs an extra push to take part. It is also aligned with other Total initiatives for women.
6 SELECTION CRITERIA
Age
The project or business owner must not be more than 35 years old.
Nationality
The participant must be a citizen of the country where he/she participates.
Project age
The project can be an idea or a start-up created within the last two years.
Social and community impact
The project should offer a practical way of addressing a public health, safety, education, accessibility or other issue affecting local communities.
Innovation
Innovation isn’t necessarily revolutionary, involving something brand new or a total transformation. It can be incremental as well, improving an existing technology, product or service, or even just the way things are done.
Potential and feasibility
Projects that demonstrate feasibility and have the potential to benefit a broader public.
REWARDS AND BENEFITS
3 Winners
• Heightened exposure (Media, PR, networking)
• Coaching⇩
Top Female
Entrepreneur
• Coaching/MentoringDuring the first Challenge, women accounted for almost 25% of the winners, even though they only made up 13% of the applicants. With this special award this year, we hope to give the women entrepreneurs an extra push to take part.
Startup
For Better Energy
I’m Zakayo Sylvester Shayo,
25 yrs, from Arusha.
I have secondary o-level education,
I completed Jkt two yrs at Rwamkoma Mara , but now I live Arusha,
My contact 0716864990/0765481442
Thank you, Sir/Madame not
I’m naswiya majidy juma, 23 yrs from morogoro, I have secondary o-level education, I completed one year of certificate in islamic banking and finance and two years of diploma in islamic banking and finance at Muslim university of morogoro, my contact 0754982082 thank you sir/ madame not
Jina langu mm naitwa Adam F Peter Niko Arusha nikijana wakiume mwenye umri wa miaka 24 Ni mtanzania, Elfu ya niya kidato cha nne nilianza mwaka,2008 nakumaliza 2011,baada ya hapo sikufanikiwa kuendelea na Elfu nikajiunga na college na kusomea mambo ya hotel management,nimeanza course ya hotel mwaka 2012 mwezi wa tisa baada ya kumaliza masomo ya darasan nikaenda majaribia landmark hotel ubungo Riverside,baada ya majaribia hayo kutokana na utendaji wangu wa kaz mzur nikabahatika kupata ajira hapo landmark hotel,Ajira yangu ilianza,1.2.2014 mpaka mwaka 2018 mwezi 8 nikapata tatizo la kifamilia kwahiyo nikashindwa kuendelea na kaz baada ya hapo nikajiunga na kikundi cha Ako catering ambacho mara nyingi oda za zilikuwa za serikalin na branch Yao iko BOT posta,kwa uzoefu Wangu huo nilikuwa naomba kaz kwenye kampun yenu yeyote mungu awabariki katika kaz ya mikono yenu ya kujenga taifa, Number zangu za cm 0716030619/ 0759212647
Jina langu ni Mniwa Joseph Chuma,nina umri wa miaka23 napatikana Vikindu mkoa wa Pwani ni mfanya biashara mdogo ninaehitaji kuwezeshwa ili kuendelea zaidi na kufikia malengo yangu hapo badae.
Kwa mawasiliano zaidi napatikana kupitia namba0653509500/0717528989
Jina langu ni Mniwa Joseph Chuma,nina umri wa miaka23 ni mkazi wa kijiji cha Vikindu mkoa wa Pwani.Mimi ni mfanya biashara mdogo ninaehitaji kuwezeshwa ili kupata kufikia malengo yangu hapo badae.
kwa masiliano zaidi napatikana kupitia namba0653509500/0717528989
Habari za kazi waheshimiwa napenda kuwapa pole kwa majukumu na hongera kwa kutupatia fursa hii.
Naitwa Jullieth R Moshi ni msichana mwenye umri wa miaka 24 ni mwanafunzi wa chuo. Mkazi wa
Dar- es-salaam ni mtanzania
Wazo langu mimi (idea yangu) nikuanzisha day care kwasababu wazazi wengi wamekuwa na hofu juu ya vijana wanaosaidia kazi za nyumbani (sana sana dada wa kazi) pamoja na hofu juu ya watoto kupotea katika mazingira yakutatanisha pindi wawapo nje kidogo ya nyumbani kwao wakiwa wanacheza
Day care hii nitaiita Jullie total day care kwasababu kampuni ya total ndio itakua imeniwezesha kufikia malengo yangu
Katika shule hiyo ndogo ya watoto nitatoa ajira kwa watu mbali mbali especially vijana kwani kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wasio naajira na vijana hao watahusika katika kutoa huduma mbali mbali kwa watoto mfano
Kuwafundisha watoto
kuwapikia watoto
Kuwasimamia watoto pindi wanapokua wanacheza
Na huduma nyinginezo zitazotolewa kulingana na umri wa mtoto
NB. Licha ya kupotea kwa watoto katika mazingira ya kutatanisha pamoja na wasaidizi wa kazi za ndani kuwatesa watoto kumekuwa na wimbi kubwa la watoto kulelewa ndani kwa ndani hadi wanapofika umri wa kwenda shule ndipo anapata chance ya kucheza na wenzake tatizo hili hudumaza akili ya mtoto hivyo katika shule yangu ya watoto wazazi watapowaleta watoto wao asubuhi watoto hao watakua chin ya usimamizi wa shule hadi pale mzazi atapokuja kumchukua mtoto wake
Nitafurah na nitashukuru saana endapo pendekezo langu (idea) itapokelewa vizuri na kupatiwa majibu mazuri
Ahsante Total.
Mawasiliano :0673317152
:0629879847
my name is eliyusto Daniel, I’m a teacher by profession, my highest education is diploma in secondary education.
my business thought is based on educational materials, am interested at designing teaching aids using completely local materials like a wood, used cloth, used plastics, bags(mifuko ya sandarusi) and other materials that are environmentally friend. the products must be local and familiar with the students, no graphics nor any modern materials to be included.
for more details please contact me by using numbers allocated below.
0768041840 Mr eliyusto Daniel
Kwa majina naitwa jailos Dastan, mzaliwa wa Tanzania ,mkoa wa kagera ,mwenye umri wa miaka 22 ,pia ni mwihitimu wa kidato cha sita 2017,
Kwanza,kabisa nimeamua kujiajili mimi mwenyewa kwa kuanzisha ,shamba la mihogo, lakini bado ni changa .
Kwauwakika nitaweza kuwa mchanga wa maendeleo kwa jamii yangu, pia nchi yangu kwa kulipa kodi.
Nipo naangalia fursa ya kwa sababu ,nchi ya China wanapenda sana mihogo ,nahisi hiyo itanisaidia Mimi pamoja na vijana wenzangu
Ahsante ni sana
Kwenu kwa ujenzi wa Haifa
Jailos Dastan
0745565349/0716692945
Habari, kwa majina naitwa Adam Mashaka Lukas. Ni mzaliwa wa mkoa wa Mwanza, Tanzania. Kwa sasa naishi Mosho, kilimanjaro-Tanzania ambako ndio nasoma chuo. Pia ni mjasilimari na mkulima wa vitunguu na nyanya. Mawazo yangu kama nikiwa na mtaji mkubwa ni kuwa na maghala makubwa ya chakula na nafaka ambapo naweza kusambaza ndani ya mikoa yote ya tanzania hats nje ya nchi nakutengeneza fursa nyingi kwa vijana wenzangu.
Napatikana kwa namba 0766873901
l’m tanzanian female of 23 year’s of age from Arusha region with ordinary level.
I would like to apply a job from Tanapa ministry in patrol section.
My name : UPENDO NDAUKA
Occupation: Teacher
Adress: Temeke ; dareslaam Tanzania.
I am upendo ndauka, teacher by profesinal and owner of day care centre located at tandika street. My day care centre started since 2013 i started with one class for the hope of expand my business but i have faced many chalenges due to lack of enough capital for suporting my dreems/gools.
My goals were:
a) To provide and ensure good education for the children.
b) To create job oppotunities for the other peoples.
c)To increas number of school in our societies.
d)To reduce number of uneducated child in street.
e)To reduce and eradicate works in children.
The shortcomings were:
a)Lack of enough capital for,
-paying workers
-buying others school tools for tearching
-transportation for students those
-building more class
However due to that shortcomings i have faced since i started my day care but also i have few improvement from my investments, which are:
1)I have bought plot for building more classes.
2)I had oready relesed for intake since i started and they doing
good on continue studies ie standard one.
3)I have six employee.
Finally i would like to submit my ideas for starting school and i would like to ensure you all if u entrust me with you founding i would use it well as i metioned above on my proposal for the good of all people in my society and improve my carer and increas job opportunities , reduce number of uneducated children, and eradicate children work among my society…thenk you all
contact: 0714578777
Big smile now to the people who have not happy or enjoy in love or telationship or courtship and in marriage inorder to get big smile in life
Hi
I am Munah 32 years old professional Teacher, My business plan is to digitize educatinal materials for primary and secondary schools for accesibility also to delve problems of shortage of teachers in remote areas and teachers employment.
Thanks
Please email me
Habari kwa majina naitwa maro magreth nkazi wa dar es salama wazo langu la biasha ni kutaka kuanzisha bucha ya kuuza nyama huku nikiwa na jiko pembeni la kuchoma nyama ikiwa mteja akihitaji na muuzia na kumchomea hapo hapo ili kuepusha usumbufu watu wengine wapo bizy hawana mda wakifika na kuanza kupika pia wengine hawana umeme ukichoma nyama sio rahisi kuharibika Asante ni namba yangu ya simu 0765493530
Mimi kwa majina yangu naitwa Batuli Zuberi mwanamke mwenye umri wa miaka 31 Mtanzania. Nina Shahada ya kwanza ya Utawala ( Public Administration ) kazi yangu ni Afisa Rasilimali watu (HRO) katika tasisi ya serekali . Hata hivyo nimekuwa nikijishuhulisha na biashara ndogo ndogo za uuzaji wa bidhaa mbali mbali kwa muda mrefu kazi hiyo nimefanya tokea nikiwa chuo kikuu wakati nikichukua shahada ya kwanza uuzaji wa bidhaa ndogo ndogo kama vile mavazi ya aina zote Viatu, Nguo vya kike, kiume, bidhaa za akina mama huduma za Mpesa Tigo pesa nk. Pia ninao usajili wa TRA TIN Na.kwaajili ya uchangiaji wa kodi pia ninausajili wa BRELA Jina la kampuni/biashara japo sijanza lkn zote ni jitihada za kuja kufanikisha Mimi kuwa mfanya biashara na muelimishaji wa Jamii yng katika jitihada za kukuza uchumi lakini pia kwa badae nitakapo kuwa nimepata shahada ya uzamili nitapenda sana kuja kuwa project planner sababu ninazo (Ideals) nyingi ambazo naziona zinamafanikio makubwa kwangu na Jamii yangu inayonizunguka na hata nchi yangu kwa ujumla yote nikishirikiana na vijana wenzangu wenye Mawazo mazuri mema
lakini zaidi nilihimu elimu ya kidato cha nne na cha sita kabla ya shahada yangu yakwanza wakati niko (O’.level) nilikuwa nilisoma mchipuo wa biashahara japo mbeleni nikuja kubadilisha yote hiyo ni kwasababu ndoto zangu nikuwa kuja kuwa mfanya biashara mdogo mdogo (entrepreneurship) na badae kuwa mfanya biashara mkubwa katika hilo na ninauwezo na uzoefu mkubwa wakutumia rasilimali watu na ku (Utilize) taaluma zao hasa ndio maana kila nitakacho kiwazia ninalenga kuajiri kwakuwa nature yakazi ninazo zifikiria sio za kufanya peke yangu na kufanikisha hapo hapo Bali nitahitaji zaidi nguvu kazi kwa kadiri nitakavyo zidi kukuwa kibishara na huduma kwa Jamii kwa namna ya ukaribu zaidi
kwa sasa
Wazo langu kuu la Bishara nikuwa mfugaji mkubwa kwa ufugaji wa kisasa ufugaji wa Ng’ombe, Mbuzi, na Kondoo pia kutoa Elimu kwa vitendo kwa Jamii ya wa fugaji utakayo husisha ufugaji wa kisasa ambapo ufugaji huu hautohusisha Mifugo hiyo kuzunguka maporini kutafuta malisho kwa muda mrefu Bali kuwa katika eneo moja na kujipatia malisho yao bora kabisa na kuwa na Afya bora ili kukidhi mahitaji ya Jamii kwa urahisi na Salama kwa Afya ya Jamii yangu. Kwa upande wa utoji Elimu ninafikiri kuhudumia mkoa mmoja kisha badae kuchukua mikoa mingi zaidi kulingana na upatikanaji wa gharama za uendeshaji zitakavyo patikana
Katika hili nina madhumuni mengi lakini nitayataja madhumuni makuu angau matano ili kufupisha maelezo
1. Kutoa ajira kwa vijana wenzangu :- kwakua nitajikita katika ufugaji na kutoa Elimu vijijini kwa Jamii za wafugaji kwasabu yanamna shughuli hii itakavyo fanyika inahitaji watumishi wengi tu na wataalamu pamoja na vibarua wakushuhulikia Mifugo nitakayo ifuga mimimwenyewe na wataalamu watakao kuwa wanasaidia kutoa Elimu kwa vitendo . mfano upande wakuelimisha wafugaji wengi anaweza kuwa na Ng’ombe wengi ambao mwisho wa siku wengi hujikuta wanakufa au kudhofika kwa kukosa malisho bora wakati angeweza kuuza wachache na akaboresha wengine au kuugua Mifugo bila kupata tiba yote na Mengine mengi wataelimishwa
2. Kuwarahisihia wafugaji walio maeneo ya ndani kabisa (remotiness areas) kupata soko la Mifugo yao kwa urahisi zaidi nitajihusisha na ununuzi wa Mifugo hiyo na kutafuta soko la nje ya hapo kwa kuwarahisishia zaidi
3 .Kukuza uchumi kwa maneno ya vijijini kwangu na vijana wenzangu na kwa jamii na taifa kuanzia kwakuwa nitakuwa mchangiaji wa kodi mzuri kulingana na kipato kitakacho kuwa kinapatikana
4. Utoaji wahuduma bora ya nyama na hata Maziwa safi na salama kwa Afya ya Jamii yangu kwakuwa Mifugo hiyo itakuwa na huduma bora ya chakula na Afya zao pia
5. Nikuwapunguzia usumbufu mkubwa wanaopata Jamii ya kifugaji katika utafutaji wamalisho hapa ni katika upande wakutoa Elimu bora kwa vitendo kwa Jamii ya wafugaji ya namna yakuendea ufugaji wa kisasa na kuwaelimisha namna ya kunufaika na ufugaji huo.mfano mdogo kwa mtu ambaye anazijua vzr Jamii zetu za kifugaji kwa asilimia 90% utakuta mtu anamiki ng’ombe hata miatatu lakini anaishi maisha duni kabisa kuanzia malazi Yake, kula kwake hata kuto wapeleka watoto shule na kujipatia huduma nyingine kama za Afya yke na kadhalika unakuta ni tatizo kabisa. Mwisho
Pamoja na yote hayo Nikutaka kuuona nchi yetu inabadilika na kutumia Mifumo ya kisasa na kuachana na mifumo ya kizamani hata kwenye nyanja za ufugaji yote yanawezekana kikubwa elimu na kuelimisha namna ya kiitumia vyema.
Baada ya kuelza madhuni miradi hiyo kikweli nahitaji kuongezewa fedha ya mtaji ili kukuudhi gharama za uendeshaji kwakuwa Mimi ninacho kidogo lakini nahitaji (support) zaidi japo nitaweza kuanza hata kwa kidogo ulichonacho lakini ninaona kuboresha zaidi itasaidia ningeweza kutoa gharama zote zinazohitajika ili kukuudhi hili lakini bado kuna kitu kidogo katika (project research) hakija kamilika hivyo kunikwamisha kuwa na takwimu zote lakini Nina imani siku za usoni sana kupata takwimwi zote nakuona Nina namna gani nitamudu kuanzisha miradi hiyo nimatuni yangu hata wazo au Mawazo yangu yatazingatiwa zaidi nawapongeza kwa kuwa na moyo wakutaka kuwashika mkono vijana katika zoezi zima la kuongeza na kukuza uchumi wa nchi yetu mungu awabariki sana
Batuli Zuberi my contacts 0654142257
As I website possessor I think the articles here is very wonderful,
thanks for your efforts. httpss://alkatone.net/
Habari,naitwa Tungu Nghwaya kutoka Mwanza Tanzania..Napenda kutoa wazo langu juu ya elimu katika moja ya wilaya zilizopo mkoani Mwanza na Shinyanga kwani wanafunzi wamekuwa wakitembea umbali mrefu kuitafuta elimu na mwishowe kuishia kupigwa mimba na wengine kukumbana na changamoto ya kushambuliwa na fisi hivyo kama kijana napenda kuleta kwenu hili kama inawezekana niwezeshwe katika kuinua kiwango cha elimu kwa kutoa huduma karibu na makazi ya wananchi… Asanteni sana
I’d like to find out more? I’d want to find out some additional information. httpss://slimultimateforskolin.net/
Perfect piece of work you have done, this internet site is
really cool with fantastic info. httpss://elyraderma.org/
I think other web site proprietors should take this web site as an model, very clean and wonderful user genial style and design, let alone the content.
You are an expert in this topic! httpss://powerketo800.com/
What’s up, yup this article is genuinely pleasant
and I have learned lot of things from it about
blogging. thanks. httpss://wasatchbiolabs.net/