Tanzania Social Support Foundation is the Non-Governmental Organization that is incorporated under the Non-Governmental Organizations Act, Cap. 56 of the Laws of the United Republic of Tanzania, with mandate to operate in Tanzania Mainland. Since its incorporation on 07th March 2014, the TSSF has been actively dealing with Education, Economic Development, Good Governance, Healthcare, and Tourism
Vision Statement of the TSSF
“To be a leading Social Support Entity in Tanzania, that is committed to facilitate the provision of better healthcare, quality higher education, resilient and healthy good governance, and creation along with maintenance of sustainable tourism and economic ventures within the United Republic of Tanzania”
Mission Statement of the TSSF
“To have an educated, healthier, democratic and wealthy nation of the United Republic of Tanzania”
DOWNLOAD ALL PDF FILES THROUGH
TAARIFA YA TSSF KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU KUHUSU TUHUMA ZA UTAPELI |
TAARIFA KWA UMMA |
MAELEKEZO MUHIMU KUHUSU KUJAZA FOMU YA KUJIDHAMINI |
FOMU YA TAMKO LA KUJIDHAMINI |
MAJIBU YA MASWALI YA NYONGEZA, 24 OKTOBA 2017 |
MAJIBU YA MASWALI YOTE AMBAYO TSSF IMEULIZWA KUHUSU MIKOPO YAKE YA ELIMU YA JUU |
NAMBARI ZA AKAUNTI ZA TSSF (CRDB BANK, NMB BANK & EXIM BANK) |
FOMU YA MDHAMINI |
FOMU YA MAOMBI YA MKOPO (YENYE AKAUNTI YA CRDB BANK, NMB BANK NA EXIM BANK) |
FOMU YA KUKATA RUFAA |
FOMU YA TAARIFA KWA WENYE MAOMBI YALIYOSIMAMISHWA |
FOMU YA TAARIFA KWA WALIOHAMA VYUO |
Taarifa kwa Umma kuhusu Matokeo ya kwanza ya waliopata Mkopo TSSF (Soma hii Kwanza) |
Majina ya Waliopata Mkopo TSSF |
USER GUIDE FOR EDUCATIONAL LOANS, SCHOLARSHIPS, TUITION WAIVERS AND STIPENDS |
FOR DAILY BREAKING NEWS!!
[email-subscribers namefield=”YES” group=”Public”]
Maomb hayo tutatumaje
Jamani samahani nimepata taarifa kwamba diploma pia anaruhusiwa omba mkopo je taarifa hii ipo sawa ahsante
tukishamaliza tunatumaje
soma maelekezo kwenye izo pdf ndugu.Karibu sana
Kama mdhamini wangu anataka kuanza kulipa wakati mimi Naendelea na masomo utaratibu ukoje
Mimi nataka kujua kuhusu TSSF guarantor form ya mdhamin ,mm nko zanzibar ,huku kuna ZSSF ,je naweza kutumia hiyo ?
ivi hata wale wanaosoma diploma za afya wanaruhusiwa kufanya application za mikopo TSSF.I Mean ordinary diploma
Ndio wanaruhusiwa.Soma vizuri izo PDF files zina maelekezo yote
Kama mzamini wangu hana kazi,. Ivo viambatanishi ni lazima vya barua ya mwajili, na copy za mishahara???
Your Message Tunakoelekea mtoto wa mnyonge hatakuwa anapata elimu ya juu kabisaa!sasa kama vigezo vya fomu za mdhamini akubali kukatwa 09% ya mshahara kama mdhaminiwa atachelewa kulipa.Sasa mzazi haelewi hata neno asilimia linamaanisha nn!shamba limeuzwa ili niweze kusoma,mkopo nimenyimwa.Nilivyoliona shirika hili nikadhani afadhali.Je mzazi wangu izo 9%atakatwa wapi?hii sio mnamsaidia mzigo mtoto wa mfanyakazi sio mtoto wa masikini kama mimi?
Sio lazima uwe na mzamini jaribu kudownload maswali na majibu toka tssf utaelewa vzr vigezo na mashart yao
Ntafute ster
..habari
..I was asking natakiwa kujaza fomu ya mdhamini na application form only??
..na pia tunatuma kwenye anuani IPI?
Soma hizo PDF files zina maelekezo na majibu ya maswali yote hayo
3rd selection za udom na UDSM lini
Zikitoka tutaziweka soon ….tembelea website yetu mara kwa mara
3rd selection sua wanatoa ln
Kweli msaada huu una masharti natamani ila umenishinda MAMANGU ananitegemea sasa hiyo 09% ataipata wapi? Kweli mwenye nacho anaongezewa , mngetukumbuka na ss wengine ili hii nafasi ya kusoma iwe ukombozj kwetu , turejeshe tukishaajiriwa kama serikali inavyofanya
Hii ni kwa wale wa elimu ya juu tu au kw yeyote anaehitaj kupata mkopo
maombi ya mkopo Bado yanaendelea?
NDIO. TAFADHALI BONYEZA HAPA
Naomba kujua mwisho wa kuapply mkopo huu.. Tarehe na mwezi
maombi yanatumwaje na process za kuomba zipoje
BONYEZA HAPA ..KUPAKUA APPLICATIONS FORMS NA KUJUA ZAIDI
maswali na majibu siyaoni….naomba link yake
Jamani wengine tunasoma nje ya Tanzania lkn tumeshindwa kuendelea masomo kwani ada imekuwa ni tatizo,kwahiyo naomba kujua kama na ss tunaweza kupata huo mkopo ili tuweze kumalizia masomo yetu.
Naomba naomba mfikilie tunaosoma nje ya Tanzania kupewa huo mkopo kwani hali ni ngumu sana.
TSSF mmesadia mnapoweza Tunashukuru Sana, ila tunaomba mboreshe zaidi ili hata wasio na kazi (watoto wa masikini wanasoma kabla ya kupata ajira yoyote) wapate hii fursa ili kuwe na uwezekano wa kuamsha vizazi vyote kielimu Tz.
Mimi nimechaguliwa kusoma diploma lkn niliairisha kwa tatzo la ada naweza nikaomba mkopo then nirudi chuon nikaombe kuendelea na maxomo tena
Omba mkopo ndugu, BONYEZA HAPA KUFAHAMU ZAIDI
Hizi form mbona nikidownload hazi funguki badilishen settup tafadhali
Nna ordinary diploma yenye GPA ya 3.0 je naweza nkapata?
Mpaka sasa sijui jinsi ya kufanya application je hapa dar mko wapi ili ofisini kweni ili nipate maelezo vizuri
Your Messagemhhhmhhhh shidaaa jamani unyonge mgumu
Daaahkazi kwel kweli. Yan nilipata ahueni baada ya kupna tangazo lakini sasa vigezo ni vikubwa kaisi kwamba ukisema uanze kufuatilia kimoja baada ya kingine, utanikuta unatumia nusu ya ada inayotakiwa chuo. Hapa ndio naamini Tanzania bado masikini atabaki kuwa masikini tu na Tajiri ataendelea kuwa tajiri.
Endapo muombaji atakuwa ni mtumishi na anamshahara, anaweza kujidhamini kwenu huo mkopo?
samahan nataka kujua kuwa kwa wanafunz ambao hawana mdhamin mwenye ajira na hamna mtu anayeweza kumdhamin kwao inakuwaje?
pia gharama kwa ujumla zikoje?
Samahani naomba kuuliza kama bado kuna fursa ya kuomba mikopo katika taasisi yenu ma pia mwisho wa kuomba ni lini
deadline November 30
Ningependa kujua tarehe ya mwisho ya kutuma maombi haya maana wengine tumechelewa kupata taarifa hii, plzzz
November 30
samahani ningependa kuuliza hiyo mikopo inatolewa kwa watu wenye ajira tu na biashar au ..maana mi sijaajiliwa na sina chanzo cha kipato je naweza tuma maombi piya ?
TSSF guarantor form nitaipata vipi?
naomba kuulza jinsi ya kuomba huo mkopo Mimi ni mwanafunzi wa diploma mwaka wa masomo 2017/2018
Mbn hzo form hzdownloadic
Mbn hzo form hzdownloadic Nielkezen jns ya kzpat
Mbn hzo form hzdownloadic Nielkezen jns ya kzpatB
kwa mwanafunzi ambae ni mwajiriwa anaweza kukopa? na je anaweza kujidhamini mwenyewe?
Naomba kufahamu khs kwa muombaji Kama ni yeye binafc kuna form zaid ya kujaza &kutuma kuachana na hyo1 ya muombaji manana nmeona mmeandka cjui guarantee form ineed help plz ni form ngapi & zpi zinatumika Kama muombaji ni yy mwenyew
0624700666, 0685554729 TSSF CONTACTS HELP
Guarantee form ndo shida tunazipataje & mfano mtu ni mwajiliwa kuna haja ya form ya mdhamini
0624700666, 0685554729 TSSF CONTACTS HELP
mmetoa namba za help 0685554729 hazipatikani .. naomba namba inayopatikana , tatizo ni kwamba form za mwaliko wa mwisho kuomba mkopo hazidownloadiki yan ukiclick link inasema not found ..nijibiwe tafadhali
GUARANTEE FORM tunazipataje & Kama mtu ni mtumishi yy binafc anatuma form gani tell me plz?
mm mdhamini wangu hata fikisha hiyo miaka 10 atastaafu na ukweli humuweka mtu huru kwa sasa hizo asilimia30 hataweza kuzipata ila na mm ni mhitaji wa mkopo wa Elimu ya juu na npo mwaka wa pili ila atakuwa anarudisha kdgkdg wakat nkiwa naendelea kusoma. sijui hilo mnauwezo wa kulitatua?
vp kuhusu sponser mbona sijaona fomu yake nitaipatage please
Form ya mashart na vigezo naomba kuiona…kweli nimhitaji
BONYEZA HAPA ..KUPAKUA APPLICATIONS FORMS NA KUJUA ZAIDI
nahitaji mkopo ila cjui pakuanzia
Vigezo Na mashart,Kwan sina uwezo wa kulipa ada…
BONYEZA HAPA ..KUPAKUA APPLICATIONS FORMS NA KUJUA ZAIDI
Mimi sjafanya Application bado ila nataka nifanye leo je muda bado upo?
Mbona hamuweki namba zenu za simu to give further assistance kwa watu ambao hawajaelewa vyema maelekezo . .
TSSF CONTACTS HELP CENTER
0624700666, 0685554729
Jamn mwisho wa kuaply lini
November 30
Jaman form tunazipataje mie sijaelewa
DOWNLOAD izo pdf FILES
mmetoa namba za help 0685554729 hazipatikani .. naomba namba inayopatikana , tatizo ni kwamba form za mwaliko wa mwisho kuomba mkopo hazidownloadiki yan ukiclick link inasema not found ..nijibiwe tafadhali
Mimi nauliza vigezo Gani wanaaangalia kuomba huo mkopo.
Naomba kujibiwa swali kama mm ni mfanyakazi wa serikali ninamshahara naweza kuomba nikajidhamini
Soma izo forms vizuri, zina maelekezo kuhusu wadhamini wanahohitajika.
Soma maelekezo vizuri kwenye hizo form,kuhusu wadhamini wanaohitajika
Mimi nko zanzibar ,,na huku hakuna tssf guarar form ,je naweza kutumia ktambulsho cha zssc cha mdhamini ?
Mwisho wa kuomba ni lini na fom unatumaje?
mi naitaji sana mko nipo udom mwaka wakwanza ila sijui jinsi ya kuapply kama inawezekana namba zangu 0743784031
Niko mwaka wa pili degree, nimeshindwa kwenda chuo hadi sasa ksb sina ada maana mwaka wa kwanza nilikopa na kuunga unga, nimejakib kuapply mkopo kwa bodi ya mkopo nikakosa mara mbili, kiukweli hadi sasa naogopa maana hela zenyewe nakopa. Ombi langu ni naombben mnisaidie mkopo walau niweze maliza miaka miwil iliyobaki. Tafadhal. ?
mimi nimechaguliwa ifm lakini nimekosa mkopo mpaka sasa nimeshindwa kwenda kufanya registration kwasababu wanaitaji ulipie 60% kwanza ukiangalia familiar yangu tunamaisha magumu zaidi ya mashariki ya mbali haiwezi kulipia asilimia hata 5 kwaio naomba mkopo niweze kutimiza ndoto zangu za kuondoa umasikin nyumban
Waliosoma shule za private O level wanaruhusiwa Ku apply mkopo
Tukishajaza hard copy tunatuma as soft copy kwenda email gan?? Saidia email please.
mimi nachukua certificate in pharmaceutical Technician lakini nitaendelea na diploma je naruhusiwa kuapply?
mm nimechagulia
mbeya university of Science and technology (MUST)
Bachelor of electrical and electronic engineering
Nakaa mwanza ila kwa sasa nipo mbeya shulen nimekosa mkopo selikarin imenipelekea kushindwa kufanya registration kutokana na gharama kuwa kubwa
ningependa kuuliza nikituma maombi leo
je mkopo utachukua mda gani kuupata
plz nisaidien kusoma napenda ila uwezo wakumdu gharama za chuo sina
form zenu zinajieleza vizuri sana . . tatizo ni moja tu , mmesema wale ambao hawakuapply mwanzo mmetoa form za mwaliko wa mwisho kuapply kuomba mkopo . . . hizi form hazidownloadiki yan .. form zingine zote zinadownloadika vizur bila tatizo .. hizo za mwaliko wa mwisho ndo hazidonloadiki nmecomment sana kuhusu hili sijibiwi .. cha pili mmetoa namba za kutoa msaada namba hazipatikani sasa mtu akitaka kuuliza jambo mpaka apost hapa na hamjibu .. naombeni mtuelekeze vyema kuhuzu hio form ya mwaliko wa mwisho ambayo haidownlodiki na mtoe namba zinazopatikana
Unistore tz media mbona hamjibu maswali yangu kuhusu form za mwaliko wa mwisho kugoma kudownloadika na namba mlizotoa zote mbili hazipatikani ..
Forms zinafaa ndugu, Jaribu kutumia browser nyingine ama simu nyingine.Pengine tatizo ni la browser unayotumia
Tumesha Update, Jaribu tena
Tumesharekebisha ndugu, unaweza kuzipakua sasa
Mm n mwanafunz Wa chuo cha ushirika moshi mwaka Wa pili. Mwaka Wa kwanza nlkua nalipiwa ada na mthamin ss kwa Bahat mbaya mthamini wangu alifarik na sjapewa mkopo ma serikali na wazazi wangu hawana uwezo Wa kunisomesha. Ivyo basi ninataka kuomba uku tssf ss nlkua nauliza iyo tssf guarantor form ntaipta WAP?
BONYEZA HAPA ..KUPAKUA APPLICATIONS FORMS NA KUJUA ZAIDI
Hallo sorry……..mm naitwa bahat n msichana nmemaliza tambaza high school nmepata division four ya point 18 ,nmeapply chuo Ifm nmepata kwenda somea Diploma of science science in Insuarance and risk management.Sasa. nmekwama wazaz hawana uwezo wa kunilipia tuition fees.Tution fees ni 1,645,000 naomba msaada kwa hil ninania ya kutimiza ndoto zangu.
Ahsante..
BONYEZA HAPA ..KUPAKUA APPLICATIONS FORMS NA KUJUA ZAIDI
Unistore Tz Media naomben mnijibu maswali yangu mawili tu jamani nmeyapost mara ya nne hii ..
1.fomu ya mwaliko wa mwisho wa kuomba mkopo haidownloadiki ? fix the link palease au tupewe link nyinginine au kama hio form haina umuhimu tuambieni kama kuapply hata kwa sisi wa sasa tunatumia ile ile form ya kwanza .. please nijibiwe hili
2.mmetoa namba za simu za kuwapata kupata msaada na maelekezo zaidi , namba zote mbili moja ya halotel na nyingine ya airtel hazipatikani! yani hazipatikani .. tafadhali wekeni namba halali zinazopatikana ..
Tafadhali hayo maswali mawili tujibuni jamani
KILA FORM INAFAA NDUGU KU-DOWNLOAD, KWA MSAADA ZAIDI BONYEZA HAPA
Samahani kwa usumbuf ila Nilikuwa nina uklliza form ya HEF.2 Ninaipata wapi…???
ASANTE SANA…NIMEIPATA TAYARI
mmetoa namba hazipatikan naomba namba inayopatikana
Tusaidieni jamani maana hii kauli ya serikali juzi inakatisha tamaa
majina ya tulioomba mwezi huu mnayatoa lini?
Naomba kufaham majina ya waliomba mkopo awamu ya pili yatatoka link
Naomba kufaham majina ya waliomba mkopo awamu ya pili yatatoka lini
Mbona hii form ya mdhamini haikubali kudownlod
Mimi ata kuina yenyewe sijaiona Je unaweza kunimbia unaipata wapi form ya Mdhamini
Recommendation letter kwa mwanafunz anayeendelea inatoka kwa DEAN OF STUDENTS au pia kwa local govt sijaelew tafadhal msaada wa kuelekezwa naomba.
Greetings! I know this is kinda off topic but I’d figured I’d ask.
Would you be interested in trading links or maybe guest authoring a blog article or vice-versa?
My site addresses a lot of the same subjects as yours and I believe we
could greatly benefit from each other. If you are interested
feel free to send me an email. I look forward to hearing from you!
Terrific blog by the way!
Naombeni kuja hiyo form ya HEF.2 nina ipata wapi…???
Je,kutokana na tamko la serikali JUU ya tssf,tutapokelewa kwa hizo barua mlizotuandikia?maana yangu tumezipeleka wanatuzungusha tu wakidai wanapeleleza,especially government university
Mnisaidie namba yako
Your MessageMm ninahitaji mkopo lakin naomben mnijibu vip kuhusu hili tamko la serikali kwamba hawaitambui taasisi yenu??
Hi there would you mind sharing which blog
platform you’re working with? I’m looking to start my own blog in the near future but I’m having a tough time making a decision between BlogEngine/Wordpress/B2evolution and Drupal.
The reason I ask is because your design and style seems different
then most blogs and I’m looking for something completely unique.
P.S Sorry for getting off-topic but I had to ask!
I don’t unremarkably coment but I gotta state regards for
the post on this one :D.